Nyumba ZA Kisasa

Nyumba ZA Kisasa -Tunachora ramani za nyumba kulingana na mahitaji yako na kwa gharama nafuu.
-Tunajenga nyumba aina

DSN 40: Ramani ya nyumba ya kisasa ina yenye ukubwa urefu mita 14 na upana mita 13.6JUUIna vyumba vitatu, kimoja master(...
27/05/2020

DSN 40: Ramani ya nyumba ya kisasa ina yenye ukubwa urefu mita 14 na upana mita 13.6
JUU
Ina vyumba vitatu, kimoja master(ndani yamaster kuna room ndogo na Dressing room) na vyumba viwili bedroom zakawaida na public toilet.
CHINI
Ina vyumba viwili self room na bedroom, sitting room, dinning, kitchen, store, laundry na public toilet.
Gharama ya ramani hii ni Tsh 1,700,000/= hii inajumuisha mchoro wenyewe(Architectural), Structural drawings na zote zinagongwa mihuri
Ukihihitaji wasiliana nasi kwa Kupiga/whatsup 0714020564 au Piga 0788684623

DSN 39: Ramani ya nyumba ya kisasa ya ghorofa moja yenye kuenea kwenye kiwanja chenye urefu wa mita 12.5 na upana mita 1...
03/06/2018

DSN 39: Ramani ya nyumba ya kisasa ya ghorofa moja yenye kuenea kwenye kiwanja chenye urefu wa mita 12.5 na upana mita 12.2
GROUND FLOOR (CHINI)
Ina vyumba viwili, sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet
FIRST FLOOR (JUU)
Ina vyumba viwili, kimoja ni master room na kingine ni self contained
Gharama ya ramani hii ni Tsh 2,000,000/=
Gharama hiyo inahusisha ramani yenyewe, design sheets na zote zinagongwa muhuri
Ukihitaji wasiliana nasi kwa kupiga/whatsup 0714020564 au Piga 0788684623:

DSN 38: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kwenye kiwanja chenye urefu wa mita 17.3 na upana mita 15.4Ina vyumba vi...
03/06/2018

DSN 38: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kwenye kiwanja chenye urefu wa mita 17.3 na upana mita 15.4
Ina vyumba vinne, master room(ndani ya master kuna dressing room), study room na bedroom mbili za kawaida
Ina sitting room, dinning, kitchen, store na public toilet
Gharama ya ramani hii ni Tsh 500,000/=
Ukihitaji wasiliana nasi kwa kupiga/whatsup 0714020564 au Piga 0788684623

DSN 37: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kwenye kiwanja chenye urefu wa mita 15 na upana wa mita 12Ina vyumba vit...
03/06/2018

DSN 37: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kwenye kiwanja chenye urefu wa mita 15 na upana wa mita 12
Ina vyumba vitatu, kimoja ni master room(ndani ya master kuna dressing room), vyumba viwili bedroom za kawaida, sitting room, dinning, kitchen, store na public toilet
Gharama ya ramani hii ni Tsh 400,000/=
Ukihitaji wasiliana nasi kwa kupiga/whatsup 0714020564 au Piga 0788684623

DSN 36: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kwenye kiwanja chenye urefu wa mita 12.5 na upana mita 12Ina vyumba vita...
03/06/2018

DSN 36: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kwenye kiwanja chenye urefu wa mita 12.5 na upana mita 12
Ina vyumba vitatu, kimoja ni master room naviwili ni bedroom za kawaida pia ndani ya master kuna dressing room
Ina sitting room, dinning, kitchen, store na public toilet
Gharama ya ramani hii ni Tsh 350,000/=
Ukihitaji ramani hii wasiliana nasi kwa kupiga/whatsup 0714020564 au Piga 0788684623

DSN 35: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kwenye kiwanja chenye urefu wa mita 12 na upana wa mita 11.4Ina jumla ya...
03/06/2018

DSN 35: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kwenye kiwanja chenye urefu wa mita 12 na upana wa mita 11.4
Ina jumla ya vyumba vitatu
Master room(ndani yamaster kuna dressing room mdogo), vyumba viwili vyakulala, sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet
Gharama ya ramani hii ni Tsh 400,000/=
Ukihitaji wasiliana nasi kwa kupiga/whatsup 0714020564 au Piga 0788684623

DSN 34: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kiwanja chenye urefu wa mita 13.9 na upana mita 10.6 Ina vyumba vitatu, ...
02/06/2018

DSN 34: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kiwanja chenye urefu wa mita 13.9 na upana mita 10.6
Ina vyumba vitatu, kimoja ni master na viwili ni bedroom za kawaida, sebule, dinning, jiko na public toilet
Gharama ya ramani hii ni Tsh 350,000/=
Ukihitaji wasiliana nasi kwa kupiga/whatsup 0714020564 au Piga 0788684623

DSN 33: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kiwanja chenye urefu wa mita 25 na upana mita 23 Ina vyumba vitano Maste...
02/06/2018

DSN 33: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kuenea kiwanja chenye urefu wa mita 25 na upana mita 23 Ina vyumba vitano
Master room (ndani ya master kuna dressing room), Vyumba viwili self na viwili bedroom za kawaida, sebule, dinning, sehemu yakuhifadhi vinywaji, jiko, stoo na public toilet
Gharama ya ramani hii ni Tsh 550,000/=
Ukihitaji wasiliana nasi kwa kupiga/whatsup 0714020564 au piga 0788684623

DSN 32: Ramani ya nyumba za kisasa yenye kutosha kiwanja chenye urefu wa mita 13 na upana mita 12.5Ina vyumba vitatu, ki...
11/09/2017

DSN 32: Ramani ya nyumba za kisasa yenye kutosha kiwanja chenye urefu wa mita 13 na upana mita 12.5
Ina vyumba vitatu, kimoja ni master na viwili ni vya kawaida, Sebule, sehemu ya kulia chakula, jiko, stoo na choo cha public
Gharama ya ramani hii ni Tsh 350,000/=
Ukihitaji wasiliana nasi kwa kupiga/whatsup 0714020564 au piga 0788684623

DSN 31: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kutosha kiwanja chenye urefu wa mita 16.4 na upana wa mita 15.7Ina vyumba vinne...
11/09/2017

DSN 31: Ramani ya nyumba ya kisasa yenye kutosha kiwanja chenye urefu wa mita 16.4 na upana wa mita 15.7
Ina vyumba vinne, kimoja ni master(ndani ya master kuna dressing room), study room na vyumba viwili vya kulala, sebule, sehemu ya kulia chakula, jiko, stoo na choo cha public
Gharama ya ramani hii ni Tsh 500,000/=
Ukihitaji wasiliana nasi kwa kupiga/whatsup 0714020564 au piga 0788684623

DSN: Ramani ya office ya kisasa yenye kutosha kiwanja chenye urefu wa mita 11 na upana wa mita 7Ina vyumba viwili, sehem...
11/09/2017

DSN: Ramani ya office ya kisasa yenye kutosha kiwanja chenye urefu wa mita 11 na upana wa mita 7
Ina vyumba viwili, sehemu ya kupokea wageni, stoo na choo
Gharama ya ramani hii ni Tsh 300,000/=
Ukihitaji wasiliana nasi kwa kupiga/whatsup 0714020564 au piga 0788684623

DSN 29: Ramani ya nyumba ya kisasa ya Ghorofa moja yenye kutosha kiwanja chenye urefu wa mita 12 na upana mita 10GROUND ...
11/09/2017

DSN 29: Ramani ya nyumba ya kisasa ya Ghorofa moja yenye kutosha kiwanja chenye urefu wa mita 12 na upana mita 10
GROUND FLOOR
Ina vyumba viwili, Sebule, sehemu ya kula chakula, jiko na choo cha public
FIRST FLOOR
Ina chumba kimoja cha master kikubwa na ndani yake kuna dressing room
Gharama ya ramani hii ni Tsh 1,700,000/= Hii inajumuisha kila kitu ramani yenyewe, structural engineering details na muhuri
Ukihitaji wasiliana nasi kwa kupiga/whatsup 0714020564 au piga 0788684623

Address

Magomeni
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255714020564

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nyumba ZA Kisasa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Nyumba ZA Kisasa:

Share