Dr.YG Consultance

Dr.YG Consultance We Consult,improving peoples healthy,through nutritional supplements,homecare products,organic skincare solutions as well as agriculture inputs. Lets Connect!

Our mission is to promote impact,wellness,income and freedom by supporting healthy living.

Kila Changamoto ina suluhu!! Karibu Sana🙏
22/04/2026

Kila Changamoto ina suluhu!!
Karibu Sana🙏

OMEGA3SALMONOIL ni mafuta ya samaki yaliyotoka kwenye samaki aina ya salmon.💧 NI samaki aliye maarufu sana na ghali kwa ...
20/04/2026

OMEGA3SALMONOIL
ni mafuta ya samaki yaliyotoka kwenye samaki aina ya salmon.

💧 NI samaki aliye maarufu sana na ghali kwa kumpata.
💧 Imetengenezwa na aina 8 za mafuta ya samaki aina ya omega 3 kwa ajili ya kusaidia afya ya moyo.

Tambua samaki uyu hapatikani kilahisi k**a feli anakaa katika kina kirefu cha bahari ya maji baridi ( deep cold oceans) ndo maana uwezi mpata kwa Tanzania. Hivyo kumpata mpaka hotel kubwa k**a hyatt regency.

FAIDA ZA OMEGA3SALMON OIL.

1. Afya ya Moyo: Inaweza kusaidia kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo kwa kuboresha afya ya mishipa ya damu na kupunguza viwango vya mafuta ya damu (triglycerides). Kudhibiti shinikizo la damu na kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo na kiharusi.

2. Kumsaidia Mtu kuwa na Kinga Imara: inaweza kuimarisha mfumo wa kinga, kusaidia mwili kupinga maambukizi na magonjwa.

3. Afya ya Ubongo: inasaidia kuboresha afya ya ubongo,kumbukumbu na zinaweza kupunguza hatari ya matatizo k**a vile ugonjwa wa Alzheimer’s na kupunguza dalili za unyogovu na hali zingine za afya ya akili.

4. Kudhibiti Mwitikio wa Mwili: inaweza kusaidia kudhibiti mwitikio wa mwili, hivyo kupunguza dalili za hali k**a vile arthritis.

5. Afya ya Ngozi: inasaidia kuboresha afya ya ngozi kwa kuongeza unyevu na kupunguza dalili za ngozi kavu au uchochezi.

6. Afya ya macho: inasaidia kudumisha afya ya macho na inaweza kupunguza hatari ya matatizo ya macho yanayo hisiana na umri k**a vile macular degeneration na kavu ya macho.

*NANI ANATUMIA OMEGA 3 SALMON OIL ?*

💧 Mtumiaji namba moja ni mimi na wewe kwa sababu inaboresha mishipa ya damu na kusaidia afya ya moyo, na mifupa pia ukitumia inakusaidia kuepukana na magonjwa ya ya kurithi k**a mzio, asthma( pumu). N. K

💧 Watu wenye changamoto ya pumu anaweza kutumia bidhaa hii na herbal respiratory iih ni kwa wote mtu mzima na mtoto na ikamsaidia ila unampa na bidhaa zingine za pumu.

💧 Mazuri sana kwa mama wajawazito. Kwani yaenda kumsaidia mtoto kuwa imara kiafya ya akili

Faida za Omega -31.Ukuaji wa Ubongo(Brain Development)Omega -3 hasa DHA ni muhimu kwa maendeleo ya ubongo wa mtoto,hasa ...
16/04/2026

Faida za Omega -3

1.Ukuaji wa Ubongo(Brain Development)
Omega -3 hasa DHA ni muhimu kwa maendeleo ya ubongo wa mtoto,hasa katika miaka ya mwanzo
>Husaidia katika uwezo wa kufikiri,kukumbuka na kujifunza.

2.Kuboresha uwezo wa kuona (Eye Health)
-DHA Hii hupatikana kwa wingi kwenye retina,hivyo husaidia macho kuwa na afya kuona vizuri

3.Kuimarisha kinga ya mwili
-inasaidia mwili wa mtoto kupambana na maambukizi na magonjwa
4.Afya ya Moyo na Mishipa
-Husaidia kuzuia mafuta mabaya mwilini na kulinda moyo hasa kwa watoto
5.Hupunguza mzio (Allergies) na hali k**a pumu
-inapunguza muwasho na kupunguza na hali zitokanazo na mzio
6.Husaidia kwa watoto wanaokojoa kitandani kwa kutumia hii mtoto ataacha
7.Inasaidia kwa watoto waliopata celebral paralysis(utindio wa ubongo/autism)kuimarika kwa kiasi kikubwa
8.Hupunguza tabia za msongo au changamoto,wote wananufaika na dawa hii ya omega-3

08/04/2026

We Value Your Health🙏

Kwa Bidhaa nzuri za Afya Karibu Tukuhudumie🙏
05/04/2026

Kwa Bidhaa nzuri za Afya
Karibu Tukuhudumie🙏

Narudisha Tabasamu lako Tour!!Coming soon.......  #
06/12/2019

Narudisha Tabasamu lako Tour!!
Coming soon.......
#

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr.YG Consultance posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share