15/06/2023
Because of Dad😭🔞
Episode 7 🍆🍑🔞
For the first time my Stacy was off na si kawaida yake na hajawahi kuwa off especially tukiwa tumeunda date😰tulikuwa tumechat na ilifaa a token saa tatu na nusu immediately game imeisha but she never did....to make it worse alifunga simu😒nikampea allowance ya kitu one hour maybe alikuwa buzzy lakini wapi..(hii si fair especially kwa fisi anadai kureform ka mimi😹)kidogo dad akanitext "hi son your step mum is home na amekubali tuoane tumeenda adi kwa lawyer tukasign marriage cert" iyo ata haikunishtua ju I was stressed...
Niliboeka sana na Stacy😭kidogo ivi nikaona new number inacall sikuwa kwa mood ya kuongea na mtu apart from my Stacy.. kupick up nikapata ni Ivy anadai niende kwa ile hotel room ako ready ananingoja...sikatai mi ni fisi but for the first time nilikataa mission nikamshw I'm held up😢sikuamini ka ni mimi nimekataa nunu😅imgn zakayo mtoza ushuru aambiwe njia ingine ya kuingiza tax alafu akatae😅aiii apana apo ndo nikajua kuwa I was madly in love with Stacy.
Nilirudi shop nikafunga kisha nikashika njia kurudi home😣though bored nikijaribu kudial namba ya my bae lakini wapi😅I was deeply hurt wacha hii uchungu ya arsenal kulead adi dakika ya mwisho then wananyang'anywa kikombe😇nilifika home na kuenda kwa room direct bila ata kupitia dinning table penye babangu alikuwa na bibi yake🥲the following morning nikaskia mtu anabisha mlango kwenda kufungua sikuamini mwenye niliona.........
Like for episode 8 na muinvite friends pia please 🙏