Dr Josh HR & Health Consultant

Dr Josh HR & Health Consultant Is the Consulting Agency that engages in the Best self-employment advice, Provides the service to find the right employees, Job Application center.

Provides health consulting services and a completely original products (food Supplements)

SHUKA 2 FORONYA 4 BEI 25,000/=(mje na cheji kamili)JUMLA 20000 KUAZIA BALO 50pc ✅ SHUKA 2 FORONYA 4 THAILANDFt 7/8Balo u...
30/09/2025

SHUKA 2 FORONYA 4 BEI 25,000/=
(mje na cheji kamili)
JUMLA 20000 KUAZIA BALO 50pc ✅
SHUKA 2 FORONYA 4 THAILAND
Ft 7/8
Balo unapata rangi mchanganyiko

*Tunapatikana magomeni mapipa mtaa wa idrisa mbele ya chiporoporo bar
*Namba ya dukani
0767744341

Habari Ndugu jamaa na rafiki.Nachukua fursa hii kukutaarifu kuwa JUMAPILI ya Tarehe 12/05/2024 mda wa saa 9:00Pm tutakuw...
11/05/2024

Habari Ndugu jamaa na rafiki.

Nachukua fursa hii kukutaarifu kuwa JUMAPILI ya Tarehe 12/05/2024 mda wa saa 9:00Pm tutakuwa na kutaniko la pamoja, walau tupate na kinywaji 😋🍷

ENEO LA KUKUTANA NI UKUMBI WA HOPE INTERNATIONAL SAKINA SILENTIN
ULIOPO TAG Prayer Temple- Sakina Arusha

HII NI KWA WOTE, NDGU JAMAA NA MARAFIKI, PIA UNAWEZA MWALIKA NA MWINGINE.

Nitatoa NENO LA SHUKRANII

Kwa maelezo Namna ya kufika 0762 024 713

Link ya group

https://chat.whatsapp.com/JQ0FRKs0i4bHjbl4De2LyW

Amazing Birthday 🎂🎉
12/08/2023

Amazing Birthday 🎂🎉

Kutatua changamoto Yako ya kiafya piga 0762024713
02/07/2023

Kutatua changamoto Yako ya kiafya piga 0762024713

01/07/2023

HOMON IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)CHANZO KIKUBWA KUKOSA MIMBA.
Chanzo, Dalili, Madhara na TIBA

Whatsap/Piga +255 762 024 713

Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN Hivyo kupelekea wanawake wengi kushindwa kunasa mimba

VYANZO VYA KUVURUGIKA KWA HORMONE
👉Utoaji wa mimba
👉Uwepo wa sumu mwilini.
👉kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha.
👉Family history(upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone
👉mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa.
👉uzito mkubwa
👉Msongo wa mawazo.
👉Kutofanya mazoezi.
👉 UTI, FANGAS NA PID
👉Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango Dawa au vipandikizi vya uzazi wa mpango hutoa homone inaitwa Patroid amabayo huziba mirija ya fallopian na kuzorotesha mayai hivyo hupelekea homone za uzazi kutokuwa na uwiano pH wakati mwingine unajikuta unakosa Ute wa uzazi hamu ya mapenzi au tendo la ndoa kupotea, mvurugiko wa Hedhi , hedhi isiyoeleweka, maambukizi kwenye mirija ya uzazi na sababu nyingine nyingi japo hutofautiana mtu na mtu.

Pia Hali hii isipotibiwa kwa kuondoa madhara ya Dawa hupelekea mtu kutoshika ujauzito na Hedhi kuvurugika

DALILI ZA KUVURUGIKA KWA HOMONI
👉Kukoma kwa hedhi
👉Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
👉Kutoshika mimba.
👉Mzunguko wa hedhi kubadilika.
👉Kuongezeka uzito.
👉Kupungua hamu ya tendo la ndoa.
👉Kupoteza kumbukumbu.
👉Hasira za Mara kwa Mara.
👉Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabongemabonge
👉Uke kuwa mkavu.
👉kutoka jasho jingi usiku.
👉maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
👉Kuhisi matiti kujaa wakati wa hedhi
👉Mzio wa vyakula/Allerg kuchaguachagua vyakula.

MADHARA YA KUVURUGIKA KWA HOMONI
👉kutoshika ujauzito kwa mda mrefu.
👉Mimba kuharibika Mara kwa Mara.
👉Kuwa mgumba.
👉U.T.I Mara kwa Mara.(wengi hupuuzia)
👉Uvimbe kwenye via vya uzazi wa mwanamke.(fibroids)
👉kuziba kwa mirija ya uzazi.
👉saratani.

NB: Dalili Mbaya ya maambukizi kwenye via vya ni kutokwa na Uchafu Sehemu za Siri hasa mweupe wenye halufu ( PID) Hii ni Hatari huwezi nasa Mimba hadi utibiwe.

TIBA
K**a umehangaika sana kutatua changamoto hii bila mafanikio Njoo tukusaidie kwa siku 30 tu kumaliza Changamoto yako.
TIBA ipo
Lakini pia tunatoa Tiba ya Magonjwa ya UTI SUGU, PID ,UVIMBE(Fibroids) ,FANGAS

Kwa tiba piga 0762024713
05/02/2023

Kwa tiba piga 0762024713

Pata Ushauri na Matibabu mapema Piga 0762024713
01/02/2023

Pata Ushauri na Matibabu mapema
Piga 0762024713

CHANZO CHA MAUMIVU YA KIUNO NA TIBA YAKECall0762024713✍🏻Maumivu ya kiuno yamekuwa ni tatizo la kawaida na siyo kwa watu ...
24/01/2023

CHANZO CHA MAUMIVU YA KIUNO NA TIBA YAKE

Call

0762024713

✍🏻Maumivu ya kiuno yamekuwa ni tatizo la kawaida na siyo kwa watu wenye umri mkubwa, bali hata kwa vijana.
Hali hii imewa tishio kubwa na mara nyingine kutofahamika Chanzo ni nini.

✍🏻Leo tutaona baadhi ya sababu na vyanzo vikuu vya tatizo hilo;

1️⃣MAUMIVU YA MGONGO

✍🏻Katika maisha ya binadamu mara moja moja hukutana na huu ugonjwa wa kuumwa na kiuno hutegemeana na ukubwa wa tatizo kuna unao weza kuuma kwa mda na mwingine kuumwa kabisa na kua ni ugonjwa wake kias cha kushindwa kutembea sababu ni nyingi kutegemeana na chanzo cha tatizo.

2️⃣KUNYANYUA VITU VIZITO

✍🏻Mara nyingi watu haswa wakina mama wanakua ni wahanga wa huu ugonjwa wa mgongo bila kujua tatizo hulisababisha kwa kunyanyua vitu vizito mfano ndoo huku akiwa ameinama na kusababisha misuli ya kiuno kuvuta

3️⃣MISULI KUUMA

✍🏻Hutegemeana na sababu ila mfano wa hapo juu unapo nyanyua vitu vizito vibaya mfano ndoo kubwa ya maji ukiwa wima una pelekea maumivu ya pingili za uti wa mgongo kwa sababu hiyo misuli ya mgongo hujiminya na kua midogo kulinda uti wa mgongo na unapata maumivu makali.

4️⃣PINGILI ZA UTI WA MGONGO

✍🏻Katika uti wa mgongo kuna pingili 33 na kila moja ikifanya kazi yake sasa katika hizo pingili zipo k**a donati na huwa zinazungukwa na mafuta pindi inapo jisugua kwa kukosa mafuta husababisha maumivu kushuka mpaka miguuni kwa maumivu

5️⃣MKAO MBAYA NA MUONDOKO

✍🏻Mara nying watu wenye kusimama mda mrefu hua ni wenye kupata na tatizo la pressure tofaut na pressure pia swala la mgongo kuwa uma ni swala ambalo lipo kwao sana kwa sababu ya mkandamizo wa mkao mbaya wa kusimama kwa mda mrefu pia watu wenye kushinda kwenye kuendesha magar pia wale wenye kukaa vibaya kwenye computer kwa mda mrefu

✍🏻Kuondoka ghafla kwa kishindo husababisha k**a nilivyo sema mvutiko wa misuli ya kiuno na kupelekea maumivu makali.

6️⃣MAGONJWA K**A JIWE KATIKA FIGO, UTI NA ARTHRITIS

✍🏻Moja ya sababu nyingine ni kua na jiwe kwenye njia ya figo inapelekea mtu kuumwa na kiuno pia magonjwa ya njia ya mkojo husababisha kiuno kuuma mfano wake ni k**a UTI hupelekea maumivu makali sana ya kiuno.

✍🏻Pia kuna ugonjwa ambao ni haru yabis huu husambulia mifupa na kupelelkea maumivu ya mifupa na pia maumivu ya kiuno.

7️⃣Pia kuna mama kua mjamzito
8️⃣Mwanaume kuwa na kitambi na vingine maana nakumbuka ukiwa kijana ukiskika una umwa mgongo unaambiwa oa bhana uondokane na tatizo hilo.
9️⃣Mwanamke kuwa na Tatizo la PID au Homon Imbalance au Mjamzito husababisha au huchangia kupata maumivu ya kiuno na mgongo.

TIBA YA MAUMIVU YA MGONGO NA KIUNO

✍🏻K**a tatizo linasababishwa na Arthritis, mikao, miondoko, pingili, misuli, kunyanyua vitu vizito utatumia tiba zetu na utapona kabisa.

✍🏻K**a matatizo ya hedhi, PID, Homon Imbalance, ujauzito atatumia tiba zetu na utapona. Na k**a ni mtoto wa chini ya miaka 18 anatumia tiba zetu na utapona

Kwa ushauri kiafya na Tiba piga/cm ya mkononi whatsapp 0762024713

22/11/2022

Address

Arusha

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 16:00

Telephone

+255762024713

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Josh HR & Health Consultant posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dr Josh HR & Health Consultant:

Share