Timiza Malengo

Timiza Malengo Don't You Fear anything When You Find Successful.

Kama ungependa kupata maarifa ya kukutoa mahali ulipo kiuchumi kupiga hatua zaidi basi Unaweza Kunipigia Kwa namba +255 769600821 au 0655562181 tuzungumze

⌚JIUNGE NA TIMU YETU YA WASAMBAZAJI NA KUKUZA BIASHARA YAKO!⌚​Je, wewe ni mjasiriamali unayetafuta fursa mpya za faida? ...
12/04/2026

⌚JIUNGE NA TIMU YETU YA WASAMBAZAJI NA KUKUZA BIASHARA YAKO!⌚

​Je, wewe ni mjasiriamali unayetafuta fursa mpya za faida? Tunatafuta wasambazaji wapya wenye ari ya kujiunga na timu yetu inayokua!

​Kwanini uwe msambazaji wetu?

​Pata kipato cha kutosha na thabiti: Pata hadi 10% ya kila msambazaji mpya unayemleta, pamoja na zawadi za kipekee za ukuaji kulingana na mafanikio yako.

√ ​Jenga biashara yako mwenyewe: - Panua mtandao wako na kuongeza mauzo kwa kutumia bidhaa zetu zinazohitajika sokoni.-
√ Msaada na mafunzo kamili: - Tunatoa msaada wa kutosha, pamoja na mafunzo ya mauzo na masoko, ili kukusaidia kufanikiwa.
√ ​Chapa inayotambulika: Shirikiana na chapa inayoheshimika na yenye rekodi ya mafanikio.
​Sifa za msambazaji bora: - ​Ari ya kufanya mauzo: Motisha ya kufikia malengo na kukuza biashara.
√ ​Ustadi wa mawasiliano: - Uwezo wa kujenga uhusiano imara na wateja.
√ ​Mtazamo chanya: - Nishati na shauku ya kuleta matokeo bora.
√ ​Uwezo wa kufanya kazi kwa uhuru: - Motisha ya kujitolea na kufikia malengo.

​Anza safari yako leo!

​Bofya hapa 👇 https://wa.me/message/UM6D7ZNLA253A1 ili kujiunga na timu yetu na kuanza safari yako ya mafanikio k**a msambazaji.

ANZA LEO - Bonyeza Hapa na upate maelezo zaidi kuhusu fursa hii ya kipekee.
​Sema ndiyo kwa mafanikio yako!

𝙉𝙄𝙈𝙀𝙕𝘼𝙇𝙄𝙒𝘼 𝙆𝙐𝙒𝘼 𝙈𝙐𝙐𝙕𝘼 𝙆𝙀𝙆𝙄 𝙉𝘼 𝙉𝙄𝙏𝙌𝙆𝙐𝙁𝘼 𝙉𝙄𝙆𝙄𝙒𝘼 𝙈𝙐𝙐𝙕𝘼 𝙆𝙀𝙆𝙄.  Maskini mmoja aliekua anafanya biashara ya kuuza  keki alimfa...
24/10/2025

𝙉𝙄𝙈𝙀𝙕𝘼𝙇𝙄𝙒𝘼 𝙆𝙐𝙒𝘼 𝙈𝙐𝙐𝙕𝘼 𝙆𝙀𝙆𝙄 𝙉𝘼 𝙉𝙄𝙏𝙌𝙆𝙐𝙁𝘼 𝙉𝙄𝙆𝙄𝙒𝘼 𝙈𝙐𝙐𝙕𝘼 𝙆𝙀𝙆𝙄.

Maskini mmoja aliekua anafanya biashara ya kuuza keki alimfata Billionea wa Ugiriki anaeitwa Aristotle Onassis, huyu Onassis alikua ni tajiri mkubwa sana wa ugiriki na pia Duniani, alikua anamiliki makampuni ya Meli, Viwanda na Biashara mbalimbali.

Muuza Keki alimfata Billionea Onassis akamuomba Onassis anunue keki zake, lakini Onassis hakujibu kitu akaingiza mkono mfukono na akatoa Coin (sarafu ya chuma) akairusha juu alafu akaidaka na kumuuliza yule muuza keki "King or tail?" Yani kwa lugha rahisi "kichwa au mwenge?" Na akamwambia muuza keki "K**a utashinda nitakupa Cheki na pesa zangu zote cash nilizonazo kwenye begi, ila k**a utashindwa, Utaacha keki zako zote hapa juu ya meza"

Muuza keki akajibu "Muheshimiwa, Mimi ni maskini, k**a nitashindwa na kupoteza keki zangu zote basi sitaweza kuilisha familia yangu siku ya leo"

Tajiri Billionea Onassis hakujibu chochote akageuka na kuondoka zake huku anatabasam na akisema "Nimezaliwa kuwa muuza keki, na nitakufa nikiwa muuza keki" (Akimlenga yule muuza keki).

Muuza keki alipata nafasi ya kushinda mamilioni ya pesa ila hofu ya kupoteza keki zake chache zilimfanya apoteze nafasi ya kupata pesa nyingi.

Lakini tajiri Onassis hakuhofia kupoteza mamilioni ya pesa zake kwa thamani ya keki tu, huu ndo utofauti walionao matajiri na masikini.

Maskini wengi tunaogopa hatari ya kupoteza kidogo tulicho nacho kwa kutafuta kikubwa, lakini matajiri hawaogopi kuwekeza kikubwa walichonacho ili kupata chochote.

Siku zote utajiri haukai kwa mtu muoga, jaribu usiogope kupoteza..... Take risk or lose the chance

Timiza Malengo - 0655 562 181

✍️ K**a umeipenda hii gonna LIKE Hapa chini 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

SIRI YA MAISHA - NG'OMBE HAGAWI MAZIWA NI MATOKEO YA JUHUDI ZAKO.  Siku moja Baba alikuwa akiwaambia watoto wake walipok...
03/10/2025

SIRI YA MAISHA - NG'OMBE HAGAWI MAZIWA NI MATOKEO YA JUHUDI ZAKO.

Siku moja Baba alikuwa akiwaambia watoto wake walipokuwa wadogo: "Wakati kila mmoja wenu atakapofikisha miaka kumi na mbili, nitashiriki nanyi siri ya maisha."

Siku moja mtoto mkubwa zaidi alipofikisha umri wa miaka kumi na mbili, alimwuliza baba yake kwa woga, "Kwa hivyo ni siri gani ya maisha ulisema utashiriki nasi tutakapofikisha umri nilionao?"

Baba yake akainama na kusema, "Nitakuambia, lakini huwezi kuwagawia ndugu zako bado.hawajawa Tayari? Siri yenyewe ni hii hapa - Ng'ombe hagawi maziwa."

“Unamaanisha nini?” kijana aliuliza huku akiwa amechanganyikiwa.

"Umenisikia. Ng'ombe hakupi maziwa tu - ni lazima upate. Inabidi uamke saa asubuhi, upite kwenye z**i, uingie kwenye samadi, funga mkia wa ng'ombe, uimarishe miguu yake, uketi kwenye kinyesi, weka ndoo chini ... na ufanye kazi mwenyewe. Hiyo ndiyo siri: ng'ombe humpa mtu maziwa.

Baba akanyamaza na kuendelea: "Ona, kuna kizazi kizima ambacho hufikiria ng'ombe hutoa maziwa. Kwamba vitu huwajia moja kwa moja, bila malipo. Mtazamo wao ni, nataka, nauliza, napata. Wamezoea kupata chochote wanachotaka kwa njia rahisi. Lakini sio jinsi maisha yanavyofanya kazi. Maisha sio kutamani, kuuliza, na kupokea. Ni juu ya bidii. Unachopata maishani huja moja kwa moja kutoka kwa bidii na siyo matamanio tu, kudai matokeo ya furaha bila bidii. unachobaki nacho ni kukata tamaa."

Kwa hivyo alimwambia mtoto wake: "Kumbuka siri hii tangu ukiwa mdogo, ili usije ukakua ukifikiria na kulaumu serikali, wazazi wako, au tabasamu lako litakupa kila kitu unachohitaji. Maisha hayaendi hivyo.

Usisahau kamwe: ng'ombe haitoi maziwa. Ili kuipata—ni lazima ufanye kazi hiyo.”

Timiza Malengo - +255655562181 / +255769600821

𝐋𝐄𝐎 𝐍𝐈 𝐖𝐀𝐊𝐀𝐓𝐈 𝐖𝐀𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐒𝐀𝐅𝐀𝐑𝐈 𝐌𝐏𝐘𝐀:⏭️Kila mtu ana nyakati katika maisha yake ambapo anahisi kuwa ni lazima achukue...
01/10/2025

𝐋𝐄𝐎 𝐍𝐈 𝐖𝐀𝐊𝐀𝐓𝐈 𝐖𝐀𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐒𝐀𝐅𝐀𝐑𝐈 𝐌𝐏𝐘𝐀:

⏭️Kila mtu ana nyakati katika maisha yake ambapo anahisi kuwa ni lazima achukue hatua mpya, kuacha nyuma yaliyopita na kuanza kitu kipya. Leo ni mojawapo ya siku hizo. Ni wakati mzuri wa kuanza safari mpya, iwe ni ya kielimu, ya kazi, ya kibinafsi au hata ya kiroho. Kuanza safari mpya kunahitaji ujasiri, matumaini na azma thabiti ya kufanikisha malengo mapya.

⏭️Kuanza safari mpya ni kutambua kuwa maisha hayako katika hali ya kudumu. Kila siku ni nafasi ya kuandaa maisha yako upya, kufanya maamuzi mapya na kuboresha kile unachokifanya. Mara nyingi tunashikilia yaliyopita kwa hofu au kwa dhana kwamba hatuwezi kubadilisha maisha yetu, lakini ukweli ni kwamba kila wakati tuna chaguo la kuanza upya. Leo ni siku kamili ya fursa.

⏭️Kuanza safari mpya kunahitaji mipango na malengo. Hakuna mtu anayeweza kufanikisha kitu kikubwa bila mpango wa hatua kwa hatua. Kwa hivyo, ni muhimu kufikiria ni nini unataka kufanikisha, ni hatua gani unazohitaji kuchukua na ni rasilimali gani unazoweza kutumia kufanikisha malengo yako. Kuandika malengo yako na kupanga hatua ndogo ndogo kunakupa mwongozo thabiti na kuepuka kuchanganyikiwa.

⏭️Kuanza safari mpya kunahusisha pia kukabiliana na hofu na shaka za ndani. Ni kawaida kuhisi wasiwasi au kutokuwa na uhakika unapoanza kitu kipya. Lakini kumbuka kuwa hofu ni ishara kwamba unachukua hatua muhimu. Kila hatua ndogo unayoichukua kuelekea malengo yako ni ushindi na kila changamoto unayoshinda inakuimarisha kiakili na kihisia.

⏭️Kuanza safari mpya ni kuwekeza katika maendeleo yako binafsi. Ni njia ya kujifunza, kuboresha talanta zako na kugundua uwezo wako usiokuwa umejulikana. Ni nafasi ya kujenga historia mpya ya maisha yako kwa kuacha zile tabia au hali ambazo hazikufai. Leo ni chaguo lako la kuishi maisha yenye maana, furaha na mafanikio.

⏭️Safari mpya inaanza kwa hatua moja tu ambayo ni uamuzi. Leo ni siku yako, Chukua hatua ya kwanza, hata ikiwa ni ndogo na utaona jinsi maisha yako yanavyobadilika polepole. Usikubali woga au mashaka yakuzuie. Kila mwanzo ni fursa na leo ni wakati wako wa kuanza safari mpya. Kwa ujasiri na matumaini, unaweza kufanikisha chochote unachokikusudia.

- Timiza Malengo
0655 562 181 / +255769600821

👍 💬 na

𝐉𝐈𝐍𝐒𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐉𝐔𝐀 𝐖𝐀𝐙𝐎 𝐋𝐀 𝐁𝐈𝐀𝐒𝐇𝐀𝐑𝐀 𝐋𝐈𝐓𝐀𝐊𝐀𝐋𝐎𝐅𝐀𝐍𝐈𝐊𝐈𝐖𝐀:Kabla ya kuwekeza nguvu na rasilimali kwenye biashara, ni muhimu kuchun...
20/09/2025

𝐉𝐈𝐍𝐒𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐉𝐔𝐀 𝐖𝐀𝐙𝐎 𝐋𝐀 𝐁𝐈𝐀𝐒𝐇𝐀𝐑𝐀 𝐋𝐈𝐓𝐀𝐊𝐀𝐋𝐎𝐅𝐀𝐍𝐈𝐊𝐈𝐖𝐀:

Kabla ya kuwekeza nguvu na rasilimali kwenye biashara, ni muhimu kuchunguza k**a wazo lako lina nafasi ya kufanikiwa. Kuna mambo kadhaa ya kuzingatia:

💦𝐊𝐮𝐭𝐚𝐭𝐮𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚𝐦𝐨𝐭𝐨: Wazo bora la biashara mara nyingi huzaliwa kutokana na kutatua changamoto inayowakumba watu. Jiulize Biashara yangu inaleta suluhisho gani?

💦𝐖𝐚𝐭𝐞𝐣𝐚: Angalia k**a kuna wateja wa kutosha wanaohitaji huduma au bidhaa yako. Fanya utafiti mdogo wa soko (market research) ili kujua ukubwa wa hitaji hilo.

💦𝐔𝐭𝐨𝐟𝐚𝐮𝐭𝐢: Wazo lako lina nini kipya au bora zaidi kuliko yale yaliyopo sokoni. Utofauti huu unaweza kuwa kwenye bei nafuu, ubora au urahisi wa huduma.

💦𝐔𝐰𝐞𝐳𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐤𝐮𝐚: Wazo zuri linapaswa kuwa na nafasi ya kukua na kupanuka zaidi ya hatua ya mwanzo. Fikiria k**a linaweza kuendelea na kufika mbali zaidi.

💦𝐌𝐚𝐨𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐞𝐣𝐚: Kabla ya kuanzisha rasmi, jaribu bidhaa/huduma kwa kiwango kidogo na upokee mrejesho.
Maoni haya yatakuonyesha mapungufu na nguvu za wazo lako.

📌 𝐇𝐢𝐭𝐢𝐦𝐢𝐬𝐡𝐨: Wazo la biashara litakalofanikiwa ni lile linalotatua changamoto, lina soko la uhakika, lina utofauti, linaweza kukua na unaweza kulitekeleza kwa rasilimali ulizonazo.

Timiza Malengo - 0655 562 181 , +255769600821

DALILI 8 ZINAZOONYESHA BADO HUJAWA SERIOUS NA MAISHA HATA K**A UNA MIAKA 25 AU UMEVUKA 30 1. Huna Mpango wa Maisha (Life...
18/09/2025

DALILI 8 ZINAZOONYESHA BADO HUJAWA SERIOUS NA MAISHA HATA K**A UNA MIAKA 25 AU UMEVUKA 30

1. Huna Mpango wa Maisha (Life Plan)

Unakaa tu ukiishi “siku kwa siku” bila malengo ya muda mfupi, wa kati na wa muda mrefu. Watu serious wanakuwa na “roadmap” ya maisha yao wanajua nini wafanye kutimiza malengo yao

2. Haufuatilii Fedha Zako

Kila hela ikija inaingia na kutoka bila kujua imeenda wapi. Huna bajeti, huna akiba, na huna uwekezaji. Hii ni dalili kubwa ya kutokuwa serious.

3. Unatumia Muda Mwingi Kwenye Starehe

Kila weekend lazima club, sherehe, au kukaa na marafiki kupiga story. Huna balance kati ya burudani na kazi za maana.

4. Hutengenezi Kitu cha Kudumu (Legacy)

Huna chochote kinachoendelea kujengwa,iwe ni biashara, taaluma, ardhi, au hata mtandao wa watu wa maana (network).

5. Hujali Afya Yako

Unakula hovyo, hufanyi mazoezi, wala hupimi afya mara kwa mara. Ukiacha afya, hata ndoto zako kubwa haziwezi kutimia

6. Hutumii Ujuzi Wako Kukua

Tangu tumalize shule hujawahi kujifunza ujuzi mpya (skills). Wakati dunia inabadilika, wewe unakaa na “certificate” tu.

7. Huna Nidhamu ya Muda

Unalala mpaka saa 4 asubuhi bila sababu ya msingi. Haukai na ratiba. Haukimbilii deadlines. Watu serious wanathamini muda kuliko pesa maana muda hutengeneza pesa

8. Unalaumu Wengine kwa Kila Kitu

Badala ya kuchukua hatua, unaendelea kulaumu serikali, wazazi, au mazingira. Wakati ukweli ni kwamba bado hujajitolea kikamilifu kupigania maisha yako.

Kuwa serious na maisha kunaanza pale unapoweka mpango, nidhamu ya fedha, nidhamu ya muda, na kuanza kujenga kitu cha kudumu...

Vipi una dalili ngapi hapa? Tuambie na share hii rafiki yako ajipime pia.

Timiza Malengo - 0655 562 181 , +255769600821

Please - Follow account yetu, Like na Comment.

1.Siku Moja Utastaafu.Hautakua ukienda kazini, hautakua na madaraka tena, hautakua na nguvu ya ushawishi, mzunguko wako ...
05/07/2025

1.Siku Moja Utastaafu.

Hautakua ukienda kazini, hautakua na madaraka tena, hautakua na nguvu ya ushawishi, mzunguko wako wa pesa utapungua kabisa!
Chunguza/fuatilia tarehe yako ya kustaafu kwenye risiti yako ya malipo ya mshahara.

2.Tumia Vizuri Siku Zako za Likizo ya Mwaka.

Chochote utakachokifanya Likizo ndio utakachokifanya ukistaafu.K**a unatumia likizo kulala au kuagalia Luninga ndicho utakachokifanya ukistaafu.Tumia wakati wako wa ziada kujifunza kitu, kitakuja kuwa na manufaa ukistaafu.

3.Wekeza Kwa Ajili ya Kustaafu Kwako.

Watoto wako sio uwekezaji kwa ajili ya kustaafu kwako. Usiwategemee watoto, ndugu, au marafiki k**a benki yako. Utapoteza heshima na utu wako.

4:Tafuta Shughuli Unayoipenda/Unayoifurahia
wakati bado upo kazini ikuongozee katika kustaafu kwako mfano kufuga kuku au miliki duka pata ujuzi unaojiuza (sio vyeti visivyo na matumizi)

5. Utastaafia Wapi?.

Jijengee nyumba. Usistaafu ukiwa bado unapanga nyumba.
Usigome kutoka kwenye nyumba ya serikali.

TAFAKARI
CHUKUA HATUA
Follow Timiza Malengo +255655562181 , +255769600821

_*HII NDIYO MAANA HALISI YA KUONGEZA THAMANI*_     Timiza Malengo  -Hiki ni chuma chenye uzito wa Kilo Moja (Gramu 1,000...
31/05/2025

_*HII NDIYO MAANA HALISI YA KUONGEZA THAMANI*_

Timiza Malengo

-Hiki ni chuma chenye uzito wa Kilo Moja (Gramu 1,000) kikiwa katika hali yake ya kawaida Kina thamani ya takriban Dollar 100 k**a Laki 2 tu za Pesa Madafu za Kibongo.

Ikiwa Chuma Hiki kitatengenezwa kuwa vifaa vya farasi (horseshoes), thamani yake huongezeka hadi dola 250 karibia Laki 5 za Pesa za Madafu za Kibongo.

Lakini Chuma Hiki kikabadilishwa Matumizi na kuwa sindano za kushonea Nyingi, thamani yake Huweza kuongezeka na kufikia takriban Million 50 za Kibongo.

Chuma Hiki Kikichongwa kuwa Mishale na gia za saa, thamani yake hupanda Juu zaidi ya Hapo kuringana na Matumizi Yake.

Lakini Kikibadilishwa Matumizi zaidi kuwa vifaa vya kisasa vya leza vinavyotumika katika chipu za kompyuta, kipande hicho hicho cha chuma kinaweza kuwa na thamani ya mabilioni Ya Pesa.

FUNZO:
Thamani yako ya kweli haipimwi kwa Vile ulivyoumbwa wala Vile ulivyonavyo bali kwa jinsi unavyoweza Kukuza Thamani Ya ujuzi wako na kuutumia ipasavyo Kukuingizia Pesa zaidi.

Nikupe mifano Wakati Mitandao Ya Kijamii Inaanza kuna wasanii walikuwa wanasema Hawawezi Kujiunga na mitandao kwa sababu wao ni wasanii wakubwa na kweli kwa miaka ile ya 2005 Walikuwa wasanii wakubwa sana Lakini hawakujua Mambo Yanabadilika kiasi kwamba kazi zote za wasanii kwa sasa zinauzika mitandaoni na sio kwenye Kanda za Redio k**a Ilivokuwa zamani, Wamekuja Kustuka Wakiwa wamechelewa sana.

Kila Siku Jitahidi Kuongeza Thamani Katika Ujuzi Wako Ongeza kitu Kipya Kila mara Ili Ukuze Kipato Chako zaidi.Hiki ni chuma chenye uzito wa Kilo Moja (Gramu 1,000) kikiwa katika hali yake ya kawaida Kina thamani ya takriban Dollar 100 k**a Laki 2 tu za Pesa Madafu za Kibongo.

Ikiwa Chuma Hiki kitatengenezwa kuwa vifaa vya farasi (horseshoes), thamani yake huongezeka hadi dola 250 karibia Laki 5 za Pesa za Madafu za Kibongo.

Lakini Chuma Hiki kikabadilishwa Matumizi na kuwa sindano za kushonea Nyingi, thamani yake Huweza kuongezeka na kufikia takriban Million 50 za Kibongo.

Chuma Hiki Kikichongwa kuwa Mishale na gia za saa, thamani yake hupanda Juu zaidi ya Hapo kuringana na Matumizi Yake.

Lakini Kikibadilishwa Matumizi zaidi kuwa vifaa vya kisasa vya leza vinavyotumika katika chipu za kompyuta, kipande hicho hicho cha chuma kinaweza kuwa na thamani ya mabilioni Ya Pesa.

FUNZO:
Thamani yako ya kweli haipimwi kwa Vile ulivyoumbwa wala Vile ulivyonavyo bali kwa jinsi unavyoweza Kukuza Thamani Ya ujuzi wako na kuutumia ipasavyo Kukuingizia Pesa zaidi.

Nikupe mifano Wakati Mitandao Ya Kijamii Inaanza kuna wasanii walikuwa wanasema Hawawezi Kujiunga na mitandao kwa sababu wao ni wasanii wakubwa na kweli kwa miaka ile ya 2005 Walikuwa wasanii wakubwa sana Lakini hawakujua Mambo Yanabadilika kiasi kwamba kazi zote za wasanii kwa sasa zinauzika mitandaoni na sio kwenye Kanda za Redio k**a Ilivokuwa zamani, Wamekuja Kustuka Wakiwa wamechelewa sana.

Kila Siku Jitahidi Kuongeza Thamani Katika Ujuzi Wako Ongeza kitu Kipya Kila mara Ili Ukuze Kipato Chako zaidi.

+255655562181 , +255769600821

_+ACHANA NAYE HUYU SIYO MTU SAHIHI KWENYE BIASHARO YAKO*_Red flag 🚩: Huyu Siyo Mtu Sahihi Kuwa Mfanyakazi Kwenye Biashar...
05/05/2025

_+ACHANA NAYE HUYU SIYO MTU SAHIHI KWENYE BIASHARO YAKO*_

Red flag 🚩: Huyu Siyo Mtu Sahihi Kuwa Mfanyakazi Kwenye Biashara Yako, na ukiendelea kumlea ataua biashara yako au kukufirisi

Anaona kazi k**a mzigo, si fursa ya kujenga ndoto, hafanyi kwa moyo, hawezi jiongeza kitu mpaka umwambie

Hana moyo wa kujitolea kwa maendeleo ya biashara – anafanya kwa sababu analipwa tu.

Anakosa uaminifu: huleta visingizio vingi ( hamalizi mwezi hajakwambia anaumwa) hawajibikaji.

Hajali wateja; Anadharau, hana huduma bora na anaharibu taswira ya biashara yako.

Hana hamasa ya kujifunza mambo mapya au kuboresha kazi yake.

Ana lawama sana – kila kosa ni la mtu mwingine, si yeye.

Ukiwepo mauzo yanaongezeka kuliko usipokuwepo

Mara kwa mara ana migogoro na wafanyakazi wenzake au wateja.

✍️K**a una mfanyakazi ambaye unaona hakupeleki mbele, huyo anakurudisha nyuma

Watu wazuri wapo wengi, usiogope kuondokana na mbaya asiyekufaa

Timiza Malengo - 0655 562 181 - +255769600821

_"RENE LACOSTE🇫🇷🐊 AKA MAMBA*_ UNAMJUA ?Walinipa jina “Mamba” si kwa sababu ya nguvu zangu, bali kwa sababu ya kukataa kw...
05/05/2025

_"RENE LACOSTE🇫🇷🐊 AKA MAMBA*_ UNAMJUA ?

Walinipa jina “Mamba” si kwa sababu ya nguvu zangu, bali kwa sababu ya kukataa kwangu kuacha ndoto yangu.

Mimi ni René Lacoste. Kabla jina langu kushonwa kwenye mamilioni ya mashati, nilikuwa tu kijana mwembamba na raketi ya kucheza tenisi… na ndoto ambayo hakuna mtu aliyeamini.

Walisema mimi ni dhaifu sana, kwamba sitaweza kudumu uwanjani. Lakini kila shaka ilinifanya kuwa na njaa zaidi ya kuthibitisha kuwa uzuri na ujasiri vinaweza kwenda pamoja.

Nilishinda Wimbledon, Roland Garros, Kombe la Davis…
Lakini mechi yangu ngumu zaidi? Ugonjwa wa mapafu nikiwa na miaka 25 ambao karibu unimalize kabisa.

Nililazimika kuacha kucheza. Kuacha kukimbia.
Lakini sikuwahi kuacha kuota.

Wakati nikipona, nilichukia jinsi mavazi ya michezo yalivyokuwa hayafai, hivyo nikabuni yangu mwenyewe. Pamba. Nyepesi. Kola laini. Nembo ndogo.
Ile nembo? Mamba. Kwa sababu bado nilikuwa hapa, nimeshikilia.

Wakacheka. “Nani atavaa shati lenye mamba?”
Lakini kisha… mabingwa walianza kuulizia.

Lacoste haikuzaliwa kwenye jukwaa la mitindo. Ilizaliwa kwenye kitanda cha hospitali, kwa imani kuliko nguvu.

Kupitia changamoto, usaliti, na maumivu, sikuwahi kuachia.
Kwa sababu mamba hatorudi nyuma. Kamwe.

Haijalishi wanasema nini… baki kuwa wewe halisi.

Utainuka. Utaongaza. Utashinda.

Asante kwa kusoma na kushea 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

Timiza Malengo - +255769600821 , 0655 562 181

_*ACHA KUCHUKUA MIKOPO ILI KUFADHILI MFUMO WA MAISHA AMBAO HUWEZI KUMUMUDU !!*-- Mojawapo ya njia za haraka za kuharibu ...
29/04/2025

_*ACHA KUCHUKUA MIKOPO ILI KUFADHILI MFUMO WA MAISHA AMBAO HUWEZI KUMUMUDU !!*-

- Mojawapo ya njia za haraka za kuharibu amani na maisha yako ya baadaye ni kwa kuchukua mikopo ili kufadhili matumizi na kuonekana bandia.

✔️ Mikopo si ya magari ambayo huwezi kumudu.
✔️ Mikopo sio ya kupangisha huwezi kuiendeleza.
✔️ Mikopo sio ya kuvutia wageni.
✔️ LADIES - Kamwe usichukue mkopo kumpa mpenzi.

Mikopo inapaswa kuchukuliwa tu kwa uwekezaji uliofikiriwa vizuri, uliopangwa kwa uangalifu, vitu ambavyo vitakuza pesa zako, sio kuziondoa. Kuwa na hekima:

✔️Ishi kulingana na uwezo wako.
✔️ Vaa nguo unazomudu.
✔️ Endesha gari unaloweza kulihudumia.
✔️ Tumia simu ambayo haisongi bajeti yako.
✔️ Nunua ambapo pochi yako iko vizuri.
✔️ Kaa jirani na kipato chako kinaweza kudumu.
✔️ Wapeleke watoto wako shule unazoweza kusimamia kwa dhati.

Madeni ni mtego. Mara tu unaponaswa, maisha yanakuwa kuzimu. Dhiki, usiku usio na usingizi, ndoto zilizovunjika, sio thamani yake.

Jifunze kujenga kitu kidogo. Anza harakati za upande. Zidisha ulichonacho badala ya kukopa ili kujifanya. Uwe na hekima. Kuwa na subira. Jenga maisha yako kwa hekima, sio mikopo.

Timiza Malengo - 0655 562 181 - +255769600821

Address

Kijitonyama
Dar Es Salaam
T26

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Timiza Malengo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Timiza Malengo:

Share