Fursa100

Fursa100 UNA NDOTO NA HITAJI LINALOKUSUKUMA KUFANYA KAZI? PIGA/WhatsApp +255743502222

NAITWA JUMANNE
NAFUNDISHA WATU KUJENGA BIASHARA KUBWA KWA MTAJI MDOGO NZURI ZAIDI NI BIASHARA YENYE MFUMO WA KIPATO ENDELEVU NA HAITAJI USIMAMIZI MKUBWA.UNGEPENDA KUJUA ZAIDI?

اللهم إني أسألك أن تشهد أنك الله ما من أحد يستحق أن يعبد إلا أنت وحدك الذي قدر له ولم يلد ولم يولد ولا مثله. له.
26/02/2026

اللهم إني أسألك أن تشهد أنك الله ما من أحد يستحق أن يعبد إلا أنت وحدك الذي قدر له ولم يلد ولم يولد ولا مثله. له.

Jisaidie usaidiwe onyesha juhudi Utaulizwa una nini mkononi sema biashara njo nikufundishe  #0743502222
26/02/2026

Jisaidie usaidiwe onyesha juhudi Utaulizwa una nini mkononi sema biashara njo nikufundishe #0743502222

Ramadhani Kareem 🕋
26/02/2026

Ramadhani Kareem 🕋

26/02/2026

Hapa mwajiriwa ukitaka kujua boss anaingiza shi ngapi uko karibu sana na kufukuzwa kazi njo Sasa nikufundishe kuongeza kipato chako

Anaandika
Ajira sio mbaya Lakini nikuulize tu umeshawai ona mwajiriwa Tajiri? Mshahara wako ushapangwa kwa mantic hio Huna uhuru na muda,kipato na hata maendeleo mshahara wako kima Cha chini ni 500k tukakuona unaendesha Range Rover sport hata ya 150m kesi inakuhusu umetoa wapi pesa Wewe ni mhaini au mujumu uchumi 😂

Wazazi wetu wamekuwa tehemezi kwa watoto Kwasababu KAZI walokuwa wanafanya waliishia kupata pesa ya kula tu na kulipa bills ndogo ndogo utakubaliana na Mimi Wewe K**a mwajiriwa unaishi kwa madeni si ndio kubali maana umesoma kwa mkopo,unaanza KAZI unaanza kulipa mkopo,unajenga kwa mkopo,unanunua gari kwa mkopo ,unasomesha watoto kwa mkopo,mshahara hautoshi unazeeka unaanza kula pensheni yako ambayo ni ndogo Kuliko mshahara wasaatu Wengi wanatangaulia mbele za haki si Kwasababu ya magonjwa ni stress tu so K**a mwajiriwa unasoma hi post nitafute Leo nikufundishe biashara yenye system ya kipato ENDELEVU itakulipa ukiwa kazini na hata ukiwa mstaafu kipato kitaingia
NITUMIE SMS NAHITAJI FURSA KWENDA WHTSAP NO #074302222

Kiufupi utafika mbiguni umechoka
26/02/2026

Kiufupi utafika mbiguni umechoka

24/02/2026

Kuna muda unaweza ukawa unapitia Changamoto kiasi Cha kumkufuru Mungu na kujiuliza Kwanini ameruhusu hayo yote yakee kwako Nikwambie tu Mungu Anaweza kukupitisha kwenye karaha kabla ya kukupa Furaha

Mpenzi msomaji wa hi post sjajua unapitia Changamoto gani,sijajua uko kwenye situation gani lakni nataka nikuulize kitu Unaweza kuvaa viatu vya huyu mfugaji mwenye Hizi kuku?

Kila biashara Ina faida na hasara Lakini biashara ninayokufundisha hapa Haina hasara kabisa kabisa iwe mvua iwe jua, vyuma viwe vimekaza au vimelegea kuwa lock down ya nchi kusiwepo biashara hi ninayokfundisha hapa itakuwa juu Kwasababu haitaji gharama kubwa za uendeshaji ukilinganisha na biashara zingine na unaweza kuifanya popote ulipo

NIKUALIKE SASA KUJA KUSIKILIZA MAFUNZO YA BIASHARA KUPITIA PROGRAM ZANGU ZA ONLINE NITUMIA SMS NAHITAJI FURSA KWENDA WHASAP NO #0743502222

17/02/2026

Ukweli mchungu Kipato chako cha sasa hakitoshi kutengeneza maisha ya ndoto zako. Njoo nikufundishe jinsi ya kubadili hilo na hi ni kwa kila mtu
“K**a mshahara wako ungeongezeka mara 2 mwaka huu, maisha yako yangebabadilika vipi? Njoo nikufundishe jinsi ya kuongeza kipato chako.” NITUMIE SMS NAHITAJI FURSA KWENDA WHASAP NO 0743502222

17/02/2026

SISI NI MEN OF VISION CLUB
Tumedhamiria kubadilisha maisha Ya wanaume wengi Tanzania Kiuchumi, Kiafya na Kimtazamo kupitia Fursa hii

🗞️Tunamkakati wa Kuwafanya wanaume wengi wawe Wawekezaji wakubwa wenye Uchumi Imara katika Taasisi mbalimbali za kifenda ili kujenga Stable economy na kutimiza Ndoto zao.

🗞️Tunaenda kuwasaidia wanaume wenye Uchumi Mdogo wawe na Kipato endelevu Cha kila siku na Kuwapa Elimu ya Fedha na Uwekezaji na Wenye uchumi wa kati kuwa wawekezaji wakubwa zaidi kwenye biashara yenye system


K**A WEWE MWANAUME KARIBU UJIFUNZE BIASHARA YENYE SYSTEM YA KIPATO ENDELEVU whtsap #0743502222

17/02/2026
Suzan ni Mkurugenzi katika tasisi mbalimbali ambazo anaziendesha lakni kwa muda wake wa ziada anafanya hi biashara na li...
15/02/2026

Suzan ni Mkurugenzi katika tasisi mbalimbali ambazo anaziendesha lakni kwa muda wake wa ziada anafanya hi biashara na linapo kuja swala la lifestyle yupo

Pambana mtu wangu wangu
15/02/2026

Pambana mtu wangu wangu

Address

Sinza Madukani
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Fursa100 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Fursa100:

Share