Hakim1

Hakim1 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Hakim1, Business consultant, Dar es Salaam.

12/06/2026

K**a unachangamoto hizi nitafute kukusaidia ninjia rahisi inshaallah mfano wako tume wasikiliza nakutatua tatizo na kusuluhisha kwa uwezo wa mungu kutatua changamoto ni bure kusuluhisha
ni 45000 wasiliana nasi kupitia namba
0748953157

USHAURI JUU  YA TEZI DUME NA TIBA YAKE ASILIA Uvimbe wa tezi dume sio ngiri wala mshipa wala busha ni uvimbe wa tezi ina...
05/06/2026

USHAURI JUU YA TEZI DUME NA TIBA YAKE ASILIA
Uvimbe wa tezi dume sio ngiri wala mshipa wala busha
ni uvimbe wa tezi inayozunguka njia ya mkojo.

Tezi dume ikivimba huathiri mfumo wa mkojo kwa sababu hubana njia ya mkojo.... hivyo mkojo unapita kwa shida na unabakia kwenye kibofu(urine rention)
MADHARA YA UVIMBE WA TEZI DUME NI.
1. KUHARIBIKA KWA FIGO NA INI.2. KUATHIRIKA KWA INI KWA SABABU YA SUMU NYINGI KUBAKI MWILINI.
3,UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
4 CANCER YA TEZI DUME(hatari kubwa zaidi ya uvimbe wa tezi dume ni kansa ya tezi dume(peostate cancer)
za usiku.

ZIFUATAZO NI DALILI ZATEZI DUME.

1.Kukojoa mara nyingi wakati wa usiku Mara Tatu au Zaidi
2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.
3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani
4.unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.
5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.
7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana..
UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE UNA TEZI DUME ILIYOVIMBA.
Tiba ipo kwa uwezo wa allah
Ni mitishamba ya asili inayokinga na kutibu tezi dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana maelezo na ushauri na kupata huduma piga au Whatsap number 0748953157
tunafanya delivery sehem yoyote ndani na nje ya nchi

Usipuuze k**a mtoto wako:😳 Anaongea akiwa amelala😬 Anasaga meno kwa nguvu😥 Anashtuka au kurusha mikono/miguu😢 Anaamka gh...
03/06/2026

Usipuuze k**a mtoto wako:
😳 Anaongea akiwa amelala
😬 Anasaga meno kwa nguvu
😥 Anashtuka au kurusha mikono/miguu
😢 Anaamka ghafla na kulia
⚠️ Wazazi wengi hudhani ni kawaida… lakini wakati mwingine hizi ni ishara za:
usingizi usio tulivu
hofu au msongo wa mawazo
au tatizo la kiafya linalohitaji uangalizi mapema
👉 Chukua hatua sasa:
✔️ Hakikisha mazingira ya kulala ni tulivu
✔️ Epuka sukari nyingi kabla ya kulala
✔️ Mpe faraja na usalama kabla hajalala
✔️ Mchunguze kwa siku kadhaa mfululizo
✔️ Ikiendelea, muone daktari mapema
💬 Usisubiri hadi hali iwe kubwa… hatua ndogo leo inaweza kumlinda mtoto wak

MAMBO YA KUZINGATIA KWA MAMA MWENYE KICHANGA CHA MTOTO❌ Usimpulizie mtoto hewa usoni kwa mdomoUnaweza kusambaza bakteria...
23/05/2026

MAMBO YA KUZINGATIA KWA MAMA MWENYE KICHANGA CHA MTOTO

❌ Usimpulizie mtoto hewa usoni kwa mdomo
Unaweza kusambaza bakteria na virusi hatari 🦠

❌ Acha kuvuta au kubinya pua ya mtoto
Pua yake ipo vizuri kwa asili — kufanya hivyo kunaweza kumuuma na kumjeruhi 💔

❌ Epuka marashi yenye harufu kali karibu na mtoto
Mapafu yake bado ni madogo na dhaifu, harufu kali zinaweza kuathiri upumuaji 😢

❌ Usimuache mtoto peke yake kitandani au kwenye sofa
Hata mtoto mchanga anaweza kujigeuza ghafla na kuanguka 🚑

❌ Usiingize cotton buds ndani ya masikio au puani
Inaweza kuharibu sehemu nyeti za mtoto. Safisha nje taratibu tu ❤️

❌ Usimfunge mtoto nguo kwa kumbana sana
Inaweza kuathiri mzunguko wa damu na ukuaji wa viungo 😔

❌ Zuia wagonjwa kumbeba mtoto wako
Mafua ya kawaida kwa mtu mzima yanaweza kuwa hatari kwa mtoto mchanga 🤱🏽💔

👩🏽‍⚕️ Haya sio maelekezo ya kawaida tu… yanaweza kuokoa maisha ya mtoto.

16/04/2026

Dawa hii ni tiba asilia
Bei 35000

16/04/2026
13/04/2026

0748953157

Tunapatikana dar es salaam kigamboni maweni bei 45000 tuu

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hakim1 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share