16/11/2019
amukeni mapema kabula ya jua kutokea mukaenese ujube wabwana mungu baba wetu maana nimwema na amekutedea maajabu makuu ulipo lala alikwa nawe naata akwamusha viema amukeni tumpe sifa nasukulani maana in shake kila mumoja akainue mikono nakusema hariluya asanti baba kwayale umenitedea pokes sifa na utukufu maana nisako bwana wamajesi akuna alie k**a wewe ee mutakatifu muuba wa bigu na nichi unafaa Leo kesho na hata milele na milele Ameni