07/04/2025
NEOLIFE Tunayo bidhaa maalum sana ambayo
ina Stem Cells.
STEM CEllS , stem cells ni nini?*
Hizi ni Cells ambazo zina uwezo wa kujiongeza zenyewe kuwa cell husika au cell nyingine yeyote na kuacha nakala halisi(original copy) ya cell husika.
Ziko aina mbali mbali mbali
- Embryonic Stem Cells
Hii ndo ile Cell ya kwanza kabisa inayoanzisha maisha ya mwanadamu, ambayo ndio hugawanyika na kuwa cells mbali mbali mwilini.
- Adult Stem Cells
Hizi huitwa pia Tissue Stem cells.....Kwa nini?
Baada ya Embryonic Stem Cell kujigawa na kuwa Cell ya kiungo husika, cell hiyo haiwezi kubadilika kazi tena.
Tunatambua kuwa cell zina muda maalumu wa kuishi.
Muda unapofika hufa, na hivyo huzaliwa cell zingine ili kujazia nafasi hiyo, na zilizokufa kutolewa kwa njia mbalimbali.
Nini kinafanya uzalishaji huu uendelee?
Kila kiungo kina Stem Cells zake ambazo ndizo zina husika katika kuhakikisha uzalishaji wa cells husika unaendelea na kwa kiwango kinachotakiwa.
Kwa sababu Mbali mbali uzalishwaji wa cells katika mwili unaweza kuathiriwa, na pia cells zinaaathiriwa na hvyo kupelekea magonjwa mbali mbali.
Mfano:
Beta ni kiungo kinachozalisha insulin ambayo huakikisha sukari imekaa katika viwango vyake mwilini, uzalishaji wa cells mpya katika kiungo hiki ukifa, kiungo hiki huacha kuzalisha insulin, ukosefu wa insulin tayari ndo tunaita kisukari.
Cell za kwenye damu, zikiacha kufanya kazi ya kwenye damu na kutaka kufanya kazi yingine husababisha mtifuano, ambao ndo matokeo yake tunata kansa.
Kinachosafirisha chakula na hewa safi mwilini ni Cell.
Cell hizi zikishindwa kufikisha hewa safi kwenye viungo fulani unaiita ganzi.
Cell hizi zikishindwa kufikisha chakula, dawa na hewa safi kwenye kidonda ndipo unaita kidonda ndugu.
Cell hizi hizi ndizo zinatengeneza tissue za kwenye ubongo ambazo zikipata mgandamizo kiasi cha kushindwa kutuma taarifa kwenye sehemu za mwili UNAPATA STROKE TUMIA Bidhaa hii ya Neolife .
Zinachofanya ni kwenda kuzihuisha upya hizi Adult Stem Cells ambazo zimeacha kujizalisha au zimepunguza uzalishaji,
Ndio maana ukizitumia unarudisha ujana why?
Haupewi cell za apple, zile Stem Cell za kwenye ngozi zimehuishwa, kwa hiyo ngozi yako inazalisha cells mpya ambazo ndo zinakufanya uonekane kijana
PIGA SIMU
#0752961076