Guru Planet Ltd

Guru Planet Ltd Among our services we deliver to esteemed clients includes;-
Business Consultancy in Poultry farming

09/07/2023

OFA YETU NI KWAMBA UKINUNUA KUANZIA MIFUKO 6(300KG) YA GURUFEED CONCENTRATE,USAFIRI NI BURE KWA DAR ES SALAAM. KWA MKOANI TUNACHANGIA USAFIRI NUSU.

Ukinunua mifuko 3 ya GuruFeed Concentrate, usafiri tutachangia nusu kwa walioko Dar es Salaam na Kwa Mikoani tunakuchangia robo ya gharama.

Bei za vyakula ni k**a ifuatavyo:-

10Kg Starter ni 13,000/=

10Kg Grower na Layers ni 12,000/=

25Kg Starter ni 32,500/=

25Kg Grower na Layers ni 29,000/=.

50Kg Starter ni 65,000/=

50Kg Grower na Layers ni 58,000/=.

Pia kwa PARAZA bei ya leo ni 1,300/= kwa Kilo moja. Pumba gunia ni 23,000/=.

Chakula hiki unachanganya na pumba kwa uwiano wa 1:2.8 na palaza 0.2.

Hakikisha unapunguza gharama za vyakula ikiwezekana 50% ili umudu ushindani.

Malipo ya Mzigo yanafanyika kupitia Akaunti ya Benki 0150413681800 jina Guru Planet Limited au Lipa namba ya Tigo 7637358 jina Guru Planet Limited.

Kwa mawasiliano au kuweka oda piga simu 0657577309/0758061582

Tembelea www.guruplanet.co.tz kwa taarifa zaidi.

Among our services we deliver to esteemed clients includes;-
Business Consultancy in Poultry farming

LEO UNAWEZA AGIZA TUKAKULETEA AU UKAFUATA MWENYEWE CHAKULA CHA KUKUHAKIKISHIA FAIDA KWENYE UFUGAJI WAKO. Kumbuka biashar...
08/07/2023

LEO UNAWEZA AGIZA TUKAKULETEA AU UKAFUATA MWENYEWE CHAKULA CHA KUKUHAKIKISHIA FAIDA KWENYE UFUGAJI WAKO.

Kumbuka biashara bila faida ni kupoteza nguvu na muda ambao baadae utajutia sana.

Wewe jaribu leo kuanza kutumia GuruFeed Concentrate, kisha linganisha gharama za uendeshaji pamoja na faida kabla ya kutumia chakula hiki kisha utatupatia jibu.

Bei za vyakula ni k**a ifuatavyo:-

10Kg Starter ni 13,000/=

10Kg Grower na Layers ni 12,000/=

25Kg Starter ni 32,500/=

25Kg Grower na Layers ni 29,000/=.

50Kg Starter ni 65,000/=

50Kg Grower na Layers ni 58,000/=.

Chakula hiki unachanganya na pumba kwa uwiano wa 1:2.8 na palaza 0.2.

Hii utaelekezwa zaidi unaponunua.

Unaweza kuagiza na ukaletewa mahali popote kwa kuchangia nauli.

Malipo ya Mzigo yanafanyika kupitia Akaunti ya Benki 0150413681800 jina Guru Planet Limited au Lipa namba ya Tigo 7637358 jina Guru Planet Limited.

Kwa mawasiliano au kuweka oda piga simu 0758061582/0657577309

Tembelea www.guruplanet.co.tz kwa taarifa zaidi.

TAZAMA NAMNA GURUFEED INAVYOPUNGUZA GHARAMA. Biashara ni kufanya kwa hesabu, usipopangilia vizuri unabakia bila kukua au...
07/07/2023

TAZAMA NAMNA GURUFEED INAVYOPUNGUZA GHARAMA.

Biashara ni kufanya kwa hesabu, usipopangilia vizuri unabakia bila kukua au pengine unaishia kupata hasara.

Embu angalia kwa makini.

Grower 50Kg unachanganya na pumba 100Kg na Paraza 40Kg.

Kwa sasa gunia la pumba ni 23,000/= kwa maeneo ya Dar es Salaam, na paraza ni 1,100/= kwa kilo.

K**a gharama ya 50Kg Grower ni 55,000/=, Pumba ni 23,000/= na paraza ni 44,000/= kwa mchanganuo huu unakuwa umetumia jumla ya gharama 122,000/=.

Kwa gharama ya 122,000/= unakuwa umepata jumla ya 190Kg za chakula.

Ukitaka kujua thamani ya kilo moja utachukua 122,000/= utagawa kwa jumla ya 190Kg.

Hapa jibu tutapata Kilo itagharimu 642/=.

Kisha tunaangalia bei za sasa za sokoni namna vyakula vinavyonunuliwa.

TUANGALIE BEI ZA MITAANI.

Sehemu nyingi Grower complete wanauza kati ya 55,000/= hadi 60,000/=.

Hii tukichukua 55,000/= ya complete tukagawa kwa 50Kg tutapata 1,100/= kwa kilo.

KIASI UNACHOKOMBOA KWA KUTUMIA GURUFEED.

Tumeangalia kwa wastani, ukitumia GuruFeed thamani ya 1Kg ni 642/=.

Tumeangalia Mtaani kwa wastani thamani ya 1Kg ni 1,100/=.

Tukichukua 1,100/= kutoa 642/= tutabaki na 458/=.

Hii inamaana unapotumia GuruFeed Concentrate kwa kila kilo moja unakuwa na uhakika wa kukomboa kiasi cha 458/=.

Hii ni faida kubwa ambayo muda wote unaipoteza.

Tukichukulia mfano iwapo kwa mwezi unatumia 360Kg.

Maana yake utakuwa umekomboa 360Kg zidisha na 458/= sawa na 164,880/=.

Yaani kila Mwezi una uhakika wa kukomboa 164,880/=.

Maana yake kadri kuku wanavyozidi kuwa wengi, na wewe unazidi kushusha gharama.

Ndio maana unakuwa na jeuri ya kuuza bei ya kawaida na bado ukapata faida.

Biashara ni mahesabu kwa hiyo hakikisha unafuga kwa Faida.

Kuagiza chakula au kwa maswali piga simu 0758061582/0657577309.

Malipo ya mzigo yanafanyika kupitia akaunti ya Benki 0150413681800 jina Guru Planet Limited au Lipa namba ya Tigo 7637358 jina Guru Planet Limited.

Delivery unachangia ili kufikishiwa mzigo mahali ulipo.

Ndio tunamalizia ofa yetu wiki hii.Kwa ofa hii, hata ungeamua kulisha concentrate peke yake, bado utakuwa na jeuri ya ku...
22/04/2023

Ndio tunamalizia ofa yetu wiki hii.

Kwa ofa hii, hata ungeamua kulisha concentrate peke yake, bado utakuwa na jeuri ya kushindana sokoni.

Tumeamua kukushika mkono, amka na uliteke soko la kuku kwa bei ya ushindani.

Karibu tukutane sokoni.

FURSA YA KUWEZESHWA KUUZA KITOWEO CHA KUKUWALENGWA: Wanawake na Vijana wasiokuwa na mitaji.UTARATIBU: Utapatiwa kuku bil...
22/03/2023

FURSA YA KUWEZESHWA KUUZA KITOWEO CHA KUKU

WALENGWA: Wanawake na Vijana wasiokuwa na mitaji.

UTARATIBU: Utapatiwa kuku bila malipo, ukishauza utalipia mara tu baada ya kutoa faida yako.

MAHITAJI: Utatakiwa kupata mafunzo ya uendeshaji kwa ujumla pamoja na miongozo yenye kukusaidia kufaulu katika kuuza kitoweo. Mafunzo haya ni bure.
Utatakiwa kujaza fomu kukubaliana na taratibu.

ENEO LA KUANZIA: Kwa awamu ya kwanza tumelenga Mkoa wa Dar es Salaam.

K**a ungependa kutengeneza ajira na kipato cha uhakika, basi karibu kwenye fursa hii.

Piga simu 0657577309/0758061582 ili kupata ufafanuzi zaidi.

Vigezo na Masharti kuzingatiwa






Una swali lolote kuhusiana na UFUGAJI KIBIASHARA, GURU FEED au HUDUMA ZETU? Karibu kwenye comment uliza tutakujibu ndugu...
19/03/2023

Una swali lolote kuhusiana na UFUGAJI KIBIASHARA, GURU FEED au HUDUMA ZETU?

Karibu kwenye comment uliza tutakujibu ndugu mfugaji!

OFA YA JUMAMOSI NA JPILI.GuruFeed Concentrate,Ukinunua kuanzia 100Kg ya Concentrate, utapata bure tibalishe kopo 1. Hii ...
18/03/2023

OFA YA JUMAMOSI NA JPILI.

GuruFeed Concentrate,

Ukinunua kuanzia 100Kg ya Concentrate, utapata bure tibalishe kopo 1. Hii ni maalum kwa kuwakinga kuku dhidi ya magonjwa.

Bei ya 50Kg ya concentrate ni 58,000/= , 25Kg ya Concentrate ni 29,000/= na 12Kg ya Concentrate ni 12,000/=.

Iwapo utanunua 150Kg, utapata Selko-PH bure. Hii pamoja na kukinga magonjwa na kuepusha matumizi ya antibiotics, pia inakuza sana kuku kutokana na kwamba inaboresha mmengenyo wa chakula.

Pia, utapata darasa la kutengeneza vyakula mbadala ili kuendelea kupunguza gharama za uendeshaji.

Hii itakuwa pamoja na maganda ya viazi, ndizi, mimea lishe na mbogamboga. Utaelekezwa kiwango sahihi cha uchanganyaji ili kupata matokeo chanya kwenye eneo lako la ufugaji.

Unapochanganya na vyakula vya kununua basi utapunguza zaidi gharama.

Piga simu 0757405019/0657577309 ili uletewe au kutumiwa mzigo wako.

LEO NI SIKU YA OFA KWA WATEJA.Unapata SELKO-PH ukinunua mifuko 3 ya chakula (50Kg@3).Selko-PH ni kimiminika chenye manuf...
14/03/2023

LEO NI SIKU YA OFA KWA WATEJA.

Unapata SELKO-PH ukinunua mifuko 3 ya chakula (50Kg@3).

Selko-PH ni kimiminika chenye manufaa yafuatayo:-
>Inaondoa au kupunguza kabisa matumizi ya antibiotics kwa kuku wako, hivyo kupunguza gharama.

>Inaondoa au kuzuia magonjwa kwa kuku k**a vile typhoid, minyoo, mafua n.k

>Inaboresha mmengenyo wa chakula kwa kuku hivyo kuongeza kasi kubwa ya ukuaji wa kuku kwa wakati.

>Inaongeza kasi ya utagaji kwa kuku.

Kwa kuzingatia manufaa hayo na mengine mengi, utakuwa na uhakika wa kuku wako kukua kwa wakati.

Tunakufikishia GuruFeed kwa wakati utakapohitaji.

Bei zetu ni 50Kg ni 58,000/= hii ni kwa Grower na Layers. Starter ni 63,000/=.

25Kg ni starter 32,000/=, Grower 29,000/= na Layers 29,000/=.

10kg ni starter 14,000/=, Grower 12,000/= na Layers 29,000/=.

Selko-PH lita 1 ni 15,000/=, Lita 5 ni 72,000/=.

Kwa uhitaji wa huduma piga 0757405019/0657577309

 .MFUGAJI UKIFUATA USHAURI HUU, UTANUSURIKA NA HASARA KATIKA UFUGAJI.Kabla ya kuwekeza kwenye ufugaji wa kuku, jua soko ...
11/03/2023

.

MFUGAJI UKIFUATA USHAURI HUU, UTANUSURIKA NA HASARA KATIKA UFUGAJI.

Kabla ya kuwekeza kwenye ufugaji wa kuku, jua soko lako na tabia ya wateja unaowalenga kuwahudumia.

Ukiona unauza kuku ambaye hajapikwa kwa bei kati ya 20,000/= hadi 30,000/= ujue soko lako ulilolilenga ni dogo sana.
Yaani umewalenga watumiaji wa nyumbani tu wenye kipato kikubwa ambao kiuhalisia ni kundi dogo sana la watumiaji wa kitoweo.

Kwa bei hiyo tayari umewakimbiza wanunuaji k**a wapishi wa kwenye bar, migahawa, hotel n.k ambao kila siku mzunguko wa biashara ni wa uhakika iwapo ataiona faida kwenye biashara yake.

Pia wanunuaji wa jumla wa kuku, hawako tayari kununua kuku kwa bei kubwa sana. Mfano mtu mwenye kununua idadi ya kuku elfu10 huwezi ukumuuzia sawa na anayenunua idadi ya kuku mia tano.

Kwa kuwa makundi haya yote yanataka yapate faida, wanaponunua kuku kwa bei kubwa na bado waingize gharama za upishi na viungo, wengi wanatoa mrejesho wa kutopata faida hivyo kushindwa kununua kuku wa bei kubwa jambo linaloathiri moja kwa moja mfugaji.

Hivyo, watanunua tu kuku kidogo kwako mfugaji na wewe ukiwa na idadi kubwa ya kuku wanabakia kula chakula kingi na kukusababishia hasara.

Soko la kwanza mfugaji unalotakiwa kuliangazia ni sehemu yenye mzunguko mkubwa wa watu wanaokula au kunywa vinywaji sana.

Hapo bei yako ikiwa ya kawaida utauza sana kuku wako.

Kulingana na hali ya uchumi ya sasa, njia pekee ya mfugaji kufaulu kuuza kuku bei ya chini isiyozidi 16,000/= ni kudhibiti gharama kubwa za uendeshaji hasa chakula.

Ndio maana sisi Guru Planet Ltd, tuliamua kuja na mfumo wa kupunguza gharama za vyakula kwa zaidi ya 50% na ndio tuweze kutoa soko kwa mfugaji ambaye tayari atauza kuku kwa bei ya chini na wakati huo bado anapata faida.

GuruFeed unapoitumia vizuri, inakuhakikishia faida na ukuaji wa biashara yako k**a mfugaji.

Ni muhimu kabla ya kufanya uwekezaji kwenye kuku, upate ushauri kutoka kwa wataalam ili uepuke kufuga kwa hasara.

Kwa ushauri, usimamizi na huduma ya masoko unaweza kujisajili Guru Planet Ltd. Piga simu 0757405019/0657577309 kwa maelezo zaidi.

UMUHIMU WA KUHESABU SIKU AU UMRI WA KUKU KUANZIA SIKU YA KWANZA.Unapoanza kufuga kibiashara, ni muhimu sana kwenda na ma...
06/03/2023

UMUHIMU WA KUHESABU SIKU AU UMRI WA KUKU KUANZIA SIKU YA KWANZA.

Unapoanza kufuga kibiashara, ni muhimu sana kwenda na mahesabu hasa siku za kukaa na kuku.

Kwa ufugaji wa kuku, siku moja ina maana kubwa sana.

Hivyo k**a ni kundi la kuku wa kitoweo, lazima ujue siku kamili za kuwatoa bandani.

Mfano broiler tunasema siku 28. Ukizidisha inakupatia hasara. Chotara waliotunzwa vizuri ni siku 120 na kienyeji waliolishwa vizuri ni siku 150.

Hizi siku inatakiwa mfugaji usizidishe hata moja, kuhakikisha kuku wanapokuwa tayari wanaondoka kwenda sokoni.

Unapoona huna uhakika wa kuku wako kuchukuliwa wote, basi fanya mpango wa kukodi freezer au kuomba hifadhi ya kuku wako kwa kulipia kidogo kwenye bucha.

Bila hivyo utapata hasara kubwa sana.

Mfano, k**a unafuga kuku chotara 1,000 , kiwango hiki cha kuku kwa siku wanakula 120Kg.

Kwahiyo ukikaa nao kwa kuchelewa labda siku 5 tu umeingia hasara ya 120*5 sawa na 600Kg.

Na k**a ni mwezi umewachelewesha maana yake unapata hasara ya 3600kg(tani 3.6). Kulisha chakula hiki haimanishi kwamba bei ya kuwauza itaongezeka, hapana.

Kuna umri wanapofikia kuku, hata ukiwakalisha mwezi mzima bei inakuwa ile ile na ikipishana ni kidogo sana.

Kwahiyo unapowachelewesha kuku kuwauza kutoka bandani, unadidimiza mtaji wako na kuumaliza wote.

Na iwapo utauza kuku wachache na wakati huo wengine unaendelea kuwalisha, maana yake hela unayoipata yote inaishia kuwalisha kuku na hakuna faida utaipata.

Kwa ushauri, usimamizi na masoko usisite kupiga simu 0757405019/0657577309 au fika ofisini kwetu Kinondoni Mwananyamala jengo la Biashara Complex.

Tembelea www.guruplanet.co.tz kwa uelewa zaidi.

MZANI KWA MFUGAJI NI JAMBO LA LAZIMA NA SIO HIARI.Katika kipindi hiki ambacho gharama za vyakula zinazidi kupanda lakini...
03/03/2023

MZANI KWA MFUGAJI NI JAMBO LA LAZIMA NA SIO HIARI.

Katika kipindi hiki ambacho gharama za vyakula zinazidi kupanda lakini bei ya kuku bado iko pale pale, ni wakati wa mfugaji kuhakikisha unafuga kwa mahesabu makubwa sana.

Unapofuga kibiashara lazima uhakikishe unasimamia gharama kwa ukaribu sana.

Pili kuhakikisha kuku wako unawatoa kwa wakati bila kupoteza muda hata kidogo.

Inatakiwa unapochukua kuku kutoka kwenye kampuni uhakikishe unaulizia ni ndani ya muda gani wale kuku wanatakiwa kuwa wametoka. Na pia wanatakiwa wale chakula kiasi gani hadi kuwa kitoweo tayari.
Kitaalam tunasema (FCR).

Kazi ya mzani ni kwamba, mfugaji inatakiwa kila wiki uhakikishe unapima 10% ya kuku wako wote na kujua wanaongezeka uzito kwa kiasi gani.

Pili, kuhakikisha kile chakula ambacho ulitakiwa uwapatie kwa kila hatua je, kinazalisha matokeo yale yale au hapana.

Ukiona unampima kuku kila wiki na uzito unaongezeka kwa kiasi kidogo sana, unatakiwa kuchukua hatua za haraka kwa kuwasiliana na mtaalam.

Mfano, k**a una kuku 200 na wanatakiwa wauzike k**a kitoweo ifikapo siku 120 kwa uzito wa 1.5kg, hakikisha hizo siku wanaondoka na pia wanafikisha huo uzito na zaidi.

Usipokuwa makini, kuku wanapofika huo muda wanakuwa tayari wanakimbilia kula 120g kuku mmoja kwa siku. Kwa hao kuku 200 watakuwa wanakula 24Kg kwa siku sawa na mfuko wa 50kg kwa siku 2.
Hivyo usipowatoa mapema utajikuta ndani ya mwezi 1 unaoongezeka unalisha mifuko 15 ambayo ni gharama isiyokuwa na tija kwako kwa kuwa itaathiri faida yako kwa ujumla bila kuongeza thamani ya kuku wako.

Hivyo, mzani utakuongoza kuongeza jitihada za kukabiliana na uzito pamoja na ubora wa chakula ili uweze kutoa hao kuku kwa wakati bila kuzubaa.

Ni bora kuku wako wakiwa tayari, iwapo utakuwa huna uhakika wa soko basi wachinje alafu kodisha bucha wakuhifadhie kwenye freezer uuze taratibu, gharama zake zitakuwa nafuu kuliko gharama za kuendelea kuwalisha kuku ambao bei yake haitaongezeka zaidi.

Kwa ushauri, usimamizi na masoko usikose kujisajili Guru Planet Limited. Piga simu 0757405019/0788741194 kupafa muongozo zaidi.

KUKU UKIUZA BEI KUBWA WATEJA WANAKUKIMBIA.Mfugaji analazimika kuuza bei kubwa kuku wake kutokana na gharama kubwa za uen...
02/03/2023

KUKU UKIUZA BEI KUBWA WATEJA WANAKUKIMBIA.

Mfugaji analazimika kuuza bei kubwa kuku wake kutokana na gharama kubwa za uendeshaji alizotumia hasa upande wa chakula.

Bahati mbaya soko letu linaamuliwa na mlaji wa mwisho, ampapo mteja mzuri ni yule mwenye kipato cha wastani.

Kawaida ya walaji hawa, wakiona bei ni kubwa sana wanakimbilia mbadala ya kitoweo. Mfano, mlaji anaona kuliko atoe 20,000/= au 25,000/= kununua kuku 1 na kuilisha familia kubwa na isitosheke basi bora anunue 3kg nyama ya ng'ombe kisha kuku watakula msimu wa sikukuu.

Hali hii inapotokea, bila shaka anayeumia ni mfugaji aliyekaa na kuku muda mrefu.

Ili uweze kuwa salama katika ufugaji wako wa kibiashara, ni kuhakikisha unatumia gharama ndogo za uendeshaji ili wakati wa kuuza kuku wako uwe na bei ya wastani yenye kuwavutia walaji kununua kuku kwako.

Ndio maana tukakupatia mbadala wa GuruFeed Concentrate.

Ukitumia chakula cha GuruFeed bila shaka utakuwa salama.

Pia tuko tayari kukupatia soko la kuku wako iwapo utalisha kwa gharama nafuu na kuwa na bei rafiki kwa kuku wako.

Ukitumia GuruFeed una uwezo wa kuuza kuku wako wa chotara au asili kwa 12,000/= na bado ukabaki na faida kubwa.

Kupata huduma yetu piga simu 0757405019/0657577309 au fika ofisini kwetu Kinondoni Mwananyamala jengo la Biashara Complex, ili kupata maelezo zaidi.

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salam
11000

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 13:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Guru Planet Ltd posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Guru Planet Ltd:

Share