Ujenzi Nafuu Tanzania

Ujenzi Nafuu Tanzania Kwa mahitaji yote ya ujenzi kuanzia hatua ya awali (Rmani) makadirio Hadi finishing.

Viwanja vinauzwa maeneo ya vigwaza karibu na mlandizi. Viwanja vina ukubwa wa 20x27. Umbali toka lami NI km 1. K**a dkn1...
09/11/2025

Viwanja vinauzwa maeneo ya vigwaza karibu na mlandizi. Viwanja vina ukubwa wa 20x27. Umbali toka lami NI km 1. K**a dkn10 Kwa mguu toka lami ya morogoro. Viwanja vipo eneo zuri Sana tambalale na vimepakana na barabara ya kuu ya mtaa. Maji yapo umeme upo. Hospital kubwa ya serikali ipo shule ipo huduma zote zipo. Eneo linafaa Kwa makazi na biashara .Bei NI M2 Kwa kiwanja. Ardhi NI mali. Wekeza sasa Kwa maendeleo ya baadae. Karibu tuzungumze! Pig 0613173254

Kiwanja Chenye chumba master na frem kinauzwa vigwaza mlandizi bei nzuri mnooo k**a una hela inaelea kiwahi chapu. Eneo ...
09/11/2025

Kiwanja Chenye chumba master na frem kinauzwa vigwaza mlandizi bei nzuri mnooo k**a una hela inaelea kiwahi chapu. Eneo lina ukubwa wa 20x20 unatembea Kwa mguu dk 10 toka lami ya morogoro. Huduma zote zipo karibu kabisa hospital, Shule nk. Bei NI mil 3.5 Tu. Piga simu Kwa namba 0613173254 au gusa neno whatsap hapo chini kututumia ujumbe whatsap.. ardhi NI mali ukighair kununua leo mwakani utauziwa Kwa mara 2 ya bei.

Bei NI elf 20 Tu Kwa watu WA Dar na elf 21 Kwa watu WA mikoani + misumari had kilo 10 bure na safiri bure hadi site na h...
09/11/2025

Bei NI elf 20 Tu Kwa watu WA Dar na elf 21 Kwa watu WA mikoani + misumari had kilo 10 bure na safiri bure hadi site na hata mikoani. Migongo midogo na mipana (msouth) geji 30 rangi zote. Kwa nini uteseke na bei za hardware njoo kiwandani! Na watu WA hardware tunakuletea mzigo ufanye biashara! karibu! Piga zero sita13173254 au gusa WhatsApp hapo chini kukutumia ujumbe WhatsApp.

Ya nini kununua bati kwenye hardware ya mtaani kwako kwa Tsh elf 26 na bado ugharamie usafiri wakati ungeweza kununua ba...
27/10/2025

Ya nini kununua bati kwenye hardware ya mtaani kwako kwa Tsh elf 26 na bado ugharamie usafiri wakati ungeweza kununua bati hiyohiyo toka kiwandani kwa bei ya Tsh elf 21 na bado ukapata usafir bure hadi site?

Imagine ukanunua bati 150 utakua umepoteza 5000x150=750,000!!! Shtuka!!

Save pesa zako njoo kiwandani tukupe bati imara zinazodumu kwa muda mrefu zikiwa na mng'ao uleule kwa bei nafuu kabisaa. Kuanzia Tsh 21,000 tu kwa bati za migongo midogo na mipana (msouth) rangi zote.

Sifa kuu za bati zetu ni bati zinazohimili hari zote za hewa HAZIPAUKI wala kupata kutu kwa urahisi na hudumu kwa muda mrefu zikiwa na mng'ao wake uleule.

Pia Ukinunua bati kwetu tutakupatia offer ya misumari kilo 10+ bure na usafiri bure mpka site. HATA kwa wateja walio mikoani tunakutumia bure kwa uaminifu mkubwa mnooo.

Nia yetu ni kusaidia watu wa namna zote kupata makazi kwa gharama nafuu! Wasiliana nasi ujenzi nafuu kwa namba 0613173254 au gusa neno whatsap hapo chini kututumia ujumbe whatsap!

Tunakupenda na tunakutakia kila la kheri katika kukamilisha makazi yako mapya!

Kiwanja Chenye chumba master na frem kinauzwa vigwaza mlandizi bei nzuri mnooo k**a una hela inaelea kiwahi chapu. Eneo ...
05/10/2025

Kiwanja Chenye chumba master na frem kinauzwa vigwaza mlandizi bei nzuri mnooo k**a una hela inaelea kiwahi chapu. Eneo lina ukubwa wa 20x20 unatembea Kwa mguu dk 10 toka lami ya morogoro. Huduma zote zipo karibu kabisa hospital, Shule nk. Bei NI mil 3.5 Tu. Piga simu Kwa namba 0613173254 au gusa neno whatsap hapo chini kututumia ujumbe whatsap.

Kazi kidogo..mpunga kibaoo!! Tunafunga mfumo wa Gesi asilia kwenye magari na bajaji aina zotee! Hii itakusaidia kupunguz...
30/09/2025

Kazi kidogo..mpunga kibaoo!! Tunafunga mfumo wa Gesi asilia kwenye magari na bajaji aina zotee! Hii itakusaidia kupunguza gharama za mafuta mara tatu yake huku gari yako ikiwa salama bila kuharibu mfumo wake wa petrol na unaweza kuswitch muda wowote kwenda kwenye mfumo WA mafuta au gesi Kwa kubofya button tu. kwa gari ndogo cc 1290 -2000 unauwezo wa kutembea km 180 mpaka 200 kwa gesi ya elf 17 tu! Na Kwa bajaj gesi ya elf 10 unasahau. Ikumbukwe kuwa gesi hii NI gesi asilia tofauti na Ile ya majumbani. kwa maelezo zaidi tafadhali usisite kuwasiliana nasi Kwa namba 0654243453! Au gusa button ya WhatsApp hapo chini kututumia ujumbe whatsap!

VIWANJA BEI NAFUU VIGWAZA MLANDIZI kuanzia milion 2 tu. Kwa mguu dk 7 tu toka rami ya morogoro. Pamechangamka huduma zot...
22/09/2025

VIWANJA BEI NAFUU VIGWAZA MLANDIZI kuanzia milion 2 tu. Kwa mguu dk 7 tu toka rami ya morogoro. Pamechangamka huduma zote zipo. Umeme, maji, Shule, hosptal, bar, n.k. Usije sema sikukwambia. Wewe kijana wahi uwekeze kwenye ardhi usikae kizembe mjini wanao wakarithi infinix yako mkonyezo. Njoo ujipatie kieneo chako utulie ukiamua kujenga ni wewe tu, ukiamua ukiache kiendelee kupanda thamani wakati unazid kujipanga ni sawa. Ardhi ni utajiri. Gusa kitufe kilichoandikwa WhatsApp hapo chini kututumia ujumbe whatsap au Piga simu 0654243453

17/09/2025

Address

31874 Kinondoni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ujenzi Nafuu Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share