AFYA BORA

AFYA BORA To know your health and opotunities which help u to build your health and life

Hello!! Jomview !!! ---*USHAURI WANGU BINAFSI KWA WALE WOTE WENYE MATATIZO YA NWELE KUKATIKA KATIKAMdogo wangu mpendwa, ...
10/06/2025

Hello!! Jomview !!!

---

*USHAURI WANGU BINAFSI KWA WALE WOTE WENYE MATATIZO YA NWELE KUKATIKA KATIKA

Mdogo wangu mpendwa, matatizo ya nywele kukatika na kuwasha yanaweza kutatuliwa hatua kwa hatua. Fuata haya kwa uangalifu:

1. *Epuka kusuka kwa nguvu* – Acha kusuka kila mara na ukisuka, hakikisha haitanuki au kuvuta nywele.
2. *Tumia mafuta ya asili* – K**a mafuta ya n**i, castor oil au olive oil kila baada ya kuosha kichwa.
3. *Osha nywele mara 1-2 kwa wiki* – Tumia shampoo isiyo na kemikali kali (sulfate-free).
4. *Lishe bora* – Kula mboga, matunda, mayai, karanga na maji ya kutosha kila siku.
5. *Jiepushe na dawa kali* – K**a hujatumia dawa za kurefusha au kulainisha nywele, endelea na njia za asili.

---

*MWONGOZO WA JUMLA KWA WASICHANA KUHUSU NYWELE:*

- Safisha nywele kwa mpangilio wa mara kwa mara.
- Tumia mafuta ya asili kulainisha na kulinda nywele.
- Epuka kutumia joto kali sana k**a pasi ya nywele mara kwa mara.
- Usisuke nywele kwa nguvu au staili zinazovuta mizizi.
- Kula vizuri ili mwili upate virutubisho vya kusaidia nywele kukua na kuwa imara.
- Pata usingizi wa kutosha na epuka msongo wa mawazo.

---

Jomview.Rs.com From Zanzibar

26/01/2022
TUMIA MULTIMACA KUONDOA TATIZO LA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE.MULTIMACA ni kirutubisho kilichotengenezezwa kw...
03/06/2021

TUMIA MULTIMACA KUONDOA TATIZO LA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE.

MULTIMACA ni kirutubisho kilichotengenezezwa kwa mizizi ya mmea unaoitwa maca unaopatikana nchini peru huko amerika ya kusini. Watu wa huko wanaitumia kwa ajili ya kuboresha mfumo wa uzazi kwa kuongeza nguvu za kiume na kuondoa tatizo la ugumba kwa wanawake.

FAIDA ZA KUTUMIA MULTIMACA.
1. HUSAIDIA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME NA STAMINA YA MWILI.

2. HUONDOA UCHOVU MWILINI HASA PALE UNAPOMALIZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA. MARA NYINGI WANAUME WENGI WAMEKUWA WAKIKUMBWA NA TATIZO HILO SANA. YAANI AKIMALIZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA ANACHOKA NA ANASINZIA OVYO.

3. HUSAIDIA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA MWANAMKE NA MWANAUME.

4. HUIMARISHA MISULI YA UUME ULIOLEGEA NA KUUWEZESHA KUSIMAMA KWA MUDA MREFU.

5. HUSAIDIA KUONDOA UCHOVU UNAPOKUWA KAZINI PIA INASAIDIA KUONGEZA KUMBUKUMBU.

6. INAONGEZA IDADI YA MBEGU NA KUZIFANYA KUWA NA AFYA BORA. PIA ZINATAOKA KWA WINGI SANA.

7. PIA INASAIDIA KURUTUBISHA MAYAI YA MWANAMKE. KUNA WANAWAKE WENGI WAMEKAA KWENYE NDOA KWA MUDA MREFU NA WAMEKUWA WAKIHANGAIKA KUTAFUTA MTOTO NA PENGINE WAMEENDA HOSPITALI NA KUAMBIWA HAWANA TATIZO LOLOTE. SASA UKIITUMIA ITAKUSAIDIA KUBALANCE HOMONI ILI KUFANYA MAYAI YAKO YAWE NA AFYA YAWE NA UWEZO WA KURUTUBISHWA.

8. PIA INASAIDIA KUONDOA MSONGO WA MAWAZO.

9. INABALANCE HOMONI KWA WENYE TATIZO LA HORMONE IMBALANCES.
☆Mfano mzuri kwa wanawake kuna tatizo la kupitiliza kwa siku zao hilo sio jambo la kawaida ni ishara tosha kabisa ya hormone imbalances.

10.PIA INASAIDIA KUONDOA HALI YA UKAVU UKENI. ITAKUSAIDIA KUWEZESHA MWILI UWEZE KUTENGENEZA HORMONI INAYOITWA OSTREGEN AMBAYO INAZALISHA UTE UTE AMBAO UNAKUSAIDIA KULAINISHA SEHEMU ZA UKE NA WAKATI WA TENDO LA NDOA KUEPUKA MICHUBUKO. LAKINI PIA KUKUFANYA UWEZE KUFURAHIA TENDO LA NDOA.

Meza tembe(vidonge) mbili kwa siku.

Kopo moja utaipata kwa tsh.82000/= tu

NB: HII SIO DAWA BALI NI KIRUTUBISHO AMBACHO KIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA YA CHAKULA NA DAWA DUNIANI NA HAPA TANZANIA KIMETHIBITISHWA NA TFDA.

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NAMI WhatsApp 0777843310 nitakusaidia mapema. " If you think wellness is expensive try illness "Nipo Zanzibar Jom View .RS.com

TUMIA MULTIMACA KUONDOA TATIZO LA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE.MULTIMACA ni kirutubisho kilichotengenezezwa kw...
02/04/2021

TUMIA MULTIMACA KUONDOA TATIZO LA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE.

MULTIMACA ni kirutubisho kilichotengenezezwa kwa mizizi ya mmea unaoitwa maca unaopatikana nchini peru huko amerika ya kusini. Watu wa huko wanaitumia kwa ajili ya kuboresha mfumo wa uzazi kwa kuongeza nguvu za kiume na kuondoa tatizo la ugumba kwa wanawake.

FAIDA ZA KUTUMIA MULTIMACA.
1. HUSAIDIA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME NA STAMINA YA MWILI.

2. HUONDOA UCHOVU MWILINI HASA PALE UNAPOMALIZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA. MARA NYINGI WANAUME WENGI WAMEKUWA WAKIKUMBWA NA TATIZO HILO SANA. YAANI AKIMALIZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA ANACHOKA NA ANASINZIA OVYO.

3. HUSAIDIA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA MWANAMKE NA MWANAUME.

4. HUIMARISHA MISULI YA UUME ULIOLEGEA NA KUUWEZESHA KUSIMAMA KWA MUDA MREFU.

5. HUSAIDIA KUONDOA UCHOVU UNAPOKUWA KAZINI PIA INASAIDIA KUONGEZA KUMBUKUMBU.

6. INAONGEZA IDADI YA MBEGU NA KUZIFANYA KUWA NA AFYA BORA. PIA ZINATAOKA KWA WINGI SANA.

7. PIA INASAIDIA KURUTUBISHA MAYAI YA MWANAMKE. KUNA WANAWAKE WENGI WAMEKAA KWENYE NDOA KWA MUDA MREFU NA WAMEKUWA WAKIHANGAIKA KUTAFUTA MTOTO NA PENGINE WAMEENDA HOSPITALI NA KUAMBIWA HAWANA TATIZO LOLOTE. SASA UKIITUMIA ITAKUSAIDIA KUBALANCE HOMONI ILI KUFANYA MAYAI YAKO YAWE NA AFYA YAWE NA UWEZO WA KURUTUBISHWA.

8. PIA INASAIDIA KUONDOA MSONGO WA MAWAZO.

9. INABALANCE HOMONI KWA WENYE TATIZO LA HORMONE IMBALANCES.
☆Mfano mzuri kwa wanawake kuna tatizo la kupitiliza kwa siku zao hilo sio jambo la kawaida ni ishara tosha kabisa ya hormone imbalances.

10.PIA INASAIDIA KUONDOA HALI YA UKAVU UKENI. ITAKUSAIDIA KUWEZESHA MWILI UWEZE KUTENGENEZA HORMONI INAYOITWA OSTREGEN AMBAYO INAZALISHA UTE UTE AMBAO UNAKUSAIDIA KULAINISHA SEHEMU ZA UKE NA WAKATI WA TENDO LA NDOA KUEPUKA MICHUBUKO. LAKINI PIA KUKUFANYA UWEZE KUFURAHIA TENDO LA NDOA.

Meza tembe(vidonge) mbili kwa siku.

Kopo moja utaipata kwa tsh.82000/= tu

NB: HII SIO DAWA BALI NI KIRUTUBISHO AMBACHO KIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA YA CHAKULA NA DAWA DUNIANI NA HAPA TANZANIA KIMETHIBITISHWA NA TFDA.

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NAMI WhatsApp 0777843310 nitakusaidia mapema. " If you think wellness is expensive try illness "Nipo Zanzibar Jom View .RS.com

Asalam Alaikum, Habari mpya Taqwa language Club Sasa imeazisha darasa jipya la English course kwa Watu wazima wa Rika zo...
23/02/2020

Asalam Alaikum, Habari mpya Taqwa language Club Sasa imeazisha darasa jipya la English course kwa Watu wazima wa Rika zote
Mpangilio wa Kusoma

English Writing skills
English Reading skills
English Talking skills
English Translation Skills

Tupo Mkele mkabala na trade school mikunguni, kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi Tel: 0777843310

Ewe rafiki Mpendwa Soma lugha haujui wapi itakusaidia ktk Maisha yako? Jom view

IMARIKA KATIKA TENDO LA NDOAFOREVER MULTI-MACAKAZI ZAKE KWA MTUMIAJI WA KIUME.1 - Huongeza hamu ya tendo la ndoa, stamin...
02/02/2020

IMARIKA KATIKA TENDO LA NDOA

FOREVER MULTI-MACA
KAZI ZAKE KWA MTUMIAJI WA KIUME.
1 - Huongeza hamu ya tendo la ndoa, stamina na nguvu za kiume.
2 - Inaongeza idadi ya mbegu za kiume.
3 - Inasaidia kutofika kileleni kwa haraka.
4 - Huimarisha misuli ya uume uliolege.
5 - Husaidia kubalance hormones kwa wenye tatizo la Hormones imbalance.
6 - Husaidia mwanaume kutoa mbegu zenye afya na zenye uwezo wa kuogelea na kulifikia yai kiurahisi, N.K .
KAZI ZAKE KWA MTUMIAJI WA K**E
1 - Hurutubisha mayai na kumfanya mwanamke aondokane na changamoto ya kupata ujauzito.
2 - Husaidia kubalance mzunguko na maumivu makali wakati wa Hedhi kwa mwanamke.
3 - Husaidia kubalance hormones kwa wenye tatizo la Hormones imbalance.
4 - Husaidia pia kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake wenye changamoto ya kukosa hamu hiyo, N.k

NI PRODUCT SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, IMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI.

Kwa mawasiliano +25577843310

02/04/2019
Hello Zanzibar.. Mara ngapi umeshahudhuria kwenye   zinazokupa mtazamo mpya wa maisha? K**a hujawahi basi jua unapoteza ...
23/02/2019

Hello Zanzibar.. Mara ngapi umeshahudhuria kwenye zinazokupa mtazamo mpya wa maisha? K**a hujawahi basi jua unapoteza Muhimu sana kwenye maisha yako.

Kesho Saa 10 jion tutakuwa na mafunzo Ya Ujasiria mali. Tutaelekeza NAMNA GANI UNAWEZA KUMILIKI BIASHARA YAKO NA KUIFANYA BILA KUATHIRI KAZI ZAKO ZA KILA SIKU. Namaanisha biashara ambayo haitakufanya uwache unachofanya sasahivi Iwe Umeajiriwa, Mwanafunzi au mfanya biashara .

Nina kadi 10 tu na Nitatoa Bure. K**a upo nipigie kwa namba 0777 843310 au njoo whatsapp kwa namba hizo hizo.

MAFUNZO yatafanyika Kesho, Saa 10 Jioni. Baitul Yamiin Bwawani.

Kwa maelezo zaidi tupigie kwa namba 0777 843310. Karin

ARGI+Ina 5 grams za L-Arginine kwa kila kijiko kimoja,na vitamini mbalimbali zinazosaidia kuongeza stamina na nguvu L- A...
12/11/2018

ARGI+
Ina 5 grams za L-Arginine kwa kila kijiko kimoja,na vitamini mbalimbali zinazosaidia kuongeza stamina na nguvu L- Arginine ni amino acid muhimu sana kwa afya kiujumla miili yetu inaibadilisha kuwa nitric axide ambayo inaisaidia mishipa ya damu kutanuka kuruhusu damu kupita Argi + pia ina viondosha sumu k**a pomegranate.

FAIDA 10 ZA ARGI +

- Ni kirutubisho muhimu sana kutumiwa kila siku kwa ajili ya kusaidia mifumo yote ya mwili ili kuupa mwili uwezo wa kufanya kaxi vizuri zaidi.

- Inasaidia mfumo wa kinga ya mwili,kutokana nitric oxide ambayo inatumiwa na chembechembe nyeupe za damu kuua bacteria hivyo kuupa mwili uwezo zaidi wa kupigana na magonjwa.

- Inasaidia kurekebisha kiwango cha blood pressure kuwa sahihi na afya ya mzunguko wa damu ya moyo kiujumla.

- Inasaidia kutengenezwa kwa mifupa na mwili kiujumla hivyo ni nzuri kwa waliovunjika mifupa,au wenye mifupa dhaifu.

- Nitric oxide inayotengenezwa inasaidia kuongeza mzunguko wa damu mwilini na hivyo inasaidia kuongeza nguvu za kiume.

-Inasaidia misuli kuwa imara na yenye nguvu,kupunguza mafuta kwenye mwili ndio maana nzuri kwa wanawake na wanaume wanaofanya mazoezi.

- Ina Pomegranate na vimelea vya matunda ambavyo ni viosha sumu ,husaidia kuondoa madhara ya "Free Radicals" mwilini.

- Ina vimelea vitokanavyo na Red Wine ambayo inasaidia kushusha kiasi cha CHOLESTEROL mwilini.

- Inaongeza uwezo wa mwili kutumia Insuine(insulin sensitivity)hivyo inafaa sana kuweka uwiano wa sukari mwilini.

- Inasaidia kutoa hormones zinazoongeza kasi ya kuzeeka,kukufanya uonekane chini ya umri wako. Kwa mawasiliano piga namba 0655843310

Address

Sateni
Zanzibar
JOMVIEWS

Telephone

+255655843310

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA BORA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share