Dar es salaam sports

Dar es salaam sports Michezo,Biashara na Siasa

Simba na Yanga zatolewaa kwenye 10 bora ya vilabu bora Africa mwaka 2026
06/06/2026

Simba na Yanga zatolewaa kwenye 10 bora ya vilabu bora Africa mwaka 2026

04/06/2026
Hii TFF sijui wanaongoza mpira wa majungu au mpira wa kufungiaa na kutoza faini haingii akilini ligi yenye timu 16 mpaka...
01/06/2026

Hii TFF sijui wanaongoza mpira wa majungu au mpira wa kufungiaa na kutoza faini haingii akilini ligi yenye timu 16 mpaka leoo haijaisha ila ligi yenye timu 18 au 20 zimeisha zotee ila mpaka sasa ligi yenye timu chachee Ina mechi 5 bado haijulikani zitaisha lini na huu ni mwaka wa tatu bado hawajaweza kulitatuaa hili suala la ratibaa yaaan wamefeli vibaya sana misimu mitatu hawaelew wafanyee nini jaman ajirini watu wenye weledi kwenye nafasi hizo acheni kuajiri mtu kirafiki au Kwa kulipa fadhilaa mnajiharibiaa watu wamefeli Kwa hili la ratibaa pakubwa sana.
Kombe la Dunia linaanza tarehe 11 mwezi huu ligi bado haijulikani itarudi lini bado mtu anakalia kitu akipigwa na kiyoyozi bila presha kabisa tubadilikeni acheni kufanya kazi Kwa mazoeaa Kila kitu sasa kipo wazi na hamna sababu zozote zilee za kujiteteaa kuhusu ratiba nyiee mmefeli mnamuangusha sana Rais wa TFF Kwa hili .Mjumbe hauawi k**a mjumbe nawasilisha.

Uwanja wa Samia Suluhu Hassan unaojengwa jijini Arusha una umbo la mviringo (dira duara) ambalo muundo wake wa paa la ju...
30/05/2026

Uwanja wa Samia Suluhu Hassan unaojengwa jijini Arusha una umbo la mviringo (dira duara) ambalo muundo wake wa paa la juu umechongoka kwa mawimbi yanayoakisi mandhari ya Mlima Kilimanjaro na umbo la kijiometri la madini ya Tanzanite

Kwa ndani ni mfano wa "Cradle of mankind" yaani Olduvai gorge.

Sifa kuu za uwanja huo:
>Ukubwa wa Eneo: Unachukua eneo la hekta 14.57 katika eneo la Olomoti.

>Sehemu ya kuchezea (pitch) ina ukubwa wa mita 105 kwa mita 68

>Uwezo: Unajengwa ili kuingiza watazamaji 32,000 walioketi.

>Kiwango: Uwanja huu unajengwa kwa kiwango cha FIFA chenye nyasi za asili kwa ajili ya mashindano ya AFCON 2027

Okello aipaisha Yanga kileleni baada ya kuisaidiaa kupata ushindi wa magoli matatu dhidi ya Namungo (wauaji wa kusini)  ...
25/05/2026

Okello aipaisha Yanga kileleni baada ya kuisaidiaa kupata ushindi wa magoli matatu dhidi ya Namungo (wauaji wa kusini)

Eng Hersi unaweza kusema ananusa sana hatari maana usajili huu Kwa msimu huu ndio wenye tijaa miongoni mwa wachezaji wotee aliosajili ndio unalipa Kwa kiasi kikubwa mpaka sasa hongera sana Rais wa mpira

Hawa ni wachambuzi wa mpira ila hili la Simba kufunga goli katika mazingira yasiyo haki katika mchezo huu wamekaa kimyaa...
24/05/2026

Hawa ni wachambuzi wa mpira ila hili la Simba kufunga goli katika mazingira yasiyo haki katika mchezo huu wamekaa kimyaa au ngoja tusubiri keshoo

Simba haijawahi pata matokeo ya kushinda mchezo wowote wa ligi dhidi ya Yanga Toka mwaka 2023 iliambuliaa vipigo mfululi...
22/05/2026

Simba haijawahi pata matokeo ya kushinda mchezo wowote wa ligi dhidi ya Yanga Toka mwaka 2023 iliambuliaa vipigo mfululizo

Mr MVP wa msimu huu nan anabisha ?? A Star boy kaja juzi tuu dirisha dogo ila kawapitaa wachezaji wotee kuanziaa MAGOLI ...
22/05/2026

Mr MVP wa msimu huu nan anabisha ?? A Star boy kaja juzi tuu dirisha dogo ila kawapitaa wachezaji wotee kuanziaa MAGOLI mpaka assist kitakwimu huyu ndiee MVP wa msimu huu labda k**a kigezo kibadilikee

Rio ni miongoni mwa mabeki wa kawaida sana kucheza Man U ila mifumo ya Sir Alex Ferguson ilimbeba sana ndio maana katika...
20/05/2026

Rio ni miongoni mwa mabeki wa kawaida sana kucheza Man U ila mifumo ya Sir Alex Ferguson ilimbeba sana ndio maana katika career yakee hakuwahi pata tuzo binafsi k**a Mchezaji zaid ya kashfa za kutumiaa madawa ya kuongeza nguvu na kufungiwa miezi nane asicheze mpiraa,hivyo alikuwa wa kawaida sana na hana maajabu .

Arsenal ama washika mitutu baada ya miaka 22 watwaa ubingwa wa EPL wakisaliaa na mchezo mmoja ,Hongera sana the Gunners
20/05/2026

Arsenal ama washika mitutu baada ya miaka 22 watwaa ubingwa wa EPL wakisaliaa na mchezo mmoja ,Hongera sana the Gunners

Address

Magila, Kariakoo
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dar es salaam sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dar es salaam sports:

Share