16/07/2021
SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WAKAZI WA MBEYA NA TUNDUMA.
Kampuni ya *ECONOMY DRIVER COMPANY* inayojishughulisha na kutoa mafunzo ya ujasiriamali na Afya, inatoa semina ya ujasiriamali kwa watu wote bila malipo yoyote . Walengwa ni waajiriwa, waliojiajiri, wafanyabiashara, wanachuo au mtu yeyote ambaye bado hajapata kitu sahihi cha kufanya . Kwa Mbeya Mahali ni :cofee garden siku 18/7
Kwa Tunduma mahali: High class hotel 17/7
Ili uweze kuwa mmoja wa wageni ambao wangependa kuhudhuria katika semina hii ambayo itakujenga wasiliana nami
Kupitia namba 0787032779 au gusa link hapo chini
https://wa.me/message/2NF3E2F6BFVCB1