oarth22

oarth22 Karibu kupata virutubisho kwa ajili ya afya,ngozi,kilimo,uzito na usafi.Bidhaa Bora zisizo na kemika

ni 2000- tu kwa moja, wahi mapema bado bipolar kuanzia umri wa miezi 0 -24 tu. Nitafute kwa 0765037032
05/10/2023

ni 2000- tu kwa moja, wahi mapema bado bipolar kuanzia umri wa miezi 0 -24 tu. Nitafute kwa 0765037032

Super gro Ni bidhaa ya asili ya Kilimo ambayo inazalishwa na inatumika katika mazao mbalimbali K**a maharage,mahindi,mpu...
30/04/2022

Super gro Ni bidhaa ya asili ya Kilimo ambayo inazalishwa na inatumika katika mazao mbalimbali K**a maharage,mahindi,mpunga,karanga,mtama,alizeti,mbaazi,kunde,bustani za mboga na maua.
Bidhaa hii ya supergro IPO katika hali ya kimiminika K**a Maji na inapatikana katika ujazo wa robo Lita, ml 200 na Lita 5.

👉FAIDA za supergro.
✍️Hulinda rutuba ya udongo kwa kuwa Haina kemikali sumu K**a mbolea nyingine ambazo huweza kuongeza kiwango Cha tindikali katika udongo,hivyo ardhi haichoki mapema.
✍️Hulainisha udongo na kufanya Maji yaweze kupenya kwa urahisi katika udongo.
✍️Hutunza unyevuunyevu na hatimaye mizizi huzama hadi tabaka la tatu ambako kuna virutubisho vingi vya asili.Hali hii huondoa gharama za kumwagilia mazao Mara kwa mara hasa nyakati za kiangazi Ambapo Maji ni ya shida mmno katika maeneo mbalimbali.
Pambana na ukame kwa kutumia supergro.
✍️Husaidia Dawa za kuua wadudu zisitirike chini kwa sababu supergro ni k**a gundi hivyo hunata kwenye majani.
✍️Hufanya mimea kuwa na rangi ya kijani wakati wote kumaanisha mmea unapata virutubisho vya kutosha,maji pamoja na hewa ya kutosha.Hali hii huupa mmea nguvu na kuhimili magonjwa na kusababisha mmea kuzalisha mazao mengi.

Matumizi
Cc 1 kwa Lita 1 ya Maji
Cc 10 kwa Lita 10 ya Maji
Pulizia supergro kwenye shina la mmea na kwenye Jani kwa kutumia bomba.

MASIKA.
Wakati wa Masika puliza supergro Kila baada ya siku 14.

KIANGAZI.
Wakati wa kiangazi piliza kila baada ya siku 7 maana kuna kuwa na ukame.

JINSI YA KUTUMIA KWENYE MATUNDA.
Mkulima anashauriwa kumwagilia Lita 2 za majinna cc2 za supergro zilizochanganywa pamoja kwenye shina bila kutumia bomba kwa sababu miti ya matunda Ina mizizi mikubwa mno tofauti na mazao ya muda mfupi na unashauriwa kutumia wakati wa mvua kwa matokeo mazuri.

Karibu Kupata yako,nitafute kwa namba 0765037032

OFFER!OFFER!OFFERBIDHAA HII IPO KWENYE PUNGUZO LA BEI SAWA NA BURE NA TENA KWA BEI YA KUNUNULIA,SALMON OIL Hizo ndizo Fa...
04/02/2022

OFFER!OFFER!OFFER
BIDHAA HII IPO KWENYE PUNGUZO LA BEI SAWA NA BURE NA TENA KWA BEI YA KUNUNULIA,

SALMON OIL

Hizo ndizo Familia 8 ambazo huwa zinatakiwa kuwa kwenye Mafuta ya Samaki yoyote Yale ila Bahati mbaya ni mafuta ya Samaki ma chache sana ambayo utakuta yana angalau hata familia 3,
Ila salmon tu ndo Ina familia hizi 8 zote ndo maana hata matokeo yake ni balaa 🔥🔥🔥🔥🔥

1. Inaondoa mafuta mabaya (cholesterol) katika mishipa ya damu

2. Husaidia afya ya moyo na mzunguko wa damu

3. Husaidia afya ya viungo (joints) kwa kuongeza ute ute (synovial fluid ) hata gouts

4. Hukukinga na shinikizo la moyo

5. Husaidia kuongeza kumbukumbu na kwa watoto pia husaidia

6. Hushusha pressure ya kupanda

7. Inasaidia afya ya ubongo

8. Inatibu kipanda uso ( migraine headaches )

9. Husaidia afya ya macho

10. Inasaidia ufanyaji kazi wa kongosho

11. Inaondoa rashes kwenye ngozi

12. Inazuia magonjwa ya kurithi iwapo itanywewa wakati wa ujauzito

13. Inapoza maumivu ( ant inflammatory effect )

14. Ikitumiwa na chelated zinc husaidia afya Prostate Gland hivyo huzuia kansa ya kibofu cha mkojo .

Mafuta haya ya samaki ni mazuri kwa familia yote hasa watoto,wajawazito na wazee.
Ukihitaji nitafute kwa 0765037032.

Unasumbuliwa na cancer ya aina yoyote,hii Ni bidhaa bira Sana ya kusaidia kuponya kabisa na kurudia kuwa mzima tena kwa ...
04/01/2022

Unasumbuliwa na cancer ya aina yoyote,hii Ni bidhaa bira Sana ya kusaidia kuponya kabisa na kurudia kuwa mzima tena kwa kutumia virutubisho.
Wahi yako leo kwa kuweka order yako kwa 0765937032.

04/08/2021
Hello,Je unafahamu unaweza kwenda hospitali ukaambiwa huna shida yoyote lakin hupati au unachelewa kupata  ujauzito? Ni ...
22/06/2021

Hello,Je unafahamu unaweza kwenda hospitali ukaambiwa huna shida yoyote lakin hupati au unachelewa kupata ujauzito? Ni kutokana na yafuatayo:
💕Maambukizi katika via vya uzazi(Pelvic Inflammatory disease(P.I.D)
💕,UTI na fungus.
💕 Mvurugiko wa homoni(Hormone Imbalance)
💕Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
💕Uke mkavu.
💕 Mimba kuharibika.
💕Harufu mbaya ukeni.
💕Kukosa Ute wa uzazi(ovulation)
💕Kutokwa uchafu ukeni.
💕Mayai kushindwa kupevuka.
💕Uvimbe kwenye kizazi(fibroids).
💕Uvimbe kwenye Mayai(ovarian cyst).
💕Mirija Kuziba au kujaa maji.
💎Haya yote yanaweza kuwepo bila dalili ila madhara yake ni makubwa.
💎Tumekuandalia suluhisho ambalo Ni package ya uzazi maalum kabisa kwa ajili ya kurekebisha mfumo mzima wa uzazi kwa kutumia virutubisho lishe visivyo na kemikali Bali vilivyotengenezwa na Matunda na mbogamboga.
Tuwasiliane ili upate tiba kwa 🤳kupiga na watsap 0765037032.

Address

Arusha

Telephone

0765037032

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when oarth22 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to oarth22:

Share