Dar es salaam sports

Dar es salaam sports Michezo,Biashara na Siasa

06/09/2026

đź’šđź’›Naomba niwaombe viongozi wangu wa Yanga najua mnaweledi mkubwa sana kwenye kufanya mambo yenu ila kuna kampemi chafu inaendelea kuifanya Yanga iaibike kimataifa, mnacheza na watu wengi.TUOMGEZE UMAKINI

đź’šKabla ya mechi hii na Gaborone msemaji wao alisema wanajua pakuanzia maana walishacheza na mtu kutoka hapa nyumban na ukiangalia namna michezo ya nje ya uwanja ilivyokuwa inaenda kulikuwa na dalili zote Lunyasi ndio wanawapotosha hawa jamaa mfano kitendo cha kishirikina walichofanya uwanjani Gaborone wale ni Lunyasi kabisa.

đź’›Kitendo kingine ni redio mbao za hapa nyumbani zenye mawakala wa Lunyasi zilifanya kampeni wiki nzima kuiimba Yanga ni Underdog kimataifa wakijua kabisa nini kinaendelea kati ya Lunyasi na Gaborone.
ENG Hersi tunakuomba Sana mechi ya nyumbani zidisheni umakini wanatumiaa waandishi wao kudogosha ukiwa wa Yanga kimataifaa wakati ukweli ulivyo ni tofauti kabisa.

Hii Yanga Ina sifaa sana yaaaan mashabiki wa kunya fc sijui Leo wanajisikiaje Seleman Mwalimu kufunga
05/09/2026

Hii Yanga Ina sifaa sana yaaaan mashabiki wa kunya fc sijui Leo wanajisikiaje Seleman Mwalimu kufunga

Enge Hersi Said anaweza kushawishi mpaka mnyama kucheza Yanga ila yule Mzee mlevi (Chama) pale lunyasi amepoteza mueleke...
05/09/2026

Enge Hersi Said anaweza kushawishi mpaka mnyama kucheza Yanga ila yule Mzee mlevi (Chama) pale lunyasi amepoteza muelekeoo sasa amebaki kuropokaa uchafu ,ujinga na umbumbumbu.

Mtu mwenye kuubeba mpira mabegani mwake duniani Frabizio Romano akiwa ndani ya U*i wa kijani
03/09/2026

Mtu mwenye kuubeba mpira mabegani mwake duniani Frabizio Romano akiwa ndani ya U*i wa kijani

Semeni wenyewe upi U*i mkali zaidi wa kimataifaa zaidi kuliko misimu yotee .
03/09/2026

Semeni wenyewe upi U*i mkali zaidi wa kimataifaa zaidi kuliko misimu yotee .

Yanga imekuwa klabu namba mbili duniani kutazamwa YouTube Kwa mwezi ukitoaa Real Madrid tukio hiloo limetokeaa mwezi wa ...
03/09/2026

Yanga imekuwa klabu namba mbili duniani kutazamwa YouTube Kwa mwezi ukitoaa Real Madrid tukio hiloo limetokeaa mwezi wa August,imetazamwa mara million 18 hiii rekodi Kwa Africa ni mara ya kwanza ila Kwa Dunia ni Real Madrid na inafuatiwa na Yanga pekee .

Takwimu ya timu Tano bora NBC premier league mpaka sasa
03/09/2026

Takwimu ya timu Tano bora NBC premier league mpaka sasa

Binafsi huu leoo na utafuta Kwa Kasi ya SGR pale Jangwani patachimbikaa
03/09/2026

Binafsi huu leoo na utafuta Kwa Kasi ya SGR pale Jangwani patachimbikaa

Gharibu Said Mohamed (GSM) ni mfanya biashara mjanja sana anatumiaa mkataba wa kutengeneza jezi za Yanga vizur kutengene...
03/09/2026

Gharibu Said Mohamed (GSM) ni mfanya biashara mjanja sana anatumiaa mkataba wa kutengeneza jezi za Yanga vizur kutengeneza faida kubwa ni mtu mwenye maono ya Mbele sana Kuna watu watauliza mbona katoa jezi nyingine hapa jibu ni rahisi suala la kupendeza haliangalii nn watu hutaka kupendeza mda wowote, safari hii GSM umepatiaa sana utapiga helaa hizi jezi zotee ni nzur hakuna ulio pwaya .

02/09/2026

Jezi za kimataifaa za Yanga zimetangazwa kinataifa katika kiwango Cha Dunia na mwandishi mkubwa duniani wa mchezo wa mpira Fabrizio Romano kutoka Italia .
Hili ni tukio ambalo litaitangaza Yanga Duniani kwasababu huyu mwandishi ndiee mtu anaefuatiliaa zaidi haswa kwenye masuala ya football duniani hii come back sijui wazee wa kunya kunya fc watairudishaje.
Sasa nyie waandishi wenye kijicho Salum Mnolela,Wilson Oruma na Kengeza wapostin kunya gogo fc jezi zao mwaka na bado sana mtakondaa na hamta pumuaa jambo zaidi linakujaa.

Address

Magila, Kariakoo
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dar es salaam sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dar es salaam sports:

Shortcuts

Share