18/08/2021
Do & Don't on social media
Do & Don't on social media
Maisha ya Mtandaoni ni k**a maisha yakwenye jamii ya kawaida, isipokuwa kuna tofauti ndogo sana. K**a mjasiliamali Leo tu Jifunze nini cha kufanya na nini cha kutokufanya Mtandaoni.
Mambo yanayopaswa kufanywa :-
1.Onyesha chanzo cha taarifa k**a WEWE si mwanzilishi wa hiyo taarifa
2.Omba idhini kushare taarifa ya mtu ambayo haipo wazi/public
3.Heshimu faragha ya mtu, k**a ataki picha/jina kuonekana fanya hivyo
4.Ondoa uongozi/admin kwa mtu aliyebadilishiwa majukumu/kuhama ofisi
5.Linda account yako dhidi ya wadukuzi
6.Fuata sera yako ya mitandao ya kijamii
7.Fuata sheria za chi zinazo simamia mawasiliano ya kimtandao
8.Jiulize itakuwaje k**a ntaweka haya Maudhui Mtandaoni kabla ya kuweka
0652677135 Mr Hamza