11/06/2026
๐ KURA YAKO INAENDA KWA NANI? ๐Kombe la Dunia ndio kwanza limeanza, lakini macho yote yapo kwa mastaa hawa! Kati ya mafundi hawa, ni nani atakayeibuka MCHEZAJI BORA (MVP) wa michuano hii mwaka huu?๐ช๐ธ Lamine Yamal (Mtoto wa miaka 18)๐ซ๐ท Ousmane Dembรฉlรฉ (Mshindi wa Ballon d'Or)๐ซ๐ท Kylian Mbappรฉ (Mashine ya Ufaransa)๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Harry Kane (Mzee wa mabao 61)๐ฆ๐ท Lionel Messi / ๐ต๐น Cristiano Ronaldo (Densi ya mwisho!)๐ Shusha komenti yako hapa, nani anabeba kijiti mwaka huu?