Awaichi Accounting Services

Awaichi Accounting Services Kwa Huduma za Usajili wa Biashara na Leseni Tanzania. (Jina la Biashara, Kampuni, TIN na Leseni)

Rahisi | Haraka | Uhakika
📩 DM "NDIYO" Tuanze!

Umbali kwetu sio tatizo, Hadi Mkuranga tumefika embu niambie upo Mkoa gani na unahitaji LESENI ya biashara,  utaipata nd...
29/07/2026

Umbali kwetu sio tatizo, Hadi Mkuranga tumefika embu niambie upo Mkoa gani na unahitaji LESENI ya biashara, utaipata ndani ya masaa sita tu

Bado unafanya Biashara yako bila kuwa na LESENI ya biashara?Chukua hatua mapema ya kuinusuru kabla haijapata changamoto ...
29/07/2026

Bado unafanya Biashara yako bila kuwa na LESENI ya biashara?
Chukua hatua mapema ya kuinusuru kabla haijapata changamoto
0746095807

Kila mtu aangalie garama ya kulipia LESENI Serikalini kutokana na biashara unayofanya, Japo garama zinaweza kutofautiana...
25/07/2026

Kila mtu aangalie garama ya kulipia LESENI Serikalini kutokana na biashara unayofanya, Japo garama zinaweza kutofautiana kutokana na mkoa na wilaya biashara ilipo.

Garama za Service charge kwa mikoa yote ni Tsh.50,000. Weka booking mapema upate LESENI ndani ya masaa 24.

16/07/2026

K**a bado hauna LESENI ya biashara,TIN Number na haujasajili jina lako la biashara BRELA wahi offer ya week hii uweze kujipatia huduma unayohitaji ndani ya mda mfupi sana

K**a ulikua haujui tofauti kati ya Mauzo na Faida soma hapa👇👇👇👇
11/07/2026

K**a ulikua haujui tofauti kati ya Mauzo na Faida soma hapa👇👇👇👇

10/07/2026

Usiache biashara yako iwe hatarini. Sajili leseni yako leo na uifanye biashara yako iwe halali na salama. 0746095807

27/05/2026
22/05/2026

< K**a bado unafanya biashara lakini haujarasimisha upo kwenye hatari kubwa sana ya kupoteza biashara yako

< Chukua hatua ya kurasimisha biashara yako ili kuiweka mikono salama

K**a unahitaji kuwa na leseni ya biashara, unahitajika kuwa na vitu vifuatavyo✅️Nida Number✅️Tin Number✅️location ya bia...
20/05/2026

K**a unahitaji kuwa na leseni ya biashara, unahitajika kuwa na vitu vifuatavyo
✅️Nida Number
✅️Tin Number
✅️location ya biashara
✅️Mkataba wa pango
✅️Aina ya biashara
✅️Number za cm

Unahitaji kufungua kampuni lakini haujui uanzie wapi?Usipate shida nipo hapa kukusaidia,kama utahitaji kufungua kampuni ...
14/05/2026

Unahitaji kufungua kampuni lakini haujui uanzie wapi?

Usipate shida nipo hapa kukusaidia,kama utahitaji kufungua kampuni comment neno Kampuni niweze kukusaidia

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Awaichi Accounting Services posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share