19/10/2023
Niliwai waambia kuna siku mwalimu wa science aliniambianga akiingia kwa mlango ya class tupitanange kwa mlango k**a gari za miraa😅🤣. Tukiwa std 7 tukifunzwa sijui kuhusu body parts of an insect, bytheway hio mtu anafaa kuapply wapi kwa life🤷🏽♂️?
Sasa mwalimu wa math akatwambia mwalimu wa science amesema tukienda break, tushike insect moja akija lesson yake atupate nayo. Sisi ni nani, watoto watiifu 😅😊, tukaenda kwa uwanja kuzitafuta.Vile tulirudi kwa class, hapo ndo maajabu yalianza😅😅 mukuju alikuwa ameshika nyuki saba, Ka yokozuna kalikuwa kamekuja na ile locast ya jeshi, wakamido alikuwa na nzi zile za choo kumi😂😄
Mimi nilikuwa nimebahatika nikashika ile chameleon ya pembe tatu🤣🤣. Mwalimu wa science alipata wasichana wanane wakipepetewa juu ya kufaint vile nilikuwa nimewaonyesha chameleon😅😅. K**a profesa nilikuwa naeleza akina Mabogaa vile mkia yake hutumika kutibu jingaa🤣🤣🤣. Vile alisema kila mtu ashike insect yake, akaanza kuzunguka akizikagua.
Alifika kwangu akapiga nduru, "Uuuuuuwi Caxton kai ûgûrûkaga (Caxton kwani unarukanga kichwa)..ngûkore wafici(nikupate staffroom)". Si nikaenda nikasimama hapo nje ya staffroom, akakuja akaingia akaniambia niingie ndani.Wacha aelezee walimu wengine vile nimefanya😅😅. Mrs.muriuki akaniuliza, "Caxton ûkûrûmithagia ciana kimbu nîkî (Caxton ulikuwa unaumisha watoto kinyonga kwa nini)?
Nikamwambia, "mwalimu hakinanga ata meno". Huku nikimkaribia nikikipanua mdomo aone. Mrs muriuki alirukia kwa dirisha k**a ninja🤣🤣. Kugeuka nikaona akina Mrs.kinoru na Mr.waruteere wakiwa juu ya meza😅. Mwalimu wa science akaniambia,"enda utupe alafu ukuje uniambie k**a kinyonga ni insect"hapo ndo nilichapwa hadi na mwalimu wa nursery nikajua hio kitu sio insect, ni homohabilies😄😂