Jeha Wills Consulting

Jeha Wills Consulting Jeha Wills Consulting deals with;
-----------------
Research, project management, and training. All

WE ARE BRINGING TO YOU OUR DESIGNING AND PRINTING SERVICES=================================1. Marketing graphics Designi...
02/06/2020

WE ARE BRINGING TO YOU OUR DESIGNING AND PRINTING SERVICES
=================================
1. Marketing graphics Designing and Printing
a) Flyers
b) Postcards
c) Brochures
d) Banners
e) Posters

2. Motion graphics Designing
a) Animated logos
b) Presentations
c) Animated banner
d) GIF’s

3. Packaging Designing and Printing
a) Product labels
b) Stickers

4. Publication Designing and Printing
a) Books
b) Book Covers
c) Journals
d) Annual reports
e) Magazines
f) Catalogs
g) Calendars

5. Visual Identity Designing and Printing
a) Business cards
b) Identification cards (ID’s)
c) Logos
==================================
CONTACT US:
PHONE: +255766534261
E-MAIL: [email protected]
==================================

===================================================Tunakutakia heri ya siku kuu ya Eid el Fitr, wewe na familia yako... ...
23/05/2020

===================================================
Tunakutakia heri ya siku kuu ya Eid el Fitr, wewe na familia yako...
"Eid el mubarak"
===================================================

NGUVU YA KUPANGA KATIKA KUFANYA MAAMUZI========================================Je unapata shida katika kufanya maamuzi?J...
15/05/2020

NGUVU YA KUPANGA KATIKA KUFANYA MAAMUZI
========================================
Je unapata shida katika kufanya maamuzi?

Je unashindwa kuamua ukikutana na swala lolote linalohitaji wewe kufanya maamuzi?

Je hujui uanzeje kufanya maamuzi?

Je unafanya maamuzi lakini bado una mashaka juu ya maamuzi wako?

Je unahisi hukufanya maamuzi sahihi hapo awali?

JEHA Wills consulting ni Jibu lako. Kupitia wataalamu wake inao uwezo wa kukusaidia kufanya maamuzi yatakayokufanya ujisikie mwenye nguvu, mwenye uhakika na mwenye furaha juu ya maamuzi uliyoyafanya.
----------------------------------------------------------------
KWA MAWASILIANO ZAIDI:

E-MAIL: [email protected]
SIMU: 0766534261.
========================================

Hakuna mafanikio ya kazi k**a hakuna baraka za Mungu ndani yake.
25/04/2020

Hakuna mafanikio ya kazi k**a hakuna baraka za Mungu ndani yake.

MIPANGO NA MAENDELEO YA MIRADI KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA KUENEA KWA COVID-19============================K**a inavyo...
20/04/2020

MIPANGO NA MAENDELEO YA MIRADI KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA KUENEA KWA COVID-19
============================
K**a inavyojulikana, hivi karibuni kumeibuka janga kubwa la kuenea kwa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya CORONA yaani COVID- 19 katika mataifa mbalimbali ikiwemo nchini kwetu Tanzania. Sisi k**a JEHA Wills Consulting, tumeliona janga hili na kufikiri namna ya kuwasaidia wadau wenzetu wa mipango ya maendeleo na miradi katika namna nzuri ya kukabiliana na athari zinazosababishwa na kuenea kwa ugonjwa huu katika utekelezaji wa miradi mbalimbali, huku swali la msingi kwa kila mwenye kuendesha mipango ya maendeleo na miradi hiyo likibaki kuwa ni:-
“JE MIPANGO YETU ITAENDELEA KUTEKELEZEKA?” au
“JE, TUNAWEZAJE KUENDELEZA MIPANGO YETU TULIYOKUWA TUMEJIWEKEA?”

Kwa kuwa tunaelewa ni swali gumu, sisi JEHA Wills Consulting tunakushauri kufanya yafuatayo, hasa kwa wale wasimamizi na watekelezaji wa miradi ambayo pesa zake zimetoka kwa wafadhili wa ndani na wa nje ya nchi:-
1) Ni vizuri kuandika ripoti nzuri ya mradi mpaka shughuli za mradi zilipofikia na kutoa taarifa kwa wafadhili jinsi gani shughuli za mradi zimeathiriwa na tatizo la kuenea kwa ugonjwa wa COVID-19. Kutokuandika ripoti au kutotoa taarifa ni sawa na kuonyesha kuwa hali iko sawa.
2) Ni Wakati mzuri pia wa kuwasiliana na wadau kuwaeleza namna shughuli za miradi zitakavyoendelea kipindi hiki cha ugonjwa wa COVID-19.
3) Ni kipindi kizuri cha ubunifu ili kubuni mbinu mbadala za kuwezesha baadhi ya shughuli muhimu za miradi kuendelea kufanyika.
4) Kumbuka inawezekana kufanya kazi kwa njia ya mtandao na mawasiliano ili kuokoa kwa kiasi kikubwa gharama ambazo zingetokana na kusimama kwa baadhi ya shughuli muhimu za mradi.

Utafanyaje kufikia hayo yote? Wasiliana nasi JEHA Wills Consulting (0766534261) tutakushauri na kukusaidia kupata mbinu mbadala kulingana na mradi wako.
----------------------------------------------------
TUNAKUKUMBUSHA KUFATA MAAGIZO YOTE YA SERIKALI NA WATAALAMU WA AFYA ILI KUJILINDA NA KUWALINDA WENGINE DHIDI YA UGONJWA HUU WA COVID-19.
----------------------------------------------------

13/04/2020
ELIMU YA KUPANGA NI KWA AJILI YA NANI?-------------------------------------Wapendwa siku chache zilizopita JEHA Wills co...
05/04/2020

ELIMU YA KUPANGA NI KWA AJILI YA NANI?
-------------------------------------
Wapendwa siku chache zilizopita JEHA Wills consulting ilipost kuhusu kupanga. Sasa tungependa ijulikane kuwa Elimu hii inamfaa nani.

Elimu ya kupanga inamfaa kila mmoja wetu, lakini kwa maana ya post iliyotangulia walengwa halisi ambao JEHA Wills Consulting inataka kuwavusha kwenda katika hatua nyingine kimaisha ni hawa wafuatao;

1. Wako wanaotaka kufungua Asasa zisizo za kiserikali (NGO’S) lakini hawajui waanzie wapi. Elimu ya kupanga itawasaidia kujua pa kuanzia na kuona fursa kubwa iliyoko mbele yao. Elimu hii itafanya ujisikie unaweza kuanza Asasi yako bila Mashaka. Elimu hii itakufanya ujisikie kuwa unachokianza una uhakika nacho na hubahatishi na kwamba hicho unachokianza kitafika Mbali.

2. Wako ambao wanataka kuanzisha Miradi mbalimbali ya kijamii na kibiashara. Elimu ya kupanga itawasaidia kupata ufahamu juu ya:
a) Namna ya kuandaa mipango ya aina mbalimbali
b) Namna ya kuandaa mipango kazi.
c) Namna ya kujenga hoja juu ya uhalali wa kuanzisha miradi
d) Namna ya kuandaa mipango ya vipindi mbalimbali kwa ajili ya kutekeleza shughuli za mradi.
e) Namna ya kuandaa ripoti za miradi kulingana na mipango.
f) Namna ya kuandaa mipango ya biashara.

3. Wako ambao ndo kwanza wanamaliza Shule na vyuo na hawajui mtaani wanaanzaje, hata kazi watapataje. Elimu ya kupanga itawasaidia kuona fursa zilizopo ulimwenguni na kuzitumia kikamilifu ili kutumia vizuri ufahamu walioupata wakiwa shuleni/ chuoni. Sio hivyo tu elimu hii itawasaidia kuweka mipango ya namna watakavyopata kazi au namna wakavyoweza kujiajiri.

4. Wako wamiliki wa Asasi mbalimbali na makampuni, ambao wameajiri wafanya kazi lakini uzalishaji wao kazini haueleweki au utendaji wao kazini si k**a ilivyotarajiwa. Elimu ya kupanga ikitolewa kwa wafanyakazi hao itawaamsha wawajibike zaidi na elimu hii itawawezesha waajiri wajue kwa nini wafanyakazi wao wanaendenda namna wanavyoenenda na kuwapanga vizuri kwa ajili ya kuongeza juhudi za utendaji kazini.
JEHA Wills Consulting inaweza kukutoa ulipo na kufungua milango kwa mafanikio zaidi.

--------------------------------
Tutafute kupitia simu yetu +255 766 534 261, au
Barua pepe: [email protected].
--------------------------------

KUPANGA VIZURI NI NUSU YA KUTEKELEZA MRADI WAKO------------------Haijalishi ni biashara au ni taasisi au ni mradi, Vyote...
03/04/2020

KUPANGA VIZURI NI NUSU YA KUTEKELEZA MRADI WAKO
------------------
Haijalishi ni biashara au ni taasisi au ni mradi, Vyote vinahitaji mipango ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Wadau wengi wa maendeleo wanakwama sana kufikia malengo wanayojiwekea kwa sababu ya kutokupanga vizuri. Wengi wanajiuliza kupanga vizuri ni kupi? Na wengine wanafikiri kupanga ni kuweka malengo tu! La hasha! Ni Zaidi ya kuweka malengo. Tafuta Elimu ya Kupanga ujifunze namna nzuri ya kupanga.
JEHA Wills Consulting kuna wataalamu wanaoweza kufanikisha ndoto yako kwa kukusaidia kuelewa nini maana halisi ya kupanga, umuhimu wa kupanga, hatua za kupanga na kupanga malengo kimantiki.
---------------
Kupanga hapakuanza na sisi. Kulianza na mwenyezi Mungu. Ukisoma Luka 14:28-32, Mungu anasema;
“Kwa maana ni nani miongoni mwenu ambaye akitaka kujenga mnara hataketi kwanza akadirie gharama zake ili ajue k**a ana kiasi cha kutosha cha kumalizia? La sivyo baada ya kuweka misingi na kushindwa kumaliza watu watamcheka wakisema, mtu huyu alianza kujenga lakini hakumalizia.”
Au
“Ni mfalme gani ambaye akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, hataketi kwanza na kufikiri k**a ataweza, kwa askari wake elfu kumi, kumkabili yule aliye na askari elfu ishirini? K**a anaona hataweza atawatuma wajumbe kutaka masharti ya amani wakati mfalme huyo mwingine angali mbali”
Hata Mungu alipoumba alikuwa na Mpango. Aliutekeleza kwa kuzingatia kipaumbele, mantiki, rasilimali na muda. Alifuatilia, Alitathmini, Alifurahia matokeo ya kazi yake, Alibadili mpango wake alipobaini dosari. (Soma Mw. 1: 1 – 29; 2: 1 - 3, 15; 3:22 -24)
Pia katika kitabu kitakatifu Qur’an, imeandikwa k**a ifuatatavyo:
“Wanapanga na Allah naye pia anapanga; lakini Allah ndiye mpangaji bora kabisa” (Qur’an 8:30)
Ikiwa inathibitisha kwamba, hata Mungu naye ana mipango, nasi binadamu tunatakiwa tupange mambo yetu pia.Ila kazi ya mwisho ya kutimiza mipango yetu tunatakiwa kumuachia Mungu kwa kuwa yeye anajua kupanga kuliko sisi wanaadamu.
K**a Mungu ni model wetu wa kwanza na tuige mfano wake, tupange kwa maendeleo Zaidi.
---------------
Ukitaka kupata Elimu zaidi, tutafute Jeha Wills Consulting tukuvushe daraja. Wasiliana nasi kupitia:-
PHONE: +255 766 534 261
E-MAIL: [email protected]
---------------

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jeha Wills Consulting posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jeha Wills Consulting:

Share