Boya Flanii

Boya Flanii Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Boya Flanii, Business Supply Service, Iringa Tanzania, Ilula.

✍️UTATUAMBIA NINI TUKUELEWE??Alishafariki tena ni miaka zaidi ya kumi sasa, aliimba mziki ambao duniani uhuru wa Midia n...
11/11/2025

✍️UTATUAMBIA NINI TUKUELEWE??

Alishafariki tena ni miaka zaidi ya kumi sasa, aliimba mziki ambao duniani uhuru wa Midia na mitandao ya kijamii ulikua ni mdogo sana..

Ila utapozungumza kuhusu kicheza kwa staili ya kusheki au kuanguka kwa kunesa kila mwanadamu atakwambia ayupo k**a Wako jako kwanini?

Mtoto wa miaka ata 10 ambae kazaliwa tayali jako alishakufa anajua vizuri sana history ya ngoma k**a Don't stop till get Enough, Earth song, Thriller,
Hizi ni ngoma bora kutoka kwake uyu

Je huenda uyu ndiye mwanadamu Ambae ni Maarufu kuliko wanadamu Wote duniani au?

✍️ UTATUAMBIA NINI TUKUELEWE??

Maisha ni Fumbo zito Ukifanikiwa mshukuru MuumbaUsipagawe ukaona wasio nacho ni wavivu Kila Mwanadamu kapangiwa fungu la...
06/11/2025

Maisha ni Fumbo zito
Ukifanikiwa mshukuru Muumba
Usipagawe ukaona wasio nacho ni wavivu
Kila Mwanadamu kapangiwa fungu lake..

Nakutakia Kazi Njema Mtu wa Mungu 🙏

✍️ SINA MIPAKA YA KUTOA UHAI..Upo kwenye harakati za kukomaa kutafuta pesa ukomboe familia yako na wazazi kiujumla, wame...
25/10/2025

✍️ SINA MIPAKA YA KUTOA UHAI..

Upo kwenye harakati za kukomaa kutafuta pesa ukomboe familia yako na wazazi kiujumla, wamekusomesha kwa shida, mama alidiriki ata kuuza khanga, vyombo usome

Faza aliingia chimbo, alitapeli,aliiba, lengo usome tu
Una mwanamke uliwahi kumuahidi ukipata kazi utaludi kumlipia mahali ili umuoe, unapata kazi na mshahara safi.

Baada ya mwaka tu au miezi 6 ya mwanga kidogo tu unapata homa kali ukiwa hospital unawaza unaacha hao watu muhimu wewe utafariki nafsi na mwili vitatengana ..

Ila Kifo adui wa kila mwanadamu yeye jibu na maelezo Yake ni kuwa sio wewe tu bali ata hao unaowawaza nitawachukua na sitoangalia watakua wapi,saa ngapi
,wakiwa wanafanyaje, kiufupi

✍️SINA MIPAKA YA KUTOA UHAI

14 Blade Yake bwana mkubwa Don yen Oya mkuu we k**a unataka movie zenye mkono Na zenye harakati za Mapinduzi ya kijeshi ...
24/10/2025

14 Blade Yake bwana mkubwa Don yen
Oya mkuu we k**a unataka movie zenye mkono
Na zenye harakati za Mapinduzi ya kijeshi

Usaliti , Bifu, visa, mikasa , wizi, uhuni, vyote utapata humu ndani full ujasusi yaani kiufupi hii ngoma ilikamilika mnoo

Unasema stering hafi ila cha moto hukiona basi Don yen humu ndani alikubali mziki ukiona pambano anakimbia Don ujue hilo ni zaidi ya pambano

Oyaa kwa heshima tukapoteze muda tuburudike na
14 Blade 🔥🔥

🚨Wydad Athletic imefikia makubaliano kamili ya kumsajili winga wa zamani wa Chelsea, Ajax Galatasaray FK Hakim Ziyech mw...
22/10/2025

🚨Wydad Athletic imefikia makubaliano kamili ya kumsajili winga wa zamani wa Chelsea, Ajax Galatasaray FK Hakim Ziyech mwenye umri wa miaka 32 k**a mchezaji huru🇲🇦 🔴

Source Fabrizio Romano.

🚨 Erling Haaland ameifikia Rekodi ya Cristiano Ronaldo ya kufunga bao kwa kila mchezo katika michezo 12 mfululizo✍️ Erli...
21/10/2025

🚨 Erling Haaland ameifikia Rekodi ya Cristiano Ronaldo ya kufunga bao kwa kila mchezo katika michezo 12 mfululizo

✍️ Erling Haaland msimu huu mapama sasa
🏟 Michezo - 14
⚽️ Mabao - 23
🅰️ Asisst - 03

⚽ vs. Villarreal
⚽⚽ vs. Everton
⚽⚽⚽ vs. Israel 🇮🇱
⚽ vs. Brentford
⚽⚽ vs. Monaco
⚽⚽ vs. Burnley
⚽ vs. Arsenal
⚽ vs. Napoli
⚽ vs. Man Utd
⚽⚽⚽⚽⚽ vs. Moldova 🇲🇩
⚽ vs. Finland 🇫🇮
⚽ vs. Brighton

Kuanzia Mwaka 2023 Arsenal kapoteza mchezo moja tu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya akiwa Nyumbani..Tena dhidi ya Psg..Leo wata...
21/10/2025

Kuanzia Mwaka 2023 Arsenal kapoteza mchezo moja tu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya akiwa Nyumbani..

Tena dhidi ya Psg..

Leo watakua Nyumbani kuwakaribisha AT. Madrid

💪 MUNGU ANAJUA anakokota Mali anaificha afu anakwambia kaa dogo Apa nikupe pasi ufunge huelewi tokea muda amekwambia Fed...
20/10/2025

💪 MUNGU ANAJUA
anakokota Mali anaificha afu anakwambia kaa dogo Apa nikupe pasi ufunge huelewi tokea muda amekwambia Fedha na dhahabu ni vyangu utavipata nitafute mimi we hukai Engo nzuri unaenda kwa Mganga wakati ni kiungo asie na ubunifu tunajua..

💪MUNGU ANAFURAHISHA
Bado akichukua Mali anaificha anataka ukimbie karibu na lango inakuja upige tu kichwa daah, Mbona alisema kabisa Ufalme wa Mungu lazima utende mema asa wewe kwanini unatapeli yanini unabaka, kwanini unamnyanyasa mjane na yatima kaa kwenye code ball linakuja oyaa we.

💪🙏 Ni siku nyingine ya uzima naamini tumeamka salama tuwaombee wagonjwa warejee kwenye hali zao , Tumsifu MUNGU. UWE NA SIKU NJEMA

Geremi Njitap🇨🇲: ‘’Eto’o kusaidia watu!? Ni sahihi kwake…! Mimi sio Eto’o…! pesa zangu ni za kwangu na yeye anabaki kuwa...
20/10/2025

Geremi Njitap🇨🇲: ‘’Eto’o kusaidia watu!? Ni sahihi kwake…! Mimi sio Eto’o…! pesa zangu ni za kwangu na yeye anabaki kuwa yeye na mimi sio yeye”

“Sikuteseka kwa miaka mingi kuja kuokoa mtu au ulimwengu na baadhi ya ndugu zangu hata hunilalamikia kwa nini siwapi hela zangu lakini sijali kwa sababu nisingekuwa na pesa wasingenitafuta pia”

“Nimepata pesa kwa sababu ya mpira na nisingecheza mpira nani angekuwa tayari kunisaidia!? Sinunui huruma. Hutasikia kwamba nilitoa mchango mkubwa kwa mtu.”

“Hata mlinzi wangu pale nyumbani hana sahani ya chakula kwa sababu mshahara wake unatosha na tulikubaliana hivyo”

😂 Ndio UBAYA UBWELA!?

17/10/2025

Mboneke on the Top

ILA AYA MAISHA 😭

Kylian Mbappé amefanikiwa kufunga mabao katika mechi 10 mfululizo zilizopita.Rekodi ndefu zaidi ya kufunga mechi mfululi...
16/10/2025

Kylian Mbappé amefanikiwa kufunga mabao katika mechi 10 mfululizo zilizopita.

Rekodi ndefu zaidi ya kufunga mechi mfululizo ni ya Lionel Messi aliyetikisa nyavu katika michezo 21 mfululizo msimu wa 2012/13

🚨 BREAKING: klabu ya Bayern Munich imeingia kwenye mbio za kumsajili kiungo wa Manchester United  Bruno Fernandes.Nyota ...
16/10/2025

🚨 BREAKING: klabu ya Bayern Munich imeingia kwenye mbio za kumsajili kiungo wa Manchester United Bruno Fernandes.

Nyota huyo wa Ureno anaweza kupatikana kwa kias cha £40m baada ya kukataa kuhamia Saudi Arabia msimu wa joto.

Source 3434

Address

Iringa Tanzania
Ilula

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Boya Flanii posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share