22/03/2024
Zipo Faida Nyingi Ila Kwa leo Chukua Hizi Tatu Za Msingi Na Za Muhimu Unazopaswa kuzijua nakuzizingatia kwa umakini.
1.Unapokua unafanya biashara kwa mfumo wa Kampuni unakua na uhakikia wakuomba nakushinda kwa asilimia 98% zabuni (Tender) zote zinazokua zimetangazwa na serikali , taasisi au kampuni binafsi kwani zabuni nyingi zinatangazwa kwa makampuni na ili uombe lazima uwe ni kampuni na ili uthibitishe kua wewe ni kampuni ni lazima uambatanishe cheti cha usajili kutoka brela yani CERTIFICATE OF INCORPORATION na cheti hiki hutolewa kwa kampuni zilizosajiliwa na BRELA Pekee.
2.Unapokua unafanya Biashara kwa mfumo wa kampuni unakua na uwezo wakufanya biashara zaidi ya kumi katika kampuni yako hiyohiyo moja kitu ambacho kitakua kinakuongezea kipato mara dufu kwani utakua na vyanzo vingi vya mapato tofauti na kufanya biashara moja tu.
3.Moja ya sifa ya Kampuni ni kua hua haifi hata ikitokea muanzilishi wake amefariki bas kampuni itaendelea kuwepo kwani kuna makampuni hapahapa Tanzania na duniani yameanzishwa miaka zaid ya 100 na walioanzisha hawapo duniani ila bado kampuni hizo zipo hivyo k**a unampango wakuanzisha biashara ambayo itakua na faida kwako nakuendelezwa na watoto wako au ndugu zako hata ikitokea ww haupo duniani k**a utaacha mfumo mzuri wa ufanyaji kazi bas kampuni yako itaendelea kuepo kwa kuendelezwa na wategemezi wako bila shaka yoyote.
By the way k**a umeona faida hizi zinaeza kukusaidia kwa malengo yakiuchumi uliojiwekea tunakukaribisha katika huduma ya USAJILI WA KAMPUNI tunayoitoa ambapo tutakusaidia kuandaa nyaraka zote muhimu zinazohitajika na BRELA wakati wa kutuma maombi ya usajili wa kampuni pia tutafatilia mpaka cheti cha uthibitisho wa usajili wa kampuni yako kitakapo toka.
Kwa gharama ya Tsh 350,000 ni malipo utayotulipa ili tukusaidie mchakato huu wote na ni pesa utayoilipa kwa awamu mbili ambayo malipo haya ni tofauti na malipo ya BRELA , ofisi zetu zipo ilala boma jengo la mwalimu house ghorofa no 5 kulia
K**a unaitaj huduma hii serious bonyeza link hapo katika picha palipo andikwa SEND MESSAGE au CHAT ON WHATSAPP itakuleta moja kwa moja katika whatsapp tutumie msg tukuhudumie. Namba zetu za simu ni 0742691119