31/03/2024
Naona K**a huwa tunajisahaulisha hili jambo, iko hivi: 'Katikati kabisa ya furaha na raha ndipo Usaliti huchipua na kustawi ghafla, na mbaya zaidi ni kwamba, Usaliti hautoki kwa adui wala kwa mtu wako wa mbali wala wa karibu kidogo Ila UKWELI ni kwamba, Usaliti hutoka kwa mtu wako wa karibu sana, tena sana kwa hiyo "Msimwamini rafiki, msimwekee kiongozi tumaini; ilinde milango ya midomo ya kinywa chako ili mkeo alalaye kifuani mwako asijue habari." Mika 7:5. Pamoja na hayo, kwa wanandoa utii na upendo uendelee k**a inenavyo torati nayo.