Dar nyumbani.

Dar nyumbani. Furahi leo ukijua kesho ufiki.

Siku zote penye mikusanyiko ya watu wengi kuna wanzuri na wabaya ambao uti   wanaweza kuvuruga maandamano     wanapenda ...
29/11/2025

Siku zote penye mikusanyiko ya watu wengi kuna wanzuri na wabaya ambao uti
wanaweza kuvuruga maandamano wanapenda itokee vurugu wanufaike mnaweza kuwajua?je n je suluhisho ya yote ni maandamano?t, shari,Mwenye zi mungu Ibariki Tanzaniaia

kura ni haki ya msingi kwa kila mwananchi ili kuleta kiongozi umtakaye ni wajibu wetu kujitokeza kwenda kupiga kura.laki...
24/10/2025

kura ni haki ya msingi kwa kila mwananchi ili kuleta kiongozi umtakaye ni wajibu wetu kujitokeza kwenda kupiga kura.lakini maandamano ni haki ya msingi kwa kila mwananchi ikiwa tu yatafanyika kwa amani na viongozi kuwa wasikivu ktk taifa husika.je tujiulize maandamano ya siku ya uchaguzi itakuwa suluhisho kwa yanayoendelea nchini.je Tanzania maandamano yashawai kuleta suluhisho.?

kilioo kilioo,kilioo kilioo  kilioo kilioo,kilioo tutamlilia naniii,wenzatu wa uganda wanakimbilia Tanzania na sisi wata...
15/10/2025

kilioo kilioo,kilioo kilioo kilioo kilioo,kilioo tutamlilia naniii,
wenzatu wa uganda wanakimbilia Tanzania na sisi watanzania tutakimbialia wapi?kampeni 2005.hakuna machafuko yatakayotokea ikiwa vyombo vya usalama wakiwalinda waandamanaji.wengi wape.bila ya amani hakuna maendeleo.amani ikitoweka waathirika wakubwa watoto,wanawake na wagonjwa.Ee Mwenye zi mungu vipe moyo wa huruma vyombo vya usalama.

Ibada na vitendo vema.
25/07/2025

Ibada na vitendo vema.

Umeshaiona ndoto ya mtoto wako?
04/10/2024

Umeshaiona ndoto ya mtoto wako?

Maisha ubadilika kwa majukumu kujipa.Unaoneshewa vidole mitaani ukipita.Umekopa mkopo ufahali kuutaka.Umeshindwa kuulipa...
23/09/2024

Maisha ubadilika kwa majukumu kujipa.
Unaoneshewa vidole mitaani ukipita.
Umekopa mkopo ufahali kuutaka.
Umeshindwa kuulipa unatapatapa.
Mafanikio uja taratibu,mvumilivu ula mbivu.

Usikope mkopo kwa kumcheza mtoto.
Utakacho fanya si sahihi embu mtimizie ndoto.
Desturi k**a hii kuna kabila silitaji.
Nikisema nilitaje naweza pata ladhi.
Mafanikio uja taratibu,Mvumilivu ula mbivu.

Kuna hii kausha damu wengi hawana hamu.
Uongea pekee yao k**a hawana fahamu.
Wewe ujaingia ukweli nakwambia .
Usije ukaingia ukaja kujijutia.
Mafanikio uja taratibu,Mvumilivu ula mbivu.

Kuna simu za mkopo unafurahia ukitumia.
Ukija kuiaribu zinafata taratibu.
Sisemi usikope angalia hali yako.
Usimuige jirani yako deni la pdke yako.
Mafanikio uja taratibu,Mvumilivu ula mbivu.

Ikope kwa manufaa itakayo kukuingizia pesa.
Baada ya mwaka mmoja ukaishi kwa kutesa.
Sina la kuendeleza samahanini nilipoteleza.
Mafanikio uja taratibu,Mvumilivu ula mbivu.Dar Nyumbani.

06/07/2024

Giza linapoingia kila mmoja urudi mahala salama pa kupumzika.ila wapo ambao hawajui wapi pakupumzika ee Mwenye zi mungu wajalie nao wapate mahali salama pakupumzika.

01/10/2021

Mambo muhimu ktk Taifa lolote duniani,Amani,Upendo,vikipatikani kila jambo litaenda vinzuri.

01/10/2021

Sehemu zilizo katazwa kufanya biashara(1)kando ya barabara(2)juu ya mitaro ya maji(3)mbele ya maduka ya wengine(4)ktk ofisi za selikari(5)pembeni mwa mashule.Swali la kujiuliza.jambo la kushangaza,ofisi ya wafanya biashara Gongo la mboto wameamua kuwachangisha wafanya biashara tsh 10,000/=ili wawasajiri kisha kuwapanga je kwenu lipo na k**a lipo sehemu gani wamepewa?huku yatolewe malori,malori yapo barabarani,fikiri kabla ujatoa ela au ndugu yako kutoa ela,nanukuu:Mtanikumbuka si kwa mabaya ila kwa manzuri,R I P JPM.

Address

Congo LA Mboto
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dar nyumbani. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share