16/10/2023
Khaju Farm limited ni kampuni inayotoa huduma za kilimo cha kisasa, ufugaji wa kisasa,ufugaji wa kisasa.
HUDUMA ZETU
✔️Kusimamia shamba la kilimo, mifugo na uvuvi
✔️kukulelea vifaranga vya kuku ndani ya mwez mmoja
✔️kulea na kuwahudumia kuku wa nyama ndani ya mwez mmoja.
✔️kukutaftia soko la kuku wa nyama {broiler}
✔️tuna vijana wazoefu wa kuhudumia mifugo yako
✔️kampuni itakufugia kuku wa mayai na kununua mayai kutoka kwako.
✔️mfugaji au mkulima hutapata changamoto ya soko
✔️uchimbaji wa mabwawa ya samaki.
✔️tunatoa elimu bora kwa zao lolote.
✔️tuna madaktali wazoefu wa kujua kuku wako au mifugo yako inasumbuliwa na nini.
✔️tuna wataalamu wa shambani, bwanashamba,bibi shamba
✔️tunauza maziwa mazuri ambayo hayajatiwa maji kutoka shambani kwetu.
kwa mawasiliano zaidi tupigie 0715 873 126