20/10/2021
⭐ FURSA Kwa Vijana Kuanzisha Football Academy ya Watoto, ⚽💰 (Kumuingiza Kipato bila Kumbana)
Kwa Mashabiki wa Mpira haswa vijana, Wenye Uelewa k**a Makocha wa Mpira na kujua Uchezwaji kufundisha kwake! Wanaweza anzisha kituo cha mafunzo ya mpira wa miguu haswa kwa watoto under 18, kwani Ulaya na Afrika Magharibi wachezaji wengi huibukia kupitia vituo hivi mfano Ronaldo, Mess..
Unaweza kuanzisha hata ukiwa Manyoni Dodoma, au Kakonko Kigoma, kinachohitajika ni kiwanja waweza Omba hata cha Shule za Misingi, Vijiji na kinafuata ni kutoa hamasa na kujitangaza kwa wazazi kuhusu umuhimu wa kukuza vipaji kwani ni Ajira kwa mifano ya Mbwana samataa Simon Msuvaa. Na Hayo ni mafunzo k**a Tuition mtoto anapotoka Shuleni.
-Watakiwa Uwe na Mipira , Coni, Bibs, Jezi filimbi n.k
-Wazazi wengi wamekuwa ni mashabiki wa mipira na wengine walitamani kuwa wachezaji hivyo wakisikia k**a kuna Tuition ya mafunzo ya mpira jioni watawaruhusu, waweza fanya mijini au Vijijini.
"K**a wazazi wanaweza kutoa Ada Katika Private Schools ni Rahisi kuwaruhusu kujiunga na Academy za Mpira kwa Ajili yaAfya na Vipaji kukuzwa"
-Utawatoza Ada kwa mafunzo ya academic kwa mwezi mfano, Ukiwa na watoto 30 Vikosi viwili na Sub yaani Wote wakalipa Elfu 10 kwa mwezi Utakuwa Unayo 300k per each month,
-Pia wachezaji watatakiwa wawe na vifaa vya michezo k**a jezi viatu, mpira vyote hivyo unaweza waambia wanunue toka kwako, na faida mara dufu.
Yakupasa kuchukua masaa 3 tu kuanzia saa 9 mpaka 12, kila jioni
-first aidkit na uwezo wa kuhudumia, Bima, Uwe na Emergency help toka hospitali eg Ambulance
"Hili ni Jambo ambalo vijana wanaweza JiPatia kipato na Huku Wakiendelea KuSubiria Mikeka Waliyobashiri kuShinda"
Like page comment Share follow
Modekai Njalalee