09/06/2026
Familia ya Zuhra Rama yasema mbunge wa Msambweni Feisal Bader ndiye aliyefadhili pakubwa usafiri na mazishi ya mwana wao.
Mohammed Rama Higa: Msikue na tashwishi ati tulisaidiwa na nani mwingine hapana, kwangu k**a mzazi hili nakataa. Mheshimiwa Feisal alilipa kila kitu.