Best Consultants Tz

Best Consultants Tz Tax Planning & Advisory Services
Financial Advisory & Reporting
Company Registration & Setup
Whatsapp/Call +255797877627

14/04/2026

Tunakusaidia Kupata Permit ya BOT kwa wamiliki wa Microfinance na TIRA kwa wamiliki wa makampuni ya Bima✍️
K**a unavyofahamu, kupata permit ya microfinance ni hatua muhimu kwa taasisi zinazotaka kutoa huduma za kifedha kwa jamii, hasa kwa wajasiriamali wadogo na wale wanaohitaji mikopo. Hii ni fursa kubwa ya kuleta mabadiliko katika sekta ya kifedha, lakini pia inahitaji kuelewa na kutekeleza taratibu za kisheria.

Pia, BIMA TIRA inatoa muongozo muhimu kwa kampuni za bima ili kuhakikisha huduma za bima zinazotolewa ni za ubora na zinawafaidi wateja. Kwa kushirikiana na wataalamu wetu, tunakusaidia kupitia mchakato mzima wa kupata permit ya microfinance na kuhakikisha unakidhi masharti yote ya BIMA TIRA.

Ikiwa unahitaji msaada katika mchakato huu, tupo hapa kukusaidia. Tutakusaidia kupata kibali cha kufanya biashara, kudhibiti huduma zako za bima, na kuendeleza sekta ya kifedha.

14/04/2026

Usiruhusu makosa ya kodi yakugharimu biashara yako.

Wasiliana nasi sasa kabla haijachelewa.

#2026

Happy Karume Day 2026Abeid Amani Karume alikuwa Rais waKwanza Zanzibar. Alipata cheo hiki kutokana na Mapinduzi yaliyope...
07/04/2026

Happy Karume Day 2026

Abeid Amani Karume alikuwa Rais wa
Kwanza Zanzibar. Alipata cheo hiki kutokana na Mapinduzi yaliyopelekea kuondolewa madarakanı kwa sir jamsid bin Add Abdullah, Sultani wa mwisho wa Zanzibar kutawala
Januari 1964

Heri ya Sikukuu ya Pasaka
05/04/2026

Heri ya Sikukuu ya Pasaka

Ijumaa Kuu ni kumbukumbu ya upendo wa kweli na sadaka kubwa. Tunatafakari, tunanyenyekea, na tunashukuru kwa neema tuliy...
03/04/2026

Ijumaa Kuu ni kumbukumbu ya upendo wa kweli na sadaka kubwa. Tunatafakari, tunanyenyekea, na tunashukuru kwa neema tuliyopewa.

16/03/2026

Je, unahitaji mtaji wa kukuza biashara yako?

Sasa tuna program maalum zinazokuunganisha na wawekezaji wanaotoa mtaji kuanzia Milioni 500+ (USD 250K+) kwa ajili ya kukuza na kupanua biashara yako.

Kupitia program zetu:
✅ Joint Venture Program
✅ Commercial Bridge Program

Tunakuunganisha moja kwa moja na wawekezaji waliopo tayari kuwekeza kwenye biashara zenye maono makubwa na mpango wa kukua.

📈 Chukua hatua kubwa kwenye safari ya biashara yako leo.

📩 Wasiliana nasi: +255 797 877 627

Mwezi wa rehema, msamaha na baraka tele umefika.Mwenyezi Mungu atujaalie afya njema, subira na akubali ibada zetu zote. ...
19/02/2026

Mwezi wa rehema, msamaha na baraka tele umefika.
Mwenyezi Mungu atujaalie afya njema, subira na akubali ibada zetu zote. 🤲🤍

Kwaresma ni safari ya mabadiliko ya ndani. Leo chagua toba, kesho chagua upendo, na kila siku chagua kuwa bora zaidi. 🤍✝...
18/02/2026

Kwaresma ni safari ya mabadiliko ya ndani. Leo chagua toba, kesho chagua upendo, na kila siku chagua kuwa bora zaidi. 🤍✝️

10/02/2026

Tutakusaidia kukuombea msamaha wa madeni ya kikodi (Tax Remission) kwa niaba yako, kuanzia hatua zote kwa ufanisi na kwa kufuata taratibu husika, ili kupunguza mzigo wa madeni na kuiweka biashara yako katika hali bora ya kifedha.

Tunapatikana:
📍 Bagamoyo Road, Dar es Salaam (Bamaga Nassco Petrol Station, 1st Floor)

Wasiliana nasi:
📞 +255 797 877 627

21/01/2026

RASIMISHA BIASHARA YAKO LEO:

1.⁠ ⁠Usajili wa Kampuni (BRELA)
2.⁠ ⁠Usajili wa Kodi (TRA)
3.⁠ ⁠Pata Leseni ya Biashara
4.⁠ ⁠Vibali na Idhini za Kazi

Best Consultants tupo hapa kusaidia katika kila hatua ya urasimishaji wa biashara yako. Hakikisha biashara yako inakuwa halali na kufungua fursa nyingi zaidi za kibiashara.

Ingia kwenye channel yetu ya Youtube - Best Consultants Podcast

📍 Bamaga, Mwenge, Dar es Salaam
📞 +255 797 877 627

Makadirio ya Marejesho ya Kodi🗞Tunawakumbusha wafanyabiashara wote kuhakikisha filing ya Estimated Tax Return inafanyika...
20/01/2026

Makadirio ya Marejesho ya Kodi🗞

Tunawakumbusha wafanyabiashara wote kuhakikisha filing ya Estimated Tax Return inafanyika kabla ya tarehe 31 Machi ili kuepuka adhabu na kuhakikisha utii wa sheria za kodi.

Best Consultants tunaweza kukusaidia katika hili kuanzia mwanzo mpaka mwisho na kuhakikisha biashara yako inakuwa salama katika upande wa kodi.

📞 Piga: +255 797 877 627

📍Bamaga Nassco Petrol Station, Ghorofa ya Kwanza, Bagamoyo Road Dar es Salaam

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Best Consultants Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Best Consultants Tz:

Share