Bigman Digital Investment

Bigman Digital Investment its a store to all quality and affordable products. we deliver the best and exactly what our client orders

04/04/2026

It’s Sunday — your reset day.A day to refresh.A day to re-energize.A day to realign your body and mind before the new we...
22/02/2026

It’s Sunday — your reset day.

A day to refresh.
A day to re-energize.
A day to realign your body and mind before the new week begins.

Step into a calm, serene space designed for your peace.
Let go of the week’s tension and walk out renewed, stronger, and ready to conquer Monday with clarity and confidence.

The room is perfectly set.
The atmosphere is calm.
We are ready for you.

Walk in or book your session today.
📞 0701322150

Your body deserves this.
゚viralシalシ

Indulge in a bespoke massage experience delivered discreetly and professionally to your doorstep.No traffic. No waiting ...
19/02/2026

Indulge in a bespoke massage experience delivered discreetly and professionally to your doorstep.
No traffic. No waiting rooms. No additional charges.
We transform your space into a private sanctuary of calm, where every session is curated to restore balance, relieve tension, and elevate your well-being.
This weekend, gift yourself the luxury you deserve.
Reserve your exclusive home session today
📞 0701322150

Get the fastest internet right in your pocket....FAIBA INTERNET..get a free sim card and desirable and affordable data b...
19/10/2024

Get the fastest internet right in your pocket....FAIBA INTERNET..get a free sim card and desirable and affordable data bundles...foe more information click https://wa.me/254701322150 pin location for delivery

FAIBA 4G MIFI @5400/-Faiba 4G mifi router connects up to 10 devices @5400. It's Portable and rechargeable. Faiba sim car...
17/10/2022

FAIBA 4G MIFI @5400/-
Faiba 4G mifi router connects up to 10 devices @5400. It's Portable and rechargeable. Faiba sim cards are also available for free.
weekly 8gb @ 300
monthly 30gb @ 1k
monthly 75gb @ 3k
monthly 120gb @ 4k
To order/enquire 0701322150

Order call 0701322150
30/08/2021

Order call 0701322150

Helping you reach flawless is our duty ...the process might be slow but patience and consistency is all that it takes .R...
20/08/2021

Helping you reach flawless is our duty ...the process might be slow but patience and consistency is all that it takes .REACH OUT TO US AND WE WILL HELP YOU. Contact or Whatsapp 0701322150 Happy shopping .

20/08/2021

ZORA WRITTEN UPDATES
Friday on Zora
Kumbuka ku like before usome 🙏🙏🙏

Neema atakuwa akimcheka Ogola. Anamuuliza swali, kati ya kifaranga na yai, ni kipi huja cha kwanza...? Ogola ataambia Neema aende aulize waluhya hilo swali. Neema atadai alisema Oliver ndiye Master Ogola akampinga, sasa young dosi ako wapi sahi..? Ogola ataambia Neema aende apige mushene na vyombo jikoni, since Neema akanyage huku vitu vinaharibika. Neema atadai umbea wa Ogola ndo umemfikisha pale. Neema alijaribu kumzuia asiende kwa ile nyumba but hakusikia. Ogola atadai Madiba anamsaliti na vile wametoka far pamoja. Neema ataambia Ogola ajue kucheza na level yake. Ogola atamuuliza Neema if amewahi fall in love..? K**a hajawai then siku atajaribu ndo atajua love has no boundaries. Neema ataambia Ogola mapenzi ni sumu. Atamuuliza k**a alichokifanya pale jana yu wadhania ni ungwana. Kidogo Madiba ndo kurudi. Atapiga honi ya gari na Ogola atafungua. After Madiba kuingia ndani Ogola atadai anaona akirudi kwao bila kitu, hana hata fare na wanamfukuza. Hajui aanzie wapi lakini ni sawa. Ogola ataingia kwa Chumba chake kwenda kujipanga.
Madiba atampata Zalena amekaa living room. Madiba ataambia Zalena k**a angekuwa anam protect vile yeye, watoto wake na Kwame then watoi hawangekuwa traumatized vile wako sahi. Madiba ataenda upstairs.
Loretta akiwa anajirembesha, tutamsikia Oliver akilia tu jina Nana. Loretta atamwambia akichelewa atapata mwana si wake. Loretta ataambia Oliver game yake iko down sana. Loretta anajua Oliver anamtaka Nana, na after Oliver kumwona Nana amevaa nguo zake alicatch mbaya sana. Na hakuna kitu Oliver anaweza fanya. Loretta ataambia Oliver yeye anajua mengi kuhusu hii nyumba, k**a ile ya kuna mtu mmoja kwa hii familia who's not a true Chibale. Oliver atashtuka, alikuwa anaondoka but atarudi hadi place Loretta yuko. Loretta atasema ni ukweli, Oliver amechukua Zalena na kumweka k**a funguo yake. Zalena alifanya Oliver akamuacha babake hadi akafa, Zalena alichukua kila kitu chao but Oliver anaamua ku stick tu naye. Kwani ni kitu gani cha maana Zalena ako nacho yet kuna samaki wengi wa kuvuliwa 😂
Oliver atamkuta Zalena direct na kumwambia anaona wakati umewadia wa Loretta kutoka kwa hii nyumba, lakini kwanza ni poa wampe share yake. Zalena atadai whatever Oliver is planning will not work, Zalena ataambia Oliver aache kujidanganya. Oliver atadai Loretta lazima apate share yake, kwanza akiwa kwa hii nyumba. Hakuna vile Zalena hatamtupa Loretta kule nje tu hivi hivi. Lazima apate uridhi wake wa haki. Loretta atauliza haki gani. Oliver atadai ya title deeds, Oliver atasema si hiyo peke yake, lazima ndugu zake wapate share yao. Oliver ataambia Zalena ampe title deeds but Zalena atamwambia asimsumbue. Zalena anaona Oliver amekosa kazi kabisa.

Hamida amekaa pale nje anakaa confused. Kidogo Zora atampata pale. atamuuliza nini mbaya..? Hamida atadai ni wazazi wa Fadhili wanampigia simu wakimwambia akae mbali na mtoto wao. Zora atamwambia maybe yeye ndo amejichomea. Hamida atauliza aje sasa. Zora atamuuliza k**a kando na yeye, huko nyumbani iko mtu Hamida huwa anazungumza naye kuhusu Fadhili...? Zora ataambia Hamida hapo ndo anakosea sasa. Fadhili mwenyewe alinyamaza na akaamua kumkol kumwambia anampenda, so pia Hamida angekimya tu. Hamida atakaa aone huyu ni Neema ako behind this. Na juu ya hii story Neema ataishi kumkumbuka.
Oliver atakuwa anaangalia gari lake. Kidogo Nana atamletea zile pesa zake akimwambia hazitaki, na Oliver na Nana hiwezi make, na Oliver akizidi kumtafuta Nana vile anamtafuta vile itabidi familia yake ijue hiyo story. Nana ako na evidence yote. Neema alikuwa pale kando amesikia kila kitu.
Hamida naye amejam. Atachukua phone kumkol Fadhili. Atamuuliza yani aliona aje kumletea tu mashida kwa life yake..? Hamida ataambia Fadhili yeye abaki tu na life yake na amwache na mashida zake. Hamida hawezi vumilia matusi ya wazazi wa Fadhili. After kol Hamida atadai hata Master atamtambua sasa 😂😂😂 hasira kwa mtu mwingine. Aki wanawake nyinyi 😂😂😂
Master atakuwa akicheza na mtoi wake pale kwa job. Hamida atakuja mbio, kuwaona atajificha then ataanza imagination. Anajiona akicheza na Master pamoja na P**i. Hamida atajificha pale kando. Master atamuona. Pia P**i amemuona. Hamida atarudi kwenye ametoka 😂 P**i ataambia Master yeye anaona Hamida alitaka kubonga naye, so next time P**i atajipa shughli ndo asizuie hii kutake place.
Loretta atampata Nana. Atamwambia definition yake ya mtu mjinga ni yule ambaye hasomi kutoka kwa mistakes za wengine. Loretta ataambia Nana k**a target yake ilikuwa Kwame, Loretta angempa advice ajikaze kabisa. But since hamu yake iko kwa Madiba then ajue anapoteza time tu. Loretta atajitoa.
Hamida alirudi home, Master alimfwata na atakuwa anamuita kutoka nyuma. Master alikuwa anataka nyanya kutoka kwa Hamida. Wakitaka kutoka yule ex wa Master atafika hapo kuharibu sasa. Hamida ataanza kuuliza Master huyo ni nani. Huyu dem ataambia Hamida yeye ndiye mama yao. Na hakuna vile Master ataenda kwa mtu mwingine akiwa hai. Master ataambia huyu dem atembeze lakini kitaki. Hamida atawaambia wabebane waende Mbali huko wagombanie huko. Yeye hataki kuonekana mbaya. Fidi, mamake P**i atakuwa mkali lakini Master atamtoa hapo. Master pia ataboeka ajitoe amwache Hamida akiwa peke yake.
Lila na Fila wataenda kwa baba yao kumwambia teacher Nana hajafika, kwani hafeel poa au nini...? Madiba atakol Nana kumuuliza k**a bado amelala. Nana atasema bado analala. Madiba ataambia Nana Lila na Fila wanamtegea. Nana atasema haingii huko leo, amechoka na familia ya Madiba. Madiba atamwambia please but Nana atasema enough is enough. Madiba atamwambia basi anaenda huko. After kol Nana atafurahi. Mpango wake umeivana.
To be continued
After umesoma usikose ku like
Like my page for early updates 💪💪💪

https://www.facebook.com/BigmanDigital
Share after reading

its a store to all quality and affordable products. we deliver the best and exactly what our client orders

18/08/2021

ZORA WRITTEN UPDATES
Before usome kumbuka ku like 🙏🙏🙏
Wednesday on Zora.

Yola akiwa shughli zake Nana atatokea side ingine aki yawn. Kuchoka nayo. Yola atamwangalia tu. Nana ataenda achukue glass ya maji then aanze kumuhudhi Yola. Yola atauliza k**a huyu ndo wana expect asaidie watoi kwa masomo. Mtu hajaolewa na ako kwa wenyewe kiherehere tu. Sasa ni message gani anapea hawa watoto??? Yeye ni Mwalimu wao but hadi anavaa nguo za Madiba na kulala kwa nyumba ya baba yao...kwani hana haya...? Nana atasema yeye ni Mwalimu tu na Yola ndiye ameolewa pale, so Madiba ni bro in law wake, kwa hivyo yeye aende amuulize haya yote. Na k**a Nana kuvaa nguo za Madiba ndo zinafanya Yola aumwe, na sasa akivaa za Kwame? Yola atakaa aje..? Nana ataenda akicheka kimaudhi tu.
Baba Zora ataletea Zora chai. Kumbe babake alijenga nyumba kubwa na Zora hajawai jua. Baba Zora ata apologize juu hakuwai mjulisha Zora. After ku serve chai, baba Zora atakumbusha Zora akimsaidia karatasi zake za pension...sasa hizo pesa ziliingia pamoja na saving zake na ndo maana ako pale. Zora atasema hiyo ni poa na kunakaa poa. Zora atauliza babake k**a haogopi kuishi peke yake..? Babake atamwambia aliona ajenge nyumba yake, ya Zora pamoja na mjukuu wake.
Kwa Chibale watakuwa kwa meza. Nana na Madiba wataingia wakiwa wacheka. Loretta atawasimamisha then aseme isikuwe ati Nana alilala huko kwa hiyo nyumba. Madiba atauliza shida iko wapi..? Loretta atauliza Madiba k**a sasa anataka kuonyesha yeye ni mwanaume kwa hiyo nyumba. Mbona akubali mwanamke alalae kwa nyumba yake..? Hiyo ni message gani anajaribu ku pass kwa watoi wake..? Hana aibu hadi..? Yola ataingilia aseme hata alipomuuliza Nana hilo swali, Nana alimjibu ati atashangaa akimuona amevaa nguo za Kwame. Yola atadai aliwaambia kutoka kitambo Nana is a home wrecker.
Neema naye atapelekea Ogola mushene kule nje vile ndani kunaendelea. Neema ataambia Ogola Nana alilala huko na amevaa hadi nguo za Madiba. Na wanapozungumza sasa, Loretta anamchamba Nana sawa sawa. Ogola atadai leo watamtambua. Ataanza kwenda kwa ile nyumba.
Yola bado ana insist ati Nana ni chokora. Loretta ataambia Madiba if wazazi wake wata withstand huo upuzi yeye hawezi. Madiba atauliza Loretta if amemaliza. Sasa atadai wao ndo walisema atafute mtu wa kumsaidia kulea watoto wake. Kidogo Ogola ataingia akidai ati Madiba anamfinya... anamfinyia life. Mbona wana share bibi sasa 😂 Ogola ataambia Nana yeye hana nyumba, hana meza kubwa, hana gari lakini ako na moyo kubwa. Hata huo moyo Nana ndo ako nao kwa mkono ameushika nao Madiba. Ogola ataambia Nana watoke waende waanze life. Oliver atajam ajitoe hapo.
Zora atakuwa ameelezea babake vile hali iko ngumu na ndo maana anawish babake angekua pale karibu amsaidie. Babake atamwambia anamuelewa na zora aache kujirudia. pia Zora akumbuke yule ni mamake. Kitu hafai kuruhusu ni ati mamake amrudishe nyuma. Babake Zora kuiacha familia yake aikuwa jambo rahisi. Ndo maana akamuelezea Zora kila kitu ndo asimchukie. Kitu baba Zora anakumbuka ni ati alikuwa kwa room yake na Mama Zora, alisikia kuhusu issue ya Zora na Fela. Hiyo ilimvunja moyo sana.
Baba Zora atasimama kisha aende kwa gari flani lilikua pale kando. Ako na mgeni pale. Kumbe ni mpenzi mpya wa baba Zora 😂😂😂 mali safii hadi Karibu nimtoe kwa mdomo wa baba Zora 😂😂 huyu mdem atamgotea Zora na atamkaribisha. Wakiwa wawili hivi maisha yao yako sambamba kabisa.
Oliver atachukua dinga. Akiondoka ataacha k**a ameambia Ogola akirudi hasimpate pale. Ogola ahesabu pesa zake amchapie Oliver haraka sana. After Oliver kutoka Neema atakuja kumcheka Ogola 😂 atamuuliza sasa anashika kichwa ya kazi gani..? K**a hakikumsaidia mle ndani, sahi kitamsaidia aje..? Ogola amejam 😂😂😂 hadi ana speak in tounges 😂😂 Neema atauliza Ogola ni mapenzi aina gani hii..? Yani hadi Neema anajutia kuja kumweleza Ogola kuhusu ile story. Neema atajitoa.
Zora atakuwa na babake kwa Shamba. Anadai yeye alikataa kitambo uhusiano wa Fela na Zora. Lakini mamake akusikia. Tena time baba Zora hakuwa na kazi, kulikuwa tu vita hapa na pale. Baba Zora ameona mengi kutoka kwa Mama Zora. Baba Zora ataambia Zora kitu moja tu, hasijaribu kuingilia ulevi. Baba Zora atauliza kuhusu Simba. Zora atadai ako poa. Zora atauliza babake ni kitu gani mamake alimfanyia..? Kidogo yule madam atafika kuchukua mboga. After ameenda Zora atadai anamfananisha huyu madam. kumbe ni madam alikuwa kwa counter na akamsaidia baba Zora. Zora atadai kweli babake aliona mbali. Zora atadai lakini umri wa babake... Babake atadai mapenzi hayachagui umri, rangi, ukabila au nini. Ukipenda ushapenda. Zora atadai anamuona babake sana 😂😂
Ogola ako ready kuondoka. Neema atadai ati anaona huu mshahara utaongezeka juu atakuwa kule ndani na pia huku kwa gate. Ogola atadai enyewe kikulacho kinguoni mwako. Ogola anaona Neema anafurahi juu amepoteza kazi. Neema atadai hafurahii, anamuhurumia. Neema atauliza Ogola before afutwe anataka aandaliwe nini akule mara ya mwisho..? Kidogo Madiba atafika aulize Ogola shida ni gani. Mbona ame change nguo za kazi..? Ogola atadai ni boss yake amemfukuza kazi. Na ile kazi yote Ogola amewafanyia Aki, hadi amewapandia maua. Ogola atadai lakini ni sawa tu. Watakutana huko kisumu 😂😂 Madiba ataambia Ogola babake awezi mfuta kazi. So avae nguo zake na arudi job saaii. After Madiba ameenda Neema ataambia Ogola akae atafakari kati ya Madiba na Oliver ni Nani boss wake.
Nana wakiwa na Madiba hapo nje nana atadai anafeel guilty kwa kilichotokea. Juu Madiba ndo aliambia Nana adoz kule but familia yake haijui hivyo. So Nana anaona ni poa achapie familia yake kuhusu hiyo story. Madiba atamkumbatia Nana then amwambie "I GOT YOU"
To be continued....
After umesoma usikose ku like this page 👇 🙏
https://www.facebook.com/BigmanDigital
Share after reading

its a store to all quality and affordable products. we deliver the best and exactly what our client orders

18/08/2021

ZORA WRITTEN UPDATES
Before usome kumbuka ku like 🙏🙏🙏
Wednesday on Zora.

Yola akiwa shughli zake Nana atatokea side ingine aki yawn. Kuchoka nayo. Yola atamwangalia tu. Nana ataenda achukue glass ya maji then aanze kumuhudhi Yola. Yola atauliza k**a huyu ndo wana expect asaidie watoi kwa masomo. Mtu hajaolewa na ako kwa wenyewe kiherehere tu. Sasa ni message gani anapea hawa watoto??? Yeye ni Mwalimu wao but hadi anavaa nguo za Madiba na kulala kwa nyumba ya baba yao...kwani hana haya...? Nana atasema yeye ni Mwalimu tu na Yola ndiye ameolewa pale, so Madiba ni bro in law wake, kwa hivyo yeye aende amuulize haya yote. Na k**a Nana kuvaa nguo za Madiba ndo zinafanya Yola aumwe, na sasa akivaa za Kwame? Yola atakaa aje..? Nana ataenda akicheka kimaudhi tu.
Baba Zora ataletea Zora chai. Kumbe babake alijenga nyumba kubwa na Zora hajawai jua. Baba Zora ata apologize juu hakuwai mjulisha Zora. After ku serve chai, baba Zora atakumbusha Zora akimsaidia karatasi zake za pension...sasa hizo pesa ziliingia pamoja na saving zake na ndo maana ako pale. Zora atasema hiyo ni poa na kunakaa poa. Zora atauliza babake k**a haogopi kuishi peke yake..? Babake atamwambia aliona ajenge nyumba yake, ya Zora pamoja na mjukuu wake.
Kwa Chibale watakuwa kwa meza. Nana na Madiba wataingia wakiwa wacheka. Loretta atawasimamisha then aseme isikuwe ati Nana alilala huko kwa hiyo nyumba. Madiba atauliza shida iko wapi..? Loretta atauliza Madiba k**a sasa anataka kuonyesha yeye ni mwanaume kwa hiyo nyumba. Mbona akubali mwanamke alalae kwa nyumba yake..? Hiyo ni message gani anajaribu ku pass kwa watoi wake..? Hana aibu hadi..? Yola ataingilia aseme hata alipomuuliza Nana hilo swali, Nana alimjibu ati atashangaa akimuona amevaa nguo za Kwame. Yola atadai aliwaambia kutoka kitambo Nana is a home wrecker.
Neema naye atapelekea Ogola mushene kule nje vile ndani kunaendelea. Neema ataambia Ogola Nana alilala huko na amevaa hadi nguo za Madiba. Na wanapozungumza sasa, Loretta anamchamba Nana sawa sawa. Ogola atadai leo watamtambua. Ataanza kwenda kwa ile nyumba.
Yola bado ana insist ati Nana ni chokora. Loretta ataambia Madiba if wazazi wake wata withstand huo upuzi yeye hawezi. Madiba atauliza Loretta if amemaliza. Sasa atadai wao ndo walisema atafute mtu wa kumsaidia kulea watoto wake. Kidogo Ogola ataingia akidai ati Madiba anamfinya... anamfinyia life. Mbona wana share bibi sasa 😂 Ogola ataambia Nana yeye hana nyumba, hana meza kubwa, hana gari lakini ako na moyo kubwa. Hata huo moyo Nana ndo ako nao kwa mkono ameushika nao Madiba. Ogola ataambia Nana watoke waende waanze life. Oliver atajam ajitoe hapo.
Zora atakuwa ameelezea babake vile hali iko ngumu na ndo maana anawish babake angekua pale karibu amsaidie. Babake atamwambia anamuelewa na zora aache kujirudia. pia Zora akumbuke yule ni mamake. Kitu hafai kuruhusu ni ati mamake amrudishe nyuma. Babake Zora kuiacha familia yake aikuwa jambo rahisi. Ndo maana akamuelezea Zora kila kitu ndo asimchukie. Kitu baba Zora anakumbuka ni ati alikuwa kwa room yake na Mama Zora, alisikia kuhusu issue ya Zora na Fela. Hiyo ilimvunja moyo sana.
Baba Zora atasimama kisha aende kwa gari flani lilikua pale kando. Ako na mgeni pale. Kumbe ni mpenzi mpya wa baba Zora 😂😂😂 mali safii hadi Karibu nimtoe kwa mdomo wa baba Zora 😂😂 huyu mdem atamgotea Zora na atamkaribisha. Wakiwa wawili hivi maisha yao yako sambamba kabisa.
Oliver atachukua dinga. Akiondoka ataacha k**a ameambia Ogola akirudi hasimpate pale. Ogola ahesabu pesa zake amchapie Oliver haraka sana. After Oliver kutoka Neema atakuja kumcheka Ogola 😂 atamuuliza sasa anashika kichwa ya kazi gani..? K**a hakikumsaidia mle ndani, sahi kitamsaidia aje..? Ogola amejam 😂😂😂 hadi ana speak in tounges 😂😂 Neema atauliza Ogola ni mapenzi aina gani hii..? Yani hadi Neema anajutia kuja kumweleza Ogola kuhusu ile story. Neema atajitoa.
Zora atakuwa na babake kwa Shamba. Anadai yeye alikataa kitambo uhusiano wa Fela na Zora. Lakini mamake akusikia. Tena time baba Zora hakuwa na kazi, kulikuwa tu vita hapa na pale. Baba Zora ameona mengi kutoka kwa Mama Zora. Baba Zora ataambia Zora kitu moja tu, hasijaribu kuingilia ulevi. Baba Zora atauliza kuhusu Simba. Zora atadai ako poa. Zora atauliza babake ni kitu gani mamake alimfanyia..? Kidogo yule madam atafika kuchukua mboga. After ameenda Zora atadai anamfananisha huyu madam. kumbe ni madam alikuwa kwa counter na akamsaidia baba Zora. Zora atadai kweli babake aliona mbali. Zora atadai lakini umri wa babake... Babake atadai mapenzi hayachagui umri, rangi, ukabila au nini. Ukipenda ushapenda. Zora atadai anamuona babake sana 😂😂
Ogola ako ready kuondoka. Neema atadai ati anaona huu mshahara utaongezeka juu atakuwa kule ndani na pia huku kwa gate. Ogola atadai enyewe kikulacho kinguoni mwako. Ogola anaona Neema anafurahi juu amepoteza kazi. Neema atadai hafurahii, anamuhurumia. Neema atauliza Ogola before afutwe anataka aandaliwe nini akule mara ya mwisho..? Kidogo Madiba atafika aulize Ogola shida ni gani. Mbona ame change nguo za kazi..? Ogola atadai ni boss yake amemfukuza kazi. Na ile kazi yote Ogola amewafanyia Aki, hadi amewapandia maua. Ogola atadai lakini ni sawa tu. Watakutana huko kisumu 😂😂 Madiba ataambia Ogola babake awezi mfuta kazi. So avae nguo zake na arudi job saaii. After Madiba ameenda Neema ataambia Ogola akae atafakari kati ya Madiba na Oliver ni Nani boss wake.
Nana wakiwa na Madiba hapo nje nana atadai anafeel guilty kwa kilichotokea. Juu Madiba ndo aliambia Nana adoz kule but familia yake haijui hivyo. So Nana anaona ni poa achapie familia yake kuhusu hiyo story. Madiba atamkumbatia Nana then amwambie "I GOT YOU"
To be continued....
After umesoma usikose ku like 🙏
Share after reading

Address

2690
Thika
01000

Telephone

+254701322150

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bigman Digital Investment posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bigman Digital Investment:

Share