09/11/2019
NAMNA YA KUTENGENEZA UNGA WA LISHE (ULEZI)
Mahitaji
1. Mahindi
2. Ulezi kiasi
3.Mchele kiasi
4.Soya beans kiasi kidogo sana
5. Mbegu za maboga au Karanga zilizojengwa
Hatua za kuandaa
1. Chambua mahindi kwa kuondoa mahindi yote mabovu, mawe na uchafu mwingine kisha yaoshe na uanike, fanya hivyo kwa ulezi na mchele pia
2. Anika juani hakikisha kila kimoja kimeanikwa kivyake yaani (separetly)
3.Kaanga Soya beans hakikisha haziungui.
4.Kaanga karanga au mbegu za maboga hakikisha haziungui lakini unashauriwq kutumia mbegu za maboga kwa sababu haziharibu unga mapema k**a karanga. K**a unaenda karanga unaweza kuongezea wakati wa kupika uji wako
5. Sasa changanya mahindi, mchele, ulezi, mbegu za maboga na soya: Changanya vizuri kisha nenda kasage na unga wako utakuwa tayari.
Product #
Phone # 0763103510