Mokily Consultancy

Mokily Consultancy offering professional legal freelance services in Tanzania, with a focus on corporate and compliance support for startups, SMEs, NGOs, and individuals.

My work includes company and business name registration, BRELA compliance, TIN and business licensing

07/07/2026

Jana nilipata heshima ya kualikwa k**a mwezeshaji kutoa elimu kuhusu Usajili wa Biashara, Usajili wa Kampuni, TIN, Kodi za TRA, na Leseni za Biashara katika mafunzo yaliyoandaliwa na HerInitiative chini ya mradi wa Going Beyond kwa ushirikiano wa Mastercard Foundation, na DoT. Iringa - Tanzania (Mkwawa).

Nina washukuru waandaji kwa kuniamini kushiriki katika kuwawezesha wajasiriamali na wananchi kuelewa umuhimu wa kurasimisha biashara zao na kuzingatia sheria za biashara na kodi.

Je, unataka kuanzisha biashara yako kwa njia sahihi na kisheria? Mokily Consultancy tupo kwa ajili yako.
0693131141 / 0618101141

Unahitaji cheti Cha kuzaliwa? Uhakiki wa cheti Cha kuzaliwa? Au cheti Cha kifo. Usijali tupo hapa kwajili yako, Kwa kazi...
05/07/2026

Unahitaji cheti Cha kuzaliwa? Uhakiki wa cheti Cha kuzaliwa? Au cheti Cha kifo.

Usijali tupo hapa kwajili yako, Kwa kazi Bora na haraka tupigie Sasa
0693131141
0618101141

Kwa huduma Bora na za kitaalam wasiliana nasi Leo kwajili ya kesho Bora
05/07/2026

Kwa huduma Bora na za kitaalam wasiliana nasi Leo kwajili ya kesho Bora

Bado una jiuliza ni wapi utapata huduma Bora zaid ya kusajiri kampuni au biashara yako... Tupigie Leo upate ofa hii maal...
02/07/2026

Bado una jiuliza ni wapi utapata huduma Bora zaid ya kusajiri kampuni au biashara yako...

Tupigie Leo upate ofa hii maalumsimu huu wa sabasaba..
Richard Mokily Mokily Consultancy

Usikose nafasi ya kuomba Mkopo wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa sababu ya kuchelewa au kukosea nyaraka.MOKILY CONSULTANCY tun...
27/06/2026

Usikose nafasi ya kuomba Mkopo wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa sababu ya kuchelewa au kukosea nyaraka.

MOKILY CONSULTANCY tunakusaidia kwa:
✅ Kufungua na kujaza maombi ya HESLB.
✅ Ushauri wa nyaraka na vigezo vinavyohitajika.
✅ Kusaidia NAPA, na hatua zote za maombi ya udahili.
✅ Verification ya Vyeti kupitia RITA kwa wahitaji.
✅ Ufuatiliaji wa maombi yako hadi hatua ya mwisho.

📞 Wasiliana nasi leo: 0693 131 141

MOKILY CONSULTANCY
Solutions For Success – Tunarahisisha safari yako ya kujiunga na elimu ya juu.

USIFANYE MAKOSA HAYA WAKATI WA KUANZA BIASHARA YAKO!!Je, unafanya biashara bila usajili? Hilo linaweza kukugharimu zaidi...
23/06/2026

USIFANYE MAKOSA HAYA WAKATI WA KUANZA BIASHARA YAKO!!
Je, unafanya biashara bila usajili? Hilo linaweza kukugharimu zaidi kuliko unavyofikiria.
Biashara iliyosajiliwa hukupa: ✅ Ulinzi wa kisheria
✅ Kuaminika kwa wateja na washirika
✅ Fursa za mikopo na uwekezaji
✅ Uwezo wa kushiriki zabuni na mikataba mikubwa
✅ Msingi imara wa ukuaji wa biashara yako
Usajili si gharama, ni uwekezaji wa kuhakikisha ndoto yako ya biashara inakuwa salama na endelevu.
Mokily Consultancy tunakusaidia kwa huduma za: 📍 Usajili wa Jina la Biashara (BRELA)
📍 Usajili wa Kampuni
📍 Upatikanaji wa TIN
📍 Company Secretarial Services
📍 Ushauri wa Kisheria na Biashara
Anza safari ya mafanikio kwa kufanya biashara yako kuwa rasmi leo.
📞 0693131141
Biashara yako, ndoto yako, legacy yako – tujenge pamoja.

📢 WAOMBAJI WOTE WA MIKOPO HESLB 2026/2027!Je, unahitaji uhakiki wa cheti (RITA) mtandaoni kwa ajili ya maombi ya mkopo w...
19/06/2026

📢 WAOMBAJI WOTE WA MIKOPO HESLB 2026/2027!

Je, unahitaji uhakiki wa cheti (RITA) mtandaoni kwa ajili ya maombi ya mkopo wa elimu ya juu?

✅ Haraka na salama
✅ Ndani ya saa 24 tu
✅ Gharama nafuu sana (karibu na bure)
✅ Huduma yote mtandaoni – popote ulipo Tanzania

Jinsi ya kupata huduma: 1️⃣ Tuma picha au scan ya cheti chako
2️⃣ Tunakushughulikia haraka
3️⃣ Unapokea cheti kilichohakikiwa tayari kwa matumizi ya HESLB

Usisubiri dakika za mwisho. Hakikisha nyaraka zako ziko tayari mapema ili kuongeza nafasi ya kukamilisha maombi yako kwa wakati.

📞 0693 131 141 / 0618 101 141
📧 [email protected]
📍 Iringa, Tanzania

MOKILY CONSULTANCY – Solutions For Success
"Tunarahisisha mchakato, wewe unafanikiwa." 🎓✨

Usifanye makosa wakati wa kuanza biasharaUsikimbilie kuanza bila maandalizi sahihi!⚖️ Mokily Consultancy tunakupa mwongo...
13/04/2026

Usifanye makosa wakati wa kuanza biashara
Usikimbilie kuanza bila maandalizi sahihi!
⚖️ Mokily Consultancy tunakupa mwongozo mfupi wa kisheria na kibiashara ili uanze biashara yako kwa usalama na mafanikio.
✔️ Epuka makosa ya mwanzo
✔️ Fahamu sheria muhimu
✔️ Jenga biashara imara tangu siku ya kwanza
📩 Wasiliana nasi sasa kwa ushauri wa kitaalam
📞 +255 693 31141

05/04/2026

Address

Iringa
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mokily Consultancy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share