01/12/2025
*KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI NA UGUMBA (Fallopian tube blockage)*
Habari.
Kwa majina naitwa Mshana, ninasaidia wale wenye changamoto mbalimbali za kiafya kwa kutumia mimea asilia.
Ninatibu magonjwa zaid ya 30 kupitia mimea na vyakula asilia. Karibu.
Kwa siku ya leo ningependa kuzungumzia moja ya ugonjwa hatari sana unaowakumba zaid wanawake na kupelekea Ugumba na mbaya zaid ni ngumu na inawachukua muda wanawake wengi kuja kujua wanachangamoto hii, nayo ni KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI ( FALLOPIAN TUBE BLOCKAGE).
Awali ya yote tuungalie kwa muhtasari mfumk wa uzazi wa Mwanamke ( Female Reproductive System).
Mfumo wa uzazi wa mwanamke umeundwa kwa vitu 3 O***y, Uterus (fuko la uzazi) na mirija ya falopia ( Fallopin Tube).
O***y zipo 2 ( hizi zinatunza mayai na kuyaruhusu yatoke kwa muda maalum kwenda kurutubishwa na manii). O***y zimeunganishwa na uterus kwa Mirija ya fallopia. Kwenye uterus ndipo Mimba inapokaa na kukua
Kukitokea changamoto yoyote katika vitu hivyo 3 basi uwezekano wa kupata mimba unakuwa.
Leo tuzungumzie Changamoto ya kuziba au uvimbe katika mirija ya fallopio, tutangalia chanzo chake, dalili zake, athari zake na pia matibabu yake.
Kwa mujibu wa jarida la Medical News Today " Uvimbe au kuziba kwa mirija ya uzazi ni hali ambayo mirija hiyo inakiwa na kizuizi au kuziba. Kuziba kwa mirija hii huweza kusababisha yai kushindwa kukutana na mbegu za mwanaume wakati wa kufanya tendo la ndoa hali ambayo inaweza kuathiri upataji mimba wa mwanamke na kupelekea UGUMBA.
Mwaka 2023Madaktari kutoka Mayo Clinic walisema " Mara nyingi ni ngumu kwa mwanamke kutambua k**a mirija hii imeziba kwani huwa inakawaida ya kujifunga na kujifungua".
Mhanga anaweza kujua k**a anatatizo lwa kufanya X - ray, Ultrasound na Oparesheni.
*VISABABISHI VINAVYOPELEKEA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA*
*_Kwa mujibu wa (Mayo Clinic, 2023; NIH, 2022)_*
Vifuatavyo ni visababishi vya kuziba kwa mirija ya UZAIZ:⤵️⤵️⤵️
1.*MAAMBUKIZI YA MUDA MREFU KATIKA VIA VYA UZAZI (PID)*
2.*KUTU