Miliki biashara yako

Miliki biashara yako Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Miliki biashara yako, Business service, Zanzibar, Zanzibar.

Nawasaidia watu kutengeneza kipato kwa muda wa ziada

οΏ½ Vijana
οΏ½Wanachuo
οΏ½Waajiriwa
οΏ½Wamama nyumba

kupata muongozo namna ya kuanza biashara kwa mtaji mdogo

call/WhatsApp 0776077728

Utaweza kuanza Biashara pale ambapo Ujasiri wako utakutana na NIA. Unaweza kuwa na mtaji lakini K**a hauna NIA utashindw...
31/05/2024

Utaweza kuanza Biashara pale ambapo Ujasiri wako utakutana na NIA. Unaweza kuwa na mtaji lakini K**a hauna NIA utashindwa kufanya Maamuzi kwa hofu ya kupoteza Mtaji. Lakini ukishakuwa na NIA , unatengeneza Nguvu ya USUMAKU around you, mtaji utaupata tu.

Sometime, ili thamani yako kwenye maisha iweze kuongezeka unahitaji kufanya MABADILIKO madogo tu kwenye namna unavyofany...
31/05/2024

Sometime, ili thamani yako kwenye maisha iweze kuongezeka unahitaji kufanya MABADILIKO madogo tu kwenye namna unavyofanya vitu vyako vya msingi.

Unapohitimu CHUO unakuwa k**a hilo Indi bichi, LAKINI unapoanza kufanya Shughuli mbalimbali zinazoleta impact kwenye jamii k**a vile BIASHARA inayotatua changamoto za watu, thamani Yako inapanda unaanza kuvutia wengine k**a vile Muindi uliochomwa vizuri. Fanya biashara zinazokusaidia kuipandisha thamani yako (personal development), sio kila biashara inaweza kuipandisha thamani yako. Sio tu kufikiria hela hela helaaa, unataka kuwa Mtu wa namna gani baada ya muda fulani kupitia biashara unayoianza? (Growth) Unaweza kunicheck DM nikupatie mwongozo wa kufanya biashara in a professional way.

π—ͺ𝗔𝗧𝗨 π—ͺπ—˜π—‘π—šπ—œ π—›π—¨π—π—¨π—§π—œπ—” π—•π—”π—”π——π—”π—˜ π—žπ—ͺ𝗔 π—žπ—¨π—£π—¨π—¨π—­π—œπ—” 𝗛𝗔𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗒Leo wewe yajue na ujiepushee..1. Jiepushe na watu wasio na malengo na w...
30/11/2023

π—ͺ𝗔𝗧𝗨 π—ͺπ—˜π—‘π—šπ—œ π—›π—¨π—π—¨π—§π—œπ—” π—•π—”π—”π——π—”π—˜ π—žπ—ͺ𝗔 π—žπ—¨π—£π—¨π—¨π—­π—œπ—” 𝗛𝗔𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗒

Leo wewe yajue na ujiepushee..

1. Jiepushe na watu wasio na malengo na wasiojua kusudi lao la kuja duniani, watakupotezea muda na kukukatisha
tamaa na hutojifunza kitu cha kukusaidia kwao.

2. Mahusiano sahihi tu ndio yatakusaidia kutimiza malengo
yako na ndoto zako. K**a hayakusaidii yanakuharibia.

3. Kadri unavyozidi kujitambua na kuonekana ni mtu unayejua nini
unatafuta, watu wataacha
KUKUTUMIA VIBAYA na kukupa thamani.

4. Utaanza kukutana na watu sahihi wa kukuvusha na kukupa fursa kubwa pale UTAKAPOANZA
KUCHUKUA HATUA kubadilit
maisha yako.

5. Kujiamini ni hatua ya kwanza itakayobadilisha
maisha yako kwenye vitu vingi....

6. Jifunze kusema HAPANA kwa mambo usiyoyapenda. K**a hujui kusema hapana Kuna watu watatumia huo udhaifu wako
vibaya kukuumiza

7. Siku unazopoteza hupelekea
kupoteza miezi na miaka. Mwisho
utapoteza muda mwingi pasipo
kufanya chochote. Usikubali siku ipite hujafanya jambo la maana.

8. Mtu wa kwanza kukusaidia kutimiza malengo na ndoto zako ni wewe mwenyewe,
Usipoteze muda kusubiri mtu
mwingine kukuvuta juu.

9. Acha Kufanya mambo nusunusu na kuishia njiani. Hakuna kitu utafanya itaonekana kikubwa
k**a ni mtu wa kuishia njiani kwenye mipango yako.

10. Tafuta kitu cha kuuza.
K**a unafikiria kuwa na pesa nyingi na akiba baadae ni
muhimu uwe na kitu cha kuuza.

π—žπ—¨π— π—•π—¨π—žπ—”β€¦
MAJUTO ni mjukuu,
k**a hutochukua hatua sasa ipo siku utakua unajilaumu
sana huku ukisema
"ningejua" .

K**a hutamani kujuta tena na huna kazi wala mchongo wowote wa kufanya ili kuingiza kipata iwe umemaliza chuo au upo chuo,mtaani na huna kazi

Call 0776077728

Hujishughulishi wala hupambani, umeshikilia misemo ya NEVER GIVE UP sijui ONE DAY YES. Broo mafanikio hayaji kwa kauli m...
19/09/2023

Hujishughulishi wala hupambani, umeshikilia misemo ya NEVER GIVE UP sijui ONE DAY YES. Broo mafanikio hayaji kwa kauli mbiu,mafanikio yanakuja kwa kufanya kazi!.

Je unatafuta biashara ya kufanya bila ya kuathiri shughuli zako za Kila siku nitume ujumbe what's App 0776077728

Zaidi ya wasomi….900,000 wanahitimu kila mwaka 2%_ 3% hupata ajira Nifanye shughuli gani itakayo nitoa kutoka kwenye ute...
10/02/2023

Zaidi ya wasomi….

900,000 wanahitimu kila mwaka 2%_ 3% hupata ajira

Nifanye shughuli gani itakayo nitoa kutoka kwenye utegemezi wa ajira ,
Biashara aina mojakwenda kwenye uhuru wa kipato katika miaka 2 hadi 5?
Ina shangaza ni kwa kiasi gani baadhi ya watu wanaona kujitoa na kuweka dhamira ya kujenga biashara zao ndani ya miaka 2 -5 ni kipindi kirefu sana kuondokana na umasikini au Maisha duni ……

lakini hawaoni kukaa miaka 40 katika ajira ni muda mrefu bila ya kuwa na kipato kinachokidhi na kuishia katika umasikini au Maisha duni…

huenda hii inakusumbua k**a kijana mwenye malengo ngoja nikupe hii kuliko kukaa buree

kijana ukitaka kuajiriwa anza na kujitolea, lakini ukitaka kujiajiri, Anza kujitoa kuna tofauti kubwa kimaslahi kati ya kujitolea na kujitoa acha kuzurura mtaani kutafuta kazi nzuri amua moja eidha ujitolee kwenye kazi za watu au ujitoe muhanga kwenye biashara yako

huenda unawaza utafanya biashara gani ambayo utaijenga na kuweza kutimiza malengo wengi pia huwaza Mbona sina mtaji unatambua kuwa mtaji wako siyo hela maana wengi wanapesa na hawafanyi biashara na wameshawahi kufanya na zimepotea napenda kukupa mwongozo ambao utakusaidia kujenga biashara ya uhakika mitandaoni karibu ujifunze.
Hapa
πŸ‘‡πŸ‘‡

077607-7728

https://wa.me//255776077728

  : USISOME HAPA: >> K**a Hautak Kujifunzaa Jinsi Ya Kujiongezea Kipato Kwa Kutumia Muda Wako Wa Ziada..........Kila Mmo...
10/02/2023

: USISOME HAPA: >> K**a Hautak Kujifunzaa Jinsi Ya Kujiongezea Kipato Kwa Kutumia Muda Wako Wa Ziada..........

Kila Mmoja Yuk Kwenye Mapambano Ya Kutafuta Mafanikio ..........
... Lakini Kinacho Tofautisha Kati Ya Wanao Fanikiwa na Wasio Fanikiw ........

Ni......

( .... Njia Wanazo Zitumia Kutafuta Hayo Mafanikio ..... )

Inawezekana Kabisa Huyu Ni Wewe.. ....

β–ͺ️Umeajiriwa na Mshahara Wako Hautoshi Kabisa Kukizidhi Mahitaji Yak ......

β–ͺ️Umejikuta Kwenye Madeni Ya Mara Kwa Mara.......

β–ͺ️Umewai Kujaribu Kuanzisha Biashara Lakini Zinakufa Baada ya Muda Fulani .....
...Au Biashara Yako Haikupatii Faida Kulingana na Muda Au Mtaji Uliowekeza.....

β–ͺ️ Huna Kazi Wala Biashara Na Majukumu Yamekuandam......

β–ͺ️Umetafuta Kazi Kwa Muda Mrefu Lakini Imeshindikana .....
... K**a Jibu Ni Ndio Basi Nina Habari Njema Sana Kwaajili Yako Kwani ......

Tumekuandalia Mafunzo Na Muongozo BUREE Kabisa Kupitia WhatsApp Ambapo Utajifunza.......

*Jinsi Ya Kutumia Muda Wako Wa Ziada Kujiongezea Kipato*
.... Ngoja Nikuibie Siri Kidogo

K**a Hutokua Na Tabia Ya Kujifunza Maarifa Mapya Kila Siku .........
... Basi Ni Ngumu Sana Kuweza Kubadilisha Hali Uliyo Nay Kwenye Maish Yak..
.. Ili Kupata Nafasi Ya Kuhudhuruia Mafunzo Haya Bure Kabisa Kupitia WhatsApp......
... Basi Gusa Link Hapa Chini
.... Kumbuka Hatutoi Mafunzo Haya Kwa Kila Mtu Huwa Tinatoa Muongozo Huu BURE Kwa Watu 15 tu Kila Mwezi .......

Na So Far Tumesha Wasaidia Watu Watano Kufahamu .....
.. Jinsi Ya Kutumia Muda Wako Wa Ziada Kujiongezea Kipato .......
... Na Kwa Sasa Zimebaki Nafasi 10 tu
.. Hivyo Gusa Link Hapa Chini Ili Kupata Muongozo Huu Sasa Hivi ......

πŸ“’ Au Tupigie Simu Sasa Hivi Kwa Namba ..... !!!

πŸ“žπŸ“ž 077607-7728

https://wa.me/255776077728

Utapata mafunzo bure ya kujua huduma tunazo toa pia Utapata muongozo kuhusu namna utavyolipwa  na kupata faida kubwa kil...
18/01/2023

Utapata mafunzo bure ya kujua huduma tunazo toa pia Utapata muongozo kuhusu namna utavyolipwa na kupata faida kubwa kila week

Pata muongozo zaid
Save me Juma othman hlf nitumie ujumve6jina lako WhatsApp

I got new freinds πŸ˜‚
12/01/2023

I got new freinds πŸ˜‚

β€’ ANZA BIASHARA KWA MTAJI WA ELFU  AROBAINI NA SITA (50,000/=) TUKwa Mtaji Mdogo wa 50,000/= Unaanza Biashara na Kampuni...
30/12/2022

β€’ ANZA BIASHARA KWA MTAJI WA ELFU AROBAINI NA SITA (50,000/=) TU

Kwa Mtaji Mdogo wa 50,000/= Unaanza Biashara na Kampuni Bora yenye bidhaa Bora
Zenye Viwango Vya kimataifa

***Chukua HATUA, Wakati wa Kuanza ni SASA HIVI

***Kuna WALIOFANIKIWA kwa kuanza Biashara HII na WALIKUA HAWAJUI CHOCHOTE kuhusu Bright future k**a ulivyo wewe Sasa

***Waliamua KUANZA BIASHARA na KUJIFUNZA KUTOKA KWA WAZOEFU Hatimaye na WaO WAMEWEZA

Hata wewe Utaweza UKIAMUA

*** Kuna walioanza BIASHARA na Walikua na π•„π•’π•šπ•€π•™π•’ Magumu Kuliko wewe , kwa UTHUBUTU waO wa kuchukua hatua bila kujali , KAZI ANAYOFANYA SASA HIVI, JINSIA, UMRI, KIWANGO CHA ELIMU etc. Leo HII Wameweza kufanikiwa na BIASHARA ya bright futureimebadilisha Maisha yao

MUHIMUπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Bright future company ni kwaajili ya Watu Wote
1)WAAJIRIWA HII itakua ni kazi yako ya MUDA WA ZIADA ya KUJIONGEZEA KIPATO na UNAIFANYA HATA UKIWA KAZINI Bila KUATHIRI MAJUKUMU YAKO YA KAZI coz bidhaa zinahitajika na wewe , familia yako na Unaofanya nao kazi pale Ofisini Kwako wanazihitaji BIDHAA ZA kampuni Pamoja na Ndugu jamaa na marafiki Zao , wewe ndiye Utakua Daraja la kuwaunganisha Wao na BFSUMA

2)WAFANYA BIASHARA pia wanaweza kua mawakala wa Better future kwani Wateja wa Better future ni wewe na Jamii inayokuzunguka ikiwemo wateja wako katika BIASHARA unayoifanya sasa hivi

3)WASIO NA KAZI/AJIRA Unaweza kujiajiri kupitia kampuni ukapata kazi ya kufanya yenye kipato kizuri

4) WANAFUNZI inawafaa pia kwa sababu BIDHAA za kampuni zinahitajika na wewe Mwenyewe,Ndugu,jamaa na MARAFIKI zako, Walimu /Wakufunzi wako, Pia Wanafunzi wenzako Wanao Ndugu jamaa na Marafiki watakaopata Huduma ya kampuni kupitia wewe Na Hii ni Baada ya kujua Huduma ya Bidhaa Bora za BFSUMA ZINAPATIKANA kwako

5)WAKULIMA pia inawafaa , WAJASIRIAMALI MBALIMBALI

NOTE:
ELIMU Ya KIWANGO/LEVEL yoyote ile unaweza kua Wakala wa kampuni , Bila kujali UMESOMEA NINI kwa kua huku BFSUMA kila Anayekuja hupatiwa Elimu kuifahamu KAMPUNI YA Better future,bidhaa za Better future , Mpango masoko wa Better future na UTAFUNDISHWA namna ya KUKUZA SOKO LA BIDHAA PAMOJA NA BIASHARA YAKO

Biashara ya mtandao moja ya biashara inayozidi kukua kwa kasi kubwa zaidi katika karne tuliyo nayo sasa!Imeonekana kuwa ...
26/12/2022

Biashara ya mtandao moja ya biashara inayozidi kukua kwa kasi kubwa zaidi katika karne tuliyo nayo sasa!

Imeonekana kuwa makampuni yanayofanya biashara kwa mtindo huu, yana tabia ya kukua kwa kasi sana na kudumisha ukuaji huo kwa muda mrefu zaidi kuliko makampuni yanayotumia mfumo wa biashara wa kawaida (traditional businesses)!

Hadi kufikia 2011, biashara za mtandao zilikaridiwa kufikia kuwa na thamani ya dola bilioni 100 zikiwa zinatengeneza faida kubwa sana!

Haikushangaza kumsikia tajiri mkubwa duniani, Bill Gates, anayemiki kampuni ya software za kompyuta akisema kuwa k**a ataruhusiwa kuanza upya biashara, atafanya biashara ya mtandao (network marketing)!

Haya jiulize wewe unamiliki biashara iliyo katika mfumo upi?

Na k**a huna mfumo wowote wa biashara unaoumiliki nakushauri utafute sasahivi kabla ya 2023 utajishukuru baadae!

Mapinduzi ya teknolojia yanavyozidi kufanyika, hakikisha na Wewe unakuwa miongoni mwa mapinduzi hayo kwa kubadilika binafsi😊

with the technology!

*SIKIA CHAMPION!...*Lala Chumba Chenye Utulivu Wa Nafsi Sio Makelele. Usijenge Tundu, Jenga Dirisha Uone Jua Linavyotoka...
26/12/2022

*SIKIA CHAMPION!...*

Lala Chumba Chenye Utulivu Wa Nafsi Sio Makelele.

Usijenge Tundu, Jenga Dirisha Uone Jua Linavyotoka Na Linavyozama.

Tembelea Maeneo Ya Watu Wenye Furaha.

Pita Njia Zenye Kijani Kibichi Ufurahie"Nature".

Nenda Ukale Chakula Sehemu Inayoupa Ubongo Wako Pumziko La Akili.

Kutana Na Watu Wanaozungumzia Umuhimu Wako Sio Ukapuku Au Kufulia Au Kugaagaa Kwako.

Sikiliza Muziki Unaokubembeleza Na Kuinua "Spirit" Yako Sio Kukukumbusha Matatizo Ya Dunia.
________________________
Hali Ya Hewa Ndani Ya Nafsi Yako Inaathiriwa Sana Na Mazingira Yaliyokuzunguka!

Jikubali Chukua hatua πŸ’ͺ

Sikuwahi kuamini k**a naweza kufanikiwa nikiwa nje ya mfumo wa ajira.....k**a ilivyo kwa kila Mtu hamu yake ni asome na ...
26/12/2022

Sikuwahi kuamini k**a naweza kufanikiwa nikiwa nje ya mfumo wa ajira.....k**a ilivyo kwa kila Mtu hamu yake ni asome na apate ajira ndivo ilivokuwa kwangu.,..Yes wengi tunawaza hivi..na inawezekana tuko sahihi kwa upande Fulani....

Baada ya Masomo yangu kuisha na kumaliza shahada ya UALIMU kutoka chuo kikuu Cha Dar es salaam..nilifanikiwa kupata ajira..nabaada ya muda niliona sitaweza kufikia malengo yangu kupitia ajira pekee k**a nilivokuwa natarajia

Ndipo nilipoanza kujishughulisha na shughuli mbalimbali k**a kuuza vitafunwa...kuuza viatu...nk

Lakini kutokana na muda kuwa mdogo biashara hizi hazikuweza kunipa mafanikio nilioitaji...nandipo nikaamua kuanza kufanya utafiti wa MFUMO utaonifaaa....

Nilikutana na biashara hii nitayoenda kufundisha na hii biashara ndio iliyobadili Mtazamo wangu na kuanza kunipa mafanikio niliyoyaitaji ..

Ni BIASHARA ambayo unaweza kuifanya kwa muda wako ziada au Kwa muda wako wote....

Nibiashara ambayo k**a utakuwa serias basi utaweza kufanikiwa paspokujali elimu..jinsia..muda wala chochote ..

Ninaitaji watu 10 tu wenye Nia ya kufanikiwa

Ambao watakuwa tayari kujifunza mfumo naoufanya na kuanza Biashara

Mawasiliani:077607-7728...au bonyeza link kwenye bio

Address

Zanzibar
Zanzibar

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Miliki biashara yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Miliki biashara yako:

Share