M Gas Dar

M Gas Dar Jipatie jiko la gas na mtungi kwa Sh 40000 na ununue gas kidogo kidogo kuanzia sh 1000.

Unahitaji kufungiwa huduma ya M Gas?, Ni rahisi;1. Chukua simu yako na piga 0713748763, jitambulishe. Utaambiwa utume ta...
04/12/2022

Unahitaji kufungiwa huduma ya M Gas?, Ni rahisi;

1. Chukua simu yako na piga 0713748763, jitambulishe. Utaambiwa utume taarifa zako.

2. Utasajiliwa kutokana na taarifa ulizotuma na fundi atakaekuja kwako atapangwa.

3. Utaletewa jiko/mtungi bila gharama za ziada.

4. Fundi atafunga jiko na mtungi sehemu sahihi na kuhakikisha mtandao na usalama upo vizuri.

5. Fundi/mteja watafanya malipo kwa kutumia Tigo Pesa (Hakuna pesa yoyote itakayotoka mkono kwa mkono (cash))

6. Furahia mapishi yako

KWANINI M-GAS NI KWA DAR ES SALAAM TUU.Tumekuwa tukipokea simu nyingi hususani kwa wateja wa mikoa mingine na kuulizia a...
02/12/2022

KWANINI M-GAS NI KWA DAR ES SALAAM TUU.

Tumekuwa tukipokea simu nyingi hususani kwa wateja wa mikoa mingine na kuulizia ama kuhoji kwanini huwezi kutumia M Gas nje ya Dsm.

Jibu ni kuwa kwa sasa tuna ofisi katika mkoa wa Dsm na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Pwani.

Mteja aliye nje ya maeneo ambapo huduma haijafika anapata ugumu wa kutumia M Gas kwa sababu zifuatazo.

1. Mara mtungi wa M Gas unapokaribia kuisha gesi, inatakiwa mteja kupelekewa kwake mtungi mwingine uliojaa gesi, hii inakuwa ngumu kwa wateja walio nje ya maeneo kwenye ofisi zetu.

2. Mita za M Gas zina cell maalum (betri) 🔋 ambazo baada ya muda inatakiwa zibadilishwe, maeneo yasiyofikika haiwezekani kwa hili.

3. Pia kila baada ya muda wa matumizi mafundi wetu hutembelea kwa wateja wetu kufahamu changamoto zao na pia kuwapa taarifa mpya juu ya matumizi ya vifaa vyao.

Jiunge na M Gas kwa Sh 40000 upate mtungi na jiko la sahani mbili.

Piga 0713748763

Kadi janja ya M Gas imebeba namba za kipekee (unique) ambazo utazitumia mteja kufanya muamala wako wa kuongeza salio la ...
02/12/2022

Kadi janja ya M Gas imebeba namba za kipekee (unique) ambazo utazitumia mteja kufanya muamala wako wa kuongeza salio la gesi kwenye akaunti yako.

Pia kadi janja hutumika pale unapotaka kuwasha jiko lako kwa kuwekwa juu mita sehemu penye alama ya bar code. Kupitia teknolojia hii inamuwia vigumu mtu asiye na kadi isiyosajiliwa kwa mita husika kuwasha jiko bila idhini yako.

Jipatie leo jiko na mtungi wa m gas kwa Sh 40000.

Piga 0713748763 popote ulipo DSM.

UKITUMIA JIKO LA MKAA UMETAKA MWENYEWE, JIUNGE NA SISI KWA BEI NAFUU ZAIDI KUWAHI KUTOKEA KABLA NA BAADA YA UHURU.Habari...
12/11/2022

UKITUMIA JIKO LA MKAA UMETAKA MWENYEWE, JIUNGE NA SISI KWA BEI NAFUU ZAIDI KUWAHI KUTOKEA KABLA NA BAADA YA UHURU.

Habari,
Huwa inafikirisha kidogo kuona bado kuna watu wnatumia majiko ya mkaa kwa karne hizi za kidijitali. K**a kisingizio kilikuwa ni bei ya vifaa basi sasa hivi tumepunguza kwa zaidi ya 90%, K**a ni gharama za kununua gesi ndio kabisa tumekuwekea kiwango unachotoa kununua mkaa na sasa unanunua gesi na unapikia kabisa.

1/ Nunua jiko la gesi la sahani mbili na mtungi wake kwa Sh 40,000.
2/ Nunua gesi kuanzia Sh 1000.

K**a upo ndani ya Dsm tupigie chap kwa haraka upatiwe huduma, usafiri ni bure.
0713 748 763.

M-GAS INAKULETEA GESI YA BEI  NAFUU YA KULIPIA KIDOGO KIDOGO KUANZIA SH 1000=Habari,Sasa hulazimiki kununua mtungi mzima...
09/11/2022

M-GAS INAKULETEA GESI YA BEI NAFUU YA KULIPIA KIDOGO KIDOGO KUANZIA SH 1000=

Habari,
Sasa hulazimiki kununua mtungi mzima kwa sh 23000 au sh 58000 na kukuweka majaribuni.

M Gas inakuletea teknolojia mpya itakayokuwezesha kununua gesi iliyo ndani ya mtungi kidogo kidogo kuanzia sh 1000 kwa kutumia kadi janja na mita maalum inayowekwa juu ya mtungi k**a unavyolipia Luku.

Zaidi ukiwa na sh 40000 tunakupa jiko la sahani mbili na mtungi na salio la kuanzia sh 5000. Au

K**a una jiko lako unatoa Sh 20000 na tunakupa mtungi na mita na salio la sh 15000.

UPEWE NINI ZAIDI?.

Huduma hii ni kwa wakazi wa Dsm pekee, usafiri bure na malipo ni baada ya kazi.

Ukihitaji huduma zetu tafadhali weka order yako mapema kwani huwa tuna list ndefu na ukichelewa maana yake ni kuchelewa kuhudumiwa

Kwa Mawasiliano zaidi;
0713748763

M-GAS INAKULETEA GESI YA BEI    NAFUU YA KULIPIA KIDOGO KIDOGO KUANZIA SH 1000=Habari,Sasa hulazimiki kununua mtungi mzi...
09/11/2022

M-GAS INAKULETEA GESI YA BEI NAFUU YA KULIPIA KIDOGO KIDOGO KUANZIA SH 1000=

Habari,
Sasa hulazimiki kununua mtungi mzima kwa sh 23000 au sh 58000 na kukuweka majaribuni.

M Gas inakuletea teknolojia mpya itakayokuwezesha kununua gesi iliyo ndani ya mtungi kidogo kidogo kuanzia sh 1000 kwa kutumia kadi janja na mita maalum inayowekwa juu ya mtungi k**a unavyolipia Luku.

Zaidi ukiwa na sh 40000 tunakupa jiko la sahani mbili na mtungi na salio la kuanzia sh 5000. Au

K**a una jiko lako unatoa Sh 20000 na tunakupa mtungi na mita na salio la sh 15000.

UPEWE NINI ZAIDI?.

Huduma hii ni kwa wakazi wa Dsm pekee, usafiri bure na malipo ni baada ya kazi.

Ukihitaji huduma zetu tafadhali weka order yako mapema kwani huwa tuna list ndefu na ukichelewa maana yake ni kuchelewa kuhudumiwa

Kwa Mawasiliano zaidi;
0713748763

Mfano wa mita iliyofungwa juu ya  mtungi na kadi yake.Piga 0713748763 kujipatia huduma zetu leo
09/11/2022

Mfano wa mita iliyofungwa juu ya mtungi na kadi yake.

Piga 0713748763 kujipatia huduma zetu leo

M-GAS INAKULETEA GAS YA BEI NAFUU YA KULIPIA KIDOGO KIDOGO KUANZIA SH 1000.Habari,Sasa hulazimiki kununua mtungi mzima k...
09/11/2022

M-GAS INAKULETEA GAS YA BEI NAFUU YA KULIPIA KIDOGO KIDOGO KUANZIA SH 1000.

Habari,
Sasa hulazimiki kununua mtungi mzima kwa sh 23000 au sh 58000 na kukuweka majaribuni.

M Gas inakuletea teknolojia mpya itakayokuwezesha kununua gas iliyo ndani ya mtungi kidogokidogo kuanzia sh 1000 kwa kutumia kadi janja inayowekwa juu ya mita maalum k**a unavyonunua luku ya umeme.

Zaidi ukiwa na Sh 40000 tunakupa jiko la sahani mbili na mtungi ukiwa na salio la Sh 5000 la kuanzia. Pia k**a una jiko lako utaweza kutoa kiasi cha sh 20000 tuu na tukakupa mtungi na mita pamoja na salio la kuanzia la sh 15000.

Huduma hii ni kwa wakazi wa Dar es salaam na usafiri ni bure & malipo ni baada ya fundi kukamilisha huduma.

Pia k**a ukitaka huduma zetu tafadhali toa order yako mapema kwa kuwa mara nyingi tuna list ndefu ya kuhudumia wateja, kuwahi kutoa order ndio kuwahi kupata huduma.

Kwa mawasiliano zaidi piga;
+255 713 748 763

Address

Magomeni
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when M Gas Dar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share