Viungo Vyenye Utamu wa Pekee

Viungo Vyenye Utamu wa Pekee KUWA WAKALA KATIKA MKOA WAKO AU NUNUA REJA REJA KUTOKA KWA MAWAKALA WANGU VIUNGO HIVI VYENYE LADHA Y

MAFUNZO JINSI YA KUZALISHA VIUNGO VYA AINA TATU PEKEE VYENYE SOKO KUBWA NA WALAJI WENGI MUDA WOTE.K**a wewe ni mama, dad...
14/08/2020

MAFUNZO JINSI YA KUZALISHA VIUNGO VYA AINA TATU PEKEE VYENYE SOKO KUBWA NA WALAJI WENGI MUDA WOTE.

K**a wewe ni mama, dada au kijana na unahangaika kutafuta biashara ya kuzalisha yenye faida kubwa na soko kubwa la nyakati zote, nisikilize kwa makini sana mpaka mwisho maana habari hii inaweza kuwa habari muhimu sana kwako na yenye manufaa makubwa kwa maisha yako yajayo.

NISIKILIZE MPAKA MWISHO KWANI NITATOA PUNGUZO KUBWA KWAKO ILI KUPATA MAFUNZO HAYA MUHIMU.
Kwa majina naitwa Bernard Siwakwi, mjasiriamali na mzalishaji wa viungo vya aina tatu CHAI, MCHUZI na PILAU vyenye mchanganyiko wa pekee unaofanya viungo hivi kuwa na thamani kubwa sokoni na kupendwa na kila mlaji na kufanya wateja wengi kushindwa kuacha kutumia viungo hivi akianza kutumia. Hali inayopelekea kuwa na wateja wengi na soko la kudumu.

Nilianza kuzalisha viungo mwaka 2018 kwa lengo la kuzalisha na kuuza reja reja na jumla tu.
Lakini watu walianza kuniomba niwafundishe jinsi ya kuzalisha k**a ninavyofanya mimi.
Kutokana na watu wengi kuniomba kwa muda mrefu niwafundishe, baadae nilitafakari na kuona nisiwe mchoyo wa maarifa haya maana kusaidia mtu mwingine afanikiwe ni hazina ya mafanikio yangu ya kesho.

Mwishoni mwa mwaka jana 2019 nilitangaza nafasi za mafunzo kwa watu 10 tu katika majukwaa yangu watakaopenda kujifunza kuzalisha viungo k**a ninavyozalisha mimi.
Wakajitokeza watu wengi sana.

Hawa wafuatao ni miongoni tu mwa wanafunzi waliojitokeza kujifunza:-
°Jackline Joseph kutoka Mbeya.
°Yusuph Sarungi kutoka Mwanza.
°Amina Makono kutoka Mheza Tanga.
Na wengine wengi walionufaika na mafunzo haya.
Naamini nawe utakuwa miongoni mwa watu wanaofuatia kufaidika na matunda ya mafunzo haya.

Sasa, leo natoa OFFA ya punguzo ya kufa mtu kwako wewe unaehitaji kujifunza kuzalisha viungo hivi vya pekee.
Natoa punguzo ambalo sijawahi kutoa mtu kujifunza kutengeneza viungo hivi.
Ada ya kawaida toka awali kwa mafunzo haya ni Tsh.300,000.
Lakini endapo utaamua kuwahi offa hii leo hutalipia Tsh.200,000 wala Tsh.150,000 bali utatakiwa kulipia Tsh.100,000 tu kujifunza kuzalisha michanginyiko ya viungo aina zote tatu yaani CHAI, MCHUZI na PILAU.
Na Offa hii itakuwepo kwa muda huu tangazo liko hewani tu, tangazo likizimwa bei ya mafunzo itarudi ile ile ya zamani hivyo hii ndio nafasi yako ya pekee kuwahi kujinyakulia offa hii ya punguzo.

°Pia utapewa bure kitabu cha mchanganuo wa biashara 14 zinazolipa Tanzania ili ukijitanua zaidi kibiashara ujue biashara gani unaweza kuwekeza mtaji wako kuongeza kipato zaidi hapo baadae.

Wasiliana nami sasa hivi WhatsApp kabla tangazo hili halijazimwa ili kuwahi bei ya punguzo iliyotolewa.
wa.me/255655009861

14/08/2020

JIFUNZE JINSI YA KUZALISHA VIUNGO VYA AINA TATU PEKEE VYENYE SOKO KUBWA NA WALAJI WENGI MUDA WOTE.

K**a wewe ni mama, dada au kijana na unahangaika kutafuta biashara ya kuzalisha yenye faida kubwa na soko kubwa la nyakati zote, nisikilize kwa makini sana mpaka mwisho maana habari hii inaweza kuwa habari muhimu sana kwako na yenye manufaa makubwa kwa maisha yako yajayo.

SOMA MPAKA MWISHO KWANI NITATOA OFFA KUBWA KWAKO ILI KUPATA MAFUNZO HAYA MUHIMU.
Kwa majina naitwa Bernard Siwakwi, mjasiriamali na mzalishaji wa viungo vya aina tatu CHAI, MCHUZI na PILAU vyenye mchanganyiko wa pekee niliougundua mwenyewe unaofanya viungo hivi kuwa na thamani kubwa sokoni na kupendwa na kila mlaji hali inayofanya wateja wengi kushindwa kuacha kabisa kutumia viungo hivi. Hali inayofanya pia kuwa na wateja wengi na soko la kudumu la viungo hivi.
Nimenufaika mambo mengi sana toka nianzishe biashara hii mwaka 2018 kwani imenipatia faida kubwa hadi kuanzisha miradi mingine mikubwa zaidi ya kilimo cha mpunga na mahindi mkoani japo mimi makazi ya kudumu yako Dar Es Salaam.

Mwanzo nilikuwa nimekataa kabisa na sikuwa na mpango kabisa wa kutoa mafunzo haya ya kutengeneza mchanganyiko huu wa viungo hivi vya CHAI, MCHUZI na PILAU lakini kutokana na watu wengi kuniomba kwa muda mrefu niwafundishe bado niligoma ila baadae nikajitafakari na kuona nisiwe mchoyo wa maarifa haya maana kusaidia mtu mwingine afanikiwe ni hazina ya mafanikio yangu ya kesho.

Mwishoni mwa mwaka jana 2019 nilitangaza nafasi za mafunzo kwa watu 10 tu katika majukwaa yangu watakaopenda kujifunza kuzalisha viungo k**a ninavyozalisha mimi kwa ada ya Tsh.300,000.
Na hawa wafuatao ni miongoni mwa wanafunzi waliojitokeza kujifunza:-
°Jackline Joseph kutoka Mbeya.
°Yusuph Sarungi kutoka Mwanza.
°Amina Makono kutoka Mheza Tanga.
Na wengine saba waliobakia ambao siwezi kuwataja wote hapa haya ndiyo maneno yao walio wengi baada ya kujifunza michanginyiko hii ya viungo;-

Wengi wao baada ya kuanza kuzalisha wanasema "Kiukweli sikufichi Bernard Katika maarifa yenye tathamani na faida ya kubadilisha maisha yangu niliyowahi kujifunza katika maisha yangu, haya maarifa hayana mfano wake kwani nimejifunza kitu kitakachoniingizia pesa maisha yangu yote labda niache mimi kufanya kazi, hapa ni sawa namiliki mgodi wa kuzalisha pesa. Ahsante sana na Mungu akubariki kutoa maarifa k**a haya kwa umma."
Hivyo naamini nawe utakuwa miongoni mwa watu watakaofuatia kuona thamani na matunda ya maarifa haya.

Sasa, leo natoa OFFA ya kufa mtu kwako wewe unaehitaji kunufaika na uzalisha wa viungo hivi vya pekee. Leo natoa punguzo ambalo sijawahi kutoa mtu kujifunza kutengeneza viungo hivi.
Ada ya kawaida toka awali kwa mafunzo haya ni Tsh.300,000.
Sasa endapo utaamua kuwahi offa hii leo hutalipia Tsh.200,000 wala Tsh.150,000 bali utatakiwa kulipia Tsh.100,000 tu kujifunza kuzalisha michanginyiko ya viungo aina zote tatu yaani CHAI, MCHUZI na PILAU.
Na Offa hii itakuwepo kwa muda huu tangazo liko hewani tu, tangazo likizimwa bei ya mafunzo itarudi ile ile ya zamani.

°Ndani ya mafunzo haya, utajua njia kuu nne za kuifanya biashara hii kwa mafanikio makubwa.
°Utajifunza jinsi ya kufanya matangazo ili kuwafikiwa wateja wengi
°Pia utapewa bure kitabu cha mchanganuo wa biashara 14 zinazolipa Tanzania ili ukijitanua zaidi kibiashara ujue biashara gani unaweza kuwekeza mtaji wako kuongeza kipato zaidi.

K**a umependezwa na taarifa hii na unahitaji kweli kujifunza na kuanzisha biashara hii isiyo na upinzani sokoni, wasiliana nami sasa hivi WhatsApp kabla tangazo hili halijazimwa.
wa.me/255655009861

27/04/2020

Je, unapenda kuwa mjasiriamali wa kuzalisha viungo maana ni biashara nzuri inayolipa? acha comment yako hapa chini

Je, ungependa kujifunza kuzalisha viungo vya CHAI, MCHUZI NA PILAU viungo vyenye mchanganyiko wa tofauti na ladha ya pek...
14/04/2020

Je, ungependa kujifunza kuzalisha viungo vya CHAI, MCHUZI NA PILAU viungo vyenye mchanganyiko wa tofauti na ladha ya pekee na tofauti sokoni?

Natoa fursa hii na discount kwa watu wachache wa mwazo watakao wahi ndani ya wiki hii.

Soma mpaka mwisho wa makala hii........................

tofauti kubwa kati ya kununua samaki aliyevuliwa tayari na kujifunza kuvua mwenyewe au kumikiki ng'ombe wa nyama na maziwa Kuna tofauti kubwa sana.

Kila mtu ana haki ya kufanikiwa lakini kazi kubwa ni kufanya uchagusi(choice) sahihi wa nini cha kufanya kwa ufanisi mkubwa ili kupata mafanikio mazuri na endelevu.

Wanaohitaji mafunzo haya kwa nafasi za pekee,
comment hapa chini kuwa *NAHITAJI KUJIFUNZA * kisha nitakutumia no. ya WhatsApp kwa maalezo zaidi ya mafunzo haya.

Kuwa wakala wa viungo hivi mkoa uliopo nipigie no. 0655009861 tuongee
30/10/2019

Kuwa wakala wa viungo hivi mkoa uliopo nipigie no. 0655009861 tuongee

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 08:00 - 17:00

Telephone

+255655009861

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Viungo Vyenye Utamu wa Pekee posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Viungo Vyenye Utamu wa Pekee:

Share