Kinyozi Hiramstar

Kinyozi Hiramstar It for the big boyz, came and get Being cut your hair

09/04/2023

Siku moja jamaa mmoja alichinja ng'ombe mnono na akachoma vizuri, baadaye akamwambia mke wake: "NENDA NA KAWAALIKE MARAFIKI NA MAJIRANI ZETU WAJE TULE NYAMA."

Basi mke mtu akatoka nje na kuanza kupiga kelele: "OH JAMANI MOTOO, TUNAOMBA MSAADA! MSAADA !! MOTOOO NYUMBANI KWETU !!!"
Kweli ghafla watu walitoka majumbani kwao lakini wengine walijifanya hawasikii chochote.

Basi wale walioingia ndani ya fensi ya nyumba hiyo walijikuta mbele ya "ndafu kubwa" ambapo walikula na kunywa hadi wakasaza.

Lakini baadaye yule jamaa alimgeukia mke wake, akamwuliza: "LAKINI MKE WANGU MBONA WALE ULIOWAALIKA SIWAJUI HATA MMOJA, WENGINE HATA SIJAWAHI KUWAONA. WAKO WAPI MARAFIKI NA MAJIRANI ZETU NILIKUAMBIA UWAAALIKE?"

Mke wake alijibu: "HAWA NDIO MAJIRANI NA MARAFIKI ZETU, WALE WALIOTOKA NYUMBANI KWAO KUTUOKOA SISI NA NYUMBA YETU. WANASTAHILI HESHIMA HII KWA SABABU HAWAKUTARAJIA KUPATA CHOCHOTE KWETU."

NOTE: Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki

28/03/2017

Be who you are

30/10/2016

Wonders are never end

27/07/2016

Today be blest

22/07/2016

Thank you to everyone who sent me happy birthday wishes, via FB, phone calls, and text messages. Here is to my last year in my 27! Crazy how time flies! I had a lovely birthday celebration with great friends and family last weekend. I cherish all moments I get to spend with fabulous and fascinating people. Also my handsome hunk is taking me to the Signature Room in a few weeks! What a gem that guy Thanks again

Welcome
16/06/2016

Welcome

This is what I do
16/06/2016

This is what I do

03/06/2016

Kinyozi inataka watu k**a nyinyi

Address

Hiramkiragu@yahoo. Com
Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kinyozi Hiramstar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kinyozi Hiramstar:

Share