31/03/2025
Namba hazidanganyi , vivyo na utendaji kazi haudanganyi , JACKLINE MANGI WOLPER k**a mangi anaeenda kuhemea soko la mabibo saa 11 asubuhi , nmeshuhudia kwake, hajaleta Maringo ya U-star , yani kalala saa saba saa 11 asubuhi yupo macho nakuta amenitumia voice, saa mbili asubuhi ananiambia yupo njiani anakuja mnadani, mnadani hata mda wa lunch hapati , jana nmekuta anakula saa 12 jioni na anakula huku anahudumia mteja
nimefanya kazi na wasanii wengi MDA WA ASUBUHI AMBAO WATU WANACLOSE MADEAL WAO WAMELALA, na hawatafuti kazi wanasubiri sumu ziite na zikiita wamelala, meneja nae sabu kakesha na msanii nae hapatikani wasanii hawaamki kwenda kugonga hodi kwenye taasisi kutafuta madili na wakipatikana bado hawajui hata customer care , lakini hili sio kwa mpaka kuna mtu akasema wolper ni shilole wa bongo movie aliechangamka 😃😃 shilole ni Mbombo Mbombo kwenye mziki mnene na chanjo ilibidi nmtumie k**a alarm aniamshie wasanii wenzie , Mama Ela zako za halali , pia nmefanya na hahaha ile Muziki wa mama tulikua na kikao saa 12 asubuhi posta aliwahi kuliko sisi, akiwa na lake mpaka nahisi usumbufu hasuburi meneja
ulikua siku 3, wolper kafika zote kasimama mda wote mpk Buti alizovaa ilibidi avue, JACKY WEWE NI RECEPTION, hutumi mtu , unajituma monyewe ,asante Jackline Mangi Wolper , tukutane mnada ujao, k**a nilivyoahidi nakuandalia marketing plan ya Mwaka bure.