Kwale Press Club

Kwale Press Club Professional journalists in Kwale County sharing credible news and nurturing talent.

09/06/2026

Familia ya Zuhra Rama yasema mbunge wa Msambweni Feisal Bader ndiye aliyefadhili pakubwa usafiri na mazishi ya mwana wao.

Mohammed Rama Higa: Msikue na tashwishi ati tulisaidiwa na nani mwingine hapana, kwangu k**a mzazi hili nakataa. Mheshimiwa Feisal alilipa kila kitu.

Professor Hamadi Idd Boga: e best mangoes in Kenya are in the coast region and in fact mangoes from the coast have been ...
09/06/2026

Professor Hamadi Idd Boga: e best mangoes in Kenya are in the coast region and in fact mangoes from the coast have been banned from export because they have fruit flies and none of the guys at the county government knows what to do to fix the problem.

Diani leads coastal push against plastic pollution
08/06/2026

Diani leads coastal push against plastic pollution

By Caroline Katana

Diani plastic festival showcases local action ahead of Our Ocean Conference
08/06/2026

Diani plastic festival showcases local action ahead of Our Ocean Conference

By Cece Siago

Dr Eric Okuku, Principal Research Scientist, KMFRI : Every year 37,000 tonnes of plastic gets in the ocean. When you wal...
08/06/2026

Dr Eric Okuku, Principal Research Scientist, KMFRI : Every year 37,000 tonnes of plastic gets in the ocean. When you walk along our beaches, every square meter has up to five plastic items. Science alone will not help us deal with the issue of plastic pollution. That is why we (KMFRI) go for partners in the community and initiatives like the Diani Zero Plastic Pollution Festival.

07/06/2026

VIDEO: Zuhra Rama azikwa Mkwakwani, Ukunda, Kwale siku 10 baada ya kuangamia shule ya Utumishi Girls.

HASIBU HIGA- MJOMBA: Kwa Kweli laki mbili sio kitu, ata wakisema walipe milioni moja si kitu. Muhimu ni mtoto aliyepotea. Kwa hivyo wakisema ni kusadia waliopatikana na mkasa huu wasadie lakini wasiseme wanatoa compensation kwa sababu hiyo hawezi kuwa compensation kwa mtoto aliyepotea k**a huyu wetu Zuhra.

Zuhra Rama Higa, mmoja wa wanafunzi 16 walioteketea katika mkasa wa moto katika shule ya wasicha ya Utumishi Girls huko ...
07/06/2026

Zuhra Rama Higa, mmoja wa wanafunzi 16 walioteketea katika mkasa wa moto katika shule ya wasicha ya Utumishi Girls huko Gilgil, amezikwa nyumbani kwao katika kijiji cha Mkwakwani eneo la Ukunda kaunti ya Kwale.

Familia zingine 15 zitasubiri hadi misa ya wafu ya pamoja ifanyike kabla ya kukabidhiwa miili ya wapendwa wao kwa maziko.

Familia ya Zuhra ilikabidhiwa mwili wa mwana wao ili kuandaa mazishi kulingana na desturi ya dini ya Kiislamu

Familia ya Zuhra Rama, mwanafunzi wa kidato cha tatu, aliyeangamia kwenye mkasa wa moto katika shule ya upili ya Utumish...
06/06/2026

Familia ya Zuhra Rama, mwanafunzi wa kidato cha tatu, aliyeangamia kwenye mkasa wa moto katika shule ya upili ya Utumishi Girls huko Gilgil imepewa mwili wake baada utambulizi wa DNA kukamilika katika hospitali ya Naivasha.

Mwili wake unasafirishwa hii leo kutoka Naivasha hadi kaunti ya Kwale tayari kwa mazishi nyumbani kwao katika kijiji cha Mkwakwani eneo la Ukunda.

Mazishi yatafanyika kesho Jumapili adhuhuri.

Former Ndavaya MCA gives KWS two-day ultimatum after elephant kills elder
06/06/2026

Former Ndavaya MCA gives KWS two-day ultimatum after elephant kills elder

By Caroline Katana

Gideon Mung'aro: Gavana wa Kilifi: Pombe ya mnazi si haramu na hakuna sababu ya kuhangaisha wakazi wa Kilifi wanaouza am...
06/06/2026

Gideon Mung'aro: Gavana wa Kilifi: Pombe ya mnazi si haramu na hakuna sababu ya kuhangaisha wakazi wa Kilifi wanaouza ama hata kutumia kinywaji hicho. Tutafanya kikao na maafisa wakuu wa usalama na wawakilishi wa wachuuzi wa pombe ya mnazi ili tukubaliane vile biashara hiyo haitatatizwa Kilifi.

Address

Kwale
80405

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kwale Press Club posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kwale Press Club:

Share