12/02/2026
Biashara ya Dagaa ina faida nyingi
Ili uanze biashara ni vizuri ukafanya utafiti k**a itakulipa.
Namna ya kuanza hii biashara inakubidi uwe mzuri wa kushawishi wateja kwenye eneo uliopo na mtandaoni
Inakubidi uanze na ndoo moja yaani sado 5 kwangu utaichukulia kwa 110,000 pamoja na usafiri.
Namna ya kuuza utatafta vikontena vya ujazo tofauti tofauti kuna vya 500mls, 750mls na 1000mls lakini wengi wanapenda kuuzia vya 500mls na 750mls.
500mls uza 3500 au 4000 kwenye sado vinatoka 10
750mls uza 5000 au 6000 kwenye sado vinatoka 7
1000mls uza 8000 au 10,000 kwenye sado vinatoka 4.5 au 5
Jinsi ya kutunza dagaa tafta kibeseni chenye nyavu zimimine dagaa hapo utakuwa umeweza au k**a una ungo inafaa
Jitangaze kwenye mitandao ya kijamiii mitandao ina wateja wengi cha msingi kuwa mwaminifu.
Anza taratibu jipe moyo utafanikiwa tu usitake vingi kwa wakati mmoja.
Kuna wakati utakula hasara isiwe kigezo cha kukatisha tamaa.
Anza leo Muombe Mungu akuongoze
0784616006/0752813867