StarHive Company

StarHive Company Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from StarHive Company, Business consultant, Kinondoni studio, Dar es Salaam.

**TUNAKUSAJILIA COMPANY BURE**Watu wengi wana ndoto kubwa za biashara lakini bado hawajasajili kampuni zao rasmi.Na ukwe...
28/05/2026

**TUNAKUSAJILIA COMPANY BURE**

Watu wengi wana ndoto kubwa za biashara lakini bado hawajasajili kampuni zao rasmi.

Na ukweli ni huu…

Biashara nyingi zinapoteza opportunities kubwa kwa sababu hazina company rasmi.
Wengine wanashindwa kupata zabuni, kuaminika mbele ya wateja au kufanya biashara kwa level kubwa kwa sababu hawana kampuni iliyosajiliwa.

Leo hii ukitaka:
✅ Kujenga brand kubwa
✅ Kufungua account ya kampuni
✅ Kufanya biashara professionally
✅ Kupata zabuni
✅ Kuaminika zaidi mbele ya wateja
✅ Kulinda biashara yako kisheria

Kuwa na kampuni rasmi ni hatua muhimu sana.

Tatizo ni kwamba watu wengi wanaahirisha kwa sababu wanaamini usajili wa kampuni ni gharama kubwa sana.

Ndio maana STARHIVE GROUP tumefungua offer maalum ya:

**USAJILI WA COMPANY BURE KWA SIKU 7 TU**

Kwa siku hizi 7:
✅ Consultation Fee imeondolewa kabisa
✅ Utalipia Government Fees za BRELA pekee
✅ Unaweza kuanza process mapema kabla gharama hazijarudi kawaida

Na hii offer sio ya muda wote.

Watu wengi tayari wameanza process zao mapema.
Ukichelewa consultation fee itarudi k**a kawaida baada ya siku 7 kuisha.

Katika process hii tutakusaidia:
✅ Company Registration
✅ Mwongozo wa hatua kwa hatua
✅ Uhakiki wa nyaraka
✅ Maandalizi ya company documents
✅ Ushauri wa usajili wa biashara

K**a bado huna:

* Memorandum and Articles of Association
* Mwanasheria wa muhuri
* Form No. 14B

Usijali.

STARHIVE GROUP tunaweza kusaidia kuandaa kila kitu kwa usahihi wa BRELA.

Huduma hiyo inajumuisha:
✅ Memorandum and Articles of Association
✅ Muhuri wa mwanasheria
✅ Kugongwa muhuri kwenye Form 14B
✅ Marekebisho ya nyaraka
✅ Uhakiki kabla ya submission

Watu wengi wanakuja baada ya offer kuisha ndipo wanajuta kuchelewa.

Usisubiri mpaka uanze kuona wengine wanafungua kampuni zao huku wewe bado uko hatua ya kupanga kuanza.

K**a una mpango wa kufanya biashara kwa level kubwa, huu ndio muda sahihi wa kuanza.

✅ Offer hii ni ya siku 7 tu
✅ Watu wanaendelea kuingia kila siku
✅ Ukichelewa gharama za consultation zitarudi kawaida

Tuma DM sasa hivi au wasiliana nasi mapema.

📞 0744839383

STARHIVE GROUP
**Empowering Your Future**

Kwa SIKU 5 TU!.. Sajili Company Nasi!.⚡⚡⚡🔥🔥✅■Usajili wa kampuni = 450,000■Usajili ya Jina La biashara = 70,000■Usajili w...
27/10/2025

Kwa SIKU 5 TU!.. Sajili Company Nasi!.⚡⚡⚡🔥🔥✅

■Usajili wa kampuni = 450,000
■Usajili ya Jina La biashara = 70,000
■Usajili wa Logo = 150,000.
■Uandaaji wa Memorandum = 130,000
■kupata lesen ya Halmashauri/ manispaa - kufuatilia/ Online = 10,000(kwenye mfumo wa Tausi)
■Lesen ya Brela 200,000 kila kitu kwetu; Control namba kwa mteja.
■kuaply TIN ya biashara kwenye mfumo wa binafsi TRA 20,000
■kuaply TIN ya kampuni hadi Tax-clearance 200,000
■RITA Application (Cheti cha kuzaliwa 50,000)

☯️Instagram💡

●NB. Control Namba ni kwa Mteja(Malipo ya serikari)

☎️☎️ Kwa mawasiliano zaidi
0744-839383 Au 0769600063

Zifuatazo ni Stage za kufata ili uweze kuwa na kampuni yenye nyaraka zilizo kamilika 👇👇👇

》Stage no.1 Tutakusajilia kampuni yako - BRELA
-Hapa tutakupa certificate of Incoparation & Memorandam of Understanding

》Stage no.2 TRA Consultance
Tutakupa vifuatavyo
-TIN namba ya kampuni yako
-Tax- clearance
-Mkataba wa pango ulio kadiliwa na kupigwa mihuri ya mwanasheria na mihuri ya TRA
-Tutakupa nyaraka zako za muhimu kiujumla

》Stage no.3 LICENCE
Sasa hiii inategemea wataka Leseni ya brela au ya manispaa; tutakupa vitu vifuatavyo
-Lesen iliyo hai kwaajili Ya biashara yako

》Stage No.4 [ Kukubrandia ofisi yako(Office Branding)

Hapa tutafika ofisini kwako utatuambia wataka kuitengenezaje na wataka sticker za aina gan kwenye milango na madirisha ya ofisi yako

》Stage no.5 kila kitu unachotaka About your company tupo kwaajili yako

NB: 👉👉CONTROL NAMBA(MALIPO YA SERIKALI) NI KWA MTEJA.

Maana yake mteja atakuwa Anatumiwa control namba Analipia yeye!..

NB:2. Kila Stage Inagharama yake Ma Boss zangu karibu sana....

1. Usajili wa Jina la Biashara - BRELAGharama ya Consultant: 100,000Hii ni pamoja na huduma zetu za ushauri. Malipo ya s...
27/10/2025

1. Usajili wa Jina la Biashara - BRELA

Gharama ya Consultant: 100,000
Hii ni pamoja na huduma zetu za ushauri. Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

2. Usajili wa Kampuni - BRELA

Gharama ya Consultant: 650,000
Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

Unapata Certificate of Incorporation na Memorandum of Understanding.

3. Usajili wa Logo

Gharama: 150,000
Tunakusaidia kusajili na kulinda alama ya biashara yako kisheria.

4. Uandaaji wa Memorandum

Gharama ya Consultant: 250,000

5. Usajili wa Leseni ya Biashara - Halmashauri/Manispaa

Gharama ya Consultant: 50,000
Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

6. Leseni ya BRELA - Kundi A

Gharama ya Consultant: 200,000
Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

Huduma Nyingine za TRA

7. Usajili wa TIN ya Biashara (Mfumo wa Binafsi)

Gharama: 20,000

8. Usajili wa TIN ya Kampuni na Tax Clearance

Gharama: 200,000

Hatua za Kupata Kampuni Yenye Nyaraka Kamili

Stage 1: Usajili wa Kampuni - BRELA

Tunakamilisha usajili na kukupatia:

Certificate of Incorporation

Memorandum of Understanding

Stage 2: Huduma za Kodi - TRA

Unapata:

TIN namba ya kampuni

Tax Clearance

Stage 3: Kupata Leseni ya Biashara

Tunakusaidia kupata leseni ya BRELA au Manispaa kwa biashara yako.

Stage 4: Branding ya Ofisi Yako

Tunatoa huduma ya kutengeneza sticker na maandishi kwa milango na madirisha ya ofisi yako kulingana na mahitaji yako.

Vidokezo Muhimu:

1. Control Namba:

Malipo yote ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

2. Gharama za Kila Hatua:

Kila huduma ina gharama yake, hivyo unaweza kuchagua huduma unayohitaji kulingana na mahitaji yako.

Mawasiliano Yetu

📞 0744-839383
📞 0769-600063
📍 Instagram:

Hapa Starhive Company, tunakuhakikishia huduma za haraka na bora kwa gharama nafuu. Gharama zetu za ushauri zinajumuisha...
06/02/2025

Hapa Starhive Company, tunakuhakikishia huduma za haraka na bora kwa gharama nafuu. Gharama zetu za ushauri zinajumuisha kufuatilia na kuhakikisha unapata nyaraka zako kikamilifu.

1. Usajili wa Jina la Biashara - BRELA

Gharama ya Consultant: 100,000
Hii ni pamoja na huduma zetu za ushauri. Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

2. Usajili wa Kampuni - BRELA

Gharama ya Consultant: 650,000
Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

Unapata Certificate of Incorporation na Memorandum of Understanding.

3. Usajili wa Logo

Gharama: 150,000
Tunakusaidia kusajili na kulinda alama ya biashara yako kisheria.

4. Uandaaji wa Memorandum

Gharama ya Consultant: 250,000

5. Usajili wa Leseni ya Biashara - Halmashauri/Manispaa

Gharama ya Consultant: 50,000
Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

6. Leseni ya BRELA - Kundi A

Gharama ya Consultant: 200,000
Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

Huduma Nyingine za TRA

7. Usajili wa TIN ya Biashara (Mfumo wa Binafsi)

Gharama: 20,000

8. Usajili wa TIN ya Kampuni na Tax Clearance

Gharama: 200,000

Hatua za Kupata Kampuni Yenye Nyaraka Kamili

Stage 1: Usajili wa Kampuni - BRELA

Tunakamilisha usajili na kukupatia:

Certificate of Incorporation

Memorandum of Understanding

Stage 2: Huduma za Kodi - TRA

Unapata:

TIN namba ya kampuni

Tax Clearance

Stage 3: Kupata Leseni ya Biashara

Tunakusaidia kupata leseni ya BRELA au Manispaa kwa biashara yako.

Stage 4: Branding ya Ofisi Yako

Tunatoa huduma ya kutengeneza sticker na maandishi kwa milango na madirisha ya ofisi yako kulingana na mahitaji yako.

Vidokezo Muhimu:

1. Control Namba:

Malipo yote ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

2. Gharama za Kila Hatua:

Kila huduma ina gharama yake, hivyo unaweza kuchagua huduma unayohitaji kulingana na mahitaji yako.

Mawasiliano Yetu

📞 0744-839383
📞 0769-600063
📍 Instagram:

📢 Job Opportunity: Sales & Digital Marketing Specialist (Remote)Position: Sales & Digital Marketing Specialist  Location...
02/02/2025

📢 Job Opportunity: Sales & Digital Marketing Specialist (Remote)

Position: Sales & Digital Marketing Specialist
Location: Remote (Work from home)
Employment Type:Full-time/Part-time
Gender:Female (Age below 29)

🚀 We Are Hiring!
We are looking for a passionate and results-driven Sales & Digital Marketing Specialist to manage and boost sales of our digital products and oversee our TikTok account and other online marketing channels.

Key Responsibilities:

✅ Develop and implement sales strategies to increase revenue for digital products.
✅ Manage and grow our TikTok account by creating engaging content and executing marketing campaigns.
✅ Generate leads and convert prospects into paying customers through online sales techniques.
✅ Respond to customer inquiries, provide support, and build strong client relationships.
✅ Analyze marketing data to improve sales performance.

Qualifications & Requirements:
🔹 A degree or proven experience in Sales, Marketing, or Digital Marketing.
🔹 At least 1 year of experience in online sales and social media marketing.
🔹 Strong knowledge of TikTok, Instagram, and other social media platforms.
🔹 Self-motivated, able to work in a calm and remote work environment.
🔹 Excellent communication and negotiation skills.
🔹 Ability to meet sales targets and work independently.

Why Join Us?
✨ Work remotely from anywhere with a flexible schedule.
✨ A supportive and innovative work environment.
✨ Performance-based bonuses and career growth opportunities.

📌 How to Apply:
Send your CV & cover letter to [email protected] with the subject "Sales & Digital Marketing Specialist Application" before 10/01/2025.

Don’t miss this opportunity! Apply now and be part of an exciting digital business!🚀

Hapa Starhive Company, tunakuhakikishia huduma za haraka na bora kwa gharama nafuu. Gharama zetu za ushauri zinajumuisha...
17/01/2025

Hapa Starhive Company, tunakuhakikishia huduma za haraka na bora kwa gharama nafuu. Gharama zetu za ushauri zinajumuisha kufuatilia na kuhakikisha unapata nyaraka zako kikamilifu.

1. Usajili wa Jina la Biashara - BRELA

Gharama ya Consultant: 100,000
Hii ni pamoja na huduma zetu za ushauri. Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

2. Usajili wa Kampuni - BRELA

Gharama ya Consultant: 450,000
Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

Unapata Certificate of Incorporation na Memorandum of Understanding.

3. Usajili wa Logo

Gharama: 150,000
Tunakusaidia kusajili na kulinda alama ya biashara yako kisheria.

4. Uandaaji wa Memorandum

Gharama ya Consultant: 250,000

5. Usajili wa Leseni ya Biashara - Halmashauri/Manispaa

Gharama ya Consultant: 50,000
Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

6. Leseni ya BRELA - Kundi A

Gharama ya Consultant: 200,000
Malipo ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

Huduma Nyingine za TRA

7. Usajili wa TIN ya Biashara (Mfumo wa Binafsi)

Gharama: 20,000

8. Usajili wa TIN ya Kampuni na Tax Clearance

Gharama: 200,000

Hatua za Kupata Kampuni Yenye Nyaraka Kamili

Stage 1: Usajili wa Kampuni - BRELA

Tunakamilisha usajili na kukupatia:

Certificate of Incorporation

Memorandum of Understanding

Stage 2: Huduma za Kodi - TRA

Unapata:

TIN namba ya kampuni

Tax Clearance

Stage 3: Kupata Leseni ya Biashara

Tunakusaidia kupata leseni ya BRELA au Manispaa kwa biashara yako.

Stage 4: Branding ya Ofisi Yako

Tunatoa huduma ya kutengeneza sticker na maandishi kwa milango na madirisha ya ofisi yako kulingana na mahitaji yako.

Vidokezo Muhimu:

1. Control Namba:

Malipo yote ya serikali yanafanywa moja kwa moja na mteja kupitia control number.

2. Gharama za Kila Hatua:

Kila huduma ina gharama yake, hivyo unaweza kuchagua huduma unayohitaji kulingana na mahitaji yako.

Mawasiliano Yetu

📞 0744-839383
📞 0769-600063
📍 Instagram:

"Tunapoadhimisha kumbukumbu ya kihistoria ya Mapinduzi ya Zanzibar, ni fursa muhimu kutafakari juu ya maana ya mapinduzi...
12/01/2025

"Tunapoadhimisha kumbukumbu ya kihistoria ya Mapinduzi ya Zanzibar, ni fursa muhimu kutafakari juu ya maana ya mapinduzi haya kwa maisha yetu leo. Mapinduzi ya Zanzibar ya tarehe 12 Januari, 1964, yalileta mwanga wa uhuru, usawa, na haki kwa Wazanzibari wote. Siku hii ni ushuhuda wa dhamira ya kweli ya kupigania haki za wanyonge, mshik**ano wa watu, na azma ya kujenga jamii yenye amani na maendeleo.

Leo hii, tunapoendelea kusherehekea miaka mingi ya amani na mshik**ano, tuendelee kushik**ana k**a taifa moja lenye dira ya maendeleo na ustawi wa kila mmoja. Tunapoikumbuka siku hii adhimu, pia ni nafasi ya kuenzi juhudi za viongozi waliotangulia, waliojitolea kwa dhati kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho.

Kwa pamoja, tutumie siku hii kuimarisha mshik**ano, kuhamasisha uzalendo, na kushirikiana katika ujenzi wa Zanzibar mpya iliyojaa matumaini na fursa kwa wote. Heri na fanaka ya Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Wazanzibari wote na Watanzania wote. Mungu ibariki Zanzibar, Mungu ibariki Tanzania!"

SIKU 3 TU!.. Sajili Jina La Biashara Nasi!.⚡⚡⚡🔥🔥✅SAJILI JINA LA BIASHARA BRELA KWA 70,000 TU!..■Usajili wa kampuni = 350...
23/10/2024

SIKU 3 TU!.. Sajili Jina La Biashara Nasi!.⚡⚡⚡🔥🔥✅

SAJILI JINA LA BIASHARA BRELA KWA 70,000 TU!..

■Usajili wa kampuni = 350,000
■Usajili ya Jina La biashara = 50,000
■Usajili wa Logo = 150,000.
■Uandaaji wa Memorandum = 130,000
■kupata lesen ya Halmashauri/ manispaa - kufuatilia/ Online = 10,000(kwenye mfumo wa Tausi)
■Lesen ya Brela 200,000 kila kitu kwetu; Control namba kwa mteja.
■kuaply TIN ya biashara kwenye mfumo wa binafsi TRA 20,000
■kuaply TIN ya kampuni hadi Tax-clearance 200,000
■RITA Application (Cheti cha kuzaliwa 50,000)

☯️Instagram💡

●NB. Control Namba ni kwa Mteja(Malipo ya serikari)

☎️☎️ Kwa mawasiliano zaidi
0744-839383 Au 0769600063

Zifuatazo ni Stage za kufata ili uweze kuwa na kampuni yenye nyaraka zilizo kamilika 👇👇👇

》Stage no.1 Tutakusajilia kampuni yako - BRELA
-Hapa tutakupa certificate of Incoparation & Memorandam of Understanding

》Stage no.2 TRA Consultance
Tutakupa vifuatavyo
-TIN namba ya kampuni yako
-Tax- clearance
-Mkataba wa pango ulio kadiliwa na kupigwa mihuri ya mwanasheria na mihuri ya TRA
-Tutakupa nyaraka zako za muhimu kiujumla

》Stage no.3 LICENCE
Sasa hiii inategemea wataka Leseni ya brela au ya manispaa; tutakupa vitu vifuatavyo
-Lesen iliyo hai kwaajili Ya biashara yako

》Stage No.4 [ Kukubrandia ofisi yako(Office Branding)

Hapa tutafika ofisini kwako utatuambia wataka kuitengenezaje na wataka sticker za aina gan kwenye milango na madirisha ya ofisi yako

》Stage no.5 kila kitu unachotaka About your company tupo kwaajili yako

NB: 👉👉CONTROL NAMBA(MALIPO YA SERIKALI) NI KWA MTEJA.

Maana yake mteja atakuwa Anatumiwa control namba Analipia yeye!..

NB:2. Kila Stage Inagharama yake Ma Boss zangu karibu sana....

Address

Kinondoni Studio
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when StarHive Company posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to StarHive Company:

Share