11/02/2022
Kabla hujakata tamaa, nakuongezea mambo muhimu ya kuzingatia ili kuhakikisha mirija ya uzazi iko safi muda wote.
Kwa kukumbusha ni kwamba mirija ya uzazi husaidia yai kusafiri kutoka kwenye ovari mpaka kwenye fuko la uzazi, hivyo mirija ya uzazi ikiziba yai la mwanamke huwa vigumu kusafiri kutoka kwenye ovari mpaka kwenye mji wa uzazi mimba inapotungwa...
Mirija inaweza kuziba iwapo k**a itashambuliwa na fangasi au bakteria na kupelekea kuziba kwa kujaa maji au kuvimba, au iwapo k**a kuna uvimbe wa fibroid kwenye mji wa uzazi.....
Pia k**a umewahi kuharibu mimba na kusafishwa kwa vyuma inaweza kupelekea vidonda au makovu ndani ya mirija ambayo huweza kusababisha mirija kuziba kwa sababu ya kuwepo kwa makovu
Wakati ukiendelea kutafuta dawa bora ya kukusaidia, jitahidi kuweka mazingatio ambayo yatakusaidia kukupa matokeo haraka kukuepusha na oparesheni
1. kwa sababu mirija inaweza kuziba kutokana na matatizo ya bakteria/fangasi, jitahidi kutibu magonjwa ya kaswende, U.T.I. sugu na matatizo ya P.I.D kwa kuzingatia usafi na matumizi ya vyakula vya kukusaidia kusafisha kizazi k**a tangawizi, tufaha (apple), kitunguu saumu, binzari ya manjano, maziwa mtindi, karafuu n.k
Weka mbali vyakula ambavyo si rafiki kwa afya yako k**a vyakula vya kukobolewa, soda, vyakula vya makopo na vile vya kutiwa mafuta mengi (natumaini unakumbuka)
2. Kwa sababu mirija inaweza kuziba kwa sababu ya uvimbe na makovu ni muhimu sana kupendelea kutumia vyakula vyenye kuondoa vivimbe ndani ya mwili na kubalansi homoni, vyakula hivi ni pamoja na Limao, Mdalasini, Machungwa, Mboga za Majani, Pilipili hoho, Kotimiri, Iliki n.k
3. Punguza stress, jitahidi kujiwekea mazingira ambayo yatakusaidia kuwa na furaha, msongo wa mawazo ni chanzo cha homoni kuvurugika, na mvurugiko wa homoni ni chanzo cha vivimbe kuongezeka ukubwa, usipothibiti stress unaweza kujikuta unazidi kuongeza tatizo badala ya kumaliza tatizo
4. Pendelea kufanya masaji ya maeneo ya nyonga na chini tumbo kwa kutumia mafuta ya mnyonyo...
5. Punguza uzito, hakikisha una uzito unaoendana na kimo chako
6. Fanya mazoezi ya Yoga... K**a ni mpenzi wa Mazoezi ya Kunyoosha Mwili wako basi fanya mazoezi ya yoga muda wowote utaoamua kufanya... Unaweza kuingia youtube kujifunza, zipo aina mbalimbali za kufanya yoga.... Unaweza kupitia intro kidogo ya video niliyoweka youtube
Bofya https://youtu.be/jd4W0DUKn5I
K**a una changamoto za uzazi k**a uvimbe, mirija kuziba, P.I.D, Hedhi Haieleweki na Unatamani Kuzitibu Changamoto hizi kwa pamoja nakushauri kuchukua huku ukiendelea kuzingatia kanuni zako bora za uzazi.
Wasiliana nami kwa simu au kwa kutuma ujumbe inbox 0678634046