Story za kusisimua

Story za kusisimua muuzaji wa furniture za chuma

Karibu sana kwa stend za maua za kisasa 0758374408
07/09/2019

Karibu sana kwa stend za maua za kisasa 0758374408

Jipatie kitanda cha chuma kwa bei nafuu ncheki 0758374408
13/07/2019

Jipatie kitanda cha chuma kwa bei nafuu ncheki 0758374408

STORY💓MY HEARTmtunzi💓frank baziliSEHEMU_💔-1⃣8⃣Wazamini💕my heartLisa lisa  rithaSabrina tety Mtunzi wa story 💔☎0764 924 5...
12/10/2016

STORY💓MY HEART
mtunzi💓frank bazili
SEHEMU_💔-1⃣8⃣
Wazamini💕my heart
Lisa lisa ritha
Sabrina tety
Mtunzi wa story 💔
☎0764 924 562
[email protected]
Group: LOVE💃🏻🏃🏻ZONE
👦🏻👧🏻👨🏻👩🏾👱🏻👴🏻👮🏻

J.tatu na jmosi
Story 💔 my heart

Alihamisi
Story👹mji wa wafu

My heart💔_1⃣8⃣

TULIPO ISHIA ....dayana alala na justine baada ya kukuaa kwa miaka 7 bila kuonana lkn alipo rudi nyumbani kwake mumewe au big boss frank alikuta anamsubiri .....tuendelee

👦🏽 my heart ulikuwa wapi usiku mnene ivi

Dayana alishindwa kujibu hofu ilimsonga moyoni lkn alijikaza na kwenda kwenye bar ndogo iliopo njani ya jumba lao la kitajiri na kisha kufungua kinywaji nakuketi apo apo mumewe alimuuliza

👦🏽 dayana sinaongea nawwe unaenda kukaa uko

👩🏻 sorry baby mawazo yananiumiza akafu hapo na hapa yote si seble tu mume wangu mpz

👦🏽kwanza pole kwa mawazo ila ujanijibu saivi saa nne love

👩🏻 i know bt naomba nikaoge kuna kitu kinanichanganya kuusu wewe

👦🏽😳 mi

👩🏻yes love

Alimjibu uku anamka kupanda ngazi kuelekea chumbani frank alimshangaa ikambidi amfate,
Alipo ingia chumbani alimuliza swali ambalo lilimfanya awe mpole na kumbadilisha

👦🏽 sijakuelewa alafu asubui nilikuvisha hereni na mkufu mbona umevivua love

Dayana alish*tuka kwenye moyo lkn alijikaza na kumsokelea mumewe

👩🏻 nimeziacha kwenye gari zilikuwa zinaniwasha bt nimekumis mpz wangu embu twende tugaoge uje unitengeneze viungo vyangu kwa jongoo wako

Frank alilegea na walijikuta wanatoka njee na kuogelea pamoja

Walipo rudi ndani walijiachia katka ulimwengu wa mpz lkn dayana alichoka mapema na akuwa na,hisia kwa muda uonivo wali pitiwa na usingizi

Asubui na mapema waliamka na dayana alijiandaa na kwenda uwanja wa kisongo akiwa na mtoto wake pamoja na mumee alipanda ndege ndogo ya kampuni yao kisha ikawapeleka hadi dar salamu uwanja wa kimataifa wa ndege apo frank aliiaga familia yao na mkewe alipanda ndege ya kampuni ya south africa inayo fanya safari za ulaya na afrika

Frank alienda kwenye ofs ndogo za kampuni yake apo apo dar salamu

Uku kwa justine alikuwa na mawazo kilicho tokea usiku kilimkumbusha vitu vingi akiwa ndaninya hoteli iyo iyo aliiwasha simu yake ya mkononi na alikutana na ujumbe dayana alio mwachia uku akimwaidi kumletea nduguye

👦🏻(nimefanya nini mimi hii ninatua itakayo niaribia mipango yangu ,mmmh lkn pia bado dayani ni wangu na akifanikisha hili analo lifata nitajua ukweli uko wapi ...ila apana kuwa na huyu mtu tena nitapoteza kila kitu na nitafeli kila kitu ktk mipango yangu sasa ngoja ))

Aliwaza justin na akili ikamtuma afanye kitu juu ya ilo aliamka akaoga kisha akaelekea kazini alipo fika alikutana macho👀 kwa macho 👀 na sabrina na apo apo ajabaini kitu

👦🏻 ( uyu ni kijakazi wa mr lameki iwaje nashuka tu hapa na yeye yupo na mr lamek ayupo naisi uyu lzm anapelekeza kitu na uenda ana nipeleleza mimi ngoja ))

Mawazo yake yalikuwa sahihi muda huo huo mr lamek alifika na kumsalimu kisha akachuka simu ya sabrina na kuingia ofsn kwakitendo hicho kilimfanyq apigie mtari mawazo yake na haraka aliaza kutafuta ushaidi alimpigia iginas na kumtaka amwambie sokomoko afanye kazi juu ya ilo

Mr lameki alipo ingia ofsn kwake mtalamu wa mtandao kijana wa justin alisha fanya mambo alimtumia .emel ilio msh*tua

👴🏻ebo eti mwanangu kapata ajali aiwezekani

Alijaribu kupiga simu lkn aikutoka alipaniki na kutoka kwa haraka
Kitendo cha kutoka tu justine aliingia ktk ofsn ya lameki na aliiona simu mezani alifungua na kutoa memorcad kisha kuweka mpya ambayo imesha kufa

Kisha akatoka na kuondoka uku kwa mr lameki akiwa njiani

👴🏻 aisee endesha araka ukiona mbuzi gonga maisha ya mtoto wangu yana samani kuliko ao tereva toyo

🙍🏻boss kwani kuna nini

👴🏻kuna emeil yangu

🙍🏻😳 no kwanini usipigiwe simu uuu mchezo kuna kitu kimevuja

👴🏻 mr lamek nimek**atwa 😂😂😂😂

Kwa maneno ya sabrina alijua kachezewa mchezo aliamuru gari ligeuzwe na kurudo kazini alipi fika aliichukya simu ya sabrina kisha kuiwasha alish*tuka kitu na apo apo akamwita sabrina

👴🏻mbona memorcad yako aisomi nini shida

🙍🏻mbona ilikuwa mzima na niliwapiga picha zote

👴🏻😳 aatakuwa john huyu embu niitie karani

Sabrina alimwita karani na wakamuuliza k**a kuna mtu kaingia alipo toka lkn karani akajibu hakuna alie ingia hapa

👴🏻mungu wangu ok nenda bt sabrina fatilia hi imel imetoka wapi harka kuna mtu anatuchezea na uyu uyu ndie alie tuibia ela fatlia haraka

Aliondoka na kwenda ofsn kwa frank ambapo alimkuta ndo anaingia alijitqidi kuzima hasira zake lkn frank alitambua

👴🏻 vp uliniambia uko dar umerudi saa ngapi

👦🏽muda si mrefu nilirudi peke yangu na ndege yetu

👴🏻ok vp uyo mtu ndo anawasili leo kufanya
Maana hatuna muhasibu hapa

👦🏽ndio yuko njiani na ndo maana nikakuita twende ofs ya meneja mwanjiri

👴🏻ok twende

Waliondoka na kwenda ofs ya mwajiri uku frank akijua zairi mwezake ana tatizo moyoni alicheka na kufurai

Uku kwa justine alitoka na kukutanq nasokomoko na alimpa habari zote

👳🏿bos utu bint amekuchunguza sana na mpka hapa tuliko.yuko cheki kulia kwako uyuo mtu ninwake cheki kushoto.uyo.muudumu ni wake sasa tufanyaje

👦🏻chakufanya ni iki.mitandao yote tunayo tumia sasa ni ya kuamisha pale ilipo na netwk tunayo itumia ni ya kufunga kwazia saivi

👳🏿sawa bos

Justin alikuwa mjanja kugundua kilicho taka kutokea na hraka akawai kuzima mitambo yake na haraka aliaza harakati za kuficha Mazingira yake yote alio pita akiwa na dayana

Uku kwa kina frank na mr lamek walimuajiri muhasibu mpyw mr mudy ambaye nikijana wa justini ila mr lameki alimjibu jib ambalo lilimsh*tua frank pale alipo muuliza kwann anaonekana k**aa ayupo ok

👴🏻Naisi mkwo kamfata joyce mexco tuko atarini wote

👦🏽😳 eti nini mke wangu kaenda kibiashara uko

👴🏻usipaniki tukiA tungoje kinacho tokea uko mimi na wewe hatuta mshinda uyu binti tutamuulia
Uko uko njiani kwanza ana kumbukumbu yoyote

👦🏽uyu mwanamke ni mshezi sana ok kesho majibu yanatangazwa ya kampuni itakayo chukua tenda ya daraja la kisasa ila kuna kitu nimekiisi hapa kinaendelea kuusu huyu john

👴🏻ok ngoja nikajiandae kuna kitu jafanya tutaenda kesho kus**iliza majibu yetu naamini tutachukua sisi

Waliagana na kuondoka uku kwa justin alishangaa alicho kikuta kwenye simu memorcad ya sabrina kibaya zaidi kwa mara ya kwanza aliona kitu kilicho mfanya ashangae na machozi kumtoka .....

Itaendekeaa

JE NINI ALICHO KIONA JUSTINE NA TENDA ITAENDA KWA NANI NA VP KAVA YA JUSTINE INAZA KUVUJA NA WQNAAZA KUMJUA JE ITAKUWAJE USIKOSE SEHEMU YA 19 TUKIWQ TUNAINGIA NUSU YA STORY SASA

STORY💓MY  HEARTmtunzi💓frank baziliSEHEMU💓_1⃣7⃣Wazamini💕my heart💗Lisa lisa(RITA)💗sabrina  tetyMtunzi  wa story💔☎0764 924 ...
03/10/2016

STORY💓MY HEART
mtunzi💓frank bazili
SEHEMU💓_1⃣7⃣
Wazamini💕my heart
💗Lisa lisa(RITA)
💗sabrina tety
Mtunzi wa story💔
☎0764 924 562
[email protected]
Group: LOVE💃🏻🏃🏻ZONE
👴🏻👦🏾👩🏻👮🏻👧🏻👶🏽🕵

J.tatu na jmos
Story my heart

ALIAMIS* mji wa wafu

My heart💔1⃣7⃣

Tulipo ishia dayana amepokea simu na kuambia joyce alipo onekana sasa tuendelee

'"Alikata simu na araka akampikia karani wake na kumtaka abukini safari kisha akampikia mumewe na kumwambia

👦🏾 sawa lkn mbona imekuwa gafla

👩🏻ni muhimu sana na nitaondoka na mtoto

👦🏾mmmmh sana mimi naenda dar salam na mzee lameki kuna tenda imetangazwa ya nikiipata kampuni itakuwa juu sana

👩🏻nimes**ia serikali yetu sasa haitaki mchezo daraja toka dar mpaka znz mh ameamua maamuzi mazuri

👦🏾kweli mke wangu wakandarasi wote tumefurai tena imeonyesha uzalendo kwa kutuambia ni kampuni za ndani tu

👩🏻📱ok hny badae naondoka kesho

📲👦🏾 ok tutaongea nitatudi na ndege ya saa mbili usiku

Dayana alikata simu na kisha kuondoka akutaka kuonyesha zarau kwa mume wake .
Frank alimuambia lameki kuusu safari iyo

👴🏻😳anaenda mexco

👦🏾ndio ila atapitiq marekani kisha ataenda mexco

👴🏻tutaliongea ilo tuingie kwenye ndege tuwai dar

Mzee lameki alisha isi kitu na alimtumia msg sabrina afatiliee

Walipo fika dar moja kwa moja walielekea ukumbi mbi ulio andaliwa kwajili na maelezo ya tenda iyo na kwa mara ya kwanza kampuni mpya ilingia katija kinyang'anyiro cha tenda kubwa na ya kimataifa kiongizi msimamizi alisimama na kusema

👨🏻nimeshukuru kuona mwitikio mkubwa wa kampuni zetu ndani ya nchi yetu na k**a tulivo tangaza kampuni zetu zina nguvu na naamini zitafanya vizuri sana sasa bila kupoteza muda ni kwamba katk hili hatuta ipa kampuni kwa kuwa ina jina no tutangalia

Vifaa vya kazi na pia kujua kampuni usika itanufaishaje jamii ktk hili kwa upande wa ajira nazani vigezo vote tulisha waambia kwenye barua tulizo watumia na sasa watalamu wetu wanapitia kuchambua

Aliongea mengi na kisha aliwaambia baada ya siku tatu wataangaziwa nani kashinda zitangazwa kampuni tatu na zitaenda kuchunguzwa kisha mshindi atangazwa

Baada ya yote waliondoka lkn kila mtu alie kuwemo pale walijua kuwa kampuni ya the flay inanafasi kubwa sana .

Justin alipewa taharifa ya kikao kizima na walisha ongea na mr lio kika kitu kilikuwa oky lkn alipo kata simu tu dayana alimpigia na kumwambia wakutane hoteln ndani chumba no 190
Justin aligima lkn alipo ambiwa ni kuusu joyce alikubali na majira ya saa kumi na mbili alifika kwenye hiyo hoteli alipo ingia alimkuta dayana na kinguo kidogo nite dres cha kulalia

👦🏻nimeitikia wito naomba uniambie kila kitu kuusu uyo joyce

👩🏻usiseme uyo sema mdogo wangu unajua usifiche ukweli nilisha mfatilia suzy na kujua kila kitu na nimes**ia maongesi yote kati yako na mr ombeni

👦🏻😳ok umesgajua mimi ndio mimi plz naomba niambie kuusu mdugu yangu

👩🏻nimefanikiwa kujua alipo na nimwsha kata tiketi kesho naondoja mpka south kisha nachukua ndege mpka marekani na apo ninachukua gari mpka mpakani mwa mexco na marekani kila kitu nimesha kipanga lkn sitaki mtu yoyote ajue nimekuambia wewe kwa kuwa nakupenda na naomba unibariki

Aliaza kumpapasa justin dyana alimsogelea justn na kupeleka mdomo kwenye s**io lake kisha akamwambia

👩🏻j..u..sti..n nime kumiss

Alipeleka mkono na kushika bastola ya justn hali ilio mpelekea justn kujisaahau na kukuta anakutanisha lips zake na za dayana

Baada ya dakika 20 hali ilibadilika na waliwasha mtambo wa mpz na chumba kilitawala sauti za kelele zisizo boa zenye furaha

Dayana alijiachia na kumoa justn ushirikiano mzuri na justn akutaka kuwa mzaifu na kiwacha icho aliucheza mpira wake vizuri na kufunga magoli ya hali ya kimataifa

Baada ya masa kaaza hali zao zilikuwa hoi kwa uchovu ulio tokana na uchovu uo wa vita vya wawili

📲📲📲

Simi ya dayana ilita alipo itizama alikuwa ni frank mumewe akutaka kupokea bali aliamka na kwenda bafuni kisha akafungulia maji na kuza kuoga uku akiupapasa mwili wake akikumbuka alicho fanyiwa alijiisi mwepesi na mwenye furaha sana,

Alipo maliza kuoga alivaa na kumwaga justin kisha kuondoka kuelekea kwake , ilikuwa ni majira ya saa nne na nusu , alipo fika tu kwake alimkuta frank amekaa anamsubiri .....

ITAENDELEA......

je dayana atamwambia nini mumewe na frank atajua kuwa tayari pezi la dayana na justini limerudi na kmbuka anamjua kwa jina la john .na je helen akijua itakuwaje na tiyari anajua mumewe mtarajiwa ni justin.na je kampuni ipi itashinda na justin atafanikiwa kumpata ndugu yake nakusii usikose sehemu ya 1⃣8⃣

STORY💓MY HEARTmtunzi💓frank baziliSEHEMU💓_1⃣6⃣Wazamini💕my heart💗lisa lisa(ritha)💗sabrina tetyMtunzi  wa story💔☎ 0764 924 ...
03/10/2016

STORY💓MY HEART
mtunzi💓frank bazili
SEHEMU💓_1⃣6⃣
Wazamini💕my heart
💗lisa lisa(ritha)
💗sabrina tety
Mtunzi wa story💔
☎ 0764 924 562
[email protected]
group: LOVE💃🏻🏃🏻ZONE
👮🏻👴🏻👨🏿👧🏻👦🏻👦🏽👩🏻🕵

Sorry kwa kuchelewa ila muda sAA MOJA NA NUSU
JTATU* MY HEART
Almis *MJI WA WAFU
JMOS* my heary

My heart_💔.1⃣6⃣

Tulipo ishia jmos..
Mzee ombeni amgundua john ni jastine mtoto wa marehemu madam gres lkn alipo mgundua ajatangaza zaidi ya kumwambia na jastine muamua kubadili plan ili kurudisha mali zao na kumpata mdogo wake .....tuendelee

LEO >>
Walipo kutana siku inayo fata team mzima ya jastine ilikuwa tayri kwa kumpokea mgeni uyo na muda ulipo wadia majira ya sa nne mr ombeni alifika ndani ya kampuni ya jastine inayo fanya kazi k**a branch ya kampuni ya SIMBA (J ) INVES LTD

lkn kampuni iyo ni kivuli tu aipo ila ni njia ya kumkabili frank na mr lamek.

Mr omben alipo ingia Aliwapongeza kwa ubunifu wao

👨🏿 mko vizuri sana hata mimi ningeingis ningejua hi ni kampuni kweli nimecheki kwenye mtandao ipo na makao yake makuu yapo marekani 😂😂 kweli dr justine uko vizuri

👦🏻asante mzee ila sasa naisi nime feli kila kitu niambie nifanyaje

👨🏿kwanza tambua kukata tamaa ni kosa na pili tambua umepiga atua ila kabla sijakuoa njia nipe akili yako ikoje

👦🏻akili yangu inawaza kuzibiti uchumi wa kampuni ys the flay pande zote mbili ujezi na vinywaji

👨🏿 unaakili k**a ulisomaga story ya bint chui utakuwa una mjua suzy bint alie badilika kuwa mtu na mara chui lkn utakumbuka pake bibi yake alipo taka kuzuru dunia kutoka kuzimu na kuja duniani suzy alivaa ubinadamu na kutetea rafk zake

👦🏻ndio nilisoma imeandikwana frank bazili , lkn sijaelewa unacho maanish

👨🏿nacho maanisha na wewe utoe utu uvaa unyama yani twende kinyume mwa story hiyo ili kumpata frank kwanza ni nyinyi kujigawa muwe na kampuni mbili moja ya vinywaji na nyingine ya ujezi

😳😳😳😳😳😳

Walish*tuka na kushangaa lkn akaendelea kusema

👨🏿na atuna muda kampuni izo ziwe na majin tofauti lkn mkumbuke lzm ziwe kampuni za kweli nacho sema nakijua na naweza kukifanyia kazi mimi siwezi mwenyewe ila kupitia nyinyi na justine tutafanikiwa maana mzee lameki ana tamaa sana na pia an nguvu sana siwambii kwann nataka ivo ila mtajua

Alimaliza kusema na muda huo huo justine aligawa majukumu ambayo hakuna alie amini

👦🏻sasa tumeekewana mazani kinacho takiwa ni kazi tunacho aza nacho sasa ni hichi

Helen utakuwa mgurugezi kampuni ya joyce civili ltd

Na kampuni hii saa itakuwa chini ya iginasi ila tutafunga mitambo na kuzalisha vinywaji mimi nitaaridu hapo nilip ili nifukuzwe nikifukuzwa nitakuja kampuni moja wapo hapo ili kutia nguvu tutajigawa sote

👩🏾 ivi justeni unasema tu ivo ufikirii kupata nyezo za kazi ufikirii eneo na ...

👦🏻nikwamba nishapanga na kesho ofs zitakuwa tayari ils tambueni sote atuta mtaja mr ombeni kokote ila yeye atatusaidia kitu nacho kitaka kwake ni vinywaji visivyo kuwa na leno ivo ndani ya kampuni iyo iyo sisi tutazalisha vinywaji vetu na kupitia mimi nitamweka keshia mkuu kijanja bila wao kukua kuwa ni wetu naye sio mungine ni mudy na kila kitu kisha kamilika ivyo .pesa nyingi tutabushi kiakili.na kuzitumia uku

👱🏻boss nado kuusu kampuni ya ujezi iyo ulio ipa jina la joyce tusikutupuke tupange iyo ya vinywaji imesha pita

👨🏿 lisikupe shida kila kitu ni pesa mimi nitaongea na mr lio ni mchina ana kampuni kubwa sana ya ujezi iko uganda na kwa kuwa nchi zetu ni marafiki na jumuia yetu inaruhusu kufanya biashara bila kuvunja sheri tutamisha vifa uku na iwe branch tz lkn itumie jina ilo na naomba tumtafyte joyce kwa nguvu zetu zote mpka apatikane na aje kusimamia hii kampuni nitawaambis lengo langu

👦🏻jamani mwanzo ni mgumu naomba tukapumzike ila mimi heleni ,iginas na mr ombeni tutabaki hapa

Joto la wtu wengine liliondoka na wakabaki wtu wanne

Uku kwa frank bado hali ilikuwa ngumu na mr lameki

👴🏻😂😂usiongee sana hayo ya jana saivi tupige kazi kijana

👦🏾mzee unajua mimi sijapenda ulicho fanya jana huyu john unamuaminije ona leo ajsingia nimeanda ofsn kwake mara mbili ayupo

👴🏻ooh aliniambia nimpe siku tano atakuwa amerudi yuko nje ya nchi kuweka mambo yake sawa

👦🏾kwaiyo unafikiri wewe ni mkuu wa kutoa ruhusa tu

👴🏻👴🏻naona uko nje ya uwezo wako wa kufikiri umesahau idara ya ujezi ns usafiri mimi ndo mkuu wao baada juma kustaafu

👦🏾mmmh sawa ok niliongea na dayana kuna kijana anaitwa mudy ni msomi na anafanya kaz bank moja kubwa nchini dubai inabidi tumuajiri hapa

👴🏻wao wao naona maamuzi ya kampuni yanapangiwa nyumbani ok muajiri mtumi barua pepe aache kazi uku aje tumpe nyumba na usfiri kisha tumuajiri hapa kweku

Alisema ivo uku anaondoka lkn mr frank alisha mpa kazi kijana wake amfatilie ivo alisha tegesha kamera yenye uwezo wa kunasa sauti na video ktk ofs ya mr lameki kisiri wakat anatoka ofsn kwa frank ,frank alimwangalia kijana wake naye akamjibu kwa macho
Kuwa kashamaliza kazi

Uku kwa dayana naye alikuwa na dina nyumbani kwake

🏡
👧🏻kwaiyo unafanyaje sasa

👩🏻kwanza nimemsaidia kumpitisha kijana wake ambaye ni rafk yake anaitea mudy ivo nitamtumia uyo uyo ila sasa nataka leo usiku niende nyumbani kwake

👧🏻😳we dayana unajua umeolewa sasa nz una mtoto na una uwakika ata k**a umems**ia mr ombeni lkn uyo sio justine wako na ujue frank anakupenda sana na anaela siuachane naye

👩🏻hapana moyo wangu uko kwa justeni hata unipe nini yule ndiye wangu akufa na nitajua kilicho tokea mpka wa,....

📲
Simu yake iliita na yeye akakata maongezii alipo itazama ni namba ya mtu alie mpa kazi ya kumtafuta joyc aliipokea na kisha kukata na kumwambia diana

👩🏻joyce ameoatikana yuko mexco

👧🏻😳

ITAENDEKA JMOSI

JE nini kitaendelea joyce kashapatikana je justn akijua atafanyaje vipi kusu mpasuko wa ndano ya kampuni ya flay utakuwaje na pezi la dayana na justine litarudi uku helen alie karibu na justn akiwa anajua mumewe mtarajiwa ni justn,. usikose sehemu ya 17

STORY💓MY HEARTmtunzi💓frank baziliSEHEMU_💔1⃣5⃣Wazamini💕my  heart💗lisa lisa(Rita)💗sabrina tetyMtunzi  wa story ☎0764 924 5...
03/10/2016

STORY💓MY HEART
mtunzi💓frank bazili
SEHEMU_💔1⃣5⃣
Wazamini💕my heart
💗lisa lisa(Rita)
💗sabrina tety
Mtunzi wa story
☎0764 924 562
[email protected]
👮🏻👱🏻👩🏾👦🏻👦🏽👨🏻👴🏻🕵

Baada ya kimya cha muda mrefu sasa nimerudi hewani kukuburudisha kwa story tamu za kusisimua kwa wale wapz wa story ya kichawi story ya mji wa wafu itakuwa ikitoka kila jumatano na story hii itakuwa ikitoka jtatu na jmos king frank nimerudi tena online.

TULIO ISHIA 14 KTK STORY YA MY HEART
ndani ya mkutano wa kampuni kubwa ya the flay d m frank ashindwa kuongea chochote na hazima yake ya kumshusha cheo mr lameki yakwama baada y kutumiwa vidoe ambayo atukujua ni video gani lkn mr lameki ainuka na kutawala mkutano amtambulisha mr john ambaye ni mtoto wa mwenye kampuni alie kuja kwa jina lingine sasa tuendelee....

My heart_💔1⃣5⃣

👴🏻ndugu wajumbe na mameneja nazani hatuna la ziada zaidi ya hili na chakula cha mchana kipo tayari nazani ni muda muhafaka kuelekea sehemu usika tukapooze makoo na matumbo yetu

😂😂😂😂😂😂😂

Walicheka na kisha kuinuka na kwenda ukumbi ulio andaliwa kwa chakula cha mchana ndani ya ukumbi wa mkutano alibaki mr lameki na mr frank

👦🏽 wewe mzeee mpuuzi kweli nini hichi unacho nifanyia

👴🏻😂 tulia tulia kijana usiende kwapupa kumbuka mimi ni simba mzee k**a uko tiyari tumwage mchelee uo kila mru ajue uliusika ktk kifo cha madamu

👦🏽 ukito hii video na hizi picha kwani wewe utapona mbona utumii akili

👴🏻😂 wewe ndo utumii akili ukitizama iyo video na izo picha mimi niko hapo twende tukale usije patwa na ugonjwa wa moyo

👦🏽 na kwann umemuingiza mr john kwenye kampuni yangu bila kibali changu

👴🏻😀 naona uko nje ya ufahamu wako ujajua hii kampuni ni ya joyce na marehem justeni au unataka nimtafute joyce nimtibu arudi hapa 😂 kumbuka alikus**ia wewe sio mimi ivo niko nje ya mstari ktk hili

Frank akumjibu kitu badala yake aliamka na kuondoka kujumia kwenye chakula kwakuwa walikuwa wagurugezi wa branch zote za kampuni ya the flay africa walimpongeza john na kutokana alikuwa amefana sana na mtoto wa marehemu ambaye mr lameki ma mr frank walijua wamemuua na kumchona moto nchin marekani (sehemu 4) basi watu walimpenda sana ila kuna mzee mmoja ambaye yeye alikuwa mtu wa karibu sana familia ya madam grec alimwita john na kumwambia

👨🏿 kijana mimi ni mtu wa siku nyingi hapa namiaka 32 kwenye hii kampuni toka ilipo azishwa nilikuwa dereva wa mwenye mali hii na hata alipo fariki na kumwachia mkewe ,mama uyo aliniami sana na kunipa nafasi ya juu sana hapa na badae kuniteuwa kusimamia branch yetu south africa , mmh lkn kabla ya kwenda uko nilishi kwake kipindi wa uhai wa watu wote wawili ninimpenda sana kijanawao justen lkn s**i moja alipo kuja kwangu aliungua na maji ya moto mkono wa kushoto juu ya kiganja akiwa anatoa yai ,akikuwa kesi sana lkn kovu lile alikufutika mkononi mwake ,nilimpenda sana justen hata siku nilipo s**ia anatuma za madawa ya kuleviya nilijua ni game nilimpigia simu mtu walio kuwa wote pamoja mr frank naye aliniaidi atamsaidia lkn akikuwa hivo badala yake alikufa kwa kupigwa risasi uko marekani na kuzikwa huko huo pia nduguye alipatwa na narazi yalio mfanya kuwa hali ya koma mpka leo atujui anatibiwa wapi

👦🏻mmmh una.

👨🏿 tulia kijana nitakuambia baada ya uyo kijana kufa mimi nilifuatilia sehemu mwili waje ulipo chomwa nilichukua sampuli za machivu nikaenda kuzipima na jibu nilibaki nalo moyoni ivo bas najua usha elewa na mimi nitabaki nalo moyoni nikuppngeze kwa hatua ulio fikia ila kuwa na plan mbili maana ukiaka kumpiga adui yako usionyeshe silaa zako zote na pia umzohofishe sehemu moja ya nguvu zake
Asante kwa kunis**iliza mr john

😳
Hapo mr john alisha mjua na aliucheki mkono wake akakumbuka wakati ananawa mikono alikunja shati na alama yake ilionekana na huyu mzee alimkumbua ni mzee ombeni mtu alie kuwa akimpenda ivo ikawa ndiye mtu wakwanza kumgundua kuwa huyu ni justen na sio mr john

Lkn wakt mzee ombeni akionge hayo dayana alikuwa anawas**iliza naye akakumbuka ilo

Jioni alimpigia simu rafk yake dina na wakakutana ndani ya gari lake

🚘
👩🏻sasa leo nimeamini best yule ni justeni sio john

👧🏻kakuambia mwenyewe au

Alimueleza kila kitu alicho kis**ia na hapo ilibidi washangae wote

👧🏻! Inamana hakufa alicheza game na k**a ni ivo mumeo anakitu anajua sasa tufanyaje

👩🏻sasa tumtafute mdogo wake joyce tutajua kila kitu nazani haya mambo yaliazia kifo cha mama yake naisi ile ajali ilitengenezwa

👧🏻 lkn nikimtizama frank awezi kufanya ivo na k**a alifanya kuna mkono upo nyuma yake na una nguvu

👩🏻 mimi naisi mr lameki anajua kila kitu na ndo dereva wa yote haya sasa naomba tushirikiane ndio frank nimeolewa naye na nina mtoto naye lkn k**a nikigundua alinitenganisha kwa hila zake mimi na justen kweli nitakipa kisasi kwayeyote alie uvunja moyo wangu 😭 dina ina niuma inaniuma sana unajua ni kiasi gani nilivyo kuwa nampenda justen unajua ni kiasi gani familia yao ilikuwa inanipenda na kunisamini inanium sana dina😭😭

Machozi yalimtoka akajikuta amemlalia dina begani uku akiwa analia dayana alikuwa anampenda sana justen na mpka sasa anamoenda licha ya kuwa ameolewa na rafk yake lkn akupenda

👩🏻 sasa tutakuwa k**a makachero wa FBI tuandae nyuma na chumba cha siri tutatafutq vijana wasomi wa upelezi wanne na siso tutakuwa ndani yao tutatafuta ubao mkubwa na kuweka picha zao na kumchunguza moja baad ya mwingine na picha itakayo kuwa juu ni mr lameki lkn lazm nirudi kwa justen wangu

Alisema dayana uku akiwa amekunja sura akizamiria kutenda jambo kubwa

Uku kwa justen kile alicho smbiwa na mzee ombeni alikitafajari akaona nikweli usiku huo huo akaita timu yake na kuwaambia

👦🏻wapendwa sasa tunabadili plan

👩🏽 kwann j

👦🏻 sasa tunaye mtu atakaye tupa sapoti kubwa sana ivo tutakuwa na plan kubwa na uyo mtu atakuja kesho hapa ivo kesho wote tuwe hapa saa nne

Walikubali kisha wakaondoka
Justeni alikuna kichwa na akaza kuanda plan mpya

ITAENDELEA ..JTATU SAA MOJA

JE ni plan gani atakayo ianda na vp kuusu mr lameki na mr frank nani atamtingisha mwezake na kumuangusha chini vp kususu mkakati wa dayana mmmh saa ni muda wa kula kumbuka joyce ajapatikana na anajua kila kitu plz usikose sehemu ya 16

STORY: 💓MY HEARTmtunzi 💓frank baziliSEHEMU_💔1⃣4⃣Wazamimi💕my heart💗lisa lisa(Rita)☎0716 144 811💗Sabrina tety☎0756 561 645...
10/09/2016

STORY: 💓MY HEART
mtunzi 💓frank bazili
SEHEMU_💔1⃣4⃣
Wazamimi💕my heart
💗lisa lisa(Rita)
☎0716 144 811
💗Sabrina tety
☎0756 561 645
MTUNZI WA STORY
☎0764 924 562
[email protected]
👮🏻👦🏻👦🏽👩🏻👩🏾👱🏻🙍🏻🙎🏻👬👫

TULIPOishia sehemu ya 13 helen amuomba justen awe mumewe baada ya kazi kuisha lkn kabla ajamjibu dayana akampigia simu tuendele...

My💓 heart💔..1⃣4⃣

💔 justen alimtizama usoni helen kisha akamsimamisha na kumtizama usoni lkn helen aliona aibu ila justn alimwambia helen

👦🏻mmmmh helen

👩🏾 abeeh j

👦🏻 utakuwa mama bora wa familia yangu

Kisha akambusu na kupokea simu ya dayana, alipo maliza kuongea naye waliondoka na helen akaelekea kitengo chao justn alienda tengeru kwenye ziwa duluti alipo fika huko alikutana na dayana

👩🏻 hi mr john

👦🏻hi mrs frank marashi yako mazuri

👩🏻asante

👦🏻mmh umeniitia nini huku

Dayan alimtizama kisha akamtaka wapande mtumbi justn alita boti ndogo ya kisasa kisha wakapakia na kutembea kulizunguka ziwa

Ila muda wote uo sabrina alikuwa karibu yao anawapiga picha bila wenyewe kujua

👩🏻mara ya kwanza kukuona nilikufananisha na justin ambaye ni mpz wangu ni mwanaume nilie mpenda na bado nampenda sana mr john naomba uniambie ukweli umerudi

👦🏻mmmh mrs frank unajua ukiyatazama maji yana fanana ila yana laza tofauti na ndivo mimi nilivyo na uyo unaye msema mimi naitwa john na sio justen sijawai kuwa na mausiano na wewe wala kuongea nawe ila

Alimsogelea na kung'ata s**io uku akimshika kiuno kitu ambacho justen alipenda sana kumfanyia na ndipo sehemu zilipo hisia za mpz za dayana alipo mfanyia ivo kweli alilegea lkn john akamwambia

👦🏻👂🏻 mpende sana mume wako justen alisha kufa

Kisha akamwachia wakarudi hadi yalipo 🚗🚘 muda huo dayan alikuwa ana hisia kali za mapz kutokana na kitu alicho fanyiwa na john wakati anaingia kwenye gari lake aligeuka na kumfata john alimtoa na kumpiga kiss muruwa (kukutanisha ndimi zao \denda) kitendo hicho kilipelekea mazingira kubadilia na john kujisahau dayana naye alimshika justen sehem ambayo alipendaga kumshika wakiwa ktk tendo la faraga mr john akkuonyesha kusisimka alimsukuma na kumwambia

👦🏻😠unaakili wewe unacho fanya unakijua unacho kifanya

👩🏻ndio justen nakijua nakijua na umakijua ulicho nifanyia plz justen bado nakuitaji

👦🏻hahaha wewe kichaa kweli mimi simjui uyo mtu

Alingia kwenye gari kisha akaondoka lkn matukio yote sabrina alipiga picha na kumpelekea mr lameki

👴🏻 waoo waooo kazi nzuri hii nikarata yetu tutakayo itumia kumkandamiza frank zipo nyingi ila hii itakuwa ya mwisho

🙍sawa bos vp kuusu mkutano wakesho siunatenguliwa katka nafasi yak ndani ya kampuni

👴🏻😂😂bint yangu kila kitu duniani binadam ndiye anaye kiongoza usijali tulia kesho tutafanya kitu

🙍sawa boss

Sabrina alimkubalia kisha akondoka

Siku ilio fuata viongozi wakubwa wa kampuni ya the flay walikutana ktk ukumbi mkubwa wa mikutano tiyari kwa kuanza kikao chao frank alifungua kwa kuwakaribisha viongozi wote wa kampuni yake lkn kabla ajaongea mmoja kati ya vijana wake alimwambia kitu kilicho mfanya aangalie simu yake

👦🏽😳😳
Alishangaa alicho kiona mpka akashindwa kuongea chochote muda huo huo mr lameki aliamka na kusema

👴🏻naona mkurugezi mkuu amepatwa na tatizo kidogo lkn akijaaribika kitu zumuni kubwa ni kutaka kuwatambulisha kuwa kampuni yetu imepata mtu mwingine ambaye ameweka hisa na kuwekeza upande wa magari na zani nimkaribishe na tumpitishe k**a kwa kura za ndio

Alimuita justen na kumumtambulisha kwa jina lake la mr john ambaye watu walioo muona walishangaa na kila mtu alimwita

🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣 justen

Lkn mr lameki aliwaeleweshs na wajampitisha ka kura za ndio na frank alisaihi mkataba wa john naye akawa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya the flay

Frank alisahin bila kubisha na alionekana ni mtu mwenye kuwaza kitu kikubwa pia dayana alikuwa mmoja wa watu wenye hisa kwenye kampuni ivo alishangaa kumwona mumewe kwenye hali ile
Baada ya mkutano kuisha mr lameki alimfata mr frank uku akitabasamu .,..

Itaendelea....... alhamisi

Je frank alitumiwa nini kilicho mfanya apoe na kumpa nafasi mr lameki kutawala mkutano na kufanya justen kuingia ndani ya kampuni yao wakimjua kwa jina la mr john usikose sehemu ya 15

STORY: 💓MY HEARTmtunzi:💓frank baziliSEHEMU_💔1⃣3⃣Wazamini 💕my heart💗Lisa lisa Rita☎0716 144 811💗sabrina tety0756 561 645M...
31/08/2016

STORY: 💓MY HEART
mtunzi:💓frank bazili
SEHEMU_💔1⃣3⃣
Wazamini 💕my heart
💗Lisa lisa Rita
☎0716 144 811
💗sabrina tety
0756 561 645
MTUNZI WA STORY
☎ 0764 924 562
[email protected]

Washauri 💕my heart
Mohamedy (mudy)
Shomari hamis

😔MIMI NI BINADAMU KUNA MATATIZO YA VIFAA YAMETOKEA BT NIKIPATA FEDHA NITANUNUA NA STORY ZOTE HII NA YA MJI WA WAFU ZITAPATIKANA KWA MUDA MUAFAKA NISAMEENI KWA KUCHELEWESHA STORY..13

MY 💓heart💔..13

Tulipo ishia 12..dayana amemuona jasten na kumfata lkn akampa cad na kuondoka kwa kwa sasa anatumia jina la john, alipo muambia dina alimshauri kumfatilia bint wa kwanza kumuona naye siku ike ya arusi lkn mr lamek amuagiza sabrina kumfatilia.....TUENDELEE...

"""💓
🚕waliondoka na kwenda moja kwa moja hadi kwa bint alie kuja na john usiku ule kwenye harusi ya mtoto wa mr lameki , aliwapokea vizuri na kwavile alikuwa anaijua familia ya frank ivo alingia na kuketi walipewa vinywaji kisha wakaeleza walicho kijia

👩🏻hahaha hata wewe ni mzuri ok
Kuna kitu nataka unisaidie my

🙎🏽bila shaka niambie kikiwa ndani ya uwezo wangu nitakusaidia

👩🏻 kuhusu huyu mtu je unamjua vipi

🙎🏽😳

Alishangaa kuiona picha ya jasten alimuuliza dayaya

🙎🏽umemjulia wapi huyu mtu bt namjua lkn umemjulia wapi wewe

👩🏻😳nilimjulia kwako
🙎🏽kwangu mmmh mara ya kwanza na ya mwisho kumuona ni siku ile ya harusi ya mtoto wa mr lameki tena sikuweza kuja na ni kwasababu yake

👩🏻😳ukuja kwann ukuja

Aliuliza uku akishangaa kwani alimuona na aliongea naye lkn hata ivo aliaza kush*tuka kitu kwani sauti yake ilikuwa tofauti kidogo na alie ongea naye lkn hata ivo aliwajibu

🙎🏽uyu kijana nilimpamia akiwa anaendesha toyo na aliumia vibaya ikabidi nimpeleke hospital nilipo mfikisha alikuwa amepungukiwa damu ikabidi mimi nimuongezee na nilipo muongezea nilishiwa nguvu na usingizi ukanipitia nilipo amka ilikuwa ni usiku sana mida iyo ilibidi rafk yangu aniendeshe kurudi nyumbani niliumia sana kwani nilimfananisha na kijana aitwae jastn ambaye ata wewe unamjua lkn sikuwa na uwakika , siku ya pili kurudi nilipatwa na zaama ndugu zake walinifukuza na sikuweza kumuona tena mpka leo

👩🏻😳
👧🏻😳

Walishangaa lkn dayana alielewa kitu ivo akamtaka awe msiri na alimwadisia kika kitu hakika siku iyo ilikuwa siku njema sana kwake aliaza kuamamini kuwa yule ni justeni na si john waliondoka na kurudi ofsn muda huo sabrina mwanadada atari alikuwa anawafatilia akujua kilicho ongelewa ndani ila aliwapiga picha

🏢
Ndani ya kampuni ya frank walikuwa na maongezi na mr lameki

👴🏻naona saivi umekuwa unabishana na kauli zangu kila mara unasahau mimi ndiye niliye kuweka kwenye kiti icho na uko juu ya mabega yangu unalijua ilo

👦🏾mmh nisawa lkn unapaswa utambue mimi ni boss kwako

Alimjibu kwa zarau na kusimama kutazama nje kupitia dirisha lake kubwa lillo kuwa linaonyesha maegesho ya magari ya v.i.p

👴🏻 hahahaha

Mr lameki alicheka kisha akainuka na kumfata

👴🏻usijisahau kumbuka utu uzima dawa naitaji hayo magari mr john ayalete kwaajili ya upande wangu

👦🏾 sawa ila saiti ya kampuni lion j uto endelea nayo mr samweli atasimamia na kuazia leo kitengo chako uto ruhusiwa kupokea tenda bila mimi kupitisha

Frank aliongea kwa kujiamini uku mr lamek akimwangalia kwa tabasam zito kisha akamjibu

👴🏻sawa bos ita mameneja wote uwaambie mimi nitakuwa nakuja tu kukaa hapa

Aliondoka uku akicheka mr lameki alikuwa na akili nyingi sana na alikuwa akurupuki alipo rudi ofsn kwake alimwambia sabrina ambaye alikuwa anampa taharifa juu ya uchunguzi wake

🙍🏼😳 sasa tunafanyaje

👴🏻😂 ooh ukitaka kupambana namtu juua uzaifu wake endelea na kazi nikio kupa hapa maisha ni mchezo unatakiwa utumie akili na jitiada kubwa kufika fainali na ujue fainali uzeeni 😂😂😂

Alicheka sana sana kisha akaondoka na kumuacha sabrina ofsn kwake

👦🏻🍸🍹 👩🏽

Justeni na hellen walikutana ktk hoteln kubwa ya kifahari helen alikuwa kapendeza kuliko siku zote

👦🏻waoo unependeza sana

👩🏽asante

👦🏻niambie wito huu na sehemu mzuri k**a hii una lengo gani

👩🏽jay tule kwanza kisha nitakuambia

👦🏻ok

👦🏻🍛🍸🍛🍹👩🏽

👩🏽justen mimi nimekuwa mtu wako wa karibu tumepitia vingi na nidhairi toka niwe nawe sijawai kukukatalia kitu naomba uniaidi utonikatalia nitakacho kuambia

👦🏻😳 kwann unataka nijifunge kifungo nisicho jua nini kosa langu niambie kwanza nini alafu ndo nikujibu

👩🏽mmh (alishusha punzi kisha akamwambia) jay ulipo niomba kitu siku taka kujua ni kitu gani nisawa pengine ninakosea lkn sito kuambia hadi uniambie je utakubali au utakata

👦🏻no usiseme ivo naona uzuni inaza kuutanda uso wako plz niambi sito kataa nitakubali

Hapo helen alimtizama na kumwambia

👩🏽justeni naomba tukimaliza kazi hii tuishi sote nyumba moja na tufunge ndoa takatifu mimi na wewe

👦🏻.....m..

Jsteni alishindwa kujibu kitu na muda huo huo simu ikaita na alipo itizama ilikuwa ni no ya dayana japo alikuwa hana lkn alikuwa anaikumbuka vizuri

Alitizama simu yake kisha akamtiza helen .....

ITAENDELEA ALIAMIS

JE ATAMJIBU NINI ,VP KUHUSU DAYANA AKIGUNDUA UKWELI ATAFANYAJE ,NA VIPI BIFU LINALO AZA LA KIUTAWALA KATI YA MR LAMEKI NA KIJANA ALIE MPANDISHA NA KUFANYA ASHIKE NAFASI KUBWA KTK KAMPUNI DUH USIKOSE SEHEMU YA 14

BY KING FRANK ..NAPOKEA USHAURI WAKO NA NITAUFANYIA KAZI KWA NO ZANGU
0764 924 562

Address

Njiapanda
Himo

Telephone

+255758374408

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Story za kusisimua posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share