06/03/2026
`MWACHE AENDE💔💔`
💔😪 *Ukweli unaouma ni kwamba unaweza kumpenda mtu kwa moyo wako wote,* ukajitoa, ukamsamehe kila kosa, ukamvumilia, lakini bado asiwe wako. Mapenzi si kila wakati hulipa.* 💔
`Kuna wakati hatuna budi tukubali tuwaache japo utaumia waende🥺💔😔`
JE UNAKUBALIANA NA HILI
❤️NDIO
🥺HAPANA
😭SIWEZI KUELEZEA.
😔NAJIFUNZA
_JIBU KWA REACTION👇_`🌹🌹FUNZO LA MAISHA KWA WANAUME🌹🌹`
Mwanaume , usiwaache watoto wako hata hali iwe ngumu kiasi gani.
Hata k**a hakuna pesa,
baki nao.
Uwepo wako una thamani kuliko chochote.
Maneno yako yanaweza kuwapa nguvu.
Upendo wako unaweza kuwaponya.
Usingoje maisha yakae poa ndipo ukumbuke majukumu yako.
Kuwa baba hata kwenye wakati mgumu.
Jitahidi kulea na kuishi nao.
`Maana mtoto hahitaji utajiri,`
`anahitaji BABA.`
> MWANAUME HAKIMBII MTOTO WAKE👊🏼[04/03, 10:05] null: 🌹💔💔💔💔💔💔💔🌹
Bila mawasiliano hakuna mahusiano, Bila heshima hakuna mapenzi
Na bila kuaminiana hakuna sababu yakuendelea🙌💔💔
[05/03, 22:13] null: `🌹🌹AMELETWA KUKUVUSHA,...ILA HAWATAKAA na wewe MUDA MREFU, USIMGANG'ANG'ANIE✍️🌹🌹`
Kila unapokuwa kwenye CHANGAMOTO ya aina fulani kwenye maisha yako...
Mungu huwa ameandaa watu wa KUKUVUSHA.
Hata pale unapokuwa uko peke yako na unadhani hakuna mtu anayekuwazia mema...
Mungu huwa anakuwa ameandaa mtu wa kukuvusha.
Wewe mwenyewe ni shahidi, kuna nyakati huko nyuma uliona kabisa...
..umefika mwisho na hakuna unachoweza kufanya.
Ghafla, kuna mtu akainuka kukusaidia aidha KIFEDHA...
Kukutia MOYO au hata kukupa FURSA.
Kitu kimoja cha kukumbuka ni kuwa...
..watu hawa HAWATAKAA na wewe MUDA MREFU.
Yaani, wakimaliza kilichowaleta WANAONDOKA.
Kubaliana na hilo na uwaruhusu, usiwang’ang’anie.
Kikubwa ni kuwa USIWASAHAU kwenye safari yako.
Je, wewe umeshawahi kukutana na mtu wa namna hii?
K**a umeipenda makala hii...
1. NIANDIKIE ulichojifunza kwenye comments kwa ufupi...
2. SHARE makala hii na mtu mmoja unayemjali...
See You At The Top
Joel Arthur Nanauka
> USISAHAU REACTIO