26/02/2026
🔥 MWANAMKE MWANAMKE MWANAMKE🔥
Tarehe 8 march ni siku muhimu sana kwako mwanamke kwani itakuwa ni siku ya kuzaliwa upya kiuchumi,kifikra, kimtazamo kijamii na kimaendeleo
"Je, unafahamu kwa Nini 8March iliitwa siku ya wanawake Duniani
Hii ni kwa sababu
👉Hakuna familia Bora Bila mwanamke imara
👉Hakuna mume Bora bila mwanamke imara
👉Hakuna uchumi imara katika familia bila mwanamke imara
👉 Hakuna jamii Bora bila mwanamke imara
👉 Hakuna malezi mema kwa watoto bila mwanamke imara
"Je, unafahamu kuwa huwezi kuwa mwanamke imara k**a unaishi na ndoto kubwa ambazo hujui namna ya kuzitiminza,pia kuishi katika mfumo wa subiri kwanza,Sina hela mwanamke mwenzangu amka sasa twende tukajenge zile ndoto ambazo tunaziishi katika mawazo tu na sio kiuhalisia,
📌Sasa siku ya 8 march tunakualika awe mwanamke mpambambaji mwenye ndoto za kujitegemea kiuchumi,kujiimarisha kifikra na kimtazamo na kuwa mwanamke mwenye kujiamini na kuwa mama Bora na mke Bora uje kupata
💥Mbinu Bora za kujiongezea kipato kwa muda wako ziada mahali popote ulipo
💥Njia Bora za kuanzisha biashara kwa mtaji mdogo na kuisimamia biashara
💥Namna Bora ya kutumia Mtandao ya kijamii Kujiingizia kipato
💥Njia Bora za kuimarisha afya yako na familia kiujumla
💥Kupata mtindo mpya wa maisha wewe na familia
💥Njia za Kumiliki uchumi wako binafsa bila kusubiria kutoka kwa mwingine
💥 Kumiliki uchumi bila madeni
💥 Kuishi MAISHA ya ndoto zako k**a mwanamke na mama jasiri
🎉WAHUSIKA
Wanaalikwa wanawake wote wenye ndoto kubwa, haijalishi umeshindwa mara ngapi haijalishi umeanguka mara ngapi haijalishi huna hata pa kushiika pambania ndoto zako tupo kukushika mkono na kukuongoza njia awe
👉 Muajiriwa mshahara haujawahi kutosha hata siku Moja
👉 Mwanachuo muhitimu hajira changamoto/mwanachuo anze kujiongezea kipato endelevu kwa muda wake wa ziada
👉Mama wa nyumbani umechoka kuishi MAISHA ya subiri kwanza,Sina hela naomba nisaidie wakati ni wako sasa
👉Binti andaa kesho yako uje kuwa mama Bora mwenye ujasiri na uwezo wa kutunza familia
👉 Mfanyabiashara mkubwa au mdogo yaani mjasiriamali biashara zimekwama madeni makubwa yanakukabiri,hakuna kulala wala kumpunzika,mtaji unaisha kila wakati usisubiri sasa
👉 Wastaafu, changamoto nyingi za kiafya hukusumbua kutokana na umri, uchumi sasa ni wakati wako wa kupata elimu Bora ya kuitinza afya yako wote mpaka siku hiyo ya tarehe 8March
Mahali TR8-NGOME HOUSE SINZA AFRICASSANA
Muda Saa 6:30 mchana hadi saa 10:30 jioni
Siku ya jumapili tarehe 8 march
Mahitaji
Note book 📚 na 🖊️
Wasiliana NAMI 0621908781
📌Wahi mapema nafasi ni Chache pata ticket 🎫 🎫 🎫 yako mapema kabla siku hiyo ili usikose siti