chimbo la pazia kali na vikali

chimbo la pazia kali na vikali Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from chimbo la pazia kali na vikali, Kariakoo mtaa wa SWAHILI na AGGREY, Dar es Salaam.

TUNAUZA PAZIA NZITO ZA KUSHONA KWA NYUMBA, OFISI, APARTMENT/HOTEL N.K
TUNAPIMA| TUNASHAURI| TUNAFUNGA BOMBA & PAZIA
DELIVERY IPO NA MIKOANI TUNATUMA KWA UAMINIFU MKUBWA
📍 KARIAKOO AGGREY NA SWAHILI

📞 0767002663 (call & Whatsapp)

27/05/2026

Pure white, nzito na nzuri kuliko kawaida yaani Kali balaa 🔥🔥🔥 k**a wewe ni mpenzi wa pazia nyeupe basi hii hatukushauri Kabisa kuikosa wahi Sasa uje tukushonee pazia hii ukajionee maana halisi ya pazia ya kitajiri

PAZIA HII UTAIPATA KWA BEI YA;
🛑 Seti ya mita moja na nusu TSH 70k
🛑Seti ya mita mbili TSH 80k
🛑Moja ya mita moja na nusu TSH 25k
🛑Moj ya mita mbili TSH 30k

PIA TUNA HUDUMA YA:
✅Kutoa ushauri kuhusu uchaguzi wa bidhaa zetu
✅ Site visiting kwa ajili ya kuchukua vipimo n.k
✅Kufunga Bomba za pazia na kuweka pazia kwa ustadi

🛑 Tunashona pazia ya urefu/vipimo vyovyote kulingana na uhitaji wako mteja

☎️0767002663

📍 Kariakoo mtaa wa SWAHILI na AGGREY
‼️Kwa wakazi wa dar malipo ni baada ya kupata bidhaa yako na mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa Karibuni Sana

21/05/2026

Kwenye uzuri imeenea, kwenye ubora haijapelea ila kwenye kufanya mabadiliko ndipo inapofiti zaidi yaani kukupatia kile kinachoitwa masterpiece ndio haswa jawabu linalohakisi, hii sio tu pazia ni uthibitisho unaoleta pamoja unadhifu, mvuto, umaridadi, upekee, na ubora wenye viwango unaokamilisha muonekano wa kitajiri kwa maana kwamba kitambaa chake kwenye uzito kimekidhi viwango, texture laini inayopangika kwa urahisi marinda haiwezi kukupa msongo, Rangi tulivu na prints matata ni zaidi ya tulizo kwa akili na ubongo yaani inakupa sababu lukuki za kupafurahia ndani kwako , usipitwe na hili waridi Tajiri, wahi sasa uje ujichagulie rangi uipendayo tukushonee ukajionee maana halisi ya pazia ya kitajiri.

PAZIA HII UTAIPATA KWA BEI YA;
🛑 Seti ya mita moja na nusu TSH 70k
🛑Seti ya mita mbili TSH 80k
🛑Moja ya mita moja na nusu TSH 25k
🛑Moj ya mita mbili TSH 30k

PIA TUNA HUDUMA YA:
✅Kutoa ushauri kuhusu uchaguzi wa bidhaa zetu
✅ Site visiting kwa ajili ya kuchukua vipimo n.k
✅Kufunga Bomba za pazia na kuweka pazia kwa ustadi

🛑 Tunashona pazia ya urefu/vipimo vyovyote kulingana na uhitaji wako mteja

☎️0767002663

📍 Kariakoo mtaa wa SWAHILI na AGGREY
‼️Kwa wakazi wa dar malipo ni baada ya kupata bidhaa yako na mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa Karibuni Sana

21/05/2026

Na wewe hujachelewa, tuite tukabidhi site Yako tuje kukuumbia upya sehemu yako na kuipa utofauti usiopimika yaani tukuwekee Muonekano wa ndoto zako katika sehemu yako.... karibuni Sana

Eti Tajiri 😂🫵🫵
20/05/2026

Eti Tajiri 😂🫵🫵

20/05/2026
PAZIA MPYA , WAHI TUKUSHONEE 🔥Waliposema umaridadi huanzia ndani hawakukosea, waliposema hakuna sehemu nzuri k**a nyumba...
20/05/2026

PAZIA MPYA , WAHI TUKUSHONEE 🔥
Waliposema umaridadi huanzia ndani hawakukosea, waliposema hakuna sehemu nzuri k**a nyumbani hawakuotea, na ndio maana sisi tumekuletea pazia hii mpya kabisa ukaipambe na kuweka utofauti katika sehemu yako.

Kwenye uzuri imeenea, kwenye ubora haijapelea ila kwenye kufanya mabadiliko ndipo inapofiti zaidi yaani kukupatia kile kinachoitwa masterpiece ndio haswa jawabu linalohakisi, hii sio tu pazia ni uthibitisho unaoleta pamoja unadhifu, mvuto, umaridadi, upekee, na ubora wenye viwango unaokamilisha muonekano wa kitajiri kwa maana kwamba kitambaa chake kwenye uzito kimekidhi viwango, texture laini inayopangika kwa urahisi marinda haiwezi kukupa msongo, Rangi tulivu na prints matata ni zaidi ya tulizo kwa akili na ubongo yaani inakupa sababu lukuki za kupafurahia ndani kwako , usipitwe na hili waridi Tajiri, wahi sasa uje ujichagulie rangi uipendayo tukushonee ukajionee maana halisi ya pazia ya kitajiri.

PAZIA HII UTAIPATA KWA BEI YA;
🛑 Seti ya mita moja na nusu TSH 70k
🛑Seti ya mita mbili TSH 80k
🛑Moja ya mita moja na nusu TSH 25k
🛑Moj ya mita mbili TSH 30k

PIA TUNA HUDUMA YA:
✅Kutoa ushauri kuhusu uchaguzi wa bidhaa zetu
✅ Site visiting kwa ajili ya kuchukua vipimo n.k
✅Kufunga Bomba za pazia na kuweka pazia kwa ustadi

🛑 Tunashona pazia ya urefu/vipimo vyovyote kulingana na uhitaji wako mteja

☎️0767002663

📍 Kariakoo mtaa wa SWAHILI na AGGREY
‼️Kwa wakazi wa dar malipo ni baada ya kupata bidhaa yako na mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa Karibuni Sana

Address

Kariakoo Mtaa Wa SWAHILI Na AGGREY
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 18:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when chimbo la pazia kali na vikali posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share