18/11/2012
RANGE EXERCISES Nov. 18.2012.
MAZOEZI YA SHABAHA Nov. 18.2012.
Salaam,
Tunawapongeza wote waliofika katika Mazoezi ya Kulenga Shabaha yaliyofanyika TMA Dhahabu Resort Monduli, tarehe 18.11.2012. Tunakushukuru na Karibisha Wengine.
MAZOEZI:
Mazoezi ya Shabaha yaliyofanyika yalikuwa ya Mita 5, Mita 15 na Mita 20 (Pistol). Mita 50 (Shotgun) na Mita 100 (Rifle - Scope/Open Sight).
Washindi wa Pistol kwa wale walioshiriki mashindano ni k**a ifuatavyo;
MITA – 15 – Pistol: 1. Gamshad Gumdust, 2. Muktah Balyao, 3. Abdulsatar Hassan, 4. Naqib Hassan, 5. Taj Aziz, 6. John Faida Buluma, 7. Christopher Kamili.
MITA – 25 – Pistol: 1. Abdulsatar Hassan, 2. Gamshad Gamdust, 3. Mukhtar Bolyao , 4. Taj Aziz, 5. John Faida Buluma, 6. Christopher Kamili. MITA – 100 – Scope: 1. Abdulsatar Hassan, 2. Gamshad Gamdust.
MITA – 100 – Open Sight: 1. Gamshad Gamdust, 2. Abdulsatar Hassan.
WIKI IJAYO – Nov. 25.2012.
Kutakuwa na mazoezi kuelekea Mashindano ya Desemba 9.2012, ambayo yamebakiza wiki mbili (Novemba 25 na Desemba 2). Mashindano yatafanyika Arusha katika viwanja vya TMA – Dhahabu Resort, zawadi za Desemba 9 zitatokana na udhamini utakao patikana hivyo tunakaribisha wadhamini wa aina yoyote ili kufanikisha Mashindano haya.
MASHINDANO.
Jina: “The Arusha 2012 Range Championship”.
Kauli Mbiu ya Mashindano haya ni;
1. Kusherehekea Miaka 51 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania).
2. Kupiga vita Uwindaji Haramu.
Fomu za kushiriki Mashindano haya zitakuwa tayari kuanzia tarehe 21 November, kwa wale wanaohitaji fomu za kushiriki wanaweza kututaarifu kwa kupitia anuani yetu ya barua pepe ya [email protected] au kwa njia ya face book.
WAGENI MASHUHURI: Wageni Mashuhuri watakaofika katika mashindano haya watatangazwa kadri siku zinavyokwenda.
Tafadhali usikose wiki Ijayo Novemba 25.2012, Karibuni Sana.
Picha zaid bofya hapa,
http://www.facebook.com/media/set/?set=a.353761308053992.80994.346280765468713&type=1
RANGE EXERCISES Nov. 18.2012.
MAZOEZI YA SHABAHA Nov. 18.2012.
Salaam,
Tunawapongeza wote waliofika katika Mazoezi ya Kulenga Shabaha yaliyofanyika TMA Dhahabu Resort Monduli, tarehe 18.11.2012. Tunakushukuru na Karibisha Wengine.
MAZOEZI:
Mazoezi ya Shabaha yaliyofanyika yalikuwa ya Mita 5, Mita 15 na Mita 20 (Pistol). Mita 50 (Shotgun) na Mita 100 (Rifle - Scope/Open Sight).
Washindi wa Pistol kwa wale walioshiriki mashindano ni k**a ifuatavyo;
MITA – 15 – Pistol: 1. Gamshad Gumdust, 2. Muktah Balyao, 3. Abdulsatar Hassan, 4. Naqib Hassan, 5. Taj Aziz, 6. John Faida Buluma, 7. Christopher Kamili.
MITA – 25 – Pistol: 1. Abdulsatar Hassan, 2. Gamshad Gamdust, 3. Mukhtar Bolyao , 4. Taj Aziz, 5. John Faida Buluma, 6. Christopher Kamili. MITA – 100 – Scope: 1. Abdulsatar Hassan, 2. Gamshad Gamdust.
MITA – 100 – Open Sight: 1. Gamshad Gamdust, 2. Abdulsatar Hassan.
WIKI IJAYO – Nov. 25.2012.
Kutakuwa na mazoezi kuelekea Mashindano ya Desemba 9.2012, ambayo yamebakiza wiki mbili (Novemba 25 na Desemba 2). Mashindano yatafanyika Arusha katika viwanja vya TMA – Dhahabu Resort, zawadi za Desemba 9 zitatokana na udhamini utakao patikana hivyo tunakaribisha wadhamini wa aina yoyote ili kufanikisha Mashindano haya.
MASHINDANO.
Jina: “The Arusha 2012 Range Championship”.
Kauli Mbiu ya Mashindano haya ni;
1. Kusherehekea Miaka 51 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania).
2. Kupiga vita Uwindaji Haramu.
Fomu za kushiriki Mashindano haya zitakuwa tayari kuanzia tarehe 21 November, kwa wale wanaohitaji fomu za kushiriki wanaweza kututaarifu kwa kupitia anuani yetu ya barua pepe ya [email protected] au kwa njia ya face book.
WAGENI MASHUHURI: Wageni Mashuhuri watakaofika katika mashindano haya watatangazwa kadri siku zinavyokwenda.
Tafadhali usikose wiki Ijayo Novemba 25.2012, Karibuni Sana.