Jikwamue Group

Jikwamue Group AFYA YETU NI FURSA YETU

Pambana unaweza kushinda yote
24/05/2024

Pambana unaweza kushinda yote

Kazi iendelee
28/09/2022

Kazi iendelee

Dunia imebadilika...nawewe badilika... Wa.me/255713952266 tukuwezeshe kununua au kuuza kwa haraka...
09/09/2022

Dunia imebadilika...nawewe badilika... Wa.me/255713952266 tukuwezeshe kununua au kuuza kwa haraka...

Leo unataka kuuza au kununua nini? Wa.me/255713952267
09/09/2022

Leo unataka kuuza au kununua nini? Wa.me/255713952267

26/03/2022

Mambo vp mdau wetu?
Bado haujapata jogoo mbegu kubwa warefu kwa bei chee? Wahi hii mbegu kubwa jogoo wawili (2) wote kwa ofa ya tsh 25,000 tu ufaidike!
Tunapatikana pugu Dar es salaam kwa simu 0620518744 au kwa whatsapp tu wa.me/255713952266
Share mjulishe mwezako kuwa "kuku wa kienyejiPure mbegu kubwa jogoo šŸ“ wanapatikana leo kwa ofa kubwa...
Karibu sana ufaidike!

14/02/2022

Mambo vp mdau wetu? Tunakodisha Majengo yanayofaa kwa chekechea, maabara/phamarcy n.k kwa bei chee sana!
Majengo haya yapo hapa Pugu Dsm na yana maji ya uhakika, umeme, vyoo zaidi ya viwili, ofsi/reception, eneo kubwa kwa ajili ya kuchezea watoto, panafikika kwa mguu au kwa magari pia kuna parking, kuna watu wengi wenye watoto wengi wengi, n.k!!!
Tuwasikiane tu k**a kweli upo sriaz unahitaji fursa hii tukuwezeshe! Tunapatkana pugu dsm kwa Simu 0620518744 au whatsappp only wa.me/255713952266 kwa aliye sriaz tu..
Share, wajulishe na walete wengine wawahi fursa hiii...
Bei yetu ni rahisi sana na maelewano yapo... Wahi tukuwezeshe uanze kufaidi fursa hii!!!

*OFA OFA YA VIWANJA*Karibu ufuge, ujenge shule, hosptali, chuo n.k. kwa kununua kiWANJA kikUBWA KWA BEI POA.VIWANJA VIPO...
08/04/2020

*OFA OFA YA VIWANJA*
Karibu ufuge, ujenge shule, hosptali, chuo n.k. kwa kununua kiWANJA kikUBWA KWA BEI POA.
VIWANJA VIPO SEHEMU YENYE MIUNDOMBINU YOTE KUANZIA MAJI, SHULE, TRENI YA MWENDO KASI, MAKANISA n.k.
Kiwanja kipo MWANABWITO NJE KIDOGO YA MJI WA MLANDIZI WILAYA YA KIBAHA MKOA WA PWANI PALE KARIBU NA KOTA ZA RELI YA KATI NA RELI YA WENDOKASI YA DAR MOROGORO.
Pia TUNAPIMA kuanzia 10/10mita laki 5,
Heka moja 4.5milioni
Heka zote tano 17.5milioni.
Barabara inafika mpaka kiwanjani ukitokea mlandizi stendi kuja upande wa kiwanda cha nondo mpaka hapa shuleni mwanabwito ni k**a kilomita 7. Nauli kwa Bodaboda kwenda elfu 2 na kurudi 2000.
Karibu sana ufaidike kwa kumiliki kiwanja cha bei poa heka 5 kwa 17.5milion tu.
Changamkia ofa hii sasa na lipa 50% ya mauziazo halafu iliyobaki ukaendelea kulipa kidogo kidogo kulingana na makubaliano.
Wajulishe au share na wengine mmiliki pamoja.
Call or inbox 0745751151 k**a unahtaji na una pesa ya kulipa walau nusu. Wellcome

Samahani ujumbe mrefu kidg nmejitahid kuupungza sana had apa yatosha!!! JE KWANINI KUWA NA MPENZI ZAIDI YA MMOJA AU ZINA...
03/03/2020

Samahani ujumbe mrefu kidg nmejitahid kuupungza sana had apa yatosha!!! JE KWANINI KUWA NA MPENZI ZAIDI YA MMOJA AU ZINAA IMEKATAZWA?SOMA HADI MWISHO KUJUA SABABU *KISAYANSI*
Ndani ya manii mna kitu gani kitaalamu.
Ndani ya manii mna vitu vikuu vinne:
• PROTEIN,
• ACID,
• S***M au CHROMOSOME,
• VIRUS.
PROTEIN: Ni aina mojawapo ya ā€œFood
Substanceā€ inayorutubisha mwili. Substance hii
inapatikana ndani ya manii na pia watu wa
mambo ya reproduction system (mfumo wa
uzazi) wanakubali kwamba manii yanatokana na
aina hii ya chakula na ndiyo maana k**a una
njaa shughuli ya Jimai inashindikana, au k**a
utajilazimisha utapata madhara.
ACID: Ni mfano wa tindikali, yaani kitu chenye
ladha ya ukali mfano ndimu. Na kitu chenye
tindikali kina kawaida ya kuunguza na pia
kulegeza kwa itakayompata au kumuingia, ndiyo
sababu kitaalam ukimlinganisha mwanamke
aliyeolewa na asiyeolewa kisha akawa hafanyi
zinaa maumbile yao yanatofautiana. Yule
aliyeolewa mwili wake unakuwa laini zaidi
sababu ya acid inayopatikana ndani ya manii.
Nitakupa mifano mingi iliyo hai ili akili yako
ikubali kwamba vyote vinavyotajwa vinapatikana
ndani ya manii. Ukitaka kuthibitisha zaidi acid ya
katika manii ambayo inaunguza nakulegeza hata
ukiwa na kidonda kibichi ukitia manii kitauma
mara mbili zaidi sababu ya acid. Mfano
mwingine tazama kwa wale watoto wa kiume
ambao wanaingiliwa kinyume na maumbile
(mashoga) hata k**a zamani alikuwa strong
(imara) kiasi gani akiingiliwa tu, basi analegea
kuanzia kutembea, kuzungumza na kila kitu
sababu ni Acid inayopatikana ndani ya manii.
Pia ndio maana inakatazwa kumuingilia
mwanamke anayenyonyesha sababu ukimuingilia
ukamuingizia manii
ambayo yana acid, acid ile itapanda katika
maziwa na kuyaharibu maziwa na hapo mtoto
akinyonya atanyonya
maziwa yenye acid. Itasababisha mtoto kulegea
au kwa watu wa pwani wanaita
kubemendwa, hivyo mtakua mmemharibu mtoto.
Lakini k**a
atakula acid ya baba yake hatadhurika sana,
sababu atakula
acid ambayo kwa asili ndiyo iliyomtengeneza. Ila
mke akiziniwa na mtu mwingine mtoto
ataathirika sana na pengine itakuwa ni sababu
ya kifo chake kwa kuwa amekula acid ambayo si
ya asili kutoka kwa wazazi wake hivyo itakuwa
ni POISON (sumu) kwake. Kazi kubwa ya acid
kwenye manii ni kuua bacteria zisizohusika
zinazopatikana wakati zikitoka kuelekea katika
virginal wall.
S***M: Ni mbegu za kiume zinazopatikana
ndani ya manii na hizi mbegu haziishi ndani ya
mwili kwa sababu ya hali ya joto la mwili, kwani
mtu wa kawaida ambaye haumwi anakuwa na
nyuzi joto 37 hivyo mbegu zitakufa kutokana na
joto la ziada. Wataalamu wa mambo ya
reproduction na gynecology wanatueleza
kwamba mshindo mmoja una wastani wa watoto
milioni 200 hadi 300. Lakini yanayofanikiwa
kulifikia yai ni mia moja tu. Na yanayofanikiwa
kuingia kwa kawaida ni moja au mawili yakizidi
sana manne tu, na si zaidi ya hapo, lau k**a
yakizidi basi ni kwa miujiza yake Mwenyezi
Mungu.
VIRUS: Hivi ni vijidudu ambavyo kila mtu anavyo
vya kwake na pia haviingiliani baina ya mtu na
mtu
m na hapa ndipo tutaeleza kwa kina madhara ya
zinaa kisayansi. Lazima pia tujue kuwa Virus
wanafanya kazi gani na pia wanakwenda wapi.
Katika virginal wall kuna vijistomata (vitundu)
maalum kwa ajili ya kupokea virus; sababu
mwanaume anapotoa manii yake yenye
protein,acid s***m/chromosomes na virus kila
kimoja huchukua nafasi yake kwenda
kunapohusika. Nafasi ya virus ni kuingia katika
vitundu vilivyo katika virginal m wall ili vipate
kuish humo kwa kuwa ndipo alipowapangia
Mwenyezi Mungu. Hivyo basi ukiwa unamuingilia
mkeo na ukitoa manii basi moja kwa moja virus
wako watakwenda kuingia katika vijitundu vilivyo
kwenye varginal wall ili kuishi humo. Ina maana
virus watakaoingia kuishi kwa mkeo ni wale
ambao wamezoeana. Sasa ikija kutokea mkeo
akazini na mwanaume mwingine ataingiziwa
virus wasiokuwa wako. Hivyo hawa wapya
wakiingia nao pia watataka kuingia katika yale
matundu ili nao wakaishi. Kwa kuwa ndivyo
alivyowapangia Mwenyezi Mungu, hawa wapya
wakiingia tu wale wa zamani ambao ni wa
mume, watawashangaa, watajiuliza hawa nao
wametokea wapi? Mbona si katika wale
tuliozoeana? Kwa kushangaa huku wale virus
wenyeji watawashambulia virus wageni k**a
antibody bacteria (kitu kinachotoka nje ya
mwili). Na katika mapigano haya watapelekea
kundi moja kufa na kundi moja likifa lazima wale
waliokufa watoke, watatoka vipi? Au watatokea
wapi? Jibu ni pale pale walipoingilia. Hapo sasa
ndipo mtu anapoanza kutokwa uchafu. Na pia
virus wapya waliosalimika wakiona wanazidi
kushambuliwa na virus wa zamani itabidi
watoboe sehemu nyingine zisizohusika ili
wakimbie na kujificha katika nyama laini. Hapo
ndipo mtu anapoanza kupata maumivu makali
wakati wa kukojoa na pia ndio chanzo cha
magonjwa mbalimbali ya zinaa, na wakati huo
mume akimuingilia mkewe naye pia atapata
ugonjwa wa zinaa sababu atakutana na virus
wageni waliojificha kujihami katika sehemu laini
zisizohusika watamuingia mume kupitia mrija wa
urinary truck (mrija wa mkojo).
Ndio sababu Mwenyezi Mungu akasema zinaa ni
uchafu. Na uchafu unaokusudiwa ni
kuchanganya mifumo tofauti ya mwili yaani
mwanamke kuingiliwa na mwanaume zaidi ya
mumewe pekee. Na hapa ndipo tunapoona
hekima ya Mwenyezi Mungu kwa mfano kwa
baadhi ya dini kwamba kwa nini ameamrisha
mwanamke kuolewa na mwanaume mmoja na
mwanaume kuoa mwanamke zaidi ya mmoja, Hii
ni kwa sababu mwanamke anapokea manii
yenye kubeba VIRUS wa asili kutoka kwa
mumewe. Ila ieleweke kuwa mwanaume atakiwa
awe muaminifu kwa wake zake, akitoka nje ya
ndoa zake atawaletea magonjwa wakeze. Hapa
ndipo inapopatikana hekima ya mwanamke
aliyefiwa na mumewe au aleyeachwa kwa talaka
lazima akae eda. Eda si tu kuangalia k**a
mwanamke ana mimba, bali pia katika kipindi
cha miezi mine na siku kumi ambacho
mwanamke anakaa eda kwa kuwa katika kipindi
hicho haingiliwi ina maana wale virus watakosa
protein inayopatikana katika
manii ambayo ndio chakula chao, hivyo
kwa kukosa chakula watakufa. Kwa hiyo katika
kipindi hicho mwanamke anaandaliwa ili k**a
ataolewa tena na mume mwingine huyu mume
mpya ajitengenezee mifumo yake mipya ambayo
haitapingana na ile ya mwanzo. Hivyo Mwenyezi
Mungu alipokataza ZINAA anajua kwa kina
madhara yake. Njia bora ya kupambana na
magonjwa mbalimbali km UKIMWI ni kuacha
Zinaa.
Asanteni!!!! By Ibrahim

28/01/2020

Dalili 18 zinazoashiria una ujauzito wa mtoto wa kiume

Awali ya yote nitoe pongezi kwa mama K na Baba K wote popote walipo kwa kazi nzuri na baraka ambayo wanaisubiri kutoka kwa Mungu (mtoto).

Mojawapo ya mambo ambayo yanatia furaha katika maisha ya ndoa ni pale wanandoa wanapokuwa wapo kwenye kipindi cha kutegemea mtoto.

Mambo mengi huwa yanaleta hamasa na ushawishi kuhusiana na huyo mtoto. Mambo k**a jinsia yake k**a ni wa kiume au wa k**e nk.

Maandalizi kadhaa huanza kufanywa kabla hata ya mtoto kuzaliwa, hii ikijumuisha manunuzi ya vitu kwa ajili ya mtoto na majina wakati atakapo zaliwa.

Madaktari wana uwezo wa kujua jinsia ya mtoto ambaye hajazaliwa kwa kutumia kipimo cha ULTRASOUND.

Watu wengi hawajuwi kuwa wanaweza kufahamu jinsia ya mtoto kutokana na dalili ambazo mama mjamzito anazionyesha, kuanzia mabadiliko ya kimwili, kulala na mpaka upendo wa vyakula fulani.

Soma hii pia > Dawa ya asili ya kupata mimba haraka

Utastaajabu kujua kuna uwezekano wa viashiria kuhusiana na jinsia ya mtoto anaetegemewa, bila kwenda hospitali na kutumia ULTRASOUND.

Kuna dalili nyingi ambazo sinaweza kukupa taarifa kuhusiana na jinsia ya mtoto kabla ya kuzaliwa. Kutokana na utafiti, ume baini haya yafutayo k**a viashiria vya kujua jinsia ya mtoto kabla hata hajazaliwa;

1) Umachachari wa mjamzito (Clumsiness).

Kwa kila jinsi mwili/tumbo la mjamzito linavyokua, umachachari hua haukosekani, ila unapopitiliza mipaka kuliko kawaida, basi kuna uwezekano mkubwa wa kujifungua mtoto mwenye jinsia ya KIUME.

2) Kukua kwa Maziwa/Matiti (Breast Size).

Katika kila hatua ya mimba, mwanamke hua anagundua ni jinsi gani maziwa/matiti yake hubadilika kwa kukua. K**a ziwa/titi lake la kulia likitokea kuwa kubwa kuliko la kushoto, basi kuna uwezekano mkubwa wa kujifungua mtoto wa KIUME. Na k**a titi/ziwa la kulia likiwa kubwa kuliko la kushoto, basi kuna uwezekano mkubwa wa kujifungua mtoto wa K**E.

3) Rangi ya Chuchu (Ni**le Color).

Rangi ya chuchu kipindi cha ujauzito zinaweza kuashiri jinsia ya mtoto, rangi inapokua ya kiza (darker) kuliko kawaida ni dalili ya kujifungua mtoto wa KIUME, na k**a rangi haijabadilika katika hatua za mimba ni dalili ya mtoto wa K**E.

4) Aina ya Ulalaji (Sleeping Position).

Kupendelea kulalia ubavu wa kulia ni dalili za kujifungua mtoto wa KIUME, na kupendelea kulalia ubavu wa kushoto ni dalili ya kujifungua mtoto wa K**E.

5) Kuumwa Kichwa (Headache).

K**a mjamzito atakua na matatizo ya kuumwa kichwa mara kwa mara, mtoto wa KIUME yupo njiani kuja. Na k**a hatokua na matatizo ya kichwa, basi uwezekano wa mtoto wa K**E kuzaliwa.

6) Uzito wa Baba (Dad’s Weight).

K**a mzazi wa kiume akiongezeka kilo, ni dalili za mama mjamzito kujifungua mtoto wa K**E, na k**a mzazi wa kiume asipo ongezeka kilo/au kupungua kilo ni dalili za mtoto wa KIUME.

7) Tumbo la Uzazi Kua Juu au Chini (Carrying High or Low).

K**a tumbo la mjamzito litakua juu, ni dalili za kuzaliwa mtoto wa K**E, na k**a tumbo la uzazi litakua chini basi inaashiria mtoto wa KIUME.

8) Tamaa ya Chakula (Food Craving).

Tamaa ya kupendelea vyakula vya chumvi/ukali basi ni dalili ya kupata mtoto wa KIUME, na kupendelea kula vyakula vya sukari ni dalili ya mtoto wa K**E.

9) Miguu Kuvimba (Foot Swelling).

K**a miguu ya mjamzito haivimbi, basi inaashiria mtoto wa K**E, kwani mtoto wa KIUME ana uwezo wa kumwongezea mjamzito uvimbaji wa miguu, mara mbili ya size ya huyo mjamzito miguu yake.

10) Joto la Nyayo za Miguu (Foot Temperature).

K**a nyayo za miguu zitakua za baridi, kuna dalili ya kujifungua mtoto wa KIUME, na k**a nyayo hazijabadilika joto lake halisia ni dalili za mtoto wa K**E.

11) Kugawanyika Kwa Uzito Mwilini (Weight Distribution).

K**a mjamzito ataongezeka kilo/uzito mwili mzima, ni dalili za kujifungua mtoto wa K**E. Na k**a ataongezeka uzito kwenye tumbo tu ni dalili za mtoto wa KIUME kuwa njiani.

12) Nywele za Mwilini (Body Hair).

Nywele za mwilini kukua kwa haraka na kua imara, ni dalili za mtoto wa KIUME kuzaliwa, wakati dalili za mtoto wa K**E hua nywele hazioti mwilini.

13) Unawiri wa Nywele Kichwani (Hair Texture).

Nywele nzito na zenye mafuta/kunawiri ni kiashiro cha kujifungua mtoto wa KIUME, na nywele kavu/kukatika/kukosa mvuto/rough ni dalili ya kujifugua mtoto wa K**E.

14) Kipimo Cha BAKING-SODA (The Baking Soda Test).

Chukua vijiko viwili vya baking soda na kisha changanya na mkojo wa mjamzito, k**a baking soda itatoa mapovu ya gas na mliok**a wa kuchemka (fizzes), ni mtoto wa KIUME anakuja. Kinyume na hapo basi atakua wa K**E.

15) Mstari Tumboni (Linea Nigra).

Huu ni msitari ambao hutokea katika tumbo la mjamzito, mstari huu ukitokea na kuishia chini ya kitovu, basi inaashiria ujio wa mtoto wa K**E, na k**a ukipitiliza mpaka juu ya kitovu, ni kiashirio cha kuja kwa mtoto wa KIUME.

16) Furaha/Muwako/Kunawiri Usoni (The Glow).

Ni mtoto wa KIUME pekee ndio ambae humpa muwako/sura ya furaha/kunawiri kwa uso wa mama mjamzito. Mtoto wa k**e humchosha sura mama yake muda wote.

17) Chunusi (Acne).

Kubemba mimba ya mtoto wa K**E huwaletea wajawazito chunusi usoni, ni dalili moja wapo. Vinginevyo, atakua mtoto wa KIUME.

18) Mabadiliko Ya Ngozi (Skin Changes).

K**a ngozi ya mjamzito ikibadilika na kua yenye mafuta (oily skin) ni dalili za kuashiria mtoto ajae ni wa K**E, na k**a ngozi ikibakia kua kavu (dry skin) ni dalili za ujio wa mtoto wa KIUME.

K**a unatafuta dawa ya asili kwa ajili ya kupata ujauzito, niachie tu ujumbe WhatsApp +
C&p

Kwani ulikuwa unajua kuwa K**a unatumia dawa za Hospital kwa zaidi ya siku 7  kinachoathiliwa kwanza ni INI ,Na kazi ya ...
14/08/2019

Kwani ulikuwa unajua kuwa K**a unatumia dawa za Hospital kwa zaidi ya siku 7 kinachoathiliwa kwanza ni INI ,Na kazi ya INI ni kusafisha uchafu na sumu mwilini na dawa zote za hospital hutegenezwa kwa njia ya sumu ili kupambana na vimelea mwilini hivyo k**a unadawa za mdaa mrefu zaidi kinachofanyika INI ikipungukiwa Vitamin D mwilini huanza kutafuna madini ya calcium kwenye mifupa na hivyo kuza
-•matatizo ya mifupa na dalili zake huanza kwa
(1)Kupoteza kumbukumbu ya vitu.
(2)Kukaza kwa misuri.
(3)Kuhisi kuvutika (tight) kwa ngozi, uso, miguu, vidole n.k.
(4)Kuwaza mambo mengi.
(5)Kuwa na kucha legevu (dhaifu) zenye Kupoteza uwalisia wa mwonekano.
(6)Kuuma na kuvunjika kwa mifupa kwa urahisi.

WENDA DALILI HIZI BADO HUJANZA KUZIPATA KUTOKANA KUWA INI LAKO LIPO LINAUNGULIA NA KULIA KITOKANA NA DAWA UNAZOKUNYWA SASA,

Dalili zipi utajua ini lako lipo kwenye shida linalilia msaada ?
-Kupauka kwa ngozi
Hii ndio dalili ya kwanza kabisa hujitokeza na kisha kupotea.
-Macho kuwa ya jano
Hii nayo hutokea japo sio kwa watu wote.

Dalili zingine nitaziandika kwenye mada ya SUMU MWILI somo hili linakuja soon.

Ndio maana nakushauri kuhakikisha kutumia kitungu swaumu kilichosangwa changanya na asali kula kwenye tumbo tupu (usilechochote) fanya hivyo kila mchana itakusaidia Sana kukimbiza sumu kwenye ini kwa siku 18 utaona MAAJABU KWENYE MWILI WAKO.

#100
#1000
Copied from
By drwilliam

13/08/2019

*TANGAZO TANGAZO*
TAJIRIKA CONSULTANTS kwakushirikia na wadau wa maendeleo *tunauza* viwanja, nyumba, mashule, hoteli, hosteli, hospitali, zahanati n.k kuwa!
1. Tunauza viwanja kwa bei nafuu kabisa hapa Dar esa salaam wilaya ya Ilala kata ya Chanika mtaa wa Nyeguru maeneo ya kwa Makobe umbali wa mwendo wa dakika 10 kwa miguu..
Viwanja vipo 12 ukubwa ni mita20/20mita.
Vuwanja vyote vinafikika kwa gari n.k.

Vipo sehemu nzuri sana kwa makazi, shule, hospital, kanisa, ufugaji n.k
Bei ni 3.5 milioni kwa kipande kimoja... Ukitaka heka nzima ni 35 milioni

Note: *Mazungumzo kidogo yako maana unaweza lipa cash au ukalipa milioni 2 na iliyobaki ukaendelea kulipa kidogo kidogo n.k.*
Karibu sana changamkia fursa hii ufunge mwaka 2019 ukiwa nakiwanja au nyumba!
Kwa mawasiliano 0713952266 au 0765154244 au 0620518744
Kumbuka kuWajulisha nawengine au share kwa kundi la familia, majiran, kazini, ndugu n.k
Picha ya eneo hiyo hapo::

HOW TO SELECT YOUR BABY'S S*X.S***m cells are either X or Y. The Egg cell is always X. If X-S***m cell meets the egg(X) ...
03/07/2019

HOW TO SELECT YOUR BABY'S S*X.

S***m cells are either X or Y. The Egg cell is always X. If X-S***m cell meets the egg(X) the baby will be a Girl (XX). If Y-S***m cell meets the egg(X), the baby will be a Boy (XY). The Y-S***m cells move fast but die fast (its lifespan is about 24hrs). X-S***m cells move slowly but survive longer (up to 3-4days).

Therefore, if you have in*******se some days before ovulation, most of the Y-S***m cells would have died leaving mostly X-S***m cells to fertilized the egg

Here's a simple way to calculate your ovulation period.

1. From the first day you see the blood of your period.
2. Pick up a calendar and count 15 days including the first day of the blood stain.
3. Mark the 15th day with a pen.
4. Mark 3 days before the 15th day, and mark 3 days after the 15th day.
6. You will notice you have 7 days marked.
These 7 days are your ovulation/fertile days also known as unsafe period.
That is if you have s*x on any of these days, then you have 98% chances of being pregnant.
7. Do this every month diligently
For Example
1. If your period is 11th July, ,
2. 15 days after the first day of the blood stain will be on 25th of this July too (2weeks after) counting from 11th.
3. 15th day is on the 25th July
4. 3days before the 15th day is 22, 23, 24.
5. 3days after 25th July is 26,27,28.
6. 22-28th July (7days) is when you are ovulating. It is your fertile period.
**Don't forget that the 4 days is a reminder that s***m stays in the female body for about 4 days. Any s*xual contact in between ovulation period will form something ...
If you want a baby girl, have
s*x between 3 days before ovulation (22- 24th)
Female s***m swim slowly but can stay inside woman body for days without dying off,

For a baby boy on the main ovulation day and 3 days after 25th.(26,27,28)
Male s***m swim very fast but will get weak and die off if no egg found for a while leaving female s***m to finish the job ...........
MAJOR SIGNS THAT YOUR OVULATION HAS BEGAN...

You don't need a doctor, just relax. After 2 weeks you may feel the following:
1. Headache.
2. High body temperature.
3. Dizziness (feeling of tiredness and sleepiness).
4. Breast tenderness/ size increases just like when you are menstruating.
5. Increased s*x drive.
6. Light cramps or pain on one side of the pelvis.
7. Abdominal bloating.
8. Heightened sense of smell, taste or vision (you eat more).
9. Va**na mucus becomes slippery (if you notice, put it in between fingers...it stretches like thick catarrh or snail mucus...colorless like egg white. ..........
N/B: The instance here is for ladies with 30 days cycle. And someone who saw her period in July . If yours is 28, then it's 14 days and not 15 days.

Address

Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jikwamue Group posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jikwamue Group:

Share