TCCIA Arusha

TCCIA Arusha Tanzanian Chamber of Commerce, Industry and Agriculture - District of Arusha is the chamber of commerce for the business community of Arusha

12/01/2026
Warsha Ya Mfumo Wa Tanzania Chamber Portal Yaendeshwa Kanda Ya Kaskazini*Warsha ya mafunzo ya Mfumo Mpya wa Kidijitali –...
17/11/2025

Warsha Ya Mfumo Wa Tanzania Chamber Portal Yaendeshwa Kanda Ya Kaskazini*

Warsha ya mafunzo ya Mfumo Mpya wa Kidijitali – Tanzania Chamber Portal imezinduliwa rasmi jijini Arusha, ikiwa ni hatua muhimu katika safari ya mageuzi ya teknolojia ndani ya Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA).

Akizungumza wakati wa ufunguzi kwa niaba ya Rais wa TCCIA, Mwenyekiti wa TCCIA Arusha Ndg. Walter Maeda alisema mfumo huu mpya utaongeza uwazi, ufanisi na kasi ya utoaji huduma kwa wanachama wa chemba na Wafanyabiashara nchi nzima.

Warsha hiyo ya siku nne imewakutanisha washiriki kutoka Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga ambao wanajengewa uwezo wa kutumia mfumo huo kwa usahihi kupitia timu ya wataalamu wa TCCIA kwa kupitia ufadhili wa (TMA).

Kwa mujibu wa Afisa TEHAMA wa TCCIA Florian Mihyo mafunzo haya yanafanyika kikanda ili kuhakikisha kila kanda inajengewa uelewa wa kutosha kabla ya uzinduzi rasmi. Mfumo huo utawezesha wanachama na wafanyabiashara wote kwa ujumla kupata kwa urahisi huduma k**a usajili wa uanachama, Cheti cha Uasili wa Bidhaa,Uwasilishaji wa Vikwazo visivyo vya Kiforodha kwa wafanyabiashara wanaopeleka bidhaa nje ya Nchi. Vilevile mfumo huu utakua dawati la huduma kwa wateja mtandaoni.

Washiriki wamepongeza hatua hiyo, wakisema itarahisisha biashara na kupunguza urasimu.
Bi. Frida Shedafa, Afisa Forodha II – TRA Namanga Mkoa wa Arusha amesema mfumo huo “utaimarisha ushirikiano kati ya taasisi za umma na Sekta binafsi, kupunguza urasimu na kuongeza uwazi, hasa kwenye maeneo ya mpakani k**a Namanga.”

Warsha hizi zinatarajiwa kuharakisha matumizi ya teknolojia ndani ya TCCIA na kuimarisha mchango wa sekta binafsi katika kukuza uchumi wa taifa.

*

TCCIA Arusha, in partnership with Trias East Africa, successfully carried out a monitoring exercise under the HUSISHA pr...
07/10/2025

TCCIA Arusha, in partnership with Trias East Africa, successfully carried out a monitoring exercise under the HUSISHA programme.

Key focus areas included tracking progress on the organizational action plan, evaluating business development services indicators, reviewing financial reports, and conducting field visits to some members to assess satisfaction, growth, opportunities and challenges.
Constructive feedback and actionable recommendations were shared with both members and the TCCIA Arusha team to support continuous improvement.
We remain committed to driving an inclusive business environment across Arusha’s vibrant business community.

Last week TRIAS visitor from Belgium visited TCCIA Arusha interventions under the Include for sustainable development pr...
02/06/2025

Last week TRIAS visitor from Belgium visited TCCIA Arusha interventions under the Include for sustainable development program.

The most interested areas by the visitor was the support TCCIA Arusha is making towards circular economy, green businesses as well as the city planning initiative.

The visit offered the visitor an opportunity to witness the impact of the program to our members and community at large.

Ofisi ya Afisa biashara wa Jiji la Arusha ikishirikiana na TCCIA Arusha ikiwezeshwa na Benki kuu ya Tanzania ilifanya se...
22/05/2025

Ofisi ya Afisa biashara wa Jiji la Arusha ikishirikiana na TCCIA Arusha ikiwezeshwa na Benki kuu ya Tanzania ilifanya semina kwa wafanyabiashara wa hoteli na migahawa, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni na mawakala wa fedha ( Mobile money).

Semina hii ililenga kuelimisha wafanyabiashara hao kuhusu soko la fedha za kigeni na utambuzi wa biashara zisizo rasmi( Biashara za magendo).

TCCIA Arusha inaishukuru kwa mafunzo hayo muhimu kwa wanachama wetu.

The Indonesian Embassy in Dar es Salaam met with Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA) represen...
13/05/2025

The Indonesian Embassy in Dar es Salaam met with Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA) representatives in Arusha to discuss strengthening bilateral trade.

The meeting highlighted Indonesia’s interest in expanding cooperation in commerce, industry, and agriculture, aiming at exploring new trade opportunities between Indonesia and Arusha business community.

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TCCIA Arusha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share