MHS Consults Limited

MHS Consults Limited We help businesses streamline their operations, increase profitability and stay compliant by offering

Biashara yenye mafanikio endelevu inajengwa kwenye misingi ya kufuata sheria na mifumo ya kodi. Ukweli ni kwamba, huwezi...
26/05/2026

Biashara yenye mafanikio endelevu inajengwa kwenye misingi ya kufuata sheria na mifumo ya kodi.

Ukweli ni kwamba, huwezi kukua k**a bado unakimbizana na mamlaka za mapato.

✅Mambo haya matatu: Kujua kodi zako, kuzingatia sheria, na kulipa kwa wakati ndio ngao yako.

📌Je, changamoto yako kubwa ipo kwenye ipi kati ya hizi tatu? Tukutane kwenye comments!

Happy New Week Kila wiki mpya ni nafasi nyingine ya kukuza biashara yako, kuongeza mauzo na kufikia malengo makubwa zaid...
25/05/2026

Happy New Week

Kila wiki mpya ni nafasi nyingine ya kukuza biashara yako, kuongeza mauzo na kufikia malengo makubwa zaidi.

📍Usipoteze muda wako kwenye changamoto za usajili, masuala ya kodi, branding au marketing wakati unaweza kuziacha kwa wataalamu.

✅MHS Consults tupo hapa kuhakikisha biashara yako inakuwa compliant, inaonekana kitaalamu na inakua kwa njia sahihi.

Wewe focus kwenye sales na kuwahudumia wateja wako, sisi tutashughulikia mengine.

📌Ready kuikuza biashara yako wiki hii?
📩Tutumie ujumbe whatsapp 0655292854

Biashara inaweza kuwa na mauzo makubwa kila siku lakini k**a usimamizi wa kodi, leseni na taarifa za kifedha hauko sawa,...
23/05/2026

Biashara inaweza kuwa na mauzo makubwa kila siku lakini k**a usimamizi wa kodi, leseni na taarifa za kifedha hauko sawa, penalties zinaweza kula faida yako kimya kimya.

Usisubiri faini zikush*tue. Hakikisha biashara yako ipo compliant na inaendeshwa kitaalamu ili ulinde mapato yako na kukuza biashara kwa amani. ✅

📞Wasiliana nasi leo tukusaidie kwenye masuala ya Tax, Registration & Accounting kwa usahihi zaidi.

📩Tuandikie Whatsapp 0655292854

22/05/2026

Kutoka kuwa mfanyabiashara wa kawaida hadi kuwa CEO wa kampuni inayotambulika kisheria Tanzania, unahitaji kufuata hatua hizi 5

📍Uchaguzi wa Jina
Kuchagua jina la kipekee linaloendana na shughuli zako.

📍Name Search (BRELA)
Kuhakikisha jina halijatumiwa na mtu mwingine.

📍Aina ya Usajili
Kuchagua kusajili k**a Business Name au Limited Company.

📍TIN ya TRA
Kupata namba ya utambulisho wa mlipa kodi kwa uhalali wa kifedha.

📍Compliance
Kufanya Tax Filing na Annual Returns kwa wakati ili kuepuka faini.

📌Je upo tayari kupiga hatua iyo kubwa leo? MHS Consults tupo kukurahisishia kila hatua uanze safari yako leo.

📩Tuandikie ujumbe whatsapp 0655 292 854

Faida yako ya mwezi inaishia wapi? ​Wafanyabiashara wengi wanapambana sana kutafuta wateja na kuingiza faida, lakini cha...
21/05/2026

Faida yako ya mwezi inaishia wapi?

​Wafanyabiashara wengi wanapambana sana kutafuta wateja na kuingiza faida, lakini changamoto kubwa inakuja kwenye upande wa tax compliance.

Unakuta faida yote uliyoiingiza kwa jasho, inaishia kulipa faini na penalties za TRA ambazo ungeweza kuziepuka kabisa kwa kufanya filing kwa wakati.

📌​Kumbuka,TRA hawaangalii k**a biashara yako ni ndogo au haujapata faida kubwa, filing lazima ifanyike kwa wakati ili kuepuka madeni yanayokuwa kimya kimya.

✅​Linda faida ya biashara yako leo kwa kuwa makini na kumbukumbu na tarehe za filing!

📍Je, unahitaji msaada wa kurekebisha filing zako, kuangalia penalties, au kuhakikisha biashara yako ipo salama TRA?

📩Tuandikie whatsapp 0655 292 854

Kuna utofauti mkubwa sana kati ya "Kununua kwa nani" na "Kununua kutoka kampuni gani." Ukweli ni kwamba, wateja wako rad...
20/05/2026

Kuna utofauti mkubwa sana kati ya "Kununua kwa nani" na "Kununua kutoka kampuni gani."

Ukweli ni kwamba, wateja wako radhi kulipa bei kubwa kwa
kampuni iliyosajiliwa kuliko kwa mtu binafsi, hata k**a bidhaa ni ile ile.

Usajili unakupa hadhi, uaminifu, na utulivu wa kibiashara (Stability & Trust).

✅Ni wakati sasa wa kuacha kuonekana k**a mjasiriamali wa kawaida na kuanza kuonekana k**a CEO.

Geuza biashara yako kuwa Brand rasmi leo!

📩Tuandike neno " KAMPUNI" whatsapp 0655 292 854 kupata punguzo kwa ajili ya usajili wa kampuni yako wiki hii. Nafasi ni chache!

Anza wiki yako kwa ari mpya na malengo makubwa zaidi! Ili biashara yako ikue na kuleta tija, unahitaji misingi imara ya ...
18/05/2026

Anza wiki yako kwa ari mpya na malengo makubwa zaidi!

Ili biashara yako ikue na kuleta tija, unahitaji misingi imara ya kitaalamu.

MHS Consults tuko hapa kukusimamia na kukupatia huduma zifuatazo

📍Usajili wa Biashara na Kampuni (BRELA)
📍Huduma za Kodi na Uhasibu
📍Website Designing
📍Branding Services
📍Digital Marketing

📌Let’s build your business the right way!

Wasiliana nasi leo kupata huduma hizi
📩WhatsApp: +255 655 292 854

Biashara nyingi hupata changamoto za kodi kwa sababu ya kutofanya ukaguzi mapema. Ukaguzi wa mara kwa mara wa kodi hukus...
16/05/2026

Biashara nyingi hupata changamoto za kodi kwa sababu ya kutofanya ukaguzi mapema.

Ukaguzi wa mara kwa mara wa kodi hukusaidia kugundua makosa, kurekebisha taarifa na kuepuka faini zisizo za lazima.

✅Linda biashara yako kwa kuwa hatua moja mbele.

📌Wasiliana nasi leo kwa ushauri na huduma za ukaguzi wa kodi kwa biashara yako.

📩Tutumie ujumbe whatsapp 0655 292 854

14/05/2026

Je, unajua kwanini biashara yako inakosa 'deals' kubwa?

✋Sio kwamba bidhaa zako ni mbaya, hapana! Shida ni kwamba haijasajiliwa rasmi.

📍Makampuni makubwa na wateja walio serious wanataka kufanya kazi na biashara wanazoziamini.

Kusajili biashara yako kunaongeza uaminifu (trust) na kukufungulia milango ya tenda kubwa na mikopo.

Usikubali kubaki nyuma!
✅MHS Consults tunarasimisha biashara au kampuni yako haraka na kwa uaminifu.

📩Tuandikie ujumbe whatsapp 06 552 292 854 uanze usajili wa biashara au kampuni yako sasa

12/05/2026

Usajili wa kampuni ni hatua ya kwanza, lakini safari haishii hapo!

Wafanyabiashara wengi husahau kufanya Beneficial Ownership Filing ndani ya mwezi mmoja baada ya usajili.

📌Kukosa kufanya hivi kunaweza kukusababishia
•Kukosa huduma muhimu kutoka BRELA.
•Vikwazo katika uendeshaji wa biashara yako kisheria.

✅Usikubali kukwama! MHS Consults tuko hapa kukuongoza kuanzia usajili hadi kuhakikisha unakidhi vigezo vyote vya kisheria.

📩Tutumie ujumbe whatsapp 06 552 292 854

Success isn't just about hard work,  it’s about the right strategy. We’re starting another week to level Up by helping o...
11/05/2026

Success isn't just about hard work, it’s about the right strategy.

We’re starting another week to level Up by helping our clients turn complex challenges into clear growth paths.

From innovative ideas to executable solutions, we’re here to ensure your business stays ahead of the curve.

✅Let’s talk strategy.
📩Send message via whatsapp +255 655 292 854 for a consultation.

Address

University Road, Savei
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 20:00
Tuesday 08:00 - 20:00
Wednesday 08:00 - 20:00
Thursday 08:00 - 20:00
Friday 08:00 - 20:00
Saturday 08:00 - 20:00

Telephone

+255764725595

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MHS Consults Limited posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MHS Consults Limited:

Share