27/05/2024
Maana ya haraka ya neno HASARA kwa mfanyabiashara ni kutokupata FAIDA
Zipo sababu kadha wa kadha ambazo mtu anaweza pata Hasara,
kuna zile zinaweza epukika na kuna zile ambazo haziwezi epukika
Mfano, majanga ya asili (tetemeko la ardhi), kubadilika kwa sheria za nchi nk
Lakini leo tuangalie sababu zinazoweza kuepukika
1. Kuto kuwa na taarifa au record sahihi za Biashara yako k**a: mauzo, matumizi na mzigo.
2. Kuacha mtu mwingine asimamie na wewe kujua biashara yako juu juu
Kuruhusu wafanyakazi wako kujua FAIDA UNAYO IPATA.
3. Matumizi mabaya ya fedha za biashara.
4. Kufanya maamuzi makubwa au madogo kwa kuiga nasi kutumia taarifa za biashara yako, Mfano kukopa, kufungua tawi jingine nk.
Sasa namna sahihi ya kuepuka hasara zinazoweza kuepukika ni Pamoja na kutumia, mfumo wa kidigital katika kusimamia bishara yako. Hii tunaita jiwe moja linaua ndege 5
Je unataka kufahamu namna gani mfumo wa kidigitali k**a unaweza, kuzuia hasara zinazoweza kuepukika?
Tuandikie swali kwenye comment au tupigie 0748 711 700
Pia unaweza ipakua play Store au App Store