Madam Fetty

Madam Fetty Tusadia watu wenye changamoto ya sukari. Karibu tukusadie Nimekuwa ninasaidia kina mama wenye shida ya kupata watoto na wenye matatizo ya mirija ya uzazi kuziba.

🌟 *OFA OFA YAKUMALIZA MWEZI! JE UNAHITAJI KUPIMA FULL BODY YAANI KIPIMO CHA MWILI MZIMA KWA SHILINGI ELFU 40 TU OFA HII ...
26/11/2025

🌟 *OFA OFA YAKUMALIZA MWEZI! JE UNAHITAJI KUPIMA FULL BODY YAANI KIPIMO CHA MWILI MZIMA KWA SHILINGI ELFU 40 TU OFA HII NI KUKARIBISHA DECEMBER UKIWA NA AFYA NJEMA ILI UFURAHIE MSIMU WA SIKUU, UKFIKA TAREHE 1 BEI YETU ITARUDI VILE VILE ELFU 60* 🌟
Unasumbuliwa na magonjwa haya?
🔹 Magonjwa ya Uzazi: Maambukizi ya njia ya uzazi, uvimbe kwenye kizazi (fibroids), kukosa hedhi, hedhi isiyo na mpangilio, ugumba (infertility), na mengineyo.
🔹 Saratani: Saratani ya kizazi, matiti, tezi dume (prostate), ini, ngozi n.k
🔹 Kisukari: Kisukari cha aina zote na madhara yake k**a vidonda visivyopona, ganzi miguu, na matatizo ya macho.
🔹 Shinikizo la Damu (Pressure): High/low blood pressure, kizunguzungu, kuchoka sana n.k
🔹 Magonjwa ya Ngozi: Upele, mba kichwani, chunusi, fangasi sugu, vipele vya moto, ukurutu (eczema), madoa usoni.
🔹 Magonjwa ya Tumbo: Vidonda vya tumbo, gesi, kujaa, kukosa choo au kuharisha mara kwa mara, minyoo, na maambukizi ya bakteria tumboni.
🔹 Uvimbe wa aina zote: Uvimbe tumboni, kwenye ngozi, viungo vya uzazi, tezi, kichwani n.k
🔹 Magonjwa ya Mifupa na Viungo: Maumivu ya mgongo, kiuno, magoti, arthritis, baridi yabisi, mifupa iliyochoka n.k
🔹 Magonjwa ya Mishipa na Ubongo: Ganzi mwilini, kufa ganzi miguu/mikono, degedege, kifafa, stroke, kupoteza kumbukumbu n.k
🔹 Magonjwa ya Moyo, Figo, Ini, Mapafu, na Maambukizi Sugu ya Mwili.

🧬 Tunafanya vipimo kwa kutumia teknolojia ya kisasa kutoka India na China, pamoja na matibabu ya kibunifu kupitia Tibalishe – mchanganyiko wa lishe tiba na tiba asilia unaowezesha mwili kupona kwa ufanisi bila madhara ya kemikali.

✅ *TUNA OFA YAKUMALIZA MWEZI HUU ILI KUKARIBISHA DECEMBER MSIMU WA SIKUU UKIWA NA AFYA NJEMA KABISA, OFA HII NI KWA PUNGUZO LA VIPIMO NA DAWA ZETU*

📍 Tunapatikana:
Dar es Salaam na mikoa mbalimbali Tanzania nzima 🇹🇿

📞 Wasiliana Nasi Leo:
📲 +255718772879
*WAHI OFA HII MAPEMA KABLA YA TAREHE 1 DECEMBER*

17/11/2025

*MAGONJWA YOTE AMBAO UNAYAPATA YANATOKANA NA ILI SWALA, KWAHIYO K**A UTAGUNDUA HII SIRI AUTOPATA MAGONJWA..*
.Kwakawaida mfumo wamwili unapokea sumu nyingi kutoka sehemu mbalimbali mfano vyakula, vumbi pamoja na moshi waviwandani hizi sumu zote zinaingia mwilini..
.Sumu zinapoingia mwilini tena kwa wingi figo inafanya kazi kubwa sana yakuhakikisha inapambana na sumu ili kuweka mwili sawa ila sumu zikizidi zaidi figo zinaweza kushindwa kufanya kazi yake vizuri atimae zinafeli..
.Kwa mfumo wamwili ukishathirika nasumu unapunguza utendaji kazi wake ndio apo utakuta kila dawa ambazo unatumia aupati matokeo mazuri tatizo lipo kwenye mwili wako unasumu nyingi..

DALILI ZA MWILI AMBAO UNASUMU NYINGI..

🥕Mwili kuchoka choka unafanya kazi kidogo unachoka sana..

🥕Kutokwa na jasho jingi

🥕Kuwa na kitambi, kg nyingi au unene uliopitiliza

🥕Ngozi kuwashwa muda wote..

🥕Ngozi kukosa nuru,

🥕Unakula chakula lakini aushibi au auchelewi kuwananjaa..
.Hizi nidalili zamwanzo kabisa zamtu ambaye ameathiriwa nasumu nyingi mwilini..

JE NIYAPI MADHARA YA MTU MWENYE SUMU NYINGI..
.🥕Kupungukiwa kwa nguvu za kiume..

🥕Kutokwa na kitambi,uzito mkubwa, pamoja na kg nyingi

🥕Kupatwa natatizo la bawasiri..

🥕Kupatwa natatizo la vidonda vya tumbo

🥕Figo kufeli..

🥕Kukosa choo kwa muda mrefu..

🥕Kupatwa natatizo la shinikizo la damu nakisukari..

SULUHISHO...Kwakawaida mfumo wamwili ili kuhakikisha unafanya kazi vizuri lazima usafishwe ili kurahisisha utendaji kazi wake bila kufanya hivyo utateseka sana..
.Hivi jiulize malayako yamwisho kusafisha mwili wako nilini au ndio mpaka upate matatizo😂..
.Siku yaleo nimekuandalia program special kwajili ya kusafisha mwili ili kuhakikisha mfumo wako wamwili unafanya kazi vizuri..
*madam wa tiba*
_0718772879_
*TUNAFANYA VIPIMO VYA MWILI MZIMA YAAN FULL BODY CHECAP KWA BEI YA OFA YA SHILINGI ELF40 TU UTAPATA KIPIMO CHA MWILI MZIMA, HIYO NI OFA YA UPIMAJI NA PIA UTAPATA OFA YA PUNGUZO LA BEI, WAHI OFA HII MAPEMA SANA*

UHUSIANO ULIOPO KATI YA UGONJWA WA KISUKARI NA NGUVU ZA KIUME✅Ugonjwa wa kisukari ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya tatiz...
10/03/2025

UHUSIANO ULIOPO KATI YA UGONJWA WA KISUKARI NA NGUVU ZA KIUME
✅Ugonjwa wa kisukari ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.

↔Asilimia kubwa ya wagonjwa wa kisukari wanakabiliwa na tatizo la pungufu wa nguvu za kiume.

✅UHUSIANO ULIOPO KATI YA UGONJWA WA KISUKARI NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Ukisoma vizuri kuhusu sayansi ya nguvu za kiume utagundua kuwa suala la nguvu za kiume ni suala la kimfumo

↔Mambo makuu muhimu katika mfumo wa nguvu za kiume ni :

💢Ubongo imara na wenye afya njema

💢Mishipa imara ya kusafirishia damu mwilini

💢Mfumo imara na wenye afya wa usafirishaji damu mwilini.

💢Mishipa na misuli ya uume iliyo imara na yenye afya njema

💢Pamoja na uhusiano imara na wenye afya kati ya mishipa ya fahamu iliyo katika ubongo ( nerves),mishipa ya kwenye uti wa mgongo ( spinal cords ) pamoja na mishipa & misuli ya kwenye uume.

↔Ili mwanaume aweze kuwa na nguvu imara za kiume ni lazima mfumo wa mwili wake uwe na mambo yote matano yaliyo tajwa hapo juu .
Kukosekana ama kuwa na hitilafu katika lolote kati ya mojawapo kayi mambo yaliyo tajwa hapo juu kutamfanya mwanaume huyo apungukiwe na nguvu za kiume.

↔Hitilafu ama kukosekana kwa zaidi ya jambo moja kati ya mambo yaliyo tajwa hapo juu, kutamfanya mhusika awe katika hatari ya kupungukiwa nguvu za kiume maradufu.

✅JINSI UGONJWA WA KISUKARI UNAVYO SABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Ugonjwa wa kisukari, pamoja na mambo mengine mengi, unafanya mambo yafuatayo katika mwili wa mwanadamu:

✴Unashambulia na kudhoofisha mishipa ya ubongo.

✴Unashambulia na kudhoofisha mishipa inayo safirisha damu mwilini ( Blood Vessels )

✴Unashambulia na kudhoofisha mishipa na misuli mbalimbali iliyopo katika sehemu mbalimbali za mwili wa mwanadamu ikiwemo mishipa na misuli ya kwenye uume.

✴Mishipa ya ubongo ( nerves ), mishipa ya damu ( Blood Vessels ), pamoja na misuli & mishipa ya kwenye uume, ni vitu muhimu sana katika mfumo wa nguvu za kiume

✴Kudhoofishwa kwa vitu hivi muhimu, husababisha upungufu wa nguvu za kiume

Hii ndio sababu kuu inayo wafanya wagonjwa wa kisukari kusumbuliwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume.

✅TIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA MGONJWA WA KISUKARI.

↔Ili mgonjwa wa kisukari aweze kupata tiba ya ukosefu wa nguvu za kiume, ni lazima apate pia tiba itakayo saidia ku- control sukari kwenye damu yake.

💥Hivyo basi tatua tatizo hili leo kabla halijawa tatizo kubwa zaidi, ndani ya siku 90 TU
Piga simu au fika ofisi kwetu kwa ushauri na tiba 0718772879

UGONJWA WA KISUKARI NI NINI?Ni tatizo linalosababishwa baada ya kongosho kushindwa kutengeneza INSULIN ya kutosha ndani ...
10/02/2025

UGONJWA WA KISUKARI NI NINI?
Ni tatizo linalosababishwa baada ya kongosho kushindwa kutengeneza INSULIN ya kutosha ndani ya mwili. Insulin ni homoni ambayo kazi yake kubwa ni kurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu
AINA ZA KISHUKARI
▪️KISUKARI TYPE 1
▪️KISUKARI TYPE 2
KISUKARI TYPE 1 ni aina ya kisukari ambayo mara nyingi inawapata watoto wadogo, aina hii huwa ni moja ya magonjwa ya kurithi, pia husababishwa na kuharibiwa kwa seli za kongosho hivyo kushindwa kutoa insulin ya kutosha
KISUKARI TYPE 2 ni aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ambayo huwapata watu wazima wenye umri kuanzia miaka 45 na kuendelea. Hapa inawezekana insulin ipo ila haifanyi kazi kutokana na udhaifu au uchakavu wa seli za mwili kushindwa kufunguka kirahisi hivyo mwili kushindwa kupambana na sukari
VIASHIRIA VYA UGONJWA WA KISUKARI
▪️Unene uliozidi na kiribatumbo
▪️Ulaji mbaya wa chakula
▪️Baadhi ya madawa
▪️Msongo wa mawazo
▪️Kutofanya mazoezi
▪️Magonjwa yanayoharibu kongosho
▪️Utumiaji wa pombe uliozidi na uvutaji sigara
▪️Historia ya ugonjwa wa kisukari kwenye familia
▪️Umri zaidi ya miaka arobaini
▪️Akina mama wanaojifungua watoto wenye kilo zaidi ya arobaini
DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI
▪️Kiu ya mara kwa mara
▪️Kupungua uzito licha ya kula vizuri
▪️Njaa kali na ya mara kwa mara
▪️Jasho jingi
▪️Uchovu usioeleweka hata bila kufanya kazi
▪️Kizunguzungu
▪️Macho kupungua uwezo wa kuona
▪️Kidonda kisichopona haraka
▪️Kukojoa kupitia kiasi cha kawaida na kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani
MADHARA YA KISUKARI ENDAPO UTAPUUZWA
▪️Magonjwa ya moyo
▪️Kiharusi/Kupooza
▪️Kupungua nguvu za kiume
▪️Figo kushindwa kufanya kazi
▪️Upofu

SULUHISHO KWA UGONJWA WA KISUKARI
Bidhaa zetu ni suluhisho kwa ugonjwa huu, zinaenda kuboresha seli za kongosho na kuweka usawa wa homoni ya insulin na kuondoa sumu mwilini inayotokana na matumizi ya madawa, vyakula au vinywaji.

Call/karibu ofisini kwetu kwa ushauri na tiba 0718772879

CHANZO CHA KUKONDA KWA MGONJWA WA KISUKARI✍️ Ushawahi ona Mgonjwa wa Kisukari anavyokonda?, Ushawahi sikia ushauri anaop...
10/01/2025

CHANZO CHA KUKONDA KWA MGONJWA WA KISUKARI

✍️ Ushawahi ona Mgonjwa wa Kisukari anavyokonda?, Ushawahi sikia ushauri anaopewa na watu?, Usibague chakula ndio maana unakonda.. ushauri huu unakusindikiza upoteze maisha.

🕳️ Kutokana na uchakavu wa seli za muhanga wa sukari, seli hushindwa kutumia sukari k**a awali kutoka na usugu na uchakavu uliojengeka kwenye seli Kwa miaka mingi (insulin resistance).

🕳️ Ubongo ukishabaini seli hazipokei sukari ya kutosha, hutafita njia mbadala wa kuzalisha sukari bila kujali wingi wa sukari kwenye damu. "Ubongo unahisi seli zinapungukiwa sukari kumbe uhalisia ni seli hazipokei sukari kwasababu ya itilafu (insulin resistance)"

🕳️ Mwili huwa unatafuta njia mbadala Ili kuhakikisha kuwa seli zinapata chakula na unaendelea kuwa hai.

Maamuzi ya mwili ni kuanza kutumia Vyanzo mbadala vya kuzalisha sukari.

Na sukari hii huzalishwa Kwa lengo la kwenda kuzipa sukari seli ambazo hazipokei sukari.

Matokeo yake in linatema sukari na matokeo yake hiyo sukari haitatumika kwasababu seli zimechakaa na seli zina usugu kitaalamu "INSULIN RESISTANCE".

🕳️Ndio maana Mgonjwa wa Kisukari ukifunha hata masaa 24, ukija kupima sukari Yako unaweza Kuta ipo high yaani juu zaidi ya 20mmol/L Wakati upo kwenye mfungo na hujala chochote. Sukari inatokea wapi?? Inatokea kwenye ini Ndio maana nasema hapa kushinda njaa si kumaliza changamoto ya Kisukari

🕳️ Kadri asilimia za seli ambazo hazitumii sukari( insulin resistance cells) zinavyoongezeka ndivyo usugu wa Kisukari unavyoshamiri ndivyo na ini huzidi kutema sukari iliyohifadhiwa k**a mafuta.

✍️ Baada ya seli za mwili kufanya mgomo wa kutumia sukari mwili hukimbilia kuchoma mafuta ya ndani yaliyohifadhiwa.

Kisayansi mafuta ni nishati mbadala ya pili, pale ambapo sukari imeisha au haitumiki na mwili.

Kwahiyo utachoma mafuta yote na baada ya mafuta kuisha, mwili hukimbilia nishati mbadala ya tatu inaitwa PROTEIN ambapo sasa mwili utaanza kuchoma protein ya viungo vya mwili na utaanza kukonda kwasababu mwili unajitafuna.

📌Kasi ya kuchoma mafuta ya ndani, pale Ini linapokunusuru usife Kwa kukosa nishati ya mwili Inaweza kuwa kubwa sana Kwa Mgonjwa endapo yupo kwenye hatua

Kwa msaada zaidi piga/ njoo moja kwa moja ofs kwetu
0718772879
Madam wa tiba

Kisukari (diabetes) kinaweza kuathiri mfumo wa uzazi kwa mwanaume kwa njia kadhaa, hasa kwa sababu ya athari zake kwenye...
25/12/2024

Kisukari (diabetes) kinaweza kuathiri mfumo wa uzazi kwa mwanaume kwa njia kadhaa, hasa kwa sababu ya athari zake kwenye mishipa ya damu, neva, na homoni. Hizi ndizo njia kuu ambazo kisukari huathiri mfumo wa uzazi wa mwanaume:

1. Kudhoofisha uwezo wa nguvu za kiume (Erectile Dysfunction)

Kisukari husababisha neurophathy (uharibifu wa neva) na uharibifu wa mishipa ya damu. Hii hupunguza mtiririko wa damu kwenye uume, na kufanya iwe vigumu kupata au kudumisha nguvu za kiume.

2. Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa

Kiwango cha juu cha sukari mwilini kinaweza kuathiri uzalishaji wa homoni za kiume, hasa testosterone. Upungufu wa testosterone unaweza kusababisha kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa.

3. Matatizo ya mbegu za kiume

Kisukari kinaweza kuathiri:

Ubora wa mbegu: Mbegu za kiume za wanaume wenye kisukari mara nyingi zina uharibifu wa DNA, hali inayoweza kupunguza uwezo wa kushika mimba.

Kasi ya mbegu: Mbegu zinaweza kuwa na kasi ndogo au kutokuwa na nguvu za kusafiri kwa urahisi.

4. Kuchanganyikiwa kwa utoaji wa mbegu (Retrograde Ej*******on)

Kisukari kinaweza kuharibu neva zinazohusika na utoaji wa mbegu, na kusababisha mbegu kuingia kwenye kibofu cha mkojo badala ya kutoka kupitia uume. Hii huitwa retrograde ej*******on na inaweza kuathiri uwezo wa mwanaume kupata watoto.

5. Msongo wa mawazo na matatizo ya kisaikolojia

Kisukari kinaweza kusababisha msongo wa mawazo, unaochangia matatizo ya uzazi, ikiwa ni pamoja na kukosa hamu ya tendo la ndoa au matatizo ya kisaikolojia yanayoathiri nguvu za kiume.

Jinsi ya Kupunguza Athari

Dhibiti sukari mwilini kwa kutumia product zetu na mlo unaofaa.

Fanya mazoezi mara kwa mara ili kuboresha mtiririko wa damu na kupunguza hatari ya matatizo ya mishipa.

Pata msaada wa kitabibu ikiwa kuna matatizo ya nguvu za kiume au uzazi. Madaktari wanaweza kupendekeza matibabu k**a dawa, ushauri wa lishe, au teknolojia za uzazi.

Ikiwa una dalili yoyote kati ya hizi, ni muhimu kuzungumza na daktari ili kupata ushauri na tiba zinazofaa.
USHAURI /TIBA PIGA _0718772879 AU KARIBU OFSINI KWETU KWA MSAADA ZAIDI

*UJUE UGONJWA WA KISUKARI (DIABETES).*______________________Utangulizi_📕✍🏿Ugonjwa wa kisukari ni ugonjwa unaosumbua watu...
19/12/2024

*UJUE UGONJWA WA KISUKARI (DIABETES).*
_____________________

_Utangulizi_📕✍🏿

Ugonjwa wa kisukari ni ugonjwa unaosumbua watu wengi katika jamii.

Ugonjwa huu hutokea wakati sukari katika damu inapokuwa nyingi kupita kiwango cha kawaida kwa muda mrefu.

Sukari hutumiwa na mwili ili kupata nishati lishe.Kwa kawaida ili mwili uweze kutumia sukari inayotokana na vyakula unahitaji kichocheo cha insulini. Insulini husaidia sukari kuingia kwenye chembechembe hai ili kutengeneza nishati lishe.

Ugonjwa wa kisukari unasababishwa na kichocheo hiki kupungua au kutofanya kazi K**a inavyotakiwa.

Hivyo kiwango cha sukari kinabaki kikubwa kwenye damu kwa sababu sukari haikuwezeshwa kuingia kwenye chembechembe hai za mwili. *Kuna aina tatu za sukari:*

•🥦 Moja ni wakati kongosho imeshindwa kutengeneza insulini kiwango kizuri cha kudhibiti sukari mwilini

• 🥦Aina ya pili ni wakati mwili unakataa kudhibiti sukari hata insulini ikitengenezwa na kongosho.

• 🥦Aina ya tatu ya kisukari Ni Ile ambayo huathiri wanawake wajawazito ambao hupata kwamba kiwango cha sukari miilini mwao kimekwenda juu hata k**a hawana historia ya aina hii. *DALILI ZA KISUKARI.*

-Baadhi ya dalili za kisukari ni :-
*🥒Kiu ya maji isiyoisha.
*🥒Njaa kali.
*🥒Kupoteza uzito bila sababu.
*🥒Kwenda haja ndogo mara kwa mara.
*🥒Vidonda au michubuko, kuchukua muda kupona.
*🥒Ngozi kuwa kavu na kuwasha.
*🥒Kuchoka kusiko kwa kawaida.
*🥒Hisia kupungua katika vidole na viganja vya mikono na miguu(ganzi).
*🥒Kukosa hamu ya tendo la ndoa. *MADHARA YA KISUKARI*

-Watu wenye kisukari wapo katika hatari zaidi ya kupata magonjwa yafuatayo:-

*🌱Magonjwa ya moyo.
*🌱Kiharusi
*🌱Kuharibika kwa kibofu cha mkojo.
*🌱Upofu.
*🌱Kufa kwa mishipa ya fahamu.
*🌱Shinikizo la juu la damu.
Piga simu=0718772879 au karibu ofisi kwetu

Madhara ya KisukariKisukari huweza kusababisha madhara yafuatayo kwa muhusika iwapo hakitatibiwa inavyopaswa.Kuziba kwa ...
20/11/2024

Madhara ya Kisukari

Kisukari huweza kusababisha madhara yafuatayo kwa muhusika iwapo hakitatibiwa inavyopaswa.

Kuziba kwa mishipa mikubwa ya damu kutokana na kuzungukwa na mafuta (Atherosclerosis)

Mgonjwa kushindwa kuona vizuri au kushindwa kuona kabisa na kuwa kipofu (diabetic retinopathy)

Kushindwa kufanya kazi vizuri kwa figo

Mgonjwa kuhisi ganzi na kupoteza kuhisi mikononi na miguu kwa sababu ya kuharibika kwa neva (diabetic neuropathy)

Kupungua kwa nguvu za kiume.

Vidonda (diabetic ulcers) hususani vidoleni. Hali hii wakati mwingine hupelekea mgonjwa kukatwa viungo vyake.

Mgonjwa kuwa hatarini kupata maambukizi ya vimelea mbalimbali hasa bakteria kutokana na kuharibiwa na kushindwa kufanyakazi vizuri kwa chembe nyeupe za damu (White Blood Cells)
USHAURI NA TIBA

SIRI 5 ZITAKAZO  KUSAIDIA KUSHUSHA KIWANGO KIKUBWA CHA SUKARI KWENYE DAMU.1. Kufanya mazoezi mara kwa maraSio habari mpy...
18/11/2024

SIRI 5 ZITAKAZO KUSAIDIA KUSHUSHA KIWANGO KIKUBWA CHA SUKARI KWENYE DAMU.

1. Kufanya mazoezi mara kwa mara

Sio habari mpya tena kuwa mazoezi ni afya. Lakini kufanya mazoezi mara kwa mara kuna faida sana kwenye kupunguza kiwango cha sukari kwenye damu. Mazoezi husaidia kupunguza uzito na kuongeza Insulin Sensitivity. Ukishafanya mazoezi Insulin Sensitivity huongezeka na hivyo kufanya mwili kutumia glukosi iliyozidi kwenye damu.

Aina ya mazoezi unayoweza kufanya ni k**a vile kutembea, kukimbia, kuendesha baiskeli, kucheza, kunyanyua vitu vizito(hapa unahitaji usimamizi), kuogelea, kupanda vilima, kuruka kamba, kucheza mpira, n.k..

2.Dhibiti ulaji wa vyakula vya wanga

Unapokula wanga, baada ya mmeng'enyo wa chakula huzalisha sukari (glukosi) ambayo huchukuliwa na kuingia kwenye damu. Glukosi hii kuchukuliwa kwenda kwenye seli(hii inategemea na uwepo wa insulini na pia kupokelewa kwa insulin na seli za mwili)

Unapokula wanga nyingi sana na hapo hapo una tatizo la insulin, kiwango chako cha glukosi kwenye damu kitapanda.

Hivyo ili kudhibiti sukari nyingi ni muhimu sana kudhibiti ulaji wa vyakula vya wanga kupita kiasi.

3. Kunywa maji ya kutosha

Kunywa maji ya kutosha kunasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu. Maji yatasaidia mwili usipungukiwe na vimiminika, lakini pia maji husaidia figo kuchuja sukari inayozidi na kuitoa kwa njia ya mkojo.

Unapokunywa maji ya kutosha kila siku unarahisisha msawaziko na uchujaji kwenye damu, hali ambayo itasaidia sana kushusha glukosi inayozidi mwilini.

4.Punguza uzito

Mfano ukipunguza uzito wako kwa asilimia saba(7%) tu, una uwezo wa kuondoa uwezekano wa kupata kisukari kwa takribani asilimia 58(58%).

Yaani k**a una uzito kilo 90 na ukapunguza mpaka kilo 83.7 unaweza kuondoa uwezekano wa kupata kisukari kwa asilimia 58.(Piga hesabu ya kilo zako za sasa, kisha weka lengo la kupunguza)

Kumbuka uzito mkubwa huongeza tatizo la INSULIN RESISTANCE.

5.Dhibiti msongo wa mawazo

Fahamu, msongo wa mawazo huathiri kiwango cha sukari kwenye damu. Kuna homoni k**a vile Glucagon na Cortisol huzalishwa zaidi pindi unapokuwa na msongo wa mawazo. Homoni hizi huchochea ongezeko la kiwango cha sukari kwenye damu.

Kufanya mazoezi, kupumzika, kufanya meditation kumethibitika kusaidia tatizo la msongo wa mawazo. Fanya hayo pia ili kupunguza stress.
**A UNASUMBULIWA NA SUKARI HADI LEO NA BADO UJUI SULUWISHO LAKE NJOO INBOX HARAKA AU COMMENT HAPO CHINI USEME NATAKA TIBA! AU UNAWEZA KUPIGA SIMU OFSINI AU KUPIGA SIMU
0718772879

*UJUE UGONJWA WA KISUKARI (DIABETES).*______________________Utangulizi_📕✍🏿Ugonjwa wa kisukari ni ugonjwa unaosumbua watu...
11/11/2024

*UJUE UGONJWA WA KISUKARI (DIABETES).*
_____________________

_Utangulizi_📕✍🏿

Ugonjwa wa kisukari ni ugonjwa unaosumbua watu wengi katika jamii.

Ugonjwa huu hutokea wakati sukari katika damu inapokuwa nyingi kupita kiwango cha kawaida kwa muda mrefu.

Sukari hutumiwa na mwili ili kupata nishati lishe.Kwa kawaida ili mwili uweze kutumia sukari inayotokana na vyakula unahitaji kichocheo cha insulini. Insulini husaidia sukari kuingia kwenye chembechembe hai ili kutengeneza nishati lishe.

Ugonjwa wa kisukari unasababishwa na kichocheo hiki kupungua au kutofanya kazi K**a inavyotakiwa.

Hivyo kiwango cha sukari kinabaki kikubwa kwenye damu kwa sababu sukari haikuwezeshwa kuingia kwenye chembechembe hai za mwili. *Kuna aina tatu za sukari:*

•🥦 Moja ni wakati kongosho imeshindwa kutengeneza insulini kiwango kizuri cha kudhibiti sukari mwilini

• 🥦Aina ya pili ni wakati mwili unakataa kudhibiti sukari hata insulini ikitengenezwa na kongosho.

• 🥦Aina ya tatu ya kisukari Ni Ile ambayo huathiri wanawake wajawazito ambao hupata kwamba kiwango cha sukari miilini mwao kimekwenda juu hata k**a hawana historia ya aina hii. *DALILI ZA KISUKARI.*

-Baadhi ya dalili za kisukari ni :-
*🥒Kiu ya maji isiyoisha.
*🥒Njaa kali.
*🥒Kupoteza uzito bila sababu.
*🥒Kwenda haja ndogo mara kwa mara.
*🥒Vidonda au michubuko, kuchukua muda kupona.
*🥒Ngozi kuwa kavu na kuwasha.
*🥒Kuchoka kusiko kwa kawaida.
*🥒Hisia kupungua katika vidole na viganja vya mikono na miguu(ganzi).
*🥒Kukosa hamu ya tendo la ndoa. *MADHARA YA KISUKARI*

-Watu wenye kisukari wapo katika hatari zaidi ya kupata magonjwa yafuatayo:-

*🌱Magonjwa ya moyo.
*🌱Kiharusi
*🌱Kuharibika kwa kibofu cha mkojo.
*🌱Upofu.
*🌱Kufa kwa mishipa ya fahamu.
*🌱Shinikizo la juu la damu.
➡️Maradhi ya figo
➡️Vidonda kutopona upesi na hatari ya kukatwa mguu
➡️Kufa ganzi na kupoteza hisia za mikono na miguu
➡️Kukosa hamu ya tendo la ndoa
*UNAWEZA KUPIGA SIMU OFISINI MOJA KWA MOJA NA UKAONGEA NA MIMI. KARIBUNI KWA USHAURI NA TIBA ZA UWAKIKA
*MADAM WA TIBA*
0718772879

Address

Kariakoo Dar-es-salaam
Dar-Es-Salaam

Telephone

+255718772879

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Madam Fetty posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category